Amananiclinic

Amananiclinic AMANANI CLINIC OFFICIAL PAGE|
Health Advice | Natural supplements
Mtwara & Dar es salaam (office)

Call: 0760 705 869
Wtp: 0760 705 869

JEE UMECHOKA KUA NA  KITAMBI 🤕Tunajua hali hio inakunyima furaha na kukukosesha kujiaminiPia ni hatari kwani inaweza pel...
04/01/2026

JEE UMECHOKA KUA NA KITAMBI 🤕

Tunajua hali hio inakunyima furaha na kukukosesha kujiamini
Pia ni hatari kwani inaweza pelekea madhara makubwa k**a vile:

Presha ya damu.
Kisukari
Na magonjwa ya uzito

Msaada wa siku 21 upo hapa
Pata soft copy yako popote ulipo

Kwa shilingi elfu 10 tu

Unatumiwa pdf yako haraka

Tuma neno nahitaji sasa au gusa Alama ya WhatsApp kulipia

29/12/2025

Jeeh! Unajua kua kupitia memea asili mlo bora mazoezi ya kawaida mtindo wa maisha vinaweza kubadili presha na sukari kua maisha ya furaha bila maumivu

Pata soft copy ya kitabu
Uanze maisha bila maumivu sana

Usisubiri wengi wamepata matokeo mazuri naturalmed

IKINGIZA PESA UKIWA NYUMBANI 🎯Kituo chako pendwa cha Amanani GCAT Clinic Sasa kinakupa fursa mkazi wa mtwaraKujiunga na ...
26/12/2025

IKINGIZA PESA UKIWA NYUMBANI 🎯

Kituo chako pendwa cha Amanani GCAT Clinic
Sasa kinakupa fursa mkazi wa mtwara

Kujiunga na huduma zetu za kufukisha
Huduma kwa jamii

Huku ukiingiza kupato chako endelevu
Bila kuacha shughuli zako za kuli siku

Hii inaweza kua nafasi ya pekee wahi leo kituoni kwetu
Magomeni shuleni ujifunze namna ya kuanza kuingiza

Kipato chako mwenyewe.

Piga 07607058. Au tuma ujumbe "Tayari" WhatsApp leo.

JEEH? MBEGU ZAKO NI DHAIFU.Mbegu kua nyepesi au kutokua na rutuba kunaweza kusababisha Mwanaume kushindwa kutungisha mim...
26/12/2025

JEEH? MBEGU ZAKO NI DHAIFU.

Mbegu kua nyepesi au kutokua na rutuba kunaweza kusababisha
Mwanaume kushindwa kutungisha mimba na kupeleka lawama kwa mwanamke wako.

K**a unashida ya mbegu kua nyepesi sana na kushindwa kuruka

Tuma ujumbe WhatsApp tutakusaidia mara moja
Wanaume wengi wamepata suluhisho na kuleta furaha kwenye ndoa zao.

Tuma ujumbe sasa ivi. Kupitia kialama cha WhatsApp chini ya hii picha. Au namba 0760 705 869

MSAADA WA TIZE DUME💖Usiache tezi dume I iendelee kukunyima amani Karibu upate elimu na kujifunza namna ya kuishi Salama ...
26/12/2025

MSAADA WA TIZE DUME💖

Usiache tezi dume I iendelee kukunyima amani
Karibu upate elimu na kujifunza namna ya kuishi
Salama bila hatari ya tezi dume

Bonyeza link ya WhatsApp chini ya post hii kujifunza zaidi⏬️⏬️

SULUHISHO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI.💪Wanaume wengi wanahangaika sana bila kufahamu mchanganyiko huu wa asili wenye kasi ...
25/12/2025

SULUHISHO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI.💪

Wanaume wengi wanahangaika sana bila kufahamu mchanganyiko huu wa asili wenye kasi ya haraka ya kurejesha heshima ya ndoa

Unakupa:_
Stamina
Nguvu ya mwili
Inarekebisha mzunguko wa damu
Unachelewa kufika kileleni
Uume unasimama ukiwa imara sana
Unapata uwezo wa kurudia mpaka mara 3 bila kuchoka.

Mchanganyiko huu utaupata
MTWARA MJINI MAGOMENI SHULENI

0760 705 869

Njia salama za kusaidia moyo ilio saidia wengi❤️Wasiliana nasi upate maelezo na msaada wa haraka Usiache hali hio iwe in...
20/12/2025

Njia salama za kusaidia moyo ilio saidia wengi❤️

Wasiliana nasi upate maelezo na msaada wa haraka
Usiache hali hio iwe inakunyima furaha

Ipo njia asili na salama ya kulinda moyo

Fika AMANANI CLINIC
MTWARA & DSM

PIGA: 0760 705 869
Huduma bora muda wote.

16/12/2025

Hizi ni faida kuu za tangawizi kwa afya 🌿:

1. Huboresha mmeng’enyo wa chakula – hupunguza gesi tumboni, kujaa tumbo na kichefuchefu.

2. Hupunguza maumivu na uvimbe – husaidia maumivu ya viungo, mgongo na maumivu ya hedhi.

3. Hudhibiti sukari ya damu – husaidia kuboresha matumizi ya insulin (kwa matumizi ya kiasi).

4. Huimarisha kinga ya mwili – hupambana na bakteria na virusi.

5. Hupunguza mafua na kikohozi – hufungua kifua na kupunguza makohozi.

6. Husaidia afya ya moyo – hupunguza mafuta mabaya (LDL) na kuboresha mzunguko wa damu.

7. Huongeza nguvu za kiume – huboresha mzunguko wa damu na stamina.

8. Hupunguza kichefuchefu – hasa kwa wajawazito au wakati wa safari.

9. Husaidia kupunguza uzito – huongeza kasi ya kuchoma mafuta mwilini.

👉 Namna rahisi ya kutumia:
Chemsha kipande cha tangawizi + maji moto, kunywa k**a chai (mara 1–2 kwa siku).

⚠️ Tahadhari: Usitumie kwa wingi k**a una vidonda vya tumbo kali, presha isiyodhibitiwa au upo kwenye dawa nzito.

⌛️⌛️SUKARI IMEKOMATumia njia hii salama kutibu sukari bila dawa kali matokeo ni ya haraka Tuma ujumbe NATAKA sasa kupiti...
15/12/2025

⌛️⌛️SUKARI IMEKOMA

Tumia njia hii salama kutibu sukari bila dawa kali matokeo ni ya haraka

Tuma ujumbe NATAKA sasa kupitia
0760 705 869 ili kufahamu tiba haraka

🩺✨ “Maisha bila presha yanaanza na uamuzi wako leo!Tiba lishe salama, matokeo halisi — Zaidi ya watu 20 tayari wamerudi ...
11/12/2025

🩺✨ “Maisha bila presha yanaanza na uamuzi wako leo!
Tiba lishe salama, matokeo halisi — Zaidi ya watu 20 tayari wamerudi kwenye afya njema.
Njoo Amanani GCAT Clinic Mtwara, tupime, tukuongoze, tukusaidie kupona.”

Piga: 0760 705 869
Kwa maelezo zaidi na tiba yako.

WANAMTWARA!Afya bora inaanza na virutubisho vinavyofanya kazi kweli 🌿🔥Tumewaletea Premium Food Supplements kutoka China—...
08/12/2025

WANAMTWARA!
Afya bora inaanza na virutubisho vinavyofanya kazi kweli 🌿🔥
Tumewaletea Premium Food Supplements kutoka China—zinazosaidia presha, kisukari, figo, ini, nguvu za kiume, hedhi, bawasiri na zaidi.

Usiishi na maumivu wakati suluhisho lipo karibu.
Njoo GCAT Clinic – Magomeni Shuleni Mtwara
Afya yako ina thamani. Chukua hatua leo.

📞 Piga / Tuma ujumbe: 0760 705 869
Tunajali Afya Yako.

Eternal Toothpaste ni suluhisho la kitaalamu kwa meno nyeti, fizi zinazo umia na pumzi mbaya.Ina Calcium, Xylitol, Stron...
06/12/2025

Eternal Toothpaste ni suluhisho la kitaalamu kwa meno nyeti, fizi zinazo umia na pumzi mbaya.
Ina Calcium, Xylitol, Strontium & LuCai extract kwa afya kamili ya kinywa.
Kwa usafi wa kina, kinga na tabasamu la kujiamini — chagua Eternal. 🌿✨

Tupo Dar es salaam na mtwara mjini
0760 705 869.

Address

Sinza Kumekucha, Mashujaa Street
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Amananiclinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram