The GCAT hospital D'salaam

  • Home
  • The GCAT hospital D'salaam

The GCAT hospital D'salaam Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from The GCAT hospital D'salaam, Obstetrician-gynaecologist, .

Introducing healthcare services where global quality healthcare meets the comfort of your health meet Our Counselling service to thrive mentally and emotionally book an appointment for HealthCareQualityServices
D'salaam Tanzania Hotline +255765320641

Moja ya swali ninaloulizwa sana ni vipimo gani nifanye k**a sibebi mimba?Dr KihwagaWenzi wakijaribu Kutafuta MTOTO kwa M...
16/10/2024

Moja ya swali ninaloulizwa sana ni vipimo gani nifanye k**a sibebi mimba?
Dr Kihwaga
Wenzi wakijaribu Kutafuta MTOTO kwa MWAKA mzima au zaidi pasipo mafanikio,k**a mwanamke ana shida tunasema ni 'UGUMBA' infertility kitaalamu.
Anatakiwa kuchunguza ijulikane chanzo cha kutokupata MIMBA na ATIBIWE accordingly.
yafuatayo yanatakiwa Kufanyika.
1️⃣Kuchukuliwa history(maelezo,hapa maswali huwa ni Mengi sana sanaaa kuhusu Mzunguko,sex,pombe,kutoa mimba,matumizi njia za uzazi wa mpango,kutoka uchafu etc),lakin pia Dr atamchunguza(examination) hapa kuna kuchunguza ndevu,chunusi(inaweza kuwa ishara ya kuwa na homon nyingi za kiume mwilin,au ugonjwa unaitwa PCOS (vivimbe kwenye mfuko wa mayai na mvurugiko wa homon) na mengineyo.
2️⃣Mwanamke anaetafuta MIMBA lazima ijulikane BMI yake,k**a SIO mwembamba sana au sio MNENE sana maana huwa vinaathiri uwezo wa Kubeba Mimba,k**a unene umezidi kupunguza uzito ni MUHIMU ili apate MIMBA,na k**a ni mwembamba sana atashauriwa aongezeke uzito
3️⃣.PICHA/ULTRASOUND ni MUHIMU pia,na ni kipimo cha awali sana kwa mwanamke ambae hapati Mimba,hiki tunaangalia k**a mwanamke ana uvimbe kwenye kizazi,mirija au kwenye mfuko wa mayai,endometriosis,PID.
4️⃣HORMONAL PROFILE,kipimo cha homon Pia Muhimu sana,Hormones Sio KIPIMO KIMOJA,Ni hormones mbali mbali ZINAPIMWA k**a kuna iliyo/zilizo chini au zipo juu kuliko kawaida mwanamke anatibiwa
Hormones tunazopima huwa ni HIZI
Follicle stimulating hormones,lutenaizing hormone,oestrogen,
Progestrones,Prolaction hormone,testosterones,Na thyroid hormones huwa zinapimwa kwa dalili zake.
5️⃣HSG yaan Hysterosalpingography kipimo cha kuchunguza Kizazi pamoja na MIRIJA k**a Imeziba au ipo vizuri.
6️⃣LAPARASCOPY hii ni Kipimo cha Kuchunguza mji mzima wa uzazi,mirija kujua k**a mirija haijaziba k**a kwenye kizazi kuna shida yeyote k**a mikunjo,uvimbe etc......kipimo hiki hufanyika theatre kabisa.
Vipimo HIVI sio kwamba kila Mwanamke anafanyiwa VYOTE.
Kila mwanamke anafanyiwa kipimo fulan kutokana na Dr alivyochukua maelezo yake na dalili alizonazo.
Na siku zote tunaanza na vipimo virahisi kwanza kuelekea vipimo vya Juu zaidi,mfano utapiga ultrasound kwanza kabla ya laparascopy.
mama unaetafuta MTOTO,umefanyiwa vipimo gani mpaka SASA?
Kwa zaida jamii huamini moja kwa moja shida ya kutopata watoto ni kwa wanawake tu lakini tafiti zinaonyesha zipo sababu zinazotoka kwa mwanaume pia tunashauri wote wafanyiwe vipimo ili kupata suluhisho la kudumu wasiliana nasi leo upate ofa ya punguzo la gharama za vipimo hivi vya uzazi kwa asilimia hamsini YES ni ni 50% tu kwa vipimo vyote hivyo tupigie kwa waliopo dar es salaam na mikoani pia 0765320641 / 0692470564

Moja ya swali ninaloulizwa sana ni vipimo gani nifanye k**a sibebi mimba?Dr KihwagaWenzi wakijaribu Kutafuta MTOTO kwa M...
15/10/2024

Moja ya swali ninaloulizwa sana ni vipimo gani nifanye k**a sibebi mimba?
Dr Kihwaga

Wenzi wakijaribu Kutafuta MTOTO kwa MWAKA mzima au zaidi pasipo mafanikio,k**a mwanamke ana shida tunasema ni 'UGUMBA' infertility kitaalamu.

Anatakiwa kuchunguza ijulikane chanzo cha kutokupata MIMBA na ATIBIWE accordingly.
yafuatayo yanatakiwa Kufanyika.

1️⃣Kuchukuliwa history(maelezo,hapa maswali huwa ni Mengi sana sanaaa kuhusu Mzunguko,sex,pombe,kutoa mimba,matumizi njia za uzazi wa mpango,kutoka uchafu etc),lakin pia Dr atamchunguza(examination) hapa kuna kuchunguza ndevu,chunusi(inaweza kuwa ishara ya kuwa na homon nyingi za kiume mwilin,au ugonjwa unaitwa PCOS (vivimbe kwenye mfuko wa mayai na mvurugiko wa homon) na mengineyo.

2️⃣Mwanamke anaetafuta MIMBA lazima ijulikane BMI yake,k**a SIO mwembamba sana au sio MNENE sana maana huwa vinaathiri uwezo wa Kubeba Mimba,k**a unene umezidi kupunguza uzito ni MUHIMU ili apate MIMBA,na k**a ni mwembamba sana atashauriwa aongezeke uzito

3️⃣.PICHA/ULTRASOUND ni MUHIMU pia,na ni kipimo cha awali sana kwa mwanamke ambae hapati Mimba,hiki tunaangalia k**a mwanamke ana uvimbe kwenye kizazi,mirija au kwenye mfuko wa mayai,endometriosis,PID.

4️⃣HORMONAL PROFILE,kipimo cha homon Pia Muhimu sana,Hormones Sio KIPIMO KIMOJA,Ni hormones mbali mbali ZINAPIMWA k**a kuna iliyo/zilizo chini au zipo juu kuliko kawaida mwanamke anatibiwa
Hormones tunazopima huwa ni HIZI
Follicle stimulating hormones,lutenaizing hormone,oestrogen,
Progestrones,Prolaction hormone,testosterones,Na thyroid hormones huwa zinapimwa kwa dalili zake.

5️⃣HSG yaan Hysterosalpingography kipimo cha kuchunguza Kizazi pamoja na MIRIJA k**a Imeziba au ipo vizuri.

6️⃣LAPARASCOPY hii ni Kipimo cha Kuchunguza mji mzima wa uzazi,mirija kujua k**a mirija haijaziba k**a kwenye kizazi kuna shida yeyote k**a mikunjo,uvimbe etc......kipimo hiki hufanyika theatre kabisa.
Vipimo HIVI sio kwamba kila Mwanamke anafanyiwa VYOTE.
Kila mwanamke anafanyiwa kipimo fulan kutokana na Dr alivyochukua maelezo yake na dalili alizonazo.
Na siku zote tunaanza na vipimo virahisi kwanza kuelekea vipimo vya Juu zaidi,mfano utapiga ultrasound kwanza kabla ya laparascopy.
mama unaetafuta MTOTO,umefanyiwa vipimo gani mpaka SASA?
Kwa zaida jamii huamini moja kwa moja shida ya kutopata watoto ni kwa wanawake tu lakini tafiti zinaonyesha zipo sababu zinazotoka kwa mwanaume pia tunashauri wote wafanyiwe vipimo ili kupata suluhisho la kudumu wasiliana nasi leo upate ofa ya punguzo la gharama za vipimo hivi vya uzazi kwa asilimia hamsini YES ni ni 50% tu kwa vipimo vyote hivyo tupigie kwa waliopo dar es salaam na mikoani pia 0765320641 / 0692470564

✅Moja ya sababu ya Bakteria kuwa Sugu kwenye Dawa za Kuua Vimelea (Antibiotics) ni matumizi makubwa kupita kiasi, kukati...
20/04/2024

✅Moja ya sababu ya Bakteria kuwa Sugu kwenye Dawa za Kuua Vimelea (Antibiotics) ni matumizi makubwa kupita kiasi, kukatisha Dozi au matumizi mengine yasiyo sahihi ya Dawa hizo✅

Tafiti mbalimbali zimebaini uuzwaji holela wa Dawa hizo kwenye Maduka ya Dawa za Binadamu, husababisha Watu kuzitumia bila kufanya vipimo vya Afya na hivyo kujitibu pasipo mwongozo
Tupunguze matumizi ya dawa za kikemikali

Pumzika Salama Gadna G Habash Much respect brodaHakika Kwake Tutarejea Dunia Mapito.
20/04/2024

Pumzika Salama Gadna G Habash
Much respect broda

Hakika Kwake Tutarejea Dunia Mapito.

✅HATARI ZAIDI YA KUPATA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA HOMA YA INI?✅• Watoto Wachanga waliozaliwa na Mama aliye na maambukizi ...
20/04/2024

✅HATARI ZAIDI YA KUPATA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA HOMA YA INI?✅

• Watoto Wachanga waliozaliwa na Mama aliye na maambukizi ya Virusi vya homa ya Ini
• Watu wanaofanya Biashara ya Ngono
• Wanaume wanaofanya Mapenzi na Wanaume eenzao
• Watu wanaojidunga Dawa za Kulevya
• Mtu mwenye mpenzi ambaye anaishi na Maambukizi ya Virusi vya Homa ya Ini
• Wafanyakazi wa Sekta ya Afya
• Watu wa Familia wenye ndugu anayeishi na Maambukizi ya kudumu ya Virusi vya Homa ya Ini
• Wagonjwa wa Figo wanaotumia huduma za kusafisha Damu (Dialysis)

✅Dalili za muda Mfupi (Acute Hepatitis)✅
Dalili hizi za mwanzo hutokea ndani ya miezi 6 baada kuambukizwa Virusi vya homa ya Ini, hutokea kwa Baadhi ya watu hazitokei kwa kila mtu.

✅Mgonjwa mwenye maambukizi ya Virusi vya Homa ya Ini hujiskia Kuumwa✅
• Hupoteza hamu ya kula
• Kichefuchefu na kutapika
• Mwili kuuma mkojo kuwa na rangi iliyokolea k**a Coca-Cola
• Kupata manjano kwenye macho, vinganja vya mikono/kucha au mwili mzima.

Kuna kundi dogo la Wagonjwa wa homa ya Ini hupata Ugonjwa mkali wa Ini na Kusababisha Ini kushindwa kabisa kufanya kazi pia huweza kusababisha Kifo, hii hatua huitwa "Fulminant Liver Failure".

Maambukizi ya kudumu ya Virusi vya Homa ya Ini (Chronic Hepatitis)
Watu wenye maambukizi ya kudumu ya Virusi vya Homa ya Ini mara nyingi huwa hawana Dalili

Kadri muda unavyoenda Virusi husababisha Ini kusinyaa (Cirrhosis) na kushindwa kufanya kazi Vyema.
Pia maambukizi ya Virusi vya Homa ya Ini Huchangia pia kupata Saratani ya Ini.
Kwa nini ni muhimu kupima Ili kujua k**a una Maambukizi ya Virusi vya Homa ya Ini? ....

Watu wengi huishi na Maambukizi ya Virusi vya Homa ya Ini bila Kufahamu, kwa kawaida Katika kipindi fulani cha Maisha mtu 1 kati ya watu 3 huambukizwa Virusi vya Homa ya Ini.
Tatizo la Ini lina tibika na pia Tatizo la Ini unazuilika k**a Bado hujapata.

Wachanga waliozaliwa na Mama aliye na maambukizi ya Virusi vya homa ya Ini
• Watu wanaofanya Biashara ya Ngono
• Wanaume wanaofanya Mapenzi na Wanaume eenzao
• Watu wanaojidunga Dawa za Kulevya
• Mtu mwenye mpenzi ambaye anaishi na Maambukizi ya Virusi vya Homa ya Ini
• Wafanyakazi wa Sekta ya Afya
• Watu wa Familia wenye ndugu anayeishi na Maambukizi

✅Presha Ya Kushuka /Low Blood Pressure✅Blood pressure ni nguvu ya mgandamizo juu ya kuta za mishipa ya damu inayotokana ...
12/04/2024

✅Presha Ya Kushuka /Low Blood Pressure✅
Blood pressure ni nguvu ya mgandamizo juu ya kuta za mishipa ya damu inayotokana na damu inayozunguka mwilini. Blood pressure huchangia kwenye moja ya ishara kuu za uhai ambazo ni mapigo ya moyo, upumuaji na joto la mwili. Blood pressure (mgandamizo wa damu juu ya mishipa ya damu) hutokana na moyo kusukuma damu ndani ya ateri, ikirekebishwa na upokeaji wa ateri wa msukumo huo wa damu. Mada yetu ya leo itazungumzia presha ya kushuka (low blood pressure).

Presha ya kushuka (low blood pressure) au kwa kitaalamu, hypotension, ni neno linalotumika kuelezea hali ambapo mgandamizo wa damu kwenye ateri ni chini ya kiwango cha kawaida (chini ya 90/60).

Kipimo cha pressure ya damu huwa na namba mbili. Namba ya kwanza na ambayo huwa ya juu huwa ni kipimo cha systolic pressure, yaani mgandamizo wa damu kwenye kuta za ateri wakati moyo unadunda na kuzijaza ateri na damu.  Kipimo cha pili ni cha diastolic pressure, yaani mgandamizo wa damu wakati moyo unapumzika kati ya misukumo miwili.

Kipimo kizuri cha pressure ni chini ya 120/80 (systolic/diastolic). Kipimo cha chini kikiwa kati ya 60 na 80mmHg na cha juu kati ya 90 na 120mmHg. Blood pressure juu ya 130/80 huhesabiwa kuwa ni juu. Blood pressure ya juu huongeza uwezekano wa:

✅Kupata magonjwa ya moyo
✅Kupata magonjwa ya figo
✅Kukak**aa kwa ateri (atherosclerosis au arteriosclerosis)
✅Kuharibika kwa macho
✅Kiharusi (stroke)
Low blood pressure (hypotension) ni pressure ya chini mno hadi kusababisha dalili za low blood pressure kutokana na upungufu wa mtiririko wa damu kwenye ateri na veni. Inapotokea kuwa mtiririko wa damu ni mdogo sana na kushindwa kusambaza kiasi cha kutosha cha oksijeni na virutubishi kwenye viungo muhimu k**a ubongo, moyo, na figo, viungo hivi havifanyi kazi yao ipasavyo na vinaweza kuharibika kwa muda au moja kwa moja.

Tofauti na high blood pressure, low blood pressure inatambulika kwa dalili zinazotokea na si kwa kipimo kinavyosoma. Watu wengine wanaweza kuwa na vipimo vya 90/50 kwa kipindi kirefu na wasiwe na dalili, kwa hiyo hawana tatizo la low blood pressure. Wakati huo huo, wengine wenye blood pressure ambayo huwa ya juu wanaweza kuonyesha dalili za lowbp

✅Inawezekana Ukawa Una Changamoto yoyote Ya Uzazi au Ya Kiafya Kwa Ujumla✅K**a  Ndio Napenda Nikukaribishe kuweka mihadi...
20/03/2024

✅Inawezekana Ukawa Una Changamoto yoyote Ya Uzazi au Ya Kiafya Kwa Ujumla✅
K**a Ndio Napenda Nikukaribishe kuweka mihadi(appointment) ya kukutana nami kwa ajili ya ushauri vipimo na matibabu.
Dawa Zetu ni asilia 100%

KARIBUNI SANA TUKUHUDUMIIE.

Nipigie Kwa Namba
📞 0765320641

Address


Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255765320641

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when The GCAT hospital D'salaam posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Opening Hours
  • Alerts
  • Claim ownership or report listing
  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share