Stemcell therapy Tanzania

Stemcell therapy Tanzania Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Stemcell therapy Tanzania, Medical and health, Bamaga, Dar es Salaam.

UFAHAMU UGONJWA WA PID, DALILI NA SULUHISHO?PID ni Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamkeMaambukizi ya via vya uzazi v...
17/07/2023

UFAHAMU UGONJWA WA PID, DALILI NA SULUHISHO?

PID ni Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke
Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke au ugonjwa wa PID (pelvic inflammatory disease) ni maambukizi ya bakteria kwenye shingo ya uzazi, mirija ya fallopio, ovari na tumbo la uzazi (uterasi).

JE NI KWA JINSI GANI MWANAMKE ANAWEZA KUPATA PID?
1. Ngono isiyo salama
2. Utoaji mimba
3. Dawa za uzazi wa mpango au vizuizi mimba
4. Maambukizi mara baada ya mama kujifungua
5. Kinga ya mwili kushuka hivyo kuruhusu wadudu wa PID kukushmbulia kiurahisi

DALILI ZA PID
* Maumivu ya tumbo chini ya kitovu. Wakati mwingine upande wa kulia
* Kutokwa na uchafu ukeni, hasa wenye rangi ya njano unaoelekea kuwa kijani kwa mbali ukiwa na harufu mbaya.
* Kuhisi Maumivu ama hali ya kuungua wakati wa kukojoa
* Homa
* Kuhisi kichefuchefu ama kutapika
* Kuhisi Maumivu wakati wa tendo la ndoa ama kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa.
* Kuvurugika kwa hedhi
* Kupata hedhi katikati ya hedhi, yaani waweza kupata hedhi mara 2 ndani ya mwezi 1.
* Kuziba mirija ya uzazi au kujaa maji
* Mwili kuishiwa na nguvu
* Maumivu ya kiuno
* Miwasho sehemu za siri
* Uke kuwa mlaini sana na kulegea

MADHARA YA PID
1. Ugumba
2. Kansa ya shingo ya kizazi kupelekea kutolewa kizazi
3. Mirija ya uzazi kuziba kufanya mayai Kushindwa kufunga Mimba
4. Michubuko eneo la kizazi

DOZI YA PID IPO AMBAPO UTATUMIA KUANZIA MWEZI MMOJA HADI MITATU ILI KUHAKIKISHA TATIZO LINAISHA KABISA NA HALIJIRUDII

WASILIANA NASI KWA NAMBA
0692 524 186 call/whatsapp/txt

20/02/2023

STEMCELL TECHNOLOGY NI KIBOKO YA MAGONJWA SUGU

Stemcell Treatment ni seli huru ambazo zina uwezo wa kuboresha
1)seli zilizodumaa
2)kukarabati seli zilizochakaa au kuharibika
3)kutowa seli zilizo kufa
Pia hujigawa au kujiongeza zenyewe kuwa seli husika katika mwili na kuupa mwili uwezo wa kuzalisha seli mpya kupelekea kusaidia mwili kirudi katika hali ya kawaida

Stemcell treatments inauwezo wa kuwasadia wanao sumbuliwa na magonjwa ambayo ni sugu hayatibiki k**a

⭕️Sukari
⭕️Cancel
⭕️Stroke
⭕️Tezi dume
⭕️Matatizo ya moyo
⭕️Matatizo ya figo
⭕️Nguvu za kiume
⭕️N.k

Okoa maisha yako,rafiki yako na ndugu yako

Kwa maelekezo zaidi tuwasiliane kwa namba +255758986355 au 0692 524 186 call/txt/whatsapp

Unaweza kujoin group letu la whatsapp kwa maelezo zaidi
https://chat.whatsapp.com/DrdePUOZGbX9r6Ylt9m4Qx

18/02/2023

IJALI FAMILIA YAKO LEO

Stemcell Treatment ni seli huru ambazo zina uwezo wa kuboresha
1)seli zilizodumaa
2)kukarabati seli zilizochakaa au kuharibika
3)kutowa seli zilizo kufa
Pia hujigawa au kujiongeza zenyewe kuwa seli husika katika mwili na kuupa mwili uwezo wa kuzalisha seli mpya kupelekea kusaidia mwili kirudi katika hali ya kawaida

Stemcell treatments inauwezo wa kuwasadia wanao sumbuliwa na magonjwa ambayo ni sugu hayatibiki k**a

⭕️Sukari
⭕️Cancel
⭕️Stroke
⭕️Tezi dume
⭕️Matatizo ya moyo
⭕️Matatizo ya figo
⭕️Nguvu za kiume
⭕️N.k

Okoa maisha yako,rafiki yako na ndugu yako

Kwa maelekezo zaidi tuwasiliane kwa namba +255758986355 au 0692 524 186 call/txt/whatsapp

CRYSTAL CELL ni mabadiliko ya 100% ya utendaji wa seli Shina ya mwili ambayo kila Binadamu anazaliwa nayo na mabadiliko ...
18/02/2023

CRYSTAL CELL ni mabadiliko ya 100% ya utendaji wa seli Shina ya mwili ambayo kila Binadamu anazaliwa nayo na mabadiliko haya yamefanya mwili kuwa n uwezo wa kuzalisha cells mpya. Imeokoa watu wengi na magonjwa sugu kwa Kuleta Mwili na Organs kwa utendaji wa kawaida na kwa hivyo UNAWEZA KUPATA TIBA NA KUFANYA CELL ZAKO ZIWE NA UWEZO K**A ULIVYO ZALIWA
Inafanya kazi kwa njia 5:
1)Kuongeza nguvu seli zilizozeeka
2) Kurudisha seli nzuri
3) Kurejesha seli dhohofu
4) Kubadilisha seli zilizokufa
5)Kurekebisha seli zilizoharibiwa

For more information click on this link 👇👇👇👇 https://app.iphyto.com/Jamesbillionaire
distributors needed nation wide!

Call/WhatsApp 0692 524 186







18/02/2023

Rudisha TABASAMU LAKO na FAMILIA yako kwa kutumia bidhaa zetu za STEMCELL

TIBA YA STEM CELL inashughulikia matatizo ya kiafya kwenye chanzo chake, katika kiwango cha seli
STEM CELL (seli shina/ kiini mama) hufanya kazi kwa kawida ya ......

1 Hurekebisah seli zilizoharibika.
2. Hurejesha seli zilizokufa.
3. Hutengeneza seli upya
4. Ukinga seli vizuri.
5. Kufufua seli zilizozeeka.
5. Urejesha utendajikazi wa seli vyema

Hivyo basi stem cell inapambana na kujikinga na
magonjwa k**a:

Kisukari
Magonjwa ya figo
Saratani au Kansa
Kiharusi au Stroke
Vidonda vya tumbo
Mangonjwa ya ini
Magonjwa ya moyo
Magonjwa ya mapafu
Matatizo ya uzazi
Siko seli
Kupoteza kumbukumbu
Asthma/Allergies(Pumu)
Matatizo ya mgongo
Uvimbe wa tumboni
Matatizo ya macho
Tezi dume
Matatizo ya misuli
Na mengine mengi

Kabla mgonjwa hajapewa gharama ya dozi ni vema tukafahamu tatizo lake na lina muda gani

UKITUMIA STEM CELL NDANI YA SIKU 42 NA USIPATE MATOKEO, UTARUDISHIWA GHARAMA ZAKO ZOTE

Tafadhali wasiliana ⏩ Kwa taarifa Zaidi

Call/WhatsApp 0692 524 186 au 0758986355

DALILI ZA MWANAUME MWENYE UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUMEIko ivi👇👇👇1⃣ Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha Uume wake barabara k**...
18/02/2023

DALILI ZA MWANAUME MWENYE UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Iko ivi👇👇👇

1⃣ Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha Uume wake barabara k**a msumari wakati wa tendo la ndoa.
2⃣ Na hata uume wake ukisimama hubaki kuwa goigoi/legelege na huweza kusinyaa wakati wowote.
3⃣ Kumaliza mapema/kufika kileleni mapema kabla ya mke wake.
4⃣ Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara moja. Hapa mwanaume akishakamilisha mshindo mmoja wa tendo la ndoa basi anakuwa hana tena uwezo wa kurudia mshindo mwingine. Hali hii husababishwa na kutokuwa na msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya kwenye uume.
5⃣Uume kusinyaa na kurudi ndani. Hapa uume wa mwanaume unakuwa umesinyaa na kurudi ndani. Uume huu unakuwa hauna uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa. Hali hii kwa kiasi kikubwa husababishwa na upigaji wa punyeto kwa muda mrefu pamoja na magonjwa hasa hasa chango la kiume au ngiri.
6⃣Mwanaume kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa hata anapokuwa faragha na mke wake.
7⃣Mwanaume Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha kabisa uume wake. Hali hii inajitokeza pindi tatizo la kutokuwepo kwa msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya uume, linapokuwa limekomaa.

FAHAMU KUWA:👇👇👇

Uume husimama (Hudinda) barabara pale mishipa yake ya damu inapopata msukumo wa kutosha wa damu. Na hili linawezekana pale ambapo mfumo wa mzunguko wa damu (The Blood circulation system) wa mwanaume unapokuwa katika hali nzuri ya kiafya. Mfumo huo unahusisha Moyo na mishipa ya damu.

Vyanzo ni k**a👇
=Magonjwa ya moyo
=Damu kuganda kwenye mishipa ya damu
=Mkusanyiko wa mafuta kwenye damu(High Cholesterol)
=Shinikizo la juu la damu(High Blood Pressure)
=Kisukari
=Unene na kitambi pia
=Mafuta kujaa kiunoni
=Matumizi ya ugoro ama tumbaku
=Kupiga punyeto muda mrefu
=Ulevi wa pombe k**a vile viloba, bia, nk
=Kukosa usingizi
=Kuvimba kwa tezi dume
=Matatizo yanayokuwa kwenye uti wa mgongo

Nitakupatia STEMCELL utaitumia ndani ya week 3 utandokana Na changamoto na heshima itarud nichek whatsapp kwenda +255 758986355
au njia ya kawaida.

18/02/2023

TIBA YA STEM CELL inashughulikia matatizo ya kiafya kwenye chanzo chake, katika kiwango cha seli
STEM CELL (seli shina/ kiini mama) hufanya kazi kwa kawida ya ......

1 Hurekebisah seli zilizoharibika.
2. Hurejesha seli zilizokufa.
3. Hutengeneza seli upya
4. Ukinga seli vizuri.
5. Kufufua seli zilizozeeka.
5. Urejesha utendajikazi wa seli vyema

Hivyo basi stem cell inapambana na kujikinga na
magonjwa k**a:

Kisukari
Magonjwa ya figo
Saratani au Kansa
Kiharusi au Stroke
Vidonda vya tumbo
Mangonjwa ya ini
Magonjwa ya moyo
Magonjwa ya mapafu
Matatizo ya uzazi
Siko seli
Kupoteza kumbukumbu
Asthma/Allergies(Pumu)
Matatizo ya mgongo
Uvimbe wa tumboni
Matatizo ya macho
Tezi dume
Matatizo ya misuli
Na mengine mengi

Kabla mgonjwa hajapewa gharama ya dozi ni vema tukafahamu tatizo lake na lina muda gani

UKITUMIA STEM CELL NDANI YA SIKU 42 NA USIPATE MATOKEO, UTARUDISHIWA GHARAMA ZAKO ZOTE

Tafadhali wasiliana ⏩ Kwa taarifa Zaidi

Call/WhatsApp 0692 524 186 au 0758986355

Medical & health

17/02/2023

TAFADHARI TUSOME HAPA KWA UMAKINI;

Kwa nini suluhisho na utatuzi wa Stem Cell ni bora kuliko Tiba nyingine na virutubisho vya vyakula?
Stemcell ni seli huru yenye uwezo wa kujigawa na kutengeneza aina mbalimbali ya seli mwilini. Kwa nini tunahitaji StemCell!?

Stem cell inaweza Kuzuia na kushughulikia shida nyingi za kiafya kwa wakati Mmoja.
Kwa sababu tu miili yetu imeundwa na SELI na sio madawa.

Kabla ya matibabu ya stem kugundulika Maisha ya kila binadamu yalianza k**a SELI moja (KIJUSI) ambayo iliendelea kuongezeka na kutoa SELI, TISHU, na viungo vingine vyote vinavyounda mwili wa binadamu.

Mwili ni mkusanyiko wa SELI. K**a mtu ni mgonjwa maana yake SELI ni dhaifu au hazifanyi kazi vizuri. Kuanzia umri wa 0 hadi 20 STEM CELL huzalisha SELI lakini uanza kuharibika umri wa miaka 21 kwenda juu kutokana na: Kiwango Cha seli kinapungua mwilini umri unavyoenda, pia seli zinachoka ama kuharibika, ama kufa kutokana na matumizi ya Vyakula, Vinywaji, Madawa, Mazingira n.k

Dawa utibu dalili na kushukulikia shida moja kwa wakati pia kusababisha shida nyingine za kiafya kwa sababu ya sumu kujilimbikiza mwilini.

TIBA YA STEM CELL inashughulikia matatizo ya kiafya kwenye chanzo chake, katika kiwango cha seli
STEM CELL (seli shina/ kiini mama) hufanya kazi kwa kawida ya ......

1 Hurekebisah seli zilizoharibika.
2. Hurejesha seli zilizokufa.
3. Hutengeneza seli upya
4. Ukinga seli vizuri.
5. Kufufua seli zilizozeeka.
5. Urejesha utendajikazi wa seli vyema

Hivyo basi stem cell inapambana na kujikinga na
magonjwa k**a:

Kisukari
Magonjwa ya figo
Saratani au Kansa
Kiharusi au Stroke
Vidonda vya tumbo
Mangonjwa ya ini
Magonjwa ya moyo
Magonjwa ya mapafu
Matatizo ya uzazi
Siko seli
Kupoteza kumbukumbu
Asthma/Allergies(Pumu)
Matatizo ya mgongo
Uvimbe wa tumboni
Matatizo ya macho
Tezi dume
Matatizo ya misuli
Na mengine mengi

Kabla mgonjwa hajapewa gharama ya dozi ni vema tukafahamu tatizo lake na lina muda gani

UKITUMIA STEM CELL NDANI YA SIKU 42 NA USIPATE MATOKEO, UTARUDISHIWA GHARAMA ZAKO ZOTE

Tafadhali wasiliana ⏩ Kwa taarifa Zaidi

Call/WhatsApp 0692 524 186

Miguu Inayowaka Mara Nyingi Ni Ishara Ya Uharibifu Wa Neva (PERIPHERAL NEUROPATHY). SOMA ZAIDI👇Kwenye Mwili Wa Binadamu ...
17/02/2023

Miguu Inayowaka Mara Nyingi Ni Ishara Ya Uharibifu Wa Neva (PERIPHERAL NEUROPATHY).
SOMA ZAIDI👇

Kwenye Mwili Wa Binadamu Kuna Mfumo Wa Mishipa (Nervous System) Uliogawanyika Kwenye.

✓Mfumo Mkuu ; Central Nervous System (Ubongo Na Uti Wa Mgongo)
✓Na Mfumo Wa Pembezoni ; Peripheral Nervous System
Ambao Ni Kazi Za Mwili Mbali Na Ubongo Na Uti Wa Mgongo.
Mfumo Huu Wa Pembezoni Hujumuisha Kazi Za Misuli, Mapigo Ya Moyo, Mmeng’enyo Wa Chakula, Uwezo Wa Kuhisi Baridi Au Joto, Kugusa Vitu NK.

KUDHOOFIKA NA KUUMIA KWA NEVA ZA PEMBEZONI MWA MWILI HULETA SHIDA MWILINI

Dalili K**a

1. Ganzi
2. Maumivu Na Kuwaka Moto Kwenye Viganja, Unyayo, Mabega Nk
3. Kuhisi K**a Umevaa Gloves Au Socks Wakati Ambao Haujavaa
4. Kuhisi K**a Kuna Kitu Cha Ncha Kali Kinakuchoma Miguuni Au Kwenye Vidole
5. Kushindwa Kushika Au Kunyanyua Kitu,
6. Kuchoka Na Kukak**aa Kwa Misuli

Vichocheo Vikubwa Vya Kudhoofika Kwa Neva Ni

1. Kupungua Kwa Virutubisho Muhimu Mwilini, Mf Vitamini B (Vitamin B 12, B 6)

2. Matumizi Ya Dawa Kali, Mara Kwa Mara , Mf Dawa Za TB, ARVs, Chemotherapy Nk.

3. Uzito Mkubwa Wa Mwili ,Hupelekea Mgandamizo Mkubwa Kwenye Baadhi Ya Neva Za Uti Wa Mgongo Na Hivyo Kudhoofishwa Uwezo Wa Neva.

4. Maradhi K**a Kisukari, Shinikizo La Damu.
Matatizo Ya Figo

5. Acid Nyingi, Uric Acid Hata Watu Wenye Vidonda Vya Tumbo Huwa Na Acid Nyingi.

6. Mvurugiko Wa Hormones, Kukoma Kwa Hedhi

7. Ujauzito

8. Fungus Za Muda Mrefu, Vidonda Na Michubuko Nk

MATIBABU NYUMBANI
✓ Vyakula Vyenye Vitamins B12 Mf Samaki, Maziwa Mayai Nk
✓Loweka Miguu Kwenye Maji Ya Baridi Kiasi, Asubuhi Na Jioni Kuipa Miguu Ahuheni
✓Massage Miguu Mara Kwa Mara
✓Vaa Viatu Visivyobana

MATIBABU YA KUDUMU
✓ Tumia Bidhaa Ya Stemcell Kupata Tiba Ya Kudumu, Bidhaa Hii Huzalisha Seli Mpya Mwilini Hivyo Kutibu Vyanzo Vyote Vinavyoweza Kupelekea Kudhoofika Kwa Neva.

TAFADHALI SOMA ZAIDI KUHUSU STEMCELLS KWENYE POSTS ZETU ZINGINE

Kupona Ni Miezi Mitatu Mpaka Sita
Dose Ya Mwezi Mmoja

Kwa taarifa Zaidi
+255758986355 WhatsApp/call/txt

Address

Bamaga
Dar Es Salaam
00255

Telephone

+255692524186

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Stemcell therapy Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Stemcell therapy Tanzania:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram