OCC Doctors

OCC Doctors Who We Are
OCC Doctors is a trusted leader in digital healthcare, providing secure and comprehensive telemedicine services to patients around the world.

Telemedicine Centre
Incorporating Telemedicine Service
| Answering Get Quick | Detailed Medical Advice | Non Emergency Medical Issues | Long Distance Care | Better for you. | Real time helping | Surprising care, Extraordinary, Personalized Care. We combine advanced technology, medical expertise, and compassionate care to make healthcare more accessible, affordable, and efficient. Our Mission
To enhance global access to high-quality healthcare by leveraging innovation and technology delivering personalized, cost-effective, and convenient medical services while promoting wellness and preventive care. Our Vision
To redefine how patients access care by bridging the gap between medical professionals and patients through modern telecommunication systems, and by promoting natural, science-backed health solutions for a healthier, more sustainable world. Our Services
Online Consultations: Speak with licensed doctors anytime, anywhere. E-Prescriptions: Receive secure and verified prescriptions online. Medical Certifications: Fit-to-work and fit-to-travel certificates available digitally. Routine Consultations: Ongoing care and medical advice from trusted professionals. Remote Monitoring: Continuous support and follow-up care through technology. Our Products
OCC Doctors also offers a wide range of natural and Ayurvedic health products, combining the wisdom of traditional medicine with modern scientific standards. Our formulations are made from high-quality, naturally derived ingredients and manufactured with state-of-the-art equipment that meets rigorous international safety and quality standards. Our Commitment
We are committed to innovation, integrity, and excellence in everything we do. Our goal is to make world-class healthcare available to every patient anytime, anywhere while contributing to the well being of individuals and communities worldwide.

12/01/2026
Kumeza paracetamol kupita kiasi kunaweza kusababisha uharibifu mkubwa wa ini, na mara chache pia kuharibu figo. Dalili z...
02/01/2026

Kumeza paracetamol kupita kiasi kunaweza kusababisha uharibifu mkubwa wa ini, na mara chache pia kuharibu figo. Dalili za mwanzo za sumu ni kichefuchefu na kutapika. Dalili hizi hupungua ndani ya siku moja, lakini uharibifu wa ini unaendelea bila mtu kujua. Ini huathirika zaidi baada ya siku 3 hadi 4 tangu kumeza paracetamol kupita kiasi, na madhara yanaweza kuwa kuchanganyikiwa au kupoteza fahamu, kutokwa damu, kushuka kwa sukari mwilini, kuvimba kwa ubongo na hata kifo.

Watu wanaokunywa pombe, wanaotumia dawa fulani kwa muda mrefu, au walio na lishe duni k**a wale wanaokula vibaya au wanaoishi na VVU wanaweza kupata madhara hata kwa kiasi kidogo cha paracetamol.

DAWA ZA HOSPITALI
02/01/2026

DAWA ZA HOSPITALI

Maumivu wakati wa kukojoa hutokea pale ambapo kibofu cha mkojo au mrija wa mkojo unapoathrika, Mara nyingi husababishwa ...
02/01/2026

Maumivu wakati wa kukojoa hutokea pale ambapo kibofu cha mkojo au mrija wa mkojo unapoathrika, Mara nyingi husababishwa na maambukizi ya njia ya mkojo (UTI). Katika UTI sugu, figo hushindwa kukusanya mkojo vizuri, ndiyo maana mtu hukojowa mara nyingi. Hali ya kuchoma au kuwaka hutokea sana kwa wanawake, lakini pia inaweza kuwapata wanaume na kwa umri wowote. Inaweza kuambatana na maumivu chini ya tumbo eneo la kibofu au katika eneo la msamba (perineum).

Dalili zinazoambatana nazo ni homa, maumivu ya mgongo au ubavuni eneo la figo, kutoka uchafu kwenye mrija wa mkojo au ukeni, kukojoa mara kwa mara au kuhisi mkojo unakuja ghafla. Kuchelewa kuanza kukojoa au mkojo kutoka kidogo kidogo.

FIGO NA NJIA YA MKOJO
02/01/2026

FIGO NA NJIA YA MKOJO

Ugonjwa wa macho unaosababishwa na kisukari (Diabetic retinopathy) hutokea wakati mishipa midogo ya damu iliyo nyuma ya ...
31/12/2025

Ugonjwa wa macho unaosababishwa na kisukari (Diabetic retinopathy) hutokea wakati mishipa midogo ya damu iliyo nyuma ya jicho (retina) inapoharibika. Ni sababu kubwa ya upofu kwa watu wazima. Mishipa midogo ya damu huanza kudhoofika na kuvimba. Hakuna dalili za haraka, mtu mwenye kisukari anaweza asiwe na maumivu wala kuona mabadiliko.

Baadaye ugonjwa ukizidi Jicho huanza kuona ukungu, maji au damu huweza kujikusanya ndani ya jicho, pazia ya jicho (Retina) inaweza kujitenga na kupelea upofu katika sehemu ya jicho au jicho lote.

MAGONJWA YA MACHO
31/12/2025

MAGONJWA YA MACHO

Hali ya tezi kuvimba na kuongezeka ukubwa (Lymphadenitis) mara nyingi husababishwa na maambukizi ya sehemu fulani ya mwi...
28/12/2025

Hali ya tezi kuvimba na kuongezeka ukubwa (Lymphadenitis) mara nyingi husababishwa na maambukizi ya sehemu fulani ya mwili au ya mwili mzima. inaweza kuathiri tezi moja, kikundi cha tezi zilizo karibu, Au tezi nyingi mwilini. Inaweza kuwa upande mmoja au pande zote mbili za mwili. Inaweza kuanza ghafla, polepole. Au kudumu muda mrefu.

Tezi za mfumo wa kinga ya mwili huweza kuongezeka ukubwa kwa sababu ya kuongezeka kwa seli ndani ya tezi, k**a seli za kinga (lymphocytes), kuingia kwa seli kutoka nje ya tezi, k**a seli za saratani, Tezi kuchuja na kukusanya vijidudu kutoka sehemu yenye maambukizi.

MIFUPA NA VIUNGO
28/12/2025

MIFUPA NA VIUNGO

Ugonjwa wa presha unahesabika kuwa ni ugonjwa wa dharura pale ambapo shinikizo la damu ni kubwa sana na tayari kuna uhar...
27/12/2025

Ugonjwa wa presha unahesabika kuwa ni ugonjwa wa dharura pale ambapo shinikizo la damu ni kubwa sana na tayari kuna uharibifu wa viungo muhimu k**a ubongo, moyo, figo na hali ya kifafa cha mimba kwa mjamzito (eclampsia). Maharibiko hutokea haraka na mara nyingi ni sababu ya kifo.

Ubongo hupata uharibifu kutokana na kushindwa kwa mfumo wa kudhibiti mtiririko wa damu (cerebral autoregulation). Hali hii husababisha kuvuja kwa damu kwenye ubongo na kupelekea stroke, mara nyingi ni matokeo ya presha ya juu.

PRESHA na KISUKARI
27/12/2025

PRESHA na KISUKARI

Kutokwa na damu isiyo ya kawaida kwa wanawake wenye uvimbe kwenye mfuko wa uzazi husababishwa na kukosekana kwa upevukaj...
27/12/2025

Kutokwa na damu isiyo ya kawaida kwa wanawake wenye uvimbe kwenye mfuko wa uzazi husababishwa na kukosekana kwa upevukaji wa yai (anovulation), mabadiliko ya uwezo wa mfuko wa uzazi kukaza na kulegea, uvimbe kubana mishipa ya damu iliyo karibu, kuongezeka kwa eneo la ndani la mfuko wa uzazi, kuchubuka kwa uvimbe uliopo ndani ya mfuko wa uzazi, pamoja na kudhoofika kwa tishu zinazozunguka mfuko wa uzazi kushindwa kusimamisha damu ipasavyo.

Baadhi ya wanawake wenye uvimbe kwenye mfuko wa uzazi (fibroids) hupata tatizo la kutokwa na damu isiyo ya kawaida ukeni. Tatizo hili huonekana zaidi kwa uvimbe uliopo ndani ya mfuko wa uzazi (submucous myomas), ambapo damu inaweza kutoka kwa wingi au kwa muda mrefu kuliko kawaida.

Address

4th Floor, Matangini House, Plot No: 2786, Block A, Morogoro Road/Matangini Street, Kimara Terminal
Dar Es Salaam
16104

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when OCC Doctors posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to OCC Doctors:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Our Story

It can be difficult to make time to see your Doctor. Between busy schedules and limited appointment availability, staying healthy can lead to extra stress. OCC Doctors encourages posts related to behavioral health and allows you to discuss non-emergency medical issues with a Doctor by phone or online at a time that’s convenient for you. Long Distance Care, Better for You, Anytime Anywhere.