Afya kamili

Afya kamili cardiovascular disease
~ diabetes(kisukari)
~ hypertension(shinikizo la damu)
~ kidney failure(figo kufeli)

we care we dare.

WhatsApp&call:+255741992363
tiktok: afya kamili healthy clinic

K**a unasumbuka na matatizo ya macho: • kutoa machozi •kuwa mekundu na kuwasha •kutoona karibu au mbali •mtoto wa jicho ...
08/12/2025

K**a unasumbuka na matatizo ya macho:
• kutoa machozi
•kuwa mekundu na kuwasha
•kutoona karibu au mbali
•mtoto wa jicho
•kuwa na ukungu

Sharp vision ni dawa iliyothibitishwa kisayansi kutibu matatizo ya macho bila kuhusisha kemikali ya aina yoyote, bila madhara

Kwa wewe unaehitaji bidhaa hii zimebaki chupa 10 tu,hivyo weka ODDA yako kisha fanya malipo ili upokee bidhaa yako ndani na nje ya dar es salaam.

Kwa mikoani fanya malipo kisha utumiwe,usafiri ni Bure
Kwa maelezo zaidi
Whatsapp/piga: 0711380580
Wa.me/+255711380580

04/12/2025

28/11/2025
Tibu macho yako bila kutumia dawa zenye kemikali.Punguzo la muda mfupi kutoka 140,000/= hadi 85,000/= kwa siku 5.Kuanzia...
17/11/2025

Tibu macho yako bila kutumia dawa zenye kemikali.
Punguzo la muda mfupi kutoka 140,000/= hadi 85,000/= kwa siku 5.
Kuanzia tarehe 17 hadi 20.
Lipia mapema usipoteze nafasi yako.

Lipa namba m PESA
50088429
Shukrani magoti.

Usikubali figo zako ziendelee kudhoofika!Program yetu maalum ya FIGO sasa inapatikana kwa ajili yako — kutoka hatua ya 1...
12/11/2025

Usikubali figo zako ziendelee kudhoofika!
Program yetu maalum ya FIGO sasa inapatikana kwa ajili yako — kutoka hatua ya 1 hadi ya 5!
Tunasaidia kushusha creatinine, kuondoa sumu na kuimarisha seli za figo.

Anza safari ya afya leo na Afya Kamili Health Clinic.
Wasiliana: Dr. Masudi 0711 380 580
"

🔥 OFA YA UHAKIKA 🔥  Pata *punguzo la gharama za matibabu ya bawasiri kwa muda wa siku 5 tu! 💰 Kutoka Tsh 385,000/= hadi ...
11/11/2025

🔥 OFA YA UHAKIKA 🔥
Pata *punguzo la gharama za matibabu ya bawasiri kwa muda wa siku 5 tu!
💰 Kutoka Tsh 385,000/= hadi 285,000/=
🎁 Watu 5 wa mwanzo wapata dawa ya maumivu ya tumbo BURE yenye thamani ya 35,000/=
🗓️ Tarehe: 12/11/2025 - 17/11/2025
📞 Wahi sasa: +255 0711 380 580
🏥 Afya Kamili Health Clinic Tz

🔥 Ofa Maalum ya Siku 5! Mwili wako umejaa sumu? Mawe kwenye figo? Ini limeelemewa? Mapafu hayawezi kusafisha damu vizuri...
11/11/2025

🔥 Ofa Maalum ya Siku 5!
Mwili wako umejaa sumu? Mawe kwenye figo? Ini limeelemewa? Mapafu hayawezi kusafisha damu vizuri?

Dawa hii ya asili inakusaidia:
✅ Kusafisha figo, ini na mapafu
✅ Kutoa sumu mwilini
✅ Kuyeyusha mawe kwenye figo

Bei ya kawaida 95,000/=
💥 Sasa ni 75,000/= tu!
🎁 Watu 10 wa kwanza wanapata kopo la 3 BURE!

Usingoje hali iwe mbaya — anza sasa!
📞 Wasiliana: 0711 380 580

Hii hapa program maalumu kwaajili yako wewe unaesumbuka na bawasiri kwa muda mrefu.Kuishi na bawasiri ni kujinyima uhuru...
24/10/2025

Hii hapa program maalumu kwaajili yako wewe unaesumbuka na bawasiri kwa muda mrefu.

Kuishi na bawasiri ni kujinyima uhuru wa maisha,kupitia punguzo hili la muda mfupi kuanzia leo 24 October hàdi 28 October anza maisha mapya.

Gharama za kawaida ni 315,000/= hadi kupona lakini punguzo ni 255,400/= tu unaipata package yote hadi kupona.

K**a unahitaji kuanza matibabu fanya malipo hayo sehemu yoyote ulipo package hii itakufikia.

Kwa watu watano wa mwanzo kulipia watapata dawa ya kuondoa gesi tumboni bure ambayo gharama yake ni 55,000/=

LIPA NAMBA M-PESA
40088429
SHUKRANI MAGOTI

LIPIA SASA.

*UKWELI ULIOBAKI KUUFAHAMU NI HUU K**A UNAHITAJI KUPONA FIGO ,SOMA HADI MWISHO.**NAD+ (Nicotinamide Adenine Dinucleotide...
18/10/2025

*UKWELI ULIOBAKI KUUFAHAMU NI HUU K**A UNAHITAJI KUPONA FIGO ,SOMA HADI MWISHO.*

*NAD+ (Nicotinamide Adenine Dinucleotide)* ni molekuli muhimu sana mwilini inayohusika katika mchakato wa uzalishaji wa nishati na urekebishaji wa seli.

*1. NAD+ Hushiriki Katika Uzalishaji wa Nishati (ATP)*

*2. NAD+ Huwa Coenzyme kwa Enzymes Muhimu*
*3. NAD+ Husaidia Katika Urekebishaji wa Seli.*
*4. NAD+ Huwezesha Kazi ya SIRTUINS*
*5. Kiwango cha NAD+ Hupungua Tunavyozeeka*

Ndani ya figo, *NAD+* ina mchango mkubwa katika kuhakikisha seli za figo zinafanya kazi kwa ufanisi, zinapata nishati ya kutosha, na zinabaki na afya — hasa kutokana na kazi nzito figo hufanya kila siku ya kuchuja damu.

*ELEWA MCHAKATO HUU NDANI YA FIGO KWANI NDIO NJIA YA KUTIBU FIGO*

*1. Uchujaji wa Damu Unahitaji Nishati Kubwa*
- Figo zinachuja karibu *180L ya damu kwa siku*.

- Seli za figo (hasa zile za *proximal tubule*) zinahitaji nishati nyingi ili kufyonza tena madini, maji, na virutubisho kutoka kwenye mkojo wa awali.

- NAD+ hushiriki moja kwa moja katika kutengeneza *ATP*, ambayo ni chanzo cha nishati hiyo.

*2. Kulinda Seli za Figo Dhidi ya Uharibifu*
- Figo huwa katika hatari ya kushambuliwa na *oxidative stress* (msukumo wa sumu na mabadiliko ya oksijeni).

- NAD+ husaidia kuwezesha kazi ya *sirtuins* (hasa SIRT1), ambazo hulinda seli dhidi ya uchochezi na uharibifu wa DNA.

*3. Uboreshaji wa Metabolism ya Seli za Figo*
- NAD+ huchochea *fatty acid oxidation* katika figo, kusaidia seli kupata nguvu bila kutegemea sukari pekee.

- Hii ni muhimu kwa wagonjwa wa kisukari au wenye matatizo ya kimetaboliki, kwani huongeza ufanisi wa figo.

*4. Kukinga Fibrosis (Kufunga kwa Tishu)*
- Upungufu wa NAD+ huongeza hatari ya *fibrosis*

— hali ambapo figo huanza kufunga tishu na kupoteza uwezo wa kuchuja.

- NAD+ huzuia mchakato huu kwa kuzuia uchochezi na uharibifu wa seli.

*5. Kupona kwa Figo Baada ya Madhara*
- Baada ya figo kuathiriwa (kwa sumu, dawa au shinikizo), NAD+ husaidia kwenye *urekebishaji wa DNA* na kuchochea uzalishaji wa seli mpya.
Hapa ndipo figo huanza kurejesha uhai wake.

*KWA NINI NAD+ NI MUHIMU KWA FIGO?*

- Bila NAD+, figo hushindwa kutengeneza nishati ya kutosha.
- Seli za figo huzeeka mapema na kufa.
- Hali hii inaweza kuchangia *kupungua kwa GFR*, kuongezeka kwa creatinine, na hatimaye *figo kushindwa kufanya kazi.*

Kwa hivyo, viwango vya NAD+ vinapodhibitiwa vizuri, vinasaidia *kupunguza kasi ya uharibifu wa figo*, kuboresha ufanisi wa tiba, na kulinda seli za figo zisife mapema.

*HIVYO RAI YANGU KWAKO WEWE UNAEKATA TAMAA NI KWAMBA HUKUWAHI KUAMBIWA HAYA NDIO MAANA UNAHISI KUWA HAKUNA NAMNA YA KUPONA.*

*UPATIKANAJI WA NAD+ NI NDANI YA KIAMBATA KINACHOITWA NMN HIVYO HAKIKISHA UNAPATA SUPPLIMENT AMBAZO ZINAFANYA KAZI YA KUZALISHA NAD+ KWA WINGI*

*IKIWA UMENIELEWA VIZURI NA UPO TAYARI KUTOKA STAGE HIYO YA 5,4 AU 3 KARIBU NITAKUSAIDIA*

"Sisi tunatibu,Mungu anaponya".

masudi
Afya kamili health clinic tz.
0711 380 580

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255711380580

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya kamili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya kamili:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram