Dr. Jawadu Firdaus

Dr. Jawadu Firdaus Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dr. Jawadu Firdaus, Medical and health, Dar es Salaam.

TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU
�PID
�U.T.I Sugu
�Fungus sugu
�Chango
�Kukosa mtoto
�Kukosa hamu Ya Tendo
�Matatizo ya Hedhi
�Mirija ya uzazi kuziba/kujaa maji
�Uvimbe kwenye kizazii
�Bawasirii (Bila Operation)N.k

VERA SYRUP:Ni mchanganyiko wa dawa nyingi za asili wenye kutibu maradhi yafuatayo:-1. Kuboresha chembechembe nyeupe za d...
31/12/2022

VERA SYRUP:
Ni mchanganyiko wa dawa nyingi za asili wenye kutibu maradhi yafuatayo:-
1. Kuboresha chembechembe nyeupe za damu (white blood cells)
2. Kusafisha damu, kutoa sumu mwilini
3. Kuyeyusha mafuta machafu yaliyoganga yasiyokuwa na kazi mwilini
4. Hutibu fangasi ya ndani ya damu na nje
5. Hutibu aleji ya aina yoyote na matatizo ya Figo na Ini
6. Hutibu taifodi sugu na isiyoyo sugu, hutibu malaria na amueba
7. Kichocho na kibofu cha mkojo, gonorea,kaswende,kisonono
8. Kusafisha mkojo mchafu (U.T.I) na kuzibua njia ya mkojo
9. Kuondoa maumivu ya haja ndogo
10. Kutibu jamii zote za ngiri,kupunguza vitambi
11. Maumivu ya mgongo,kiuno na miguu
12. Miguu kuwaka moto na miguu kufa ganzi
13. Korodani kuvimba (HERNIA) Maumivu ya kinena na chini ya kitovu
14. Hutibu maumivu ya kichwa na kipanda uso
kichwa kuuma upande mmoja na kizungu zungu
15. Vichomi, minyoo na maumivu ya muda mrefu
16. Kuondoa uvimbe tumboni na majipu
17. Heshima ya nyumba (nguvu za kiume)
18. Kusafisha taka zote tumboni na kulainisha tumbo tambazi
19. Kuondoa gesi (gas) tumboni
20. Kutibu chango la akina mama, hedhi bila mpangilio na kusafisha mirija ya uzazi.

AL FIRDAUS HERBAL AND SPIRITUAL HEALING CENTER S.L.P 9004 DAR ES SALAAM TZ 🇹🇿 Tel: +255 755 411 190 📞

Asalam aleykum Waramatullah Wabarakatu .SAFISHA FIGO KWA GHALAMA NDOGO SANA Miaka inapita figo zetu zinachuja damu kwa k...
17/12/2022

Asalam aleykum Waramatullah Wabarakatu .

SAFISHA FIGO KWA GHALAMA NDOGO SANA

Miaka inapita figo zetu zinachuja damu kwa kuondoa chumvi na bakteria wasiohitajika waliomo kwenye miili yetu.
Baada ya muda chumvi hukusanyika kwenye figo hali inayopelekea kuhitaji tiba ya kusafishwa.
Je tunafanyaje suala hili!?
Ifuatayo ni njia nyepesi na rahisi ya kusafisha figo.
Chukua fungu la majani ya mnanaa na uoshe. Katakata vipande vidogo vidogo na weka kwenye sufuria.
Mwagia maji safi na kisha chemsha kwa dakika kumi kisha acha yapoe.
Chuja kimiminika chako chenye majani ya mnanaa na hifadhi kwenye chupa safi kwenye friji ili iendelee kua baridi.
Kunywa glasi moja ya maji kila siku na utaona mabadiliko chumvi yote na uchafu mwingine uliokua umejikusanya utatolewa nje ya figo wakati wa kukojoa.
Utaweza kugundua mabadiliko ya mwili wako mwenyewe.
Majani ya mnanaa yanajulikana kwa kiasi kikubwa k**a tiba ya kusafisha figo na sehemu kubwa ya mmea huu ni asili.
Tafadhali sambaza ujumbe huu na weka figo zako safi.

Usiishie kusoma tu
👉 Share ili na wengine wapate faida 👈👍
Siku ya figo Duniani..
Linda figo zako
Prof. Dr. N.Satya Prasad..
Imefasiriwa kwa kiswahili na
Dr. Jawadu F Mugisha
wa.me/255755411190

UGONJWA WA NGIRIJinsi ugonjwa wa ngiri unavyoathiri nguvu za kiume Ngiri hujulikana pia k**a “Hernia” kwa Kiingereza. Ug...
15/12/2022

UGONJWA WA NGIRI
Jinsi ugonjwa wa ngiri unavyoathiri nguvu za kiume

Ngiri hujulikana pia k**a “Hernia” kwa Kiingereza. Ugonjwa wa mshipa wa ngiri ni matokeo anayopata mtu kutokana na misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikilia au kubeba viungo fulani mwilini kupoteza uimara wake. Au kuta hizo kuwa na uwazi na kupelekea viungo hivyo kutoshikiliwa vizuri katika sehemu vinapostahili kuwepo.

Tunaweza kuufahamu zaidi ugonjwa wa ngiri k**a hali inayotokea katika mwili ambapo sehemu fulani ya nyama ya viungo mbalimbali vya mwili hujipenyeza kupitia sehemu iliyo dhaifu ya mwili na kutokeza upande wa pili. Sehemu inayoathiriwa mara nyingi ni maeneo ya tumbo, kokwa, pumbu na kadhalika ambapo baadhi ya viungo vya mwili vilivyomo tumboni hujipenyeza kupitia vitundu vinavopitisha mishipa ya fahamu inayohudumia kokwa (Spesmatic Cord), hivyo baada ya kujipenyeza huteremka hadi ndani ya korodani hali ambayo hukamilisha kuwepo kwa ugonjwa wa mshipa wa ngiri.

Sehemu ambazo Ngiri inaweza kutokea ni pamoja na maeneo ya:
Tumboni
Eneo la kinena
Eneo la paja kwa juu
Eneo ambalo mtu amewahi kufanyiwa upasuaji siku za nyuma
Kifuani n.k.
Ugonjwa huu wa ngiri unawapata watu wa jinsia zote na wa umri wowote.

Aina za Ngiri:

Ugonjwa wa mshipa wa ngiri unaweza kujitokeza maeneo mbalimbali ya mwili na aina ya ngiri hutegemea na sehemu ngiri ilipojitokeza.

1. Ngiri maji – Hii ni aina ya ngiri ijulikanayo pia kwa kitaalamu k**a (hydrocele)
2. Ngiri kavu (Hernia) – hujulikana pia k**a ‘fermoral hernia’ kwa wanawake na huitwa ‘scrotal hernia’ kwa wanaume
3. Ngiri ya kwenye kifua – hujulikana pia kitaalamu k**a ‘hiatus hernia’
4. Ngiri ya tumbo – hujulikana pia k**a ‘abdominal hernia’
5. Ngiri ya kwenye kitovu – hujulikana pia k**a ‘umbilical hernia”
6. Ngiri ya sehemu ya haja kubwa – hujulikana pia k**a ‘anal hernia’

Dalili za aina zote za ngiri hazitofautiani sana na ngiri hujitokeza bila maumivu yoyote ingawa kuna baadhi ya ngili hua na maumivu makali hutegemea ngiri ilivotokeza.

Ngiri ya kwenye kinena

Ingiri ya kwenye kinena ambayo kitaalamu huitwa 'inguinal hernia' hutokea wakati tishu laini hujitokeza kupitia eneo la udhaifu au kasoro katika misuli yako ya chini ya tumbo. Mara nyingi huwa karibu na eneo la kinena. Mtu yeyote anaweza kupata henia hii, lakini ni kawaida zaidi kwa wanaume kuliko wanawake.

Upasuaji sio lazima kila wakati, lakini henia kwa ujumla henia inasumbua sana bila hiyo. Katika baadhi ya matukio, henia isiyotibiwa inaweza kuwa hatari ya kutishia maisha. Ingawa kuna madhara na hatari zinazohusiana na upasuaji, watu wengi wana matokeo mazuri.

Nini husababisha ngiri ya kinenani?

Sababu ya ngiri ya kinenani haijulikani, lakini inaweza kuwa ni matokeo ya maeneo dhaifu katika ukuta wa tumbo. Ulegevu unaweza kuwa kutokana na kasoro zilizopo wakati wa kuzaliwa au mwili kuingiliwa na sumu baadaye katika maisha.
Baadhi ya sababu za hatari zinazoweza kusababisha kutokeza henia ya kinenani ni pamoja na:

Maji au shinikizo katika tumbo
Kuinua nzito, k**a vile 'weightlifting'
Kufunga choo (kusukuma choo kwa nguvu nyingi wakati wa kujisaidia haja kubwa)
Kikohozi cha muda mrefu
Mimba

Watu wazima na watoto wanaweza kupata henia ya kinenani. Wanaume wana uwezekano mkubwa zaidi wa kupata henia ya kinenani. Watu wenye historia ya ngiri wanakuwa katika hatari kubwa zaidi ya kuwa na ngiri nyingine pia. Ngiri ya pili hutokea kwa upande mwingine.

Je! ni zipi dalili za henia ya kinena?

Dalili za ngiri ya kwenye kinena zinajumuisha maumivu au, shinikizo, hasa wakati wa kuinua kitu, au kukohoa. Dalili hizi kawaida hupungua wakati wa kupumzika. Wanaume pia wanaweza kuwa na uvimbe katika eneo la ngiri.

Je, unahitaji upasuaji?

Kwa kawaida upasuaji haupendekezwi k**a henia haijasababisha tatizo. Hata hivyo, ni muhimu kutambua kwamba wangonjwa wengi hutibiwa kwa dawa zetu za asili, wachache sana hupona kwa upasuaji. Daktari wako anaweza kupendekeza tiba gani utumie kulingana na tatizo lako litakavokuwa

Hernia inaweza kuwa hatari sana ikiwa matumbo yako yamepotoka au kupigwa. Ikiwa hii itatokea, unaweza kuwa na:
Homa
Kiwango cha moyo kilichoongezeka
Maumivu
Kichefuchefu
Kutapika
Uvimbe kuwa giza

Ikiwa una dalili hizi yoyote, wasiliana na daktari wako mara moja.

Je, ngiri huathiri nguvu za

Hata hivyo, henia ambayo imeshakuwa kubwa inaweza kuathiri nguvu za kiume - - huathiri utendaji wa mishipa ya neva iliyo kwenye uume/korodani na hali ya homoni. Ukosefu wa homoni ya testosterone inaweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume. Upasuaji wa ngiri unaweza kusababisha shida katika korodani kufanya uwezekano wa homoni ya testosterone kuwa chini. Hata hivyo, kwa sababu watu wengi wana korodani mbili, hata k**a moja inaweza kuwa na shida, nyingine inaweza kuzalisha viwango vya kutosha vya homoni. Ngiri pia huweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume kutokana na kuharibu mishipa ya neva iliyo kwenye uume.

Endelea kitufatilia kwenye mitandao ya kijamii

Kwa matibabu zaidi wasiliana na Dr. Jawadu Firdaus dose ni 60,000/= inaweza kutumika zaid kulingana na ukubwa wa tatizo
Facebook tunatumia jina la Dr. Jawadu Firdaus

Instagram tunatumia
dr.jawadufirdaus

Calls & whatsap 0755411190

18/11/2022

UNATAKIWA KUFANYA YAFUATAYO ILI KULINDA AFYA YAKO

1. Hakikisha umeacha punyeto kabisa
Ili upone tatizo hili hutakiwi kuwa mtu wa kubadilika mawazo hovyo. K**a umeamua kuacha basi acha kabisa na futa kichwani kwako. Jisemee moyoni kwamba mimi fulani nimeacha tabia hii na sitarudi nyuma. K**a wewe ni mtu wa imani shika kitabu kitakatifu kabisa kulingana na imani yako.

2. Mazoezi
K**a wewe ni mtu unayeishi bila mazoezi kabisa hutaweza kurudisha nguvu hizo, hivyo unahitaji kufanya mazoezi yeyote angalau nusu saa kwa siku. Inaweza kuwa kuruka kamba, push ups, kukimbia, kuogelea na kadhalika. Mazoezi haya ndio yanayofanya mzunguko wa damu uwe mzuri na wewe usimamishe uume vizuri. Onyo: mazoezi yasiwe makali sana kwani yatakumaliza nguvu za kiume.

3. Kula chakula bora cha asili
Vyakula vya viwandani vina kemikali nyingi sana na ndio vyakula vinaliwa sana kwenye kizazi chetu hichi cha sasa hivi ndio maana shida hizi zamani hazikuwepo ila siku hizi hata kijana mdogo analalamika kuishiwa nguvu za kiume. Kula ugali, maharage, viazi, maziwa mgando, karanga, korosho, mihogo na vyakula vyote vya asili unavyofahamu ila punguza ulaji wa nyama kwani hauna matokeo mazuri kwenye tiba hii.

4. Kunywa maji mengi sana
Kusimama vizuri kwa uume kunategemea sana mzunguko mzuri wa damu mwilini hivyo k**a mwili una maji mengi ni rahisi damu kwenda vizuri kwenye uume. Nikukumbushe kwamba ni wingi wa damu unaopelekwa sehemu za siri zako na kufanya uume wako usimame vizuri.. pia mwili unatoa kipaumbele vya damu nyingi kwa viungo vinavyotupa uhai kwanza kwa maana nyingine damu yako haiwezi kuacha kwenda kwenye ubongo, figo na moyo kwanza afu iende kwenye uume

Haya wanajanvi wa Tiba Asili k**a una mbinu nyingine, maoni au ushauri tafadhali tuambie kuwasaidia wahanga wa hili tatizo.

By; Dr. Jawadu F Mugisha ✍🏾
+255755411190📞
wa.me/254711297430

03/11/2022

AFYA KWANZA HERBAL CLINIC
WANAPATIKANA KARIAKOO MTAA WA MAFIA NA NYAMWEZI STAND YA MAGARI YA MABIBO KARIBU NA CATE HOTEL AU WAPIGIE KWA NAMBA ZIFUATAZO;
0755411190 📞
0679711190 📞

UJIPATIE BIDHAA BORA KABISA KWA BEI YA TSH. 100,000/-

MATATIZO YA URIC ACID MWILINI NA TIBA YAKEMwili wa binadamu kwa asili yake umeumbwa kwa namna ambayo viungo vyote vinawe...
29/10/2022

MATATIZO YA URIC ACID MWILINI NA TIBA YAKE

Mwili wa binadamu kwa asili yake umeumbwa kwa namna ambayo viungo vyote vinaweza kufanya kazi kwa ufasaha kutegemeana na taarifa ambazo zinasafirishwa kutoka katika ubongo na kupelekwa katika kiungo husika.

Ili mwili uweze kufanya kazi vizuri na kusitokee na tatizo lolote, haina budi kila kemikali ya asilia iliyopo mwilini iwe katika kiwango ambacho ni stahiki.

Miongoni mwa kemikali asilia ambayo inapatikana katika mwili wa binadamu ni hii ijulikanayo kwa jina la kitaalamu la “Uric Acid”.

Uric Acid ni kemikali ya asilia ambayo inapatikana katika mwili wa binadamu. Kemikali hii hupatikana baada ya kuvunjwa vunjwa kwa vyakula ambavyo ndani yake kuna kundi la kemikali aina ya “Purine” ambayo baada ya kuvunjwa ndipo huzalisha kitu kinachojulikana k**a “Uric Acid”.

Katika mwili wa binadamu, kiwango ambacho ni cha kawaida mtu kuwa nacho ni 2.4-6.0 mg/dL (kwa mwanamke) na 3.4-7.0 mg/dL (kwa mwanamme). Kiwango cha uric acid mwilini hupimwa kwa kutumia njia ya damu.

Kiwango hiki endapo kitazidi mwilini kitasababisha matatizo mwilini na hasa katika maeneo ya mwili ambayo ni maungio ya mifupa/jointi.

Katika maungio ya mifupa au jointi, mtu atapatwa na maumivu makali, kuvimba na kubadilika kwa umbile la maungio ya mifupa na kuwa k**a kumepinda. Hali hii kitaalamu au ugonjwa hujulikana k**a “Gout”.

Pia kuzidi kwa kiwango cha uric acid mwilini kinaweza kuwa ni dalili ya magojwa k**a vile magonjwa ya ini, figo pamoja na saratani. Mwilini kemikali hii ya asilia hutolewa kupitia njia ya mkojo k**a urea, tofauti na wanyama wengine au ndege ambao wao kemikali hii hutolewa kupitia kinyesi na wakati mwingine imekuwa na muonekano k**a chokaa na kuchanganyika na kinyesi mfano cha kuku.

Upatikanaji wa uric acid mwilini ni kupitia ulaji wa vyakula k**a vile maharagwe yaliyokaushwa, maini, figo pamoja na baadhi ya vyakula vya baharini au seafood (sardines pamoja na tuna). Pamoja na vyakula, pia uric acid mwilini hupatikana baada ya matokeo ya seli hai za mwili kuvunjika (seli kufa na kutengeneza purine ambazo nazo huvunjika na kutengeneza Uric Acid).

Kwa kuwa kiwango kikubwa cha uric acid kinasababisha matatizo ya kiafya, ni vyema kufahamu ni namna gani ambavyo mtu anaweza kuenenda ili kuhakikisha kuwa kiwango cha uric acid katika mwili kinakuwa siyo cha kuweza kusababisha matatizo ya kiafya.

Miongoni mwa njia za kutumia katika kurekebisha kiwango cha uric acid mwilii ni kuepuka vyakula ambavyo vina kiasi kikubwa cha “Purine” ambayo ndiyo hupelekea kupatikana kwa uric acid. Vyakula hivyo vya kuepuka ni pamoja na maini, figo pamoja na baadhi ya vyakula vya baharini k**a vilivyotajwa hapo juu. Pia ni vyema kutumia vyakula ambavyo vina kiasi kikubwa cha virutubisho pamoja na vitamin ambavyo kiafya vinasaidia katika kuondoa sumu mwilini.

Virutubisho na vitamini ambazo husaidia katika kurekebisha kiwango cha uric acid mwilini ni pamoja na vitamin B6, Vitamin C, madini ya magnesium. Haya hupatikana katika matunda k**a vile ndizi mbivu, machungwa, matikiti maji, maembe pamoja na mananasi. Pia juisi la limao katika mwili husaidia katika kutengeneza chumvi aina ya calcium carbonate ambayo husaidia kuyeyusha au (Neutralize) tindikali asilia mwilini (Uric acid).

Aidha, sambamba na ulaji wa vyakula hivyo kwa mtu ambaye tayari analo tatizo la kuwa na kiwango kikubwa cha uric acid mwilini (Baada ya vipimo vya kitaalamu), inashauriwa kutumia dawa ambazo hupunguza kuzalishwa kwa uric acid mwilini lakini pia kusaidia katika kuondoa maudhi na maumivu makali ambayo mtu huyapata katika jointi. Moja na dawa ambazo zimekuwa zikitumika katika tatizo hili ni dawa aina ya MUFASIL.

Ili miili yetu iweze kuendelea kufanya kazi vizuri, inashauriwa kufanya chunguzi za kitaalamu ili kuweza kubaini mapungufu yaliyopo mapema na hatimaye kuepukana nayo kwa kufuata ushauri wa wataalamu wa afya.

Dose yake ni 120,000/-

Kwa mahitaji wasiliana na
Dr. Jawadu F Mugisha ✍🏿
📲 +255 679 711 190
📞 call & sms 0755411190

SWIPE LEFT KUONA MATOKEO 🌝Huduma salama kabisa ya kutoa visunzua (skin tags) bado inaendelea, na matokeo huwa ni mazuri ...
29/10/2022

SWIPE LEFT KUONA MATOKEO 🌝

Huduma salama kabisa ya kutoa visunzua (skin tags) bado inaendelea, na matokeo huwa ni mazuri kabisa.

Njia hii itakusaidia kutoa (skin tags) visunzua moja kwa moja bila kurudi tena.

Haziachi makovu wala madoa na unafanya mara tatu mpaka tano tu na matokeo ya haraka.

Rika zote wanaweza kutoa skin tags kuanzia 80,000/- karibu sana!!!

DM/Call +255626450141/0755411190 📞

AFYA KWANZA HERBAL CLINIC Tupo kariakoo mtaa wa mafia na nyamwezi stand ya mabiboDose ni 150,000/- badala ya 200,000/- C...
27/10/2022

AFYA KWANZA HERBAL CLINIC Tupo kariakoo mtaa wa mafia na nyamwezi stand ya mabibo

Dose ni 150,000/- badala ya 200,000/-

Cell No. 0679711190/0755411190

Delivery 🚚 🚚🚚 ni bule ndani ya dar na nje ya mikoa

FAIDA 48 ZA JUISI YA TANGAWIZI AMBAZO ULIKUWA HUZIJUWI 1. Huondoa sumu mwilini haraka sana2. Huua bakteria wa aina nying...
27/10/2022

FAIDA 48 ZA JUISI YA TANGAWIZI AMBAZO ULIKUWA HUZIJUWI
1. Huondoa sumu mwilini haraka sana
2. Huua bakteria wa aina nyingi mwilini hata salmonella ndani ya mwili hata juu ya ngozi
3. Kuna viua vijasumu (antibiotics) vya asili viwili kwenye tangawizi
4. Huondoa uvimbe mwilini
5. Huondoa msongamano mapafuni
6. Tangawizi inayo ‘zingibain’ ambayo huua vimelea mbalimbali vya magonjwa na mayai yake
7. Huondoa maumivu ya koo
8. Huua virusi wa homa
9. Huondoa maumivu mbalimbali mwilini
10. Huondoa homa hata homa ya baridi (chills)
11. Hutibu saratani ya tezi dume. Tangawizi huua kimeng’enya ambacho ni chakula cha seli za kansa ya tezi dume kiitwacho ‘5-LO enzymes’ na seli hizo za kansa hufa ndani ya masaa mawili au manne bila hicho kimeng’enya.
12. Tangawizi ina kiinilishe mhimu sana ambacho huzuia kuongezeka kwa seli za kansa ya kongosho kiitwacho kwa kitaalamu k**a ‘gingerol”
13. Hutibu kansa zinazoweza kusababishwa na kupata choo kigumu muda mrefu (constipation-r
elated cancer)
14. Ni dawa nzuri kwa kansa ya kwenye damu (leukemia)
15. Ni dawa nzuri dhidi ya kansa ya mapafu (lung cancer)
16. Huzuia kujizalisha kwa bakteria aitwaye ‘Helicobacter pylori’, bakteria huyu ndiye husababisha vidonda vya tumbo mwilini, pia hutibu kiungulia, na kanza mbalimbali za tumbo
17. Ni msaada sana katika kuzuia na kutibu kansa ya t**i
18. Hutibu kanza za kwenye kizazi na kanza za kwenye mirija ya uzazi
19. Huongeza msukumo wa damu
20. Husaidia kuzuia shambulio la moyo
21. Huzuia damu kuganda
22. Hushusha kolesto
23. Husafisha damu
24. Husaidia watu wenye kukak**aa kwa mishipa
25. Hutibu shinikizo la juu la damu
26. Husafisha utumbo mpana
27. Hupunguza mishtuko kwenye utumbo mpana na tumbo kuunguruma
28. Huondoa GESI TUMBONI KIRAHISI ZAIDI
29. Husaidia mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
30. Dawa nzuri ya kuondoa uchovu
31. Husaidia kuzuia kutapika. Husaidia hata wale wanaosafiri baharini wasipatwe na kichefuchefu
32. Husaidia kuondoa maumivu kutokana na mkao mmoja wa mrefu ama kusimama au kukaa
33. Husaidia uzalishwaji wa juisi vimeng’enya kwa ajili ya kumeng’enya chakula
34. Husaidia kuzuia kuharisha
35. Husaidia mfumo wa upumuaji na kutuliza dalili za pumu
36. Hutibu tatizo la miguu kuwaka moto
37. Hutibu homa ya kichwa
38. Hutibu maumivu ya tumbo wakati wa hedhi
39. Hutibu homa za asubuhi hata kwa mama mjamzito
40. Husaidia kupunguza homa ya baridi yabisi (helps reduce inflammation of arthritis)
41. Huimarisha afya ya figo
42. Husaidia kupunguza uchovu unaotokana na matibabu yaliyopita ya mionzi
43. Ina madini ya potassium ya kutosha
44. Ina madini ya manganese ambayo ni mhimu katika kuuongeza mfumo wa kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mbalimbali, hulinda kuta za moyo, hulinda mishipa ya damu na mishipa ambako mikojo hupita
45. Ina kitu kinaitwa ‘silicon’ ambacho chenyewe kazi yake hasa ni kuongeza afya ya ngozi, nywele, meno na kucha
46. Husaidia umeng’enywaji wa madini ya calcium
47. Pia ina vitamini A, C, E, B-complex, chuma, zinki , magnesium, phosphorus, sodium, calcium, na beta-carotene
48. Hulinda kuta za moyo, hulinda mishipa ya damu na mishipa ambako mikojo hupita

BLEND K**A UNAVYO TENGENEZA JUICE YA KAWAIDA KISHA KUNYWA GLASS MOJA KWA SIKU.

AU UNAWEZA KUJENGA MAZOEA YA KUTAFUNA VIPANDE KADHAA KILA SIKU ASUBUHI KABLA HUJALA KITU

By: Dr. Jawadu Mugisha ✍🏿
+255 755 411 190 📞

Share na wengine wapate faida 🙏

AFYA KWANZA HERBAL CLINIC TUNAJALI AFYA YAKO

Tunapatikana Daresalaam kariakoo mtaa wa mafia na nyamwezi stand mpya ya mabibo wasiliana nasi kwa NAMBA zifuatazo 07554...
23/10/2022

Tunapatikana Daresalaam kariakoo mtaa wa mafia na nyamwezi stand mpya ya mabibo wasiliana nasi kwa NAMBA zifuatazo 0755411190 call & sms

Pia huduma ya Delivery 🚚🚚🚚 ipo kwa Gharama ndogo kutegemea na eneo ulilopo ndani ya Daresalaam na nje ya mikoa tunatuma kwa uwaminifu mkubwa 0679711190 📞

Dose utaipata kwa Gharama ya Tsh. 100,000/-

MATATIZO YA URIC ACID MWILINI NA TIBA YAKEMwili wa binadamu kwa asili yake umeumbwa kwa namna ambayo viungo vyote vinawe...
22/10/2022

MATATIZO YA URIC ACID MWILINI NA TIBA YAKE

Mwili wa binadamu kwa asili yake umeumbwa kwa namna ambayo viungo vyote vinaweza kufanya kazi kwa ufasaha kutegemeana na taarifa ambazo zinasafirishwa kutoka katika ubongo na kupelekwa katika kiungo husika.

Ili mwili uweze kufanya kazi vizuri na kusitokee na tatizo lolote, haina budi kila kemikali ya asilia iliyopo mwilini iwe katika kiwango ambacho ni stahiki.

Miongoni mwa kemikali asilia ambayo inapatikana katika mwili wa binadamu ni hii ijulikanayo kwa jina la kitaalamu la “Uric Acid”.

Uric Acid ni kemikali ya asilia ambayo inapatikana katika mwili wa binadamu. Kemikali hii hupatikana baada ya kuvunjwa vunjwa kwa vyakula ambavyo ndani yake kuna kundi la kemikali aina ya “Purine” ambayo baada ya kuvunjwa ndipo huzalisha kitu kinachojulikana k**a “Uric Acid”.

Katika mwili wa binadamu, kiwango ambacho ni cha kawaida mtu kuwa nacho ni 2.4-6.0 mg/dL (kwa mwanamke) na 3.4-7.0 mg/dL (kwa mwanamme). Kiwango cha uric acid mwilini hupimwa kwa kutumia njia ya damu.

Kiwango hiki endapo kitazidi mwilini kitasababisha matatizo mwilini na hasa katika maeneo ya mwili ambayo ni maungio ya mifupa/jointi.

Katika maungio ya mifupa au jointi, mtu atapatwa na maumivu makali, kuvimba na kubadilika kwa umbile la maungio ya mifupa na kuwa k**a kumepinda. Hali hii kitaalamu au ugonjwa hujulikana k**a “Gout”.

Pia kuzidi kwa kiwango cha uric acid mwilini kinaweza kuwa ni dalili ya magojwa k**a vile magonjwa ya ini, figo pamoja na saratani. Mwilini kemikali hii ya asilia hutolewa kupitia njia ya mkojo k**a urea, tofauti na wanyama wengine au ndege ambao wao kemikali hii hutolewa kupitia kinyesi na wakati mwingine imekuwa na muonekano k**a chokaa na kuchanganyika na kinyesi mfano cha kuku.

Upatikanaji wa uric acid mwilini ni kupitia ulaji wa vyakula k**a vile maharagwe yaliyokaushwa, maini, figo pamoja na baadhi ya vyakula vya baharini au seafood (sardines pamoja na tuna). Pamoja na vyakula, pia uric acid mwilini hupatikana baada ya matokeo ya seli hai za mwili kuvunjika (seli kufa na kutengeneza purine ambazo nazo huvunjika na kutengeneza Uric Acid).

Kwa kuwa kiwango kikubwa cha uric acid kinasababisha matatizo ya kiafya, ni vyema kufahamu ni namna gani ambavyo mtu anaweza kuenenda ili kuhakikisha kuwa kiwango cha uric acid katika mwili kinakuwa siyo cha kuweza kusababisha matatizo ya kiafya.

Miongoni mwa njia za kutumia katika kurekebisha kiwango cha uric acid mwilii ni kuepuka vyakula ambavyo vina kiasi kikubwa cha “Purine” ambayo ndiyo hupelekea kupatikana kwa uric acid. Vyakula hivyo vya kuepuka ni pamoja na maini, figo pamoja na baadhi ya vyakula vya baharini k**a vilivyotajwa hapo juu. Pia ni vyema kutumia vyakula ambavyo vina kiasi kikubwa cha virutubisho pamoja na vitamin ambavyo kiafya vinasaidia katika kuondoa sumu mwilini.

Virutubisho na vitamini ambazo husaidia katika kurekebisha kiwango cha uric acid mwilini ni pamoja na vitamin B6, Vitamin C, madini ya magnesium. Haya hupatikana katika matunda k**a vile ndizi mbivu, machungwa, matikiti maji, maembe pamoja na mananasi. Pia juisi la limao katika mwili husaidia katika kutengeneza chumvi aina ya calcium carbonate ambayo husaidia kuyeyusha au (Neutralize) tindikali asilia mwilini (Uric acid).

Aidha, sambamba na ulaji wa vyakula hivyo kwa mtu ambaye tayari analo tatizo la kuwa na kiwango kikubwa cha uric acid mwilini (Baada ya vipimo vya kitaalamu), inashauriwa kutumia dawa ambazo hupunguza kuzalishwa kwa uric acid mwilini lakini pia kusaidia katika kuondoa maudhi na maumivu makali ambayo mtu huyapata katika jointi. Moja na dawa ambazo zimekuwa zikitumika katika tatizo hili ni dawa aina ya MUFASIL.

Ili miili yetu iweze kuendelea kufanya kazi vizuri, inashauriwa kufanya chunguzi za kitaalamu ili kuweza kubaini mapungufu yaliyopo mapema na hatimaye kuepukana nayo kwa kufuata ushauri wa wataalamu wa afya

Kwa mahitaji wasiliana na
Dr. Jawadu F Mugisha ✍🏿
📲 +255 679 711 190
📞+255 679 711 190
⁨+255 755 411 190⁩

Gout Ni Nini?Gout ni namna moja ya Arthritis, ugonjwa ambao hushambulia joints (sehemu za maungio ya mifupa). Huu ndiyo ...
21/10/2022

Gout Ni Nini?
Gout ni namna moja ya Arthritis, ugonjwa ambao hushambulia joints (sehemu za maungio ya mifupa).

Huu ndiyo ugonjwa wa joints ambao huwashambulia sana na kuwapa maumivu makali wanaume. Wanawake pia huweza kuathirika na ugonjwa huu hasa baada ya kukoma hedhi.

Ugonjwa huu huleta maumivu makali ya ghafla, hasa kwenye sehemu linapoanzia dole gumba la mguu. Dalili za ugonjwa huanza kuonekana pale uric acid, tindikali ambayo huzalishwa na mwili katika ufanyaji kazi wake (ambayo haina manufaa kwa mwili) inapobakia katika viungo vya mwili na katika majimaji ya mwili.

Uric acid iliyoganda (tophi) huweza kujikusanya na kubaki chini ya ngozi inayozunguka joints, huweza pia kujikusanya ndani ya figo na kusababisha kidney stones (namna ya kokoto ndogo ndani ya figo).

Gout inaweza kusababisha madhara ya kudumu kwenye maungio ya mifupa na figo. Endapo hatua za kuutibu ugonjwa huu hazitachukuliwa kwa muda mrefu (miaka 10 au zaidi), madhara ya kudumu humtokea mgonjwa.

Chanzo Cha Gout Ni Nini?
Gout hutokea kimsingi pale tindikali aina ya uric (uric acid) inapozidi kiwango katika mwili wa binadamu hali ambayo kitaalamu huitwa hyperuricemia. Tindikali hii ni matokeo ya kuvunjwavunjwa na mwili kwa aina fulani za chakula k**a nyama, nyama ya kuku na chakula cha baharini.

Tindikali hii kwa kawaida huchanganyika na damu na mwisho hutolewa nje ya mwili pamoja na mkojo kupitia figo. Tindikali hii ikitengenezwa kwa wingi mno au isipotolewa nje ya mwili kwa kiwango kinachostahili, ile inayobakia huganda na kukaa kwenye maeneo ya joints na kusababisha maumivu kwenye joints hizo na maeneo yaliyo karibu.

Kuna mazingira ambayo hupelekea hali hii ya uzidifu wa tindikali ya uric katika mwili na mwishowe gout kutokea nayo ni:

Jinsia: Wanaume huzalisha tindikali ya uric kwa kiwango kikubwa zaidi kuliko wanawake, viwango vya uzalishaji kwa wanawake vikikaribia vile vya wanaume pale tu wanapokoma hedhi.
Urithi: Kuzaliwa kwenye familia yenye historia ya gout kunakufanya uwe kwenye hatari kubwa zaidi ya kuupata ugonjwa huu.

Mtindo wa maisha: Unywaji wa pombe huzuia utolewaji wa uric acid nje ya mwili na ulaji wa chakula chenye purine kwa wingi husababisha kiwango cha tindikali ya uric kuwa kikubwa mwilini.

Madini ya lead: Kuwa karibu na madini haya kwa muda mrefu kumeonyesha kuhusika na aina fulani za gout.

Madawa: Baadhi ya madawa yameonekana kuongeza kiwango cha uric acid mwilini.
Unene: Unene umedhihirika kuongeza hatari ya kupatwa na gout.

Matatizo ya kiafya: K**a figo hazifanyi kazi vizuri kiwango cha uric acid mwilini kitapanda. Matatizo mengine ya kiafya yanayochangia ni high blood pressure (hypertension), kisukari na hypothyroidism.


Dalili Za Gout
Gout ina tabia ya kuleta maumivu makali ya ghafla, uvimbe na wekundu mara nyingi kwenye joint moja, na hasa maungio ya kwenye dole gumba.

Maumivu ya gout hutokea ghafla, mara nyingi yatakuamsha usiku katikati ya usingizi ukihisi dole gumba linawaka moto. Eneo hilo huwa la moto, lililovimba na hata uzito wa shuka kuuona kuwa mkubwa sana usiovumilika.

Ugonjwa huanza kwa kuleta maumivu makali kwenye maungio ya mifupa na mara nyingine kuambatana na uvimbe. Pamoja na kuwa gout mara nyingi hushambulia maungio makubwa ya dole gumba la mguu, huweza pia kushambulia maungio ya mikono, ankles, viwiko vya mikono na vidole.

Mtindo wa maisha unaweza kusaidia katika kupunguza makali ya ugonjwa huu au kuzuia usikupate. Yafaa kufanya yafuatayo:

▫️Kunywa maji mengi, lita 2-4 kwa siku

◽️Kutokunywa pombe

◽️Kuweka uzito wa mwili kwenye kiwango kinachofaa

◽️Kupata mlo uliokamilika (balanced diet)

◽️Kutotumia vyakula vyenye purines kwa wingi (vinavyozalisha uric acid kwa wingi). Vyakula vya kukwepa ni k**a figo za ng’ombe, maharage na njegele zilizokaushwa, nyama pori, uyoga na maini.

Kwa maelezo zaidi kuhusu TIBA ya ugonjwa huu wa gouts wasiliana na Dr. Jawadu Mugisha kutoka AFYA KWANZA HERBAL CLINIC kwa namba zifuatazo

Dose yake ni TSh 160,000/- ambayo hutumika ndani ya mwezi mmoja na nusu

+255 755 411 190
+255 626 450 141

AFYA KWANZA HERBAL CLINIC TUNAJALI AFYA YAKO.

TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU ▪️PID sugu▪️U.T.I Sugu▪️Fungus sugu ▪️Chango▪️Kukosa mtoto▪️Kukosa hamu Ya Tendo▪️Matatizo y...
21/10/2022

TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU
▪️PID sugu
▪️U.T.I Sugu
▪️Fungus sugu
▪️Chango
▪️Kukosa mtoto
▪️Kukosa hamu Ya Tendo
▪️Matatizo ya Hedhi
▪️Mirija ya uzazi kuziba/kujaa maji
▪️Uvimbe kwenye kizazii
▪️Bawasir (Bila Operation)
▪️Presha, Kisukari,Pumu, Goiter
▪️Matatizo ya Nguvu za Kiume & Tezi Dume
▪️Matatizo ya viugo kufa Ganzi/kuwaka Moto
▪️Matatizo ya Ngozi (Chunusi,michirizii,makovu)N.K
▪️Kupunguza mwilii Uzito na kitambii
▪️Vidonda vya tumbo
▪️Matatizo ya Moyo, Figo, Ini na Bandama
▪️Maumivu ya tumbo, kukosa choo, kujaa tumbo (gas) na mingurumo ya tumbo (Ngiri)
▪️Matatizo ya kusahau sahau mara kwa mara

Wasiliana na Doctor Jawadu Firdaus kupitia simu namba 0679711190/

+255755411190 WhatsApp

TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU ▪️PID sugu▪️U.T.I Sugu▪️Fungus sugu ▪️Chango▪️Kukosa mtoto▪️Kukosa hamu Ya Tendo▪️Matatizo y...
21/10/2022

TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU
▪️PID sugu
▪️U.T.I Sugu
▪️Fungus sugu
▪️Chango
▪️Kukosa mtoto
▪️Kukosa hamu Ya Tendo
▪️Matatizo ya Hedhi
▪️Mirija ya uzazi kuziba/kujaa maji
▪️Uvimbe kwenye kizazii
▪️Bawasir (Bila Operation)
▪️Presha, Kisukari,Pumu, Goiter
▪️Matatizo ya Nguvu za Kiume & Tezi Dume
▪️Matatizo ya viugo kufa Ganzi/kuwaka Moto
▪️Matatizo ya Ngozi (Chunusi,michirizii,makovu)N.K
▪️Kupunguza mwilii Uzito na kitambii
▪️Vidonda vya tumbo
▪️Matatizo ya Moyo, Figo, Ini na Bandama
▪️Maumivu ya tumbo, kukosa choo, kujaa tumbo (gas) na mingurumo ya tumbo (Ngiri)
▪️Matatizo ya kusahau sahau mara kwa Mara n.k

Tunapatikana Daresalaam kariakoo mtaa wa mafia na nyamwezi stand ya mabibo

WASILIANA NASI KWA NAMBA ZIFUATAZO
0679711190 au 0755411190

TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU ▪️PID sugu▪️U.T.I Sugu▪️Fungus sugu ▪️Chango▪️Kukosa mtoto▪️Kukosa hamu Ya Tendo▪️Matatizo y...
21/10/2022

TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU
▪️PID sugu
▪️U.T.I Sugu
▪️Fungus sugu
▪️Chango
▪️Kukosa mtoto
▪️Kukosa hamu Ya Tendo
▪️Matatizo ya Hedhi
▪️Mirija ya uzazi kuziba/kujaa maji
▪️Uvimbe kwenye kizazii
▪️Bawasir (Bila Operation)
▪️Presha, Kisukari,Pumu, Goiter
▪️Matatizo ya Nguvu za Kiume & Tezi Dume
▪️Matatizo ya viugo kufa Ganzi/kuwaka Moto
▪️Matatizo ya Ngozi (Chunusi,michirizii,makovu)N.K
▪️Kupunguza mwilii Uzito na kitambii
▪️Vidonda vya tumbo
▪️Matatizo ya Moyo, Figo, Ini na Bandama
▪️Maumivu ya tumbo, kukosa choo, kujaa tumbo (gas) na mingurumo ya tumbo (Ngiri)
▪️Matatizo ya kusahau mara kwa mara n.k

Tunapatika kariakoo mtaa wa mafia na nyamwezi stand ya mabibo

Wasiliana nasi kupitia namba zifuatazo:-
0679711190 call only
+255755411190 WhatsApp

HONEYMOON Imekuwa msaada mkubwa kwa wanaume wengi wenye shida ya kumaliza haraka tendo la ndoa na kushindwa kurudia,Inas...
25/07/2022

HONEYMOON Imekuwa msaada mkubwa kwa wanaume wengi wenye shida ya kumaliza haraka tendo la ndoa na kushindwa kurudia,

Inasaidia afya ya uzazi kwa wanaume;
1. Kuweka mishipa na misuli ya uume imara iliyoathirika na punyeto (marsterbation) vyakula vya kisasa (Artificial foods) msongo wa mawazo (stress) na magonjwa k**a tezi dume, presha na kisukari, n.k

2. Kuboresha msukumo wa damu kwenye mfumo wa moyo, figo, na mishipa ya umme.

3. kuweka sawa kiwango cha mbegu (s***m count)

4. Kurudia tendo mara nyingi utakavyo

5. Kumudu tendo kwa muda mrefu bila kuchoka.

6. Kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume

N.B tiba hii niyakudumu sio chungu wala kali.

Mawasiliano zaidi tuwasiliane kupitia +255755411190 By; Dr Jawadu F Mugisha ✍🏿

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr. Jawadu Firdaus posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr. Jawadu Firdaus:

Share