Imarisha Afya ya Mwili Wako

  • Home
  • Imarisha Afya ya Mwili Wako

Imarisha Afya ya Mwili Wako Ninatatua changamoto za magonjwa ya Mmeng'enyo Wa Chakula Bila madhara kwa kutumia virutubisho lishe.

Ninatatua CHANGAMOTO za Magonjwa yote SUGU kwa kutumia virutubisho lishe vya asili, wasiliana nami kupitia whatspp/Call +255682876988

PATA PUNGUZO MSIMU HUU WA SIKUKUU
04/07/2025

PATA PUNGUZO MSIMU HUU WA SIKUKUU

19/06/2025

🔍 Tatizo la nguvu za kiume ni changamoto kubwa ya kiafya duniani, ingawa mara nyingi haliripotiwi wala kutibiwa ipasavyo. Hili ni tatizo linaloathiri afya ya kimwili na kisaikolojia kwa kiwango kikubwa.

🌍 Ueneaji wa Tatizo la Nguvu za Kiume Duniani

Inakadiriwa kuwa hadi kufikia mwaka 2025, zaidi ya wanaume milioni 300 duniani watakuwa wanakabiliwa na tatizo la nguvu za kiume.

Uwezekano wa kupata tatizo hili huongezeka kadri mwanaume anavyozidi kuzeeka:

Wanaume walio chini ya miaka 40: 5%–10%

Wanaume wenye miaka 70 au zaidi: hadi 50%–70%

Hali hii mara nyingi haielezwi au haitibiwi kwa sababu ya aibu, tamaduni, au imani kwamba ni hali ya kawaida inayotokana na uzee.

SIMU: 0747 232 770

💡 Sababu Kubwa Zinazochangia Tatizo la Nguvu za Kiume

-Magonjwa sugu:

-Kisukari
-Shinikizo la damu
-Magonjwa ya moyo
-Unene uliopitiliza
-kujichua(Upigajo wa punyeto)
-Msongo wa mawazo

MATATIZO YA KISAIKOLOJIA

-Msongo wa mawazo
-Wasiwasi
-Huzuni au mfadhaiko

MTINDO WA MAISHA USIOFAA

-Uvutaji sigara
-Unywaji wa pombe kupita kiasi
-Kukosa mazoez
-Lishe isiyo bora

Matumizi ya dawa fulani huweza pia kuathiri nguvu za kiume, hasa dawa za presha na za mfadhaiko.

🏥 Athari kwa Ubora wa Maisha

Husababisha huzuni, kushuka kwa kujiamini, na matatizo katika mahusiano ya ndoa.

Huathiri sana maisha ya kimapenzi, na mara nyingine husababisha migogoro ya kifamilia.

Huchangia pia gharama kubwa za matibabu kwani mara nyingi ni kiashiria cha magonjwa mengine makubwa k**a ya moyo na kisukari.

📊 Athari za Kiuchumi

Gharama za moja kwa moja kwa ajili ya matibabu ya tatizo hili ni kubwa, hasa katika nchi zilizoendelea.

Gharama zisizo za moja kwa moja ni pamoja na kupungua kwa uzalishaji kazini, kutojiamini, na matatizo ya afya ya akili.

Soko la dawa zinazotibu tatizo hili lina thamani ya zaidi ya dola bilioni 3.7 (USD) mwaka 2023 na linatarajiwa kuongezeka.

📈 Mwelekeo wa Baadaye

Idadi ya wanaume wenye tatizo hili itaendelea kuongezeka kutokana na:

Kuongezeka kwa idadi ya wazee

Kuongezeka kwa unene uliopitiliza

Mtindo wa maisha usiofaa na ongezeko la kisukari

Uelewa na elimu kuhusu afya ya ngono unazidi kuongezeka, jambo linalosaidia wanaume wengi kutafuta msaada mapema.

🧠 Tatizo la Nguvu za Kiume K**a Kiashiria

Tatizo hili linaweza kuwa dalili ya mapema ya matatizo ya moyo, na mara nyingi hujitokeza miaka kadhaa kabla ya mtu kupata mshtuko wa moyo au kiharusi.

Ni muhimu kwa wahudumu wa afya kuwachunguza wanaume wenye tatizo hili kwa magonjwa mengine makubwa.

MWISHO

Lipo suluhisho la kutatua changamoto hii kwa Kutumia Virutubisho Lishe visivyo na madhara kabisa, Vyenye ubora wa hali ya juu na kutibu chano cha tatizo lakoi

29/04/2025

Unakaa siku ngapi, hupati choo

01/04/2025

UVIMBE WA SARATANI YA TEZI DUME
Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analo,
tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka
kwenye kibofu kwenda kwenye uume.
v Jinsi umri unavyoongezeka tezi dume nalo huongezeka ukubwa ambao unaweza kuwa wa kawaida au saratani.
v Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume.
• Maambukizi ya Bakteria (Prostatitis).
• Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign Prostatic Hypertrophy-BPH).
• Saratani ya tezi dume.

KAZI YA TEZI DUME
v Kutoa majimaji anayochanganyika na mbegu za kiume (sperms) kutengeneza manii (semen).

Pia ni chanzo kikuu cha vifo vinavyosababishwa na saratani kwa wanaume wenye umri wa miaka 70 na kuendelea.

VITU VINAVYOSABABISHA SARATANI YA TEZI DUME
vChanzo hasa cha saratani ya tezi dume hakijulikani, saratani hii ina uhusiano mkubwa na;
• Umri, Wanaume wenye umri kuanzia miaka 60 na kuendelea wanapata zaidi saratani ya tezi dume.
• Vyakula vyenye kiasi kikubwa cha mafuta, hasa ya wanyama.
• Historia ya tatizo hili kwenye familia (Genetic).
•Kuwa na uzito uliokithiri.

DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME
vKatika hatua za awali, dalili hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume lisilokuwa saratani (BPH). Dalili hizo ni pamoja na;
•Kusikia kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku
• Haja ndogo kuchelewa kutoka unapoanza kukojoa.
• Kutoa mkojo wenye mtiririko dhaifu na kuchuruzika kidogo kidogo baada ya kumaliza kukojoa.
• Kujikakamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote.
•Kutoa mkojo au manii yaliyochanganyika na damu
• Maumivu makali sehemu mbalimbali za mwili k**a saratani imesambaa.

MADHARA YA UVIMBE WA TEZIDUME
Yafuatayo ni madhara ya tezi iliyotanuka:
- Kibofu cha mkojo kuuma: hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini … … n.k.
- Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa
- Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)
- Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika)
- Ugumba (Infertility, Frigidity for men)
- Kutokea kwa majipu sehemu ya Tezi Dume

MATIBABU
Upasuaji wa TEZIDUME Sio Suluhisho la Kudumu tunatumia virutubisho lishe kutatatua changamoto ya Uvimbe wa TEZIDUME, havina madhara vinarekebisha m

27/03/2025

UVIMBE WA SARATANI YA TEZI DUME
Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analo,
tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka
kwenye kibofu kwenda kwenye uume.
v Jinsi umri unavyoongezeka tezi dume nalo huongezeka ukubwa ambao unaweza kuwa wa kawaida au saratani.
v Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume.
• Maambukizi ya Bakteria (Prostatitis).
• Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign Prostatic Hypertrophy-BPH).
• Saratani ya tezi dume.

KAZI YA TEZI DUME
v Kutoa majimaji anayochanganyika na mbegu za kiume (sperms) kutengeneza manii (semen).

Pia ni chanzo kikuu cha vifo vinavyosababishwa na saratani kwa wanaume wenye umri wa miaka 70 na kuendelea.

VITU VINAVYOSABABISHA SARATANI YA TEZI DUME
vChanzo hasa cha saratani ya tezi dume hakijulikani, saratani hii ina uhusiano mkubwa na;
• Umri, Wanaume wenye umri kuanzia miaka 60 na kuendelea wanapata zaidi saratani ya tezi dume.
• Vyakula vyenye kiasi kikubwa cha mafuta, hasa ya wanyama.
• Historia ya tatizo hili kwenye familia (Genetic).
•Kuwa na uzito uliokithiri.

DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME
vKatika hatua za awali, dalili hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume lisilokuwa saratani (BPH). Dalili hizo ni pamoja na;
•Kusikia kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku
• Haja ndogo kuchelewa kutoka unapoanza kukojoa.
• Kutoa mkojo wenye mtiririko dhaifu na kuchuruzika kidogo kidogo baada ya kumaliza kukojoa.
• Kujikakamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote.
•Kutoa mkojo au manii yaliyochanganyika na damu
• Maumivu makali sehemu mbalimbali za mwili k**a saratani imesambaa.

MADHARA YA UVIMBE WA TEZIDUME
Yafuatayo ni madhara ya tezi iliyotanuka:
- Kibofu cha mkojo kuuma: hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini … … n.k.
- Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa
- Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)
- Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika)
- Ugumba (Infertility, Frigidity for men)
- Kutokea kwa majipu sehemu ya Tezi Dume

MATIBABU
Upasuaji wa TEZIDUME Sio Suluhisho la Kudumu tunatumia virutubisho lishe kutatatua changamoto ya Uvimbe wa TEZIDUME, havina madhara vinarekebisha m

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Imarisha Afya ya Mwili Wako posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Imarisha Afya ya Mwili Wako:

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Contact The Practice
  • Claim ownership or report listing
  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share