Amananiclinic

Amananiclinic Tunajali Afya Yako 🌿
Huduma za tiba kwa magonjwa sugu yasiyoambukiza.
📍 Sinza Kumekucha | ☎️ 0741 933 313
✅ Mtaa wa mashujaa/Dar es salaam

📢 Amanani GCAT Clinic – MTWARA Inatangaza Nafasi ya Kazi!Tunamtafuta Doctor mwenye Certificate ya Clinical Medicine, mwe...
19/11/2025

📢 Amanani GCAT Clinic – MTWARA Inatangaza Nafasi ya Kazi!

Tunamtafuta Doctor mwenye Certificate ya Clinical Medicine, mwenye nidhamu, ushawishi, na muonekano nadhifu.
Kazi ni kutumia Quantum Magnetic Machine kupima wagonjwa bila sindano na kuwaandikia supplements kulingana na orodha utakayopewa.

Vigezo:
✅ Umri: 23–35
✅ Jinsia yoyote
✅ Kutoka Dar es Salaam au mikoa ya Kusini

Faida:
💰 Mshahara: 300,000 Tsh
🏠 Malazi tunatoa

Ofisi: Mtwara Mjini
Mwisho wa Kutuma Maombi: Ijumaa hii

📞 Tuma CV yako sasa: 0760 705 869

15/11/2025
MCHANGANYIKO WA UNGA WA NGUVU (Energy Powder Mix)Viambato:1. Ufuta uliochomwa – vijiko 22. Unga wa karanga – vijiko 23. ...
11/11/2025

MCHANGANYIKO WA UNGA WA NGUVU (Energy Powder Mix)

Viambato:

1. Ufuta uliochomwa – vijiko 2

2. Unga wa karanga – vijiko 2

3. Unga wa mbegu za maboga (pumpkin seeds) – kijiko 1

4. Unga wa tangawizi – kijiko 1/2

5. Unga wa mdalasini – kijiko 1/2

6. Asali ya nyuki – vijiko 2

Namna ya kutumia:

Changanya vizuri viambato vyote, weka kwenye chombo safi.
Kula kijiko 1 asubuhi na kijiko 1 jioni ukifuata mlo sahihi na maji mengi.

⚠️ Tahadhari:

Epuka pombe, sigara, na vyakula vya mafuta mengi.

Lala vizuri (angalau masaa 7–8 usiku).

Fanya mazoezi mepesi kila siku (k**a kutembea au push-ups).

20/10/2025
13/10/2025

Amanani GCAT CLINIC INAENDELEA KUA MSAADA KWA NCHI MZIMA UNASUBIRI NINI?

Fika leo sinza kumekucha umalize matatizo yako ya kiafya

Piga 0760 705 869

💪 MWANAUME, usikubali aibu ikunyime furaha!Chitosan imekuwa msaada mkubwa kwa wanaume wengi kurejesha nguvu, kuimarisha ...
04/10/2025

💪 MWANAUME, usikubali aibu ikunyime furaha!
Chitosan imekuwa msaada mkubwa kwa wanaume wengi kurejesha nguvu, kuimarisha misuli na kuongeza hamu ya tendo la ndoa. Hata wewe unaweza kupata matokeo mazuri.🔥

👉 Piga simu sasa: 0741933313 / 0760705869
📍 Sinza Kumekucha

"**

⚠️ Presha ni muuaji wa kimya!Dalili k**a kizunguzungu, maumivu ya kichwa na mapigo ya moyo kwenda mbio zinaweza kuonekan...
03/10/2025

⚠️ Presha ni muuaji wa kimya!
Dalili k**a kizunguzungu, maumivu ya kichwa na mapigo ya moyo kwenda mbio zinaweza kuonekana ndogo, lakini zikiachwa husababisha kiharusi au shambulio la moyo.

Usisubiri hali iwe mbaya 🙅‍♂️
👉 Virutubisho vyetu vya asili vipo tayari kukusaidia kushusha na kudhibiti presha salama.

💬 Nitafute sasa hivi kwa suluhisho la haraka kabla haijawa hatari.

❤️ Linda afya ya moyo wako kwa kutumia Coenzyme Q10 💊✔️ Hupunguza maumivu ya kifua✔️ Huongeza nguvu ya moyo (energy)✔️ H...
02/10/2025

❤️ Linda afya ya moyo wako kwa kutumia Coenzyme Q10 💊

✔️ Hupunguza maumivu ya kifua
✔️ Huongeza nguvu ya moyo (energy)
✔️ Hupunguza hatari ya shinikizo la damu (BP)
✔️ Husaidia wagonjwa wa moyo kufurahia maisha yenye afya

👉 Usisubiri mpaka matatizo ya moyo yazidi – chukua hatua sasa!

📍 Sinza Kumekucha, Mashujaa Street – Dar es Salaam
📞 0741 933 313 | 0760 705 869

Hakika maisha yamebadilika magonjwa hatari huja kwa ghafla sana unahitaji kuishi kwa tahazariKujua afya yako ni moja ya ...
26/09/2025

Hakika maisha yamebadilika magonjwa hatari huja kwa ghafla sana unahitaji kuishi kwa tahazari

Kujua afya yako ni moja ya jambo bora sana
Hujachelewa ofa hii fika leo ofisini kwetu kuweza kujua afya yako.

Tumia Fish oil kuimarisha afya yako leo.Tunapatikana sinza kumekucha palestina Piga: 0741 933 313
13/09/2025

Tumia Fish oil kuimarisha afya yako leo.
Tunapatikana sinza kumekucha palestina

Piga: 0741 933 313

Address

Sinza Kumekucha, Mashujaa Street
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Amananiclinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram