OCC Doctors

OCC Doctors Telemedicine Centre
Incorporating Telemedicine Service
| Answering Get Quick | Detailed Medical Advice | Non Emergency Medical Issues.

Who We Are
OCC Doctors is a trusted leader in digital healthcare, providing secure and comprehensive telemedicine services to patients around the world. We combine advanced technology, medical expertise, and compassionate care to make healthcare more accessible, affordable, and efficient. Our Mission
To enhance global access to high-quality healthcare by leveraging innovation and technology delivering personalized, cost-effective, and convenient medical services while promoting wellness and preventive care. Our Vision
To redefine how patients access care by bridging the gap between medical professionals and patients through modern telecommunication systems, and by promoting natural, science-backed health solutions for a healthier, more sustainable world. Our Services
Online Consultations: Speak with licensed doctors anytime, anywhere. E-Prescriptions: Receive secure and verified prescriptions online. Medical Certifications: Fit-to-work and fit-to-travel certificates available digitally. Routine Consultations: Ongoing care and medical advice from trusted professionals. Remote Monitoring: Continuous support and follow-up care through technology. Our Products
OCC Doctors also offers a wide range of natural and Ayurvedic health products, combining the wisdom of traditional medicine with modern scientific standards. Our formulations are made from high-quality, naturally derived ingredients and manufactured with state-of-the-art equipment that meets rigorous international safety and quality standards. Our Commitment
We are committed to innovation, integrity, and excellence in everything we do. Our goal is to make world-class healthcare available to every patient anytime, anywhere while contributing to the well being of individuals and communities worldwide.

Ugonjwa wa ngozi wa 'Focal Acral Hyperkeratosis' unaosababisha ngozi kuwa nene na kuota vinundu vidogo vigumu hasa kweny...
06/02/2026

Ugonjwa wa ngozi wa 'Focal Acral Hyperkeratosis' unaosababisha ngozi kuwa nene na kuota vinundu vidogo vigumu hasa kwenye viganja vya mikono na nyayo za miguu.

Wasiwasi ni ugonjwa wa akili unaosababisha mtu kuwa na mawazo ya hofu kupita kiasi, karibu kila siku, kwa miezi 6 au zai...
06/02/2026

Wasiwasi ni ugonjwa wa akili unaosababisha mtu kuwa na mawazo ya hofu kupita kiasi, karibu kila siku, kwa miezi 6 au zaidi, kuhusu mambo mengi ya maisha. Mara nyingi huonekana pamoja na unywaji wa pombe kupita kiasi, msongo mkubwa wa mawazo (depression), ugonjwa wa hofu ya ghafla (panic disorder). Wanawake hupata zaidi kuliko wanaume. Ugonjwa hudumu kwa muda mrefu, huwa mbaya zaidi wakati wa msongo wa mawazo.

Watu wengi wenye ugonjwa wa wasiwasi pia huwa na magonjwa mengine ya akili kwa pamoja, k**a msongo mkubwa wa mawazo (depression), hofu ya vitu fulani (phobia), hofu ya watu au jamii (social phobia), tabia ya ku-panic.

AFYA YA AKILI
06/02/2026

AFYA YA AKILI

Vimbe kwenye fuko la mayai 'Polycystic O***y Syndrome' (PCOS) huja na dalili za kuongezeka kidogo kwa uzito kutokana na ...
05/02/2026

Vimbe kwenye fuko la mayai 'Polycystic O***y Syndrome' (PCOS) huja na dalili za kuongezeka kidogo kwa uzito kutokana na mafuta ya mwili, hedhi isiyo ya kawaida au kutopata hedhi kabisa, mwanamke kuwa na vinyoleo vingi mwilini (hirsutism) au chunusi (acne) kutokana na kuongezeka kwa homoni za kiume kupita kiasi. Kwa wanawake wengi wenye PCOS, mayai yao yana viini vidogo vingi vilivyo vimba kwa pamoja (cysts).

PCOS husababisha kutokupevuka kwa mayai (anovulation) na kupanda kwa homoni za kiume, fuko la mayai linaweza kuwa kubwa kidogo, zikiwa na viini vingi vya uvimbe. Homoni ya 'Estrogen' huwa nyingi, ambayo inaweza kuongeza hatari ya saratani ya ndani ya kizazi (endometrial cancer).

HEDHI SALAMA
05/02/2026

HEDHI SALAMA

Ni rahisi kubeba ujauzito baada ya kuacha kutumia uzazi wa mpango wa FPP, ni haraka kurudi kwa uwezo wa kupata mimba baa...
04/02/2026

Ni rahisi kubeba ujauzito baada ya kuacha kutumia uzazi wa mpango wa FPP, ni haraka kurudi kwa uwezo wa kupata mimba baada ya kutumia FPP, hakuna kuchelewa kwa uwezo wa kupata mimba. Mwanamke anaweza kupata mimba mara moja baada ya kuacha kutumia FPP. Uzazi huu wa mpango wa kidonge kimoja kwa mwezi huzuia mimba tu kutokana na tendo la ngono litakalotokea ndani ya siku 30 zijazo. Ni salama kwa wanawake wote, hazina hatari za kiafya, Mwanamke ndiye anayeweza kudhibiti mwenyewe.

Hazimlindi mwanamke dhidi ya mimba kutokana na ngono itakayofanyika baada ya siku 30 kutimia, ikiwa hatotumia FPP basi siku inayofuata anakuwa huru kushika ujauzito. Ili kuendelea kujilinda dhidi ya mimba, mwanamke anatakiwa kutumia FPP kila baada ya siku 30, mara moja kwa mwezi.

UZAZI WA MPANGO
04/02/2026

UZAZI WA MPANGO

FPP inazuia mimba kwa muda wa mwezi mmoja, hurekebisha mzunguko wa hedhi na huondoa maumivu wakati wa hedhi. Ni salama s...
02/02/2026

FPP inazuia mimba kwa muda wa mwezi mmoja, hurekebisha mzunguko wa hedhi na huondoa maumivu wakati wa hedhi. Ni salama sana, hata kwa wanawake wenye shinikizo la damu au ugonjwa wa seli mundu (sickle cell). FPP Hutumika kila baada ya siku 30 ni njia bora ya uzazi wa mpango ambapo mwanamke atatumia kidonge kimoja kwa mwezi.

FPP haichagui, hutumika kwa wanawake wote ikiwemo Wanaonyonyesha, Wenye watoto au wasio na watoto na pia inatumika hata k**a mwanamke hajawahi kuzaa. Kwasababu haina maudhi hivyo hutumika wakati wowote wa maisha, hata wasichana kuanzia miaka 18 au wanawake wa zaidi ya miaka 40 hutumia FPP.

Maumivu ya miguu kuanzia kwenye magoti kushuka chini, ambayo huleta nafuu mtu akitembea husababishwa na kupungua kwa nji...
01/02/2026

Maumivu ya miguu kuanzia kwenye magoti kushuka chini, ambayo huleta nafuu mtu akitembea husababishwa na kupungua kwa njia ya mgongo (Spinal Stenosis). Mgongo una njia ndogo (space) ambapo misuli na mishipa ya fahamu (nerves) hupita. 'Spinal stenosis' ni hali ambapo njia hiyo inakuwa ndogo na kusababisha kugandamiza mishipa ya Nerve.

Sababu kubwa ni hali ya kuzeeka (degeneration) ambapo mifupa, misuli au discs za mgongo hubadilika kwa umri kuwa mkubwa ikichangiwa na uzito wa mwili ambapo Discs kushuka na kuharibika.

MIFUPA NA VIUNGO
01/02/2026

MIFUPA NA VIUNGO

Maambukizi ya Bakteria ni moja ya sabababu ya uvimbe wa mrija wa kuhifadhia mbegu za kiume (Epididymitis). Wakati mwingi...
01/02/2026

Maambukizi ya Bakteria ni moja ya sabababu ya uvimbe wa mrija wa kuhifadhia mbegu za kiume (Epididymitis). Wakati mwingine uvimbe huu huambatana na uvimbe wa korodani (epididymo-orchitis). Uvimbe unaweza kuhusisha mrija wa mbegu pekee (vasitis), au miundo yote ya kamba ya mbegu (funiculitis). Matatizo yafuatayo yanaweza kutokea ikiwemo jipu kwenye mrija wa mbegu (epididymis), Jipu kwenye korodani, mkusanyiko wa usaha ndani ya maji ya korodani (Pyocele) na kufa kwa tishu za korodani (testicular infarction).

Kwa wanaume chini ya miaka 35, sababu kuu huwa ni magonjwa ya zinaa, kwa wanaume zaidi ya miaka 35, sababu kubwa huwa ni bakteria wa utumbo (gram-negative coliforms).

Address

4th Floor, Matangini House, Plot No: 2786, Block A, Morogoro Road/Matangini Street, Kimara Terminal
Dar Es Salaam
16104

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when OCC Doctors posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to OCC Doctors:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Our Story

It can be difficult to make time to see your Doctor. Between busy schedules and limited appointment availability, staying healthy can lead to extra stress. OCC Doctors encourages posts related to behavioral health and allows you to discuss non-emergency medical issues with a Doctor by phone or online at a time that’s convenient for you. Long Distance Care, Better for You, Anytime Anywhere.