
12/08/2024
USIDANGANYIKE! Hakuna Dawa Ya Kuboost Ya Kupaka Wala Ya Kunywa Inayomaliza Changamoto Za Nguvu Za Kiume Kwa Kila Mwanaume!
Kwanini?
Kwa Sababu Changamoto Ya Ukosefu Wa Nguvu Za Kiume Ina Sababu Nyingi Ambazo Haziwezi Kumalizwa Na Dawa Ya Aina Moja!
Inakuaje Mwenye Kukosa Nguvu Za Kiume Kwa Sababu Ya Magonjwa K**a Moyo, Kisukari/Presha Atumie Tu Dawa Ya Kupaka/Kunywa Yoyote Halafu Awe Sawa.?
Ukiwa Na Changamoto Za Nguvu Za Kiume Fuata Utaratibu Sahihi Wa Matibabu Kwa Makini Kabisa Itakusaidia Kwa 100%.
Utaratibu Ni Kufahamu Kwanza Ni Kwanini Unapitia Changamoto Ya Kukosa Nguvu Za Kiume, Hapa Ufanye Nini Sasa.?
👉 Fanya Vipimo Sahihi Vya Uzazi. Vipimo Hivi Vitahusisha;
✅ Afya Ya Misuli na Mishipa Inayopitisha Damu Hadi Kwenye Uume (Hii Ni Msaada Kwa Walioathirika Na Punyeto Pia),
✅ Homoni Ya Kiume (TESTOSTERONE) - Hii Ikiwa Kwa Kiwango Cha Chini Ni Athari Kwa Afya Ya Mwanaume,
✅ Uwezo Wa Kusimamisha (ER****ON TRANSMITTER) - K**a Uwezo Wa Kusimamisha Uko Chini Lazima Uathiri Uanaume Wako,
✅ Magonjwa Yanayoathiri Afya Ya Mwanaume (Moyo, Ini, Bawasiri, Figo, Vidonda Vya Tumbo, Presha, Kisukari n.k)
✅ Wingi Na Uimara Wa Mbegu Za Kiume. Ni Lazima Kufanya Vipimo Hivi Wewe Mwanaume Mwenye Changamoto Ya Nguvu Za Kiume Kabla Hujatumia Dawa Yoyote Ile.
✅️ Kuangalia Afya Ya Korodani Za Kiume (Itakusaidia Kukuepusha Na Changamoto Za Kuvimba Kwa Korodani Na Kujaa Maji)
✅️ Kuangalia Afya Ya Tezi Dume (Prostate) Hii Itakupa Nafasi Ya Kuzuia Kuvimba Kwa Tezi Dume Na Kuanza Matibabu Mapema K**a Tayari Tatizo Lilishaanza
👉 Acha Mitindo Hatarishi Inayoathiri Uanaume Wako. ACHA PUNYETO! PUNGUZA STRESS KABISA! ISHI MAISHA YA FURAHA NA FANYA KAZI ZAKO KWA BIDII.
MUHIMU
👉 USITUMIE KABISA DAWA ZA KUBOOST ILI KUWA NA NGUVU ZA MUDA MFUPI ZINAZIDI KUKUATHIRI.
K**a unahitaji msaada zaidi baada ya kuathirika na ukosefu wa nguvu za kiume na punyeto nipo tayari kukusaidia kwa kufuata utaratibu wa matibabu kwa kuanza na vipimo vya mfumo wa uzazi nilivyozungumzia hapo juu kwa thamani ndogo sana kwa vituo vyetu vyote vya afya.
Jisajili kupata huduma ya vipimo sahihi vya afya ya mwanaume kwa thamani ya tsh 20,000 tu program maalumu ya kuwa imara kiume na kuongeza ubora wa mbegu za kiume na matibabu yanayofuata utaratibu kwa kuwasiliana nasi hapa chini. 👇
0758964090
Au bonyeza neno WHATSAPP hapo chini sasahivi kupata nafasi hii adhimu. Mwenye changamoto ya nguvu za kiume unahitaji msaada wa haraka sasahivi.
Dr Esther
0758964090