Dr Abdul Thabith Salehe

Dr Abdul Thabith Salehe .T.I SUGU 🔹KISUKARI🔹FANGASI SUGU
🔹BAWASIRI🔹VIDONDA VYA TUMBO
🔹NGUVU ZA KIUME🔹TEZI DUME🔹PRESSUR

*UHUSIANO ULIOPO KATI YA ACID REFLUX NA VIDONDA VYA TUMBO(PEPTIC ULCERS)*⚫ Kuna uhusiano wa karibu kati ya acid reflux  ...
09/04/2024

*UHUSIANO ULIOPO KATI YA ACID REFLUX NA VIDONDA VYA TUMBO(PEPTIC ULCERS)*

⚫ Kuna uhusiano wa karibu kati ya acid reflux na vidonda vya tumbo. Kwa kawaida, tumbo lina kinga ya asili dhidi ya tindikali yake, lakini wakati mchakato huu wa kinga unapoporomoka, tindikali inaweza kusababisha uharibifu kwenye ukuta wa tumbo na kusababisha vidonda.

⚫ Acid reflux inaweza kusababisha vidonda vya tumbo kwa njia zifuatazo:⤵️

1.🖇️ *Kuharibu kinga ya tumbo:*
Tindikali ya ziada inayorejea kutoka kwenye tumbo inaweza kuharibu kinga ya asili iliyopo kwenye ukuta wa tumbo. Hii inaweza kusababisha upungufu wa mchakato wa ulinzi wa ukuta wa tumbo dhidi ya tindikali.

2.🖇️ *Kuchochea uchochezi:*
Acid reflux inaweza kusababisha uchochezi wa ukuta wa tumbo, ambao unaweza kusababisha uvimbe na maumivu. Uvimbe huu unaweza kusababisha vidonda vya tumbo.

3.🖇️ *Kupunguza mtiririko wa damu:*
Acid reflux inaweza kusababisha kusinyaa kwa mishipa ya damu inayotumika kusambaza damu kwenye ukuta wa tumbo. Hii inaweza kupunguza mtiririko wa damu kwenye eneo hilo na kusababisha kuharibika kwa tishu za tumbo, ambayo inaweza kusababisha vidonda.

⚫ Inapaswa kuzingatiwa kuwa wakati acid reflux ni moja ya sababu za kawaida za vidonda vya tumbo, vidonda vya tumbo pia vinaweza kusababishwa na mambo mengine, k**a vile maambukizo ya bakteria aina ya *Helicobacter pylori,* matumizi ya baadhi ya dawa k**a vile *nonsteroidal anti-inflammatory drugs (NSAIDs)* k**a ASPIRIN nk,na sababu zinginezo.

*DALILI HATARISHI ZA ACID REFLUX (KUWA NA ACID NYINGI KUPITA KIASI TUMBONI)*

1.🖇️ *Maumivu ya kifua:* Hii ni dalili kuu ya acid reflux na inaweza kuwa kali sana. Maumivu ya kifua yanaweza kufanana na maumivu ya moyo, lakini yanaweza kutofautiana kulingana na mtu.

2.🖇️ *Kuchoma kwa tumbo:* Hii ni dalili nyingine ya acid reflux ambayo inaweza kuwa kali sana. Kuchoma kwa tumbo kunaweza kusababisha maumivu makali, hasa baada ya kula au kunywa kitu.

3.🖇️ *Kupiga chafya:* Kupiga chafya mara kwa mara ni dalili ya

TATIZO LA KUZIDI KWA KIWAGO CHA ACID TUMBONI (ACID REFLUX-GERD)Dr Abdul thabit +255744 12 5275 𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 Gastroesophageal r...
06/06/2023

TATIZO LA KUZIDI KWA KIWAGO CHA ACID TUMBONI (ACID REFLUX-GERD)

Dr Abdul thabit
+255744 12 5275
𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔

Gastroesophageal reflux disease (GERD).
-Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (Hydrochloric Acid) ambapo hupelekea kupanda kwa acid kutoka tumboni kuelekea katika koo la Chakula (Oesophagus) na kupelekea kudhurika kwa mfumo wa chakula upande wa juu ambao unahusisha koo la chakula na mdomo pia.

Watu wengi sana wanasumbuliwa na tatzo hili bila wao kujua wanasumbuliwa na tatzo hili na hufikia hatua wengine kudhani wamerogwa kutokana na dalili ya tatzo hili. Tutaangalia dalili ambazo mtu anaweza kugundua kuwa anasumbuliwa na tatzo hili.

DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️

1.🖇️ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.🖇️ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.🖇️ Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.🖇️ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.🖇️ Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.🖇️ Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.🖇️ Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.🖇️ Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.🖇️ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.🖇️ Kupata kikokozi kisichoisha
11.🖇️ Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12.🖇️ Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.🖇️ Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.🖇️ Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.🖇️ Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.🖇️ Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.🖇️ Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.🖇️ Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.🖇️ Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.🖇️ Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.🖇️ Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.🖇️Kichefuchefu na kutapika.

MAMBO YANAYOWEZA KUCHOCHEA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI
1.🖇️ Uvutaji wa sigara
2.🖇️ Unywaji wa pombe
3.🖇️ Utumiaji wa vyakula au vinywaji vywenye Caffeine k**a vile Kahawa,Chocolate, Soda nk
4.🖇️ Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula vilivyokaangwa
5.🖇️ Kula chakula kingi kupita kiasi ama kula usiku sana.
6.🖇 Kutumia baadhi ya Madawa k**a vile ASPIRIN
7.🖇️ Ngiri ya kifua pia husababisha GERD lakin pia GERD huweza kisababisha Ngiri ya Kifua(Huatal hernia)
8.🖇️ Kuwa Mjamzito
9.🖇️ Uzito kupita kiasi (Obesity)
10.🖇️ Matatzo ya mmeng'enyo wa chakula au kuchewa Kujisaidia pindi uhisipo haja kubwa.

MATIBABU YA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI-GERD
-Matibabu ya KUZIDI kwa Acid tumbon yamegawanyika katika aina mbili k**a ifuatavyo:⤵️⤵️

1️⃣ MATIBABU YA KISASA
-Matibabu haya yanahusisha utumiaji ya njia za hospital katika matibabu ikiwemo utumiaji wa PPIs(Proton pump inhibitors),Antacids,Histamine, H-2 Blockers k**a vile Cimetidine (tagament HB),famotidine (Pepcid AC),Nizatidine (Axid AR)
-esomeprazole (Nexium), lansoprazole (Prevacid), omeprazole (Prilosec), pantoprazole (Protonix), rabeprazole (Aciphex) and dexlansoprazole (Dexilant) .Magnesium nk.
Dawa hizi zimekuwa zikitumiwa sana na watu wenye changamoto za Acid nying tumboni na miongoni mwa changamoto ni kwamba dawa hizi zimekuwa zikionesha msaada mdogo sana kwa asilimia kubwa ya wagonjwa na hutoa naafuu ya muda tu.

2️⃣ MATIBABU KWA TIBA ASILI/TIBA MBADALA.
-Njia hii inahusisha matibabu kwa kutumia mimea tiba na imeonekana kuwa na ufanisi mkubwa kutokana na uwezo mkubwa wa mimea mingi katika kupambana na magonjwa mbalimbali kwasababu mimea kutibu kiini cha tatzo kwa kuzifanya kuwa mpya seli za mwili hivyo kuufanya mwili kuwa na uwezo mpya katika kufanyakazi zake.

Wasiliana nami kwa msaada zaidi wa kitaalamu katika kupambana na tatizo hili
+255744 12 5275

*FAHAMU TATIZO LA UVIMBE KATIKA MAYAI YA MWANAMKE (OVARIAN CYST)*+255744 12 5275 🛑OVARIAN CYST NI NINI??? ✍️Ni uvimbe un...
08/05/2023

*FAHAMU TATIZO LA UVIMBE KATIKA MAYAI YA MWANAMKE (OVARIAN CYST)*
+255744 12 5275

🛑OVARIAN CYST NI NINI???
✍️Ni uvimbe unaotokea katika mayai ya mwanamke(ovarian)
✍️Uvimbe huo hutokana na mkusanyiko wa maji maji yanayozungukwa na kutu nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke
✍️Mara nyingi tatizo hili hutokea kwa wanawake wa rika tofauti na mara nyingi huonekana kwa wanawake waliofika umri wa kushika ujauzito, pia uvimbe huo huweza kuwa wa ukubwa wa cm3_cm30 na unaweza kujaza tumbo lote na kufanya uonekane mjamzito

🛑SABABU ZA UVIMBE
👉kuwa na mzunguko wa hedhi usioeleweka (IRREGULAR MENSTRUATION CYCLE)
👉kuwa na mafuta mengi tumboni
👉kukosekana kwa uwiano wa vichocheo mwilini (hormone imbalance)
👉kuvunja ungo mapema (katika umri wa miaka 11_kushuka chini)
👉kutumia dawa za matibabu ya saratani ya matiti (tamoxifen)
👉ugumba

DALILI NA VIASHIRIA VYA TATIZO HILI
👉kupata maumivu makali ambayo huchoma katika nyonga, uke, tumbo, mapajani, mgongoni NK
👉kuhisi tumbo kuwa zito limejaa au kuvimba
👉kupata maumivu katika matiti
👉kutopata hedhi katika mpangilio
👉kuvimbiwa mara kwa mara
👉kuongezeka uzito haraka
👉kupata maumivu katika mbavu
👉nywele kukua haraka kila wakati
👉kupata maumivu makali wakati wa hedhi
👉kuhisi kichefuchefu
👉kupata maumivu ya nyonga kila unapofanya mapenzi, mazoezi, Kazi ngumu
👉kuhisi uchovu kila wakati
👉kutokwa na matone ya damu
👉kutoshika mimba
👉mabadiliko katika upatikanaji wa haja. *Wasiliana nasi
+255744 12 5275 𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔

FAHAMU KUHUSU MAUMIVU YA JOINTS NA MGONGO.(JOINTS) hii ni sehemu ya mwili inayounganisha mfupa mmoja na mwingine,eneo ka...
04/05/2023

FAHAMU KUHUSU MAUMIVU YA JOINTS NA MGONGO.

(JOINTS) hii ni sehemu ya mwili inayounganisha mfupa mmoja na mwingine,eneo kati ya mfupa na mfupa mfano goti,kiuno,nk.

Kumekuwa na changamoto nyingi sana inayohusu mfumo huu wa mifupa,joint pamoja na misuli ya mwili wako.na tatizo hili liko kwa watu wa jinsia zote.Kadiri ya umri unavyozidi kwenda ndivyo watu wengi huzidi kupata udhaifu katika viungo hivi,hususani kina mama lakini pia hata wana michezo,hufanyaji mazoezi mara kwa mara pia hupelekea kuisha na kuchakaaa ute ute au ulainishi katika joint kumalizika na hivyo kupelekea msuguano katika joints.

Matatizo ya mifupa.

Wako watu wengi sana hulalamika maumivu ya mgongo pasipo kujua chanzo hasa ni kipi,lakini kinachopata maumivu hapa ni mifupa pamoja na misuli na hii ni kwasababu ya ukosefu wa madini muhimu ambayo husapoti afya hii ya mifupa na misuli.

CHANGAMOTO ZITOKANAZO NA JOINTS/MIFUPA

*Mgongo kuuma sana
*Joints kuisha ute ute na maumivu makali
*miguu kufa ganzi
*Misuli ya sehemu husika kukaza na kuuma
*Kushindwa kutembea kwa kawaida mpaka sapoti
*Magoti kupiga kelele k**a unavunja muwa
*Magoti kuvimba.

Chanzo cha maumivu ya joints na mfupa

1.Uzito mkubwa
2.Ukosefu wa ute ute kwenye viungo
3.Upungufu wa madini muhimu mwilini k**a calcium
4.Kina mama waliofikia/kukaribia meno pouse(kukoma hedhi)
5.Ufanyaji mazoezi wa mara kwa mara bilakuzingatia lishe ya vilainishi kwenye viungo.

Tiba ya matatizo haya yanategemeana hasa kisababishi ni nini. Tiba huwenda ikawa ni lishe au kwa matibabu ya dawa.
Piga +255744 12 5275 𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔

NGUVU ZA KIUMETUELEWESHANE KWANZA MAANA HALISI YA NENO UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUMEUpungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya k...
27/04/2023

NGUVU ZA KIUME
TUELEWESHANE KWANZA MAANA HALISI YA NENO UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu.

CHANZO CHA TATIZO
✍️Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
✍️Kuvuta sigala na unywaji wa pombe
✍️Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
✍️Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
✍️Kisukari
✍️Kuwa na mawazo na wasiwasi
✍️Matumizi ya madawa mbalimbali ya kutuliza maumiv
✍️Umri hasa wazee
✍️Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili
✍️Kuwa na tatizo la kibofu
✍️Tabia za kujichua kwa mda mrefu
✍️Kutopata usingizi kamili
✍️Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
✍️Kuwahi kufika kileleni
✍️Kukosa hamu ya mapenzi
✍️Kushindwa kurudia tendo la ndoa
✍️Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha
✍️Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji
✍️Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
✍️Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)
✍️Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji

DOZI ZETU ZITAKUSAIDIA;
👉Kuondoa tatizo la Kuwahi kufika kileleni
👉Kuongeza uzalishaji wa mbegu za kiume
👉Kuondoa tatizo la Homon Imbalance
👉Kuzuia maumivu ya korodani na Korodani kupanda juu
👉Kuimarisha na Kuongeza nguvu katika mirija ya uume
👉Kuupa Msuli wa Pelvic nguvu
👉Kuepusha uume Kusinyaa katikati ya mchezo
👉Kuzalisha mbegu Zenye ubora na kuzuia Ugumba/Utasa
👉Kusafisha kibofu Cha Mojo
👉Kuzuia na kutibu maambukizi kwenye Uzazi, maumivu ya mgongo na tumbo kwa mwanaume
👉Kuzuia Korodani kuvimba au kusinyaa

NDIO MAANA TUMEWEKA BIDHAA ZINAZOGUSA KILA ENEO, KWANI LENGO LETU NI KUMALIZA CHIMBUKO AU MZIZI WA TATIZO.

+255744 12 5275

*DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI*☑️Kua na ukavu ukeni☑️Maumivu wakati wa tendo la ndoa.☑️Kutoa jasho usiku kusiko kawaida....
15/03/2023

*DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI*

☑️Kua na ukavu ukeni
☑️Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
☑️Kutoa jasho usiku kusiko kawaida.
☑️Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi.
☑️Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
☑️Siku za hedhi kubadilika``` badilika.
☑️Kukosa hedhi kwa muda mrefu.
☑️Kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.
☑️Uchovu wa mara kwa mara.
☑️Hasira za mara kwa mara
☑️Kukosa usingizi
☑️Homa za usiku na kizunguzungu cha mara kwa mara.
☑️Mzio wa vyakula(allergy) kuchagua chagua vyakula.
☑️Kuongezeka tumbo na nyama uzembe.
☑️Kuharibika kwa ngozi (chunusi na vipele).
☑️Maumivu ya viungo.
☑️Upungufu wa nywele kichwani.
☑️Kusahau sana.
☑️kuwa na hamu ya vyakula au vinywaji vya viwandani.
☑️Kupata hedhi wakati wa ujauzito.
☑️Msongo wa mawazo kupitiliza
☑️Kutopata choo kwa wakati.
☑️Kusinyaa au kupauka kwa ngozi.
☑️Maumivu ya kichwa mara kwa mara.

MADHARA YA MVURUGIKO WA HOMONI
☑️Kutokushika ujauzito kwa muda mrefu
☑️Mimba kuharibika mara kwa mara
☑️Kuk osa mtoto au Ugumba
☑️Maumivu wakati wa tendo la ndoa
☑️Kuwa na tabia na maumbile ya kiume
☑️UTI (Urinary Tract Infection) ya mara kwa mara
☑️Kuzeeka mapema
☑️Kuziba kwa mirija ya uzazi
☑️Hupelekea tatizo la Saratani
☑️Uvimbe kwenye uzazi wa mwanamke(Fibroids and Cysts)

Kwa maelezo zaidi na tiba.
+255744 12 5275

Mvurugiko wa Homoni inatokea, kwa Kupungua au kuongezeka kwa vichocheo katika Mwili wa Mwanamke+255744 12 5275 Mvurugiko...
10/03/2023

Mvurugiko wa Homoni inatokea, kwa Kupungua au kuongezeka kwa vichocheo katika Mwili wa Mwanamke
+255744 12 5275
Mvurugiko wa Homoni inatokea Kwa wanawake wengi Hivi sasa, na ni kwa sababu zifuatazo

01:Utoaji Mimba
02:Matumizi Njia za kisasa uzazi wa Mpango
03:Msongo wa Mawazo
04:Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Mazingira
05:Upungufu wa Lishe Mwilini
06:Umri kuenda Sana
07:Uwepo wa Sumu Mwilini
08:Unene

Zifuatazo Ni Dalili za Mvurugiko wa Hedhi

01:Ukavu Ukeni
02:Maumivu wakati wa tendo la ndoa
03:Kukosa UTE
04:Mvurugiko wa Siku za Hedhi
05:Kukosa Hamu ya tendo la ndoa

Sasa, Ni Hatari zaidi Tatizo hili unapochelewa kuthibiti una uwezo kupata Adhari zifuatazo

01:Mimba Kuharibika
02:Kuchelewa kushika Mimba
03:Ugumba
04:Uvimbe kwenye Kizazi

Inawezekana umetumia dawa nyingi Sana bila kupata suruhisho kupitia page hii. Nina package ya hormone imbalance ambayo itaenda kukusaidia kuepukana na tatizo hilo

*FAIDA ZA PACKAGE HII 📦 ?

>KUIMARISHA KINGA YA MWILI

>KUZUIA KUKUA NA KUENEA KWA SELI ZA KANSA >k**a vile kansa ya matiiti na shingo ya Kizazi

>KUIMARISHA HORMONES na kuondosha kabisa tatizo la HORMON IMBALANCE

>Waukesha UVIMBE KWENYE KIZAZI BILA UPASULIWAJI na Vimba sehemu mbali mbali za mwili

>HUWASAIDIA WENYE TATZO LA KUTOPATA UJAUZITO/mimba

HUONDOSHA TATIZO LA MIMBA KUHARIBIKA MARA KWA MARA

>HUWASAIDIA WANAWAKE WANAOPATA MAUMIVU WAKATI WA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA

>Huwasaidia wenye tatzo la kutokua na HAMU Ya kushiriki Tendo la Ndoa

>Nzuri Kwa Wenye P.I.D,fangasi,uti sugu na kwenye MFUMO WA UZAZI Kwa wanawake

>NZURI KWA WALIOFANYIWA VIPIMO/Tiba za mionzi

>HUONGEZA UTETE sehemu za Siri za Mwanamke na kumsaidia kutopata maumivu wakati wa Tendo la Ndoa •••Ni kinga ya KUZUIA kutokewa na vimbe sehemu mbalimbali za mwili na kuzuia SELI za kansa,HIVYO HUWEZA KUTUMIWA NA MTU YEYOTE.Note:NI BIDHAA YA ASILI ISIYO NA KEMIKALI YOYOTE na Haina madhara kwa watumiaji.& SHARE UJUMBE HUU KUWASAIDIA WENYE MATATIZO HAYO

Wasiliana nasi Kwa ushauri zaidi

Tupigie/Whatsapp /Sms :0744 12 5275
TUPO KWA AJILI YAKO

💊𝐌𝐕𝐔𝐑𝐔𝐆𝐈𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐎𝐌𝐎𝐍𝐈 ,(𝐇𝐎𝐑𝐌𝐎𝐍𝐄 𝐈𝐌𝐁𝐀𝐋𝐀𝐍𝐂𝐄 🩺💊).Call 📞 📲 0744 12 5275 🔘Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni kitendo cha kuong...
05/03/2023

💊𝐌𝐕𝐔𝐑𝐔𝐆𝐈𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐎𝐌𝐎𝐍𝐈 ,(𝐇𝐎𝐑𝐌𝐎𝐍𝐄 𝐈𝐌𝐁𝐀𝐋𝐀𝐍𝐂𝐄 🩺💊).
Call 📞 📲 0744 12 5275
🔘Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke pale anapo pata hedhi, hivyo kufanya mwili kubadilika. Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya 80%

𝐕𝐘𝐀𝐍𝐙𝐎 𝐕𝐘𝐀 𝐌𝐕𝐔𝐑𝐔𝐆𝐈𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐎𝐌𝐎𝐍𝐈
⏺️Uwepo wa sumu mwilini
⏺️Unbalanced Lifestyle (mfumo mbovu wa maisha).
⏺️Umri ukienda sana Kukoma kwa hedhi
⏺️Uzito mkubwa.
⏺️Mabadiliko ya mazingira
⏺️Msongo wa mawazo
⏺️Upungufu wa lishe mwilini.
⏺️Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango.
⏺️Utoaji wa mimba
⏺️Ongezeko la homoni ya Androgen (Kuota ndevu, sauti k**a mwanaume)

𝐃𝐀𝐋𝐈𝐋𝐈 𝐙𝐀 𝐌𝐕𝐔𝐑𝐔𝐆𝐈𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐎𝐌𝐎𝐍𝐈
▶️Uke kuwa mkavu
▶️Maumivu wakati wa tendo la ndoa
▶️Maumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi.
▶️Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa.
▶️Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja).
▶️Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.
▶️Uchovu wa mara kwa mara.
▶️Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara.
▶️Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula.
▶️Ongezeko la tumbo na nyama uzembe.
▶️Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele… n.k).
▶️Kupata hedhi wakati wa ujauzito
▶️Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi.
▶️Maumivu ya kichwa mara kwa mara.

𝐌𝐀𝐃𝐇𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐕𝐔𝐑𝐔𝐆𝐈𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐎𝐌𝐈𝐍𝐈
➡️Kupatwa na maambukizi ukeni mara kwa mara
➡️Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
➡️Mimba kuharibika mara kwa mara
➡️Kukosa mtoto au Ugumba.
➡️Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
➡️Kuwa na tabia na maumbile ya kiume
➡️UTI (Urinary Tract Infection) ya mara kwa mara.
➡️Kuziba kwa mirija ya uzazi.
➡️kupatwa na saratani ya kizazi
➡️Uvimbe kwenye kizazi mwanamke (Fibroids and ovariancysts).

𝐒𝐔𝐋𝐔𝐇𝐈𝐒𝐇𝐎/𝐌𝐀𝐓𝐈𝐁𝐀𝐁

➡️Wanawake wengi baada ya kujifahamu kuwa homoni zao haziko sawa huenda
mahospitalini ambako hupewa madawa (bioidentical or synthetic hormones) na
wengine hufanyiwa hormone replacement therapy.
➡️Tiba hii huandaliwa kwa ajili ya kuzifanya homoni zifanye kazi zake k**a kawaida.
Lakini hupelekea madhara k**a: Kuongeza uwezekano wa shinikizo la damu,Madhara katika mfumo wa uzazi,Saratani na mengineyo.
➡️Mvurugiko wa homoni unasababishwa na upungufu wa lishe, msongo wa mawazo, na uwepo wa sumu mwilini. Sumu zikizidi mwilini mwanamke huzeeka kabla ya wakati na kupatwa na changamoto mbalimbali za kiafya ikiwemo; vimbe zinazo jipachika kwenye uzazi wa mwanamke, vidonda vya tumbo, n.k.

🔘Namna nzuri yakutibu tatizo la homoni ni kutumia virutubisho lishe ,,𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐍𝐈𝐊𝐔𝐒A𝐃𝐈𝐄 𝐏𝐈𝐆𝐀 & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏 𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄.

DALILI ZA MTU MWENYE MSHIPA WA  NGIRI/HERNIA______________________________________________Dr.Abdul thabit WhatsApp:⤵️⤵️w...
05/03/2023

DALILI ZA MTU MWENYE MSHIPA WA NGIRI/HERNIA
______________________________________________
Dr.Abdul thabit
WhatsApp:⤵️⤵️
wa.me/255744 12 5275
_______________________________________________
Dalili za ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu.
Nazo ndizo hizi zifuatazo⤵
1📎Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.
2📎Kupiga mingurumo tumboni.
3📎Kujaa gesi tumboni.
4📎Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.
5📎Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.
6📎Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.
7📎Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.
8📎Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.
9📎Nuru ya macho hupotea taratibu.
10📎Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.
11📎Huvutwa makende au upande mmoja maumivu.
12📎Hupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.
13📎Maumivu makali ya mgongo au kiuno
14📎Uume kusimyaa na kunywea k**a wa mtoto

15 📎Maumivu kati ya paja na kinena na hupelekea mguu kuwaka moto /kupata ganzi

16📎 Kupata maumivu katikati ya kifua mithili ya chembe ya moyo (hiatal hernia)

17📎 Tumbo kujaa na kuonekana k**a una kitambi kumbe ni gas.

18📎 Ukila vitu vyevye sukari nying k**a soda nk tumbo huunguruma sana na kujaa gas

19📎 Kuvimba kwa korodan ama korodan kupanda juu(moja ama zote kwa pamoja)
______________________________________________
UHUSIANO ULIOPO KATI YA NGIRI (HERNIA) NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
______________________________________________
⚫ Hernia (Ngiri) ni miongoni mwa matatizo makubwa sana ambayo hupelekea upungufu wa nguvu za kiume kwa haraka sana.

⚫ Mwanaume anapopata Hernia (Ngiri),maeneo ambapo ngiri hutokea mara nyingi huwa na muunganiko na miriji ya damu pamoja na Neva ambazo hufanyakazi ya kutoka na kupeleka taarifa kwenye korodani na uume (p***s) pia kupeleka damu kwenye uume ili kuruhusu uume kusimama Imara.

⚫ Inaootokea Ngiri,usafirishaji wa damu kwenda kwenye uume pamoja na taarifa hushindwa kufanyika kwa weledi,matokea yake uume kusimama legelege,hali hii husababisha Mwanaume kuwahi kufika kileleni(pre-mature ej*******on) pamoja,kukosa hisia za mapenzi pamoja na kushindwa kurejea tendo la ndoa kwa wakati.

⚫ Lakini pia Ngiri huathiri mpaka mirija ya kusafirisha Manii (Vas defens) hivyo husababisha kiwango kidogo cha mbegu kuzalishwa (Low s***m count) na matokeo yake mwaume kushindwa kumpa mimba mwanamke

Kwa mawasiliano na ushauri⤵️⤵️:
_______________________
Dr.Abdul thabit
WhatsApp:⤵️⤵️
wa.me/255744 12 5275
______________________

JE UMECHOKA KUITWA MAJINA K**A MGUMBA,? USIHOFU TENA. PATA SULUHISHO KAMILI LEO.+255744 12 5275 ▶️Unapoolewa au kuoa har...
09/02/2023

JE UMECHOKA KUITWA MAJINA K**A MGUMBA,? USIHOFU TENA. PATA SULUHISHO KAMILI LEO.
+255744 12 5275
▶️Unapoolewa au kuoa haraka haraka lengo nikuwa na familia namaanisha watoto, Hali inakuwa tofauti pale wanandoa wanapotafuta mtoto kwa muda mrefu bila Mafanikio, je ungependa kufahamu Vyanzo vya mwanamke kukosa ujauzito?? Hivi nivyanzo mbali mbali 👇👇

𝗩𝗬𝗔𝗡𝗭𝗢 𝗩𝗬𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗠𝗞𝗘 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗨𝗝𝗔𝗨𝗭𝗜𝗧𝗢:

➡️Kushindwa kupevusha yai(40% ya wanawake)
➡️Maambukizi sugu k**a PID
➡️Mvurugiko wa homoni
➡️Uvimbe/majimaji/kuziba katika mirija ya kupitisha mayai
➡️Mayai kudhoofika kabla ya umri(POI)
➡️Magonjwa au vimbe mf fibroids, cancer, kisukari,
➡️Matatizo katika tezi za shingo(hyperthyroidism)
➡️Makovu katika mji wa uzazi labda kutokana na utoaji mimba katika njia zisizosalama
➡️Kulegea au kuziba kwa shingo ya uzazi
➡️Uzito kupita kiasi
➡️Unywaji pombe au uvutaji wa sigara
➡️Magonjwa sugu katika mfumo wa upumuaji ambayo huathiri ubora wa mayai, mzunguko wa damu.

Tumeona matatizo yanayokunyima wewe kuitwa mama, Sasa leo tumekuletea kiboko ya matatizo hayoo, tumia kuweza kumaliza matatizo hayo ambayo yanakusumbuaa

Click hapa moja kwamoja kupata, Ushauri na suluhisho 👇👇👇
+255744 12 5275

🍀FAHAMU KUHUSU HELICOBACTER PYLORI (H.PYLORI)🍀+255744 12 5275 Yawezekana umewahi kwenda hospitali ukisumbuliwa na dalili...
05/02/2023

🍀FAHAMU KUHUSU HELICOBACTER PYLORI (H.PYLORI)🍀
+255744 12 5275
Yawezekana umewahi kwenda hospitali ukisumbuliwa na dalili za vidonda vya tumbo na kufanyiwa vipimo kisha Daktari anakwambia una bacteria wanaoitwa H.pylori,

k**a bado basi usichukulie rahisi maana athari yake ni kubwa sana,

maana baadhi ya athari zinazitokana na bacteria hawa huweza kusababisha saratani ya tumbo k**a tatizo halitatibiwa vizuri haraka.

H pylori ni nani?

H. pylori ni kifupi na Helicobacter pylori ni aina ya bacteria ambao huingia kwenye mwili na kujificha ndani ya mfumo wa chakula.

Nikisema mfumo wa chakula hapa ieleweke kwamba ni kuanzia mdomoni unapobugia chakula chako mpaka kwenye puru ambapo unatoa kinyesi baada ya umeng’enyaji kufanyika,

hivo kumbe bacteria hawa wanapatikana hata mdomoni na wanaweza kuambukizwa kwa mdomo pia.

Sasa kutokana na bacteria hawa kuwa na uwezo wa kujishikiza kwenye kuta za tumbo bila kuathiriwa na tindikali inayomwagwa tumboni basi huweza kusababisha vidonda vya tumbo na saratani pia.

Nini husababisha H.Pylori kuingia kwenye mfumo wa chakula?

Ukirudi mwanzo nimesema bacteria hawa hupatikana kwenye mfumo wa chakula, kaunzia mdomoni hadi kwenye puru, sasa nini kinapelekea mpaka hawa bacteria kumuingia mtu.

☘️Chanzo cha kupata bacteria hawa ni kupitia mdomo.

☘️Bacteria hawa hupatikana kwa kiasi kikubwa kwenye maji, hivo k**a maji unayokunywa hayajatibiwa ama kuchemshwa basi hatari ya kupata bacteria hawa ni kubwa zaidi,

☘️chakula pia unachokula k**a kimepata maambukizi ya hawa bacteria basi ukila unameza na hawa bacteria,

☘️chanzo kingine ni kupitia ngono, najua kuna kundi kubwa la watu wanaopata maambukizi ya bacteria kupitia kufanya mapenzi kwa kunakohusisha midomo ikiwemo kunyonyana ndimi . Hivo hakikisha mpenzi wako yuko salama kabla hujamuamini manake utajiepusha si tu na H.Pylori bali pia na ugonjwa wa homa ya ini- Hepatatis B.

Kwa kutumia dawa zetu unaweza kumtokomoeza kabisa bacteria huyu na ukawa salama hivo unaweza kufika ofisini ukapata tiba hiyo ili kuondokana na tatizo hilo.

Ofisi zipo: DSM
AU TUWASILIANE
+255744 12 5275

VIDONDA VYA TUMBO VINATIBIKA.

Address

MLIMANI CITY
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Abdul Thabith Salehe posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram