05/05/2026
Hii si utani—kuna hali ya kisaikolojia inaitwa food phobia, ambapo mtu anaweza kuogopa chakula fulani bila sababu ya moja kwa moja. Wapo watu ambao hata wakiona nyanya tu wanahisi kichefuchefu, hofu au mapigo ya moyo kwenda kasi.
Dr.Ombeni Mkumbwa|Ushauri|Tiba|Afya
Elimu ya afya kwa lugha rahisi
Call,Sms,Whatsapp+255758286584
Dr. Ombeni Mkumbwa
Dar Es Salaam
Be the first to know and let us send you an email when Afyaclass posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.