Afya Bora

Afya Bora Karibu kwenye ukurasa huu kupata suluhisho la magonjwa sugu yasioambukizwa.

USIDANGANYIKE! Hakuna Dawa Ya Kuboost Ya Kupaka Wala Ya Kunywa Inayomaliza Changamoto Za Nguvu Za Kiume Kwa Kila Mwanaum...
12/08/2024

USIDANGANYIKE! Hakuna Dawa Ya Kuboost Ya Kupaka Wala Ya Kunywa Inayomaliza Changamoto Za Nguvu Za Kiume Kwa Kila Mwanaume!

Kwanini?

Kwa Sababu Changamoto Ya Ukosefu Wa Nguvu Za Kiume Ina Sababu Nyingi Ambazo Haziwezi Kumalizwa Na Dawa Ya Aina Moja!

Inakuaje Mwenye Kukosa Nguvu Za Kiume Kwa Sababu Ya Magonjwa K**a Moyo, Kisukari/Presha Atumie Tu Dawa Ya Kupaka/Kunywa Yoyote Halafu Awe Sawa.?

Ukiwa Na Changamoto Za Nguvu Za Kiume Fuata Utaratibu Sahihi Wa Matibabu Kwa Makini Kabisa Itakusaidia Kwa 100%.

Utaratibu Ni Kufahamu Kwanza Ni Kwanini Unapitia Changamoto Ya Kukosa Nguvu Za Kiume, Hapa Ufanye Nini Sasa.?

👉 Fanya Vipimo Sahihi Vya Uzazi. Vipimo Hivi Vitahusisha;

✅ Afya Ya Misuli na Mishipa Inayopitisha Damu Hadi Kwenye Uume (Hii Ni Msaada Kwa Walioathirika Na Punyeto Pia),

✅ Homoni Ya Kiume (TESTOSTERONE) - Hii Ikiwa Kwa Kiwango Cha Chini Ni Athari Kwa Afya Ya Mwanaume,

✅ Uwezo Wa Kusimamisha (ER****ON TRANSMITTER) - K**a Uwezo Wa Kusimamisha Uko Chini Lazima Uathiri Uanaume Wako,

✅ Magonjwa Yanayoathiri Afya Ya Mwanaume (Moyo, Ini, Bawasiri, Figo, Vidonda Vya Tumbo, Presha, Kisukari n.k)

✅ Wingi Na Uimara Wa Mbegu Za Kiume. Ni Lazima Kufanya Vipimo Hivi Wewe Mwanaume Mwenye Changamoto Ya Nguvu Za Kiume Kabla Hujatumia Dawa Yoyote Ile.

✅️ Kuangalia Afya Ya Korodani Za Kiume (Itakusaidia Kukuepusha Na Changamoto Za Kuvimba Kwa Korodani Na Kujaa Maji)

✅️ Kuangalia Afya Ya Tezi Dume (Prostate) Hii Itakupa Nafasi Ya Kuzuia Kuvimba Kwa Tezi Dume Na Kuanza Matibabu Mapema K**a Tayari Tatizo Lilishaanza

👉 Acha Mitindo Hatarishi Inayoathiri Uanaume Wako. ACHA PUNYETO! PUNGUZA STRESS KABISA! ISHI MAISHA YA FURAHA NA FANYA KAZI ZAKO KWA BIDII.

MUHIMU
👉 USITUMIE KABISA DAWA ZA KUBOOST ILI KUWA NA NGUVU ZA MUDA MFUPI ZINAZIDI KUKUATHIRI.

K**a unahitaji msaada zaidi baada ya kuathirika na ukosefu wa nguvu za kiume na punyeto nipo tayari kukusaidia kwa kufuata utaratibu wa matibabu kwa kuanza na vipimo vya mfumo wa uzazi nilivyozungumzia hapo juu kwa thamani ndogo sana kwa vituo vyetu vyote vya afya.

Jisajili kupata huduma ya vipimo sahihi vya afya ya mwanaume kwa thamani ya tsh 20,000 tu program maalumu ya kuwa imara kiume na kuongeza ubora wa mbegu za kiume na matibabu yanayofuata utaratibu kwa kuwasiliana nasi hapa chini. 👇

0758964090

Au bonyeza neno WHATSAPP hapo chini sasahivi kupata nafasi hii adhimu. Mwenye changamoto ya nguvu za kiume unahitaji msaada wa haraka sasahivi.

Dr Esther
0758964090

TAMBUA SABABU KWANINI UNATUMIA DAWA NYINGI NA HUPATI MATOKEO       🍏 Kumekua na watu wengi wakitafuta suluhisho la MAGON...
18/07/2024

TAMBUA SABABU KWANINI UNATUMIA DAWA NYINGI NA HUPATI MATOKEO
🍏 Kumekua na watu wengi wakitafuta suluhisho la MAGONJWA lakini wanatumia dawa nyingi bila matokeo
Sababu kubwa wengi wanatumia dawa bila kufanya vipimo hii sababu imewagharimu watu wengi sana,

✍️ Hali hii imepelekea watu kupata MATATIZO makubwa hasa ya uzazi

K**a unasumbuliwa na MAGOJWA K**a haya usitumie TIBA yeyote bila kufanya vipimo vya mfumo mzima wa uzazi
➡️P I D
➡️Hormone imbalance
➡️Uvimbe kwenye kizazi
➡️Maumivu wakati wa tendo la ndoa
➡️Mirija kuziba
➡️Harufu ukeni
➡️Kushidwa kubeba mimba
➡️ Fibroids
N.k
🍏N.b
Epuka kutumia kila dawa bila kufanya vipimo hii itahatarisha zaidi afya yako
Wasiliana nasi
📞 0758964090
https://wa.me/message/6RSWVUN25I4AA1

08/07/2024

KUMALIZA MWAKA PASIPO CHANGAMOTO ZA KIAFYA INAWEZEKANA...!

Hakuna aliyeumbwa ili kuteseka na changamoto za kiafya, na ndio maana kwa kutambua hilo taasisi ya Afya ya Gcat Health Clinic imeweka punguzo la vipimo vya mwili mzima (full body checkup) kwa wewe mwenye changamoto ya afya.....

Kwa Thamani Ya Tsh 20,000 Tu

(Elfu Ishirini Tu)

Gcat health clinic ina madaktari bingwa wanaotoa suluhisho la maradhi sugu yote.....

Huduma zinazojumuishwa ni pamoja na uchunguzi wa;

✨Mfumo wa mishipa ya damu, moyo na ubongo
✨Mfumo wa maradhi ya mifupa
✨Mfumo wa mmeng'enyo na uyeyushaji wa Chakula
✨Afya ya ngozi na maradhi ya ngozi
✨Afya ya uzazi kwa wanaume na wanawake
✨Mfumo wa fahamu, jicho na maradhi ya macho
✨Mfumo wa upumuaji
✨Afya ya Kinywa na meno
✨Kisukari
✨Saratani/kansa
✨Shinikizo la damu/Presha
✨Tezi dume
✨Bawasiri
✨Ugonjwa wa kutetemeka
✨Fangas, U.T.I, P.I.D
✨Matatizo ya bandama
✨Kiharusi, matatizo ya moyo na maradhi sugu mengineyo

Ili uweze kupata huduma hizi weka miadi ya kufanya vipimo hivyo kwa namba hizi hapa chini;

0758964090

Sisi ni daraja la uponyaji wa afya yako. Tunaithamini sana afya yako kwani ndio msingi wa kuishi maisha ya furaha.

Address

Majumbasita
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Bora posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram