Welu Pharmacy

Welu Pharmacy Hedhi yako inalindwa kwa kuthamini Mzunguko wako kwa kutumia pedi rafiki kila mwezi

DR BOAZ KITCHEN ALMOND SEEDS FLOUR 1. Unga Umetengenezwa na Almond seeds kwa asilimia 100.2. ⁠Unga wa Almond Ni chanzo K...
28/09/2025

DR BOAZ KITCHEN ALMOND SEEDS FLOUR
1. Unga Umetengenezwa na Almond seeds kwa asilimia 100.
2. ⁠Unga wa Almond Ni chanzo Kizuri cha Protini, Madini na Vitamins za Kujenga na Kuimarisha mwili.
3. ⁠Unga wa almond Una kiwango kidogo sana cha Wanga Hivyo Mgonjwa wa Kisukari, anayepunguza uzito au asiyependa Kuongezeka mwili anaweza Kupika mapishi mbalimbali na asiweze kuathiri malengo yake
4. Ni chaguo sahihi kwa mwenye matatizo ya Kumeng’enya Gluten inayopatikana kwenye mapishi Yote ya ngano. Ndiyo maana unga wetu “Ni Gluten Free”.

Matumizi Ya Unga wa Almond Kiafya
1. Kutengeneza Uji
2. ⁠Kutengeneza Maziwa
3. ⁠Kuweka kwenye Mboga
4. ⁠Kuweka Kwenye Mchuzi
5. ⁠Kuoka Mikate
6. ⁠Kuoka chapati, Keki na mapishi mbalimbali mengine kulingana na ubunifu wako

Kinapatikana goba njia nne madale road

Tupigie simu 0679622827

𝑲𝒊𝒏𝒚𝒘𝒂𝒋𝒊 𝒄𝒉𝒂 𝒌𝒖𝒌𝒂𝒕𝒂 𝒏𝒋𝒂𝒂 𝒛𝒂 𝒎𝒂𝒓𝒂 𝒌𝒘𝒂 𝒎𝒂𝒓𝒂.𝑫𝑹 𝑩𝑶𝑨𝒁 𝑲𝑰𝑻𝑪𝑯𝑬𝑵 𝑻𝑶𝑺𝑯𝑨 𝑻𝑬𝑨🍵Kiungo hiki kina uwezo wa kubadili kinywaji kuwa na ...
28/09/2025

𝑲𝒊𝒏𝒚𝒘𝒂𝒋𝒊 𝒄𝒉𝒂 𝒌𝒖𝒌𝒂𝒕𝒂 𝒏𝒋𝒂𝒂 𝒛𝒂 𝒎𝒂𝒓𝒂 𝒌𝒘𝒂 𝒎𝒂𝒓𝒂.𝑫𝑹 𝑩𝑶𝑨𝒁 𝑲𝑰𝑻𝑪𝑯𝑬𝑵 𝑻𝑶𝑺𝑯𝑨 𝑻𝑬𝑨🍵

Kiungo hiki kina uwezo wa kubadili kinywaji kuwa na ladha nzuri ingawaje hamna sukari ndani yake.👌

Faida za DR BOAZ KITCHEN TOSHA TEA.
🛡️. Inakata Uteja / hamu ya kulakula
vyakula vya SUKARI na WANGA.

🛡️. Husaidia k**a una matatizo katika mfumo wa chakula gesi, kiungulia, choo kigumu

🛡️. Husaidia kusafisha mfumo wa chakula na kuimarisha Usagaji wa Chakula.

Inasaidia Mtu yeyote Mwenye
Maradhi yafuatayo;
💉. Kisukari
💉. Presha
💉. Uzito mkubwa na Kitambi
💉. Nguvu za kiume
💉. Pumu
💉. Vidonda vya tumbo
Na mtu yeyote anayependa kulinda afya yake🛡️

💵𝗕𝗔𝗝𝗘𝗧𝗜:
Kwa wastani Pakiti moja ina Gram 10 inakoza Vikombe 4 ina maana Box Lenye pakiti 10 unatumia siku 40.
Hii ni bajeti kwa mtu anayekunywa Chai Kila siku.

Kinapatikana goba njia nne madale road

GET FINE SUPER GREEN BLEND Ni Kirutubisho cha kuchanganya kwenye Maji na vinywaji vingine (Smoothies).Super Green Blend ...
28/09/2025

GET FINE SUPER GREEN BLEND
Ni Kirutubisho cha kuchanganya kwenye Maji na vinywaji vingine (Smoothies).

Super Green Blend imetengenezwa na Vitu vikuu 4.

1. 𝗔𝗻𝘁 𝗢𝘅𝗶𝗱𝗮𝗻𝘁𝘀 𝗕𝗹𝗲𝗻𝗱𝘀
Mchanganyiko wa Vinasa Sumu mwilini
2. 𝗢𝗿𝗴𝗮𝗻𝗶𝗰 𝗚𝗿𝗲𝗲𝗻𝘀 𝗕𝗹𝗲𝗻𝗱
Mchanganyiko wa Mboga nyingi za majani zinakupa Virutubisho zaidi ya 20+,
3. 𝗣𝗿𝗼𝗯𝗶𝗼𝘁𝗶𝗰𝘀 𝟭𝟬 𝗕𝗶𝗹𝗹𝗶𝗼𝗻 𝗖𝗙𝗨 𝗕𝗹𝗲𝗻𝗱
Mchanganyiko wa bakteria rafiki (Probiotics) zaidi ya 10 billioni, kusaidia kuimarisha umeng’enyaji wa chakula.
4. 𝗗𝗶𝗴𝗲𝘀𝘁𝗶𝘃𝗲 𝗘𝗻𝘇𝘆𝗺𝗲𝘀 𝗕𝗹𝗲𝗻𝗱
Vimeng’enya Chakula vya Kutosha kusaidia Kuimarisha umeng’enyaji wa chakula.
𝐈𝐧𝐚𝐬𝐚𝐢𝐝𝐢𝐚
1. Kuongeza Kinga ya mwili
2. Kuondoa sumu mwilini
3. Kuongeza Nguvu ya mwili
4. Kuondoa sumu kwenye mfumo wa chakula na Kutibu mfumo wa chakula
5. Husaidia kuimarisha shughuli za mwili mwilini.
6. Husaidia Kurudisha afya na Kuimarisha afya mwili.
7. Huondoa magonjwa mengi ya mfumo wa chakula k**a Gesi,Kiungulia, Michubuko katika mfuko wa chakula, Irritable Bowel Disease
Kwa Maelezo zaidi na Ushauri Piga 0679622827

GET FINE, HIGH ABSORPTION MAGNESIUM COMPLEX FORMULAFomula yake ni nzuri yenye kukupa matokeo mazuri sana kiafya. Imeteng...
28/09/2025

GET FINE, HIGH ABSORPTION MAGNESIUM COMPLEX FORMULA
Fomula yake ni nzuri yenye kukupa matokeo mazuri sana kiafya. Imetengenezwa kwa mchanganyiko wa aina 4 za magnesium ili Kuoneza ufanisi na matokeo chanya.
✅MAGNESIUM MALATE
✅MAGNESIUM CITRATE
✅MAGNESIUM GLYCINATE
Ni Kirutubisho chenye Mchanganyiko wa Magnesium aina tatu kukupa Manufaa makubwa kiafya.
1. Husaidia sana wenye matatizo ya misuli kukak**aa, Misuli kuuma na maumivu ya nevu za fahamu.
2. Husaidia wenye matatizo ya maumivu ya mifupa na jointi
3. Husaidia wenye matatizo ya umeng’enyaji wa chakula,Choo Kigumu na Bawasiri
4. Husaidia Upate usingizi mzuri na Kuondoa stress za Mwili.
5. Hunasa sumu na Kuondoa sumu za vyakula vibaya mwilini.
6. Huamsha shughuli za mwili na Kukupa Nguvu nyingi k**a unajihisi muda wote una uchovu.
7. Husaidia Homoni za K**e na Kiume kukaa katika kiwango kizuri na kuimarisha uzazi.
8. Husaidia mwenye matatizo ya allergy sugu
9. Husaidia mwenye Kipanda Uso, Kukosa Usingizi na Mwenye tatizo la Shinikizo la juu la damu.

Kirutubisho hichi kinapatikana goba njia nne madale road.

Tupigie simu namba 0679622827

𝗠𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔 𝗠𝗔𝗭𝗨𝗥𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗜𝗞𝗜𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗞𝗨𝗟𝗔Haya ni Mafuta mwali ya n**i.🥥🥥🥥 Ni Meupe na hayakereketi kwa sababu yametengenezwa na n...
27/09/2025

𝗠𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔 𝗠𝗔𝗭𝗨𝗥𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗜𝗞𝗜𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗞𝗨𝗟𝗔
Haya ni Mafuta mwali ya n**i.🥥🥥🥥
Ni Meupe na hayakereketi kwa sababu yametengenezwa na n**i nzima.
🌴Mazuri sana kupikia chakula na Kukifanya chakula chako kiwe kitamu sana.
🌴Unaweza Kuweka Kwenye supu, Mboga za majani, Kutengeneza rosti mchuzi mzito.
☎️Tupigie simu: 0679622827

Tupo goba njia nne madale road

Tunafanya delivery popote pale ulipo

STEVIA POWDER,hichi ni kiungo kizury Cha chai kinachotokana na mmea wa stevia Kiungo hichi husaidia kuimarisha mfumo wa ...
27/09/2025

STEVIA POWDER,hichi ni kiungo kizury Cha chai kinachotokana na mmea wa stevia

Kiungo hichi husaidia kuimarisha mfumo wa chakula

Kiungo Cha stevia kinaimarisha afya ya mwili wako wakat wote ,tumia kiungo hichi kuepukana na gas ,kiungulia ,choo kigumu na hata kusaidia Kwa wenye uzito mkubwa

Kinapatikana kwa bei ya sh 12000tu

Tupo goba njia nne madale road

Tupigie simu 0679622827

GET FINE, HIGH ABSORPTION MAGNESIUM COMPLEX FORMULAFomula yake ni nzuri yenye kukupa matokeo mazuri sana kiafya. Imeteng...
27/09/2025

GET FINE, HIGH ABSORPTION MAGNESIUM COMPLEX FORMULA
Fomula yake ni nzuri yenye kukupa matokeo mazuri sana kiafya. Imetengenezwa kwa mchanganyiko wa aina 4 za magnesium ili Kuoneza ufanisi na matokeo chanya.
✅MAGNESIUM MALATE
✅MAGNESIUM CITRATE
✅MAGNESIUM GLYCINATE
Ni Kirutubisho chenye Mchanganyiko wa Magnesium aina tatu kukupa Manufaa makubwa kiafya.
1. Husaidia sana wenye matatizo ya misuli kukak**aa, Misuli kuuma na maumivu ya nevu za fahamu.
2. Husaidia wenye matatizo ya maumivu ya mifupa na jointi
3. Husaidia wenye matatizo ya umeng’enyaji wa chakula,Choo Kigumu na Bawasiri
4. Husaidia Upate usingizi mzuri na Kuondoa stress za Mwili.
5. Hunasa sumu na Kuondoa sumu za vyakula vibaya mwilini.
6. Huamsha shughuli za mwili na Kukupa Nguvu nyingi k**a unajihisi muda wote una uchovu.
7. Husaidia Homoni za K**e na Kiume kukaa katika kiwango kizuri na kuimarisha uzazi.
8. Husaidia mwenye matatizo ya allergy sugu
9. Husaidia mwenye Kipanda Uso, Kukosa Usingizi na Mwenye tatizo la Shinikizo la juu la damu.

Kirutubisho hichi kinapatikana goba njia nne madale road.

Tupigie simu namba 0679622827

𝐍𝐢 𝐥𝐚𝐳𝐢𝐦𝐚 𝐊𝐮𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚 𝐎𝐥𝐢𝐯𝐞 𝐨𝐢𝐥 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐂𝐡𝐚𝐤𝐮𝐥𝐚 𝐜𝐡𝐚𝐧𝐠𝐮?Jibu:Ndio ni lazima. Olive oil husaidia sana usagaji wa chakula na usi...
26/09/2025

𝐍𝐢 𝐥𝐚𝐳𝐢𝐦𝐚 𝐊𝐮𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚 𝐎𝐥𝐢𝐯𝐞 𝐨𝐢𝐥 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐂𝐡𝐚𝐤𝐮𝐥𝐚 𝐜𝐡𝐚𝐧𝐠𝐮?
Jibu:
Ndio ni lazima. Olive oil husaidia sana usagaji wa chakula na usipate choo kigumu. Hivyo k**a wewe huli Chakula chenye mafuta unakula vikavu kavu tu Utapata choo kwa Taabu sana hata k**a ukila mboga za majani nyingi kiasi gani.
Hasa Unapokuwa unatekeleza Sayansi ya Mapishi Mafuta ni Muhimu sana Jikoni na Mezani.
Tiba ya Olive oil Jikoni
🫒. Husaidia Chakula chako kivutie na Ladha asili ya Chakula usikilizie kinywani.
🫒. Husaidia usagaji wa chakula na Huondoa gesi, kiungulia, choo kigumu na kukinga na Piles (bawasiri)
🫒. Hunawirisha ngozi na afya ya mwili utajipatia vitamin A, D, E na K vyote ni Viondoa Sumu Free radicals machachali mwilini.
🫒. Kukupa Nguvu Upya mara baada ya kunasa sumu ambazo hushambulia viungo vyako vya mwili na kusababishia uchovu.
📍Tembelea ofisi zetu zilizopo goba njia nne madale road
Ujipatie EXTRA VIRGIN OLIVE OIL Kwa gharama ya Tsh 35000(1 Lita )💰
Tupigie:
☎️0679622827

GET FINE SUPER GREEN BLEND Ni Kirutubisho cha kuchanganya kwenye Maji na vinywaji vingine (Smoothies).Super Green Blend ...
25/09/2025

GET FINE SUPER GREEN BLEND
Ni Kirutubisho cha kuchanganya kwenye Maji na vinywaji vingine (Smoothies).

Super Green Blend imetengenezwa na Vitu vikuu 4.

1. 𝗔𝗻𝘁 𝗢𝘅𝗶𝗱𝗮𝗻𝘁𝘀 𝗕𝗹𝗲𝗻𝗱𝘀
Mchanganyiko wa Vinasa Sumu mwilini
2. 𝗢𝗿𝗴𝗮𝗻𝗶𝗰 𝗚𝗿𝗲𝗲𝗻𝘀 𝗕𝗹𝗲𝗻𝗱
Mchanganyiko wa Mboga nyingi za majani zinakupa Virutubisho zaidi ya 20+,
3. 𝗣𝗿𝗼𝗯𝗶𝗼𝘁𝗶𝗰𝘀 𝟭𝟬 𝗕𝗶𝗹𝗹𝗶𝗼𝗻 𝗖𝗙𝗨 𝗕𝗹𝗲𝗻𝗱
Mchanganyiko wa bakteria rafiki (Probiotics) zaidi ya 10 billioni, kusaidia kuimarisha umeng’enyaji wa chakula.
4. 𝗗𝗶𝗴𝗲𝘀𝘁𝗶𝘃𝗲 𝗘𝗻𝘇𝘆𝗺𝗲𝘀 𝗕𝗹𝗲𝗻𝗱
Vimeng’enya Chakula vya Kutosha kusaidia Kuimarisha umeng’enyaji wa chakula.
𝐈𝐧𝐚𝐬𝐚𝐢𝐝𝐢𝐚
1. Kuongeza Kinga ya mwili
2. Kuondoa sumu mwilini
3. Kuongeza Nguvu ya mwili
4. Kuondoa sumu kwenye mfumo wa chakula na Kutibu mfumo wa chakula
5. Husaidia kuimarisha shughuli za mwili mwilini.
6. Husaidia Kurudisha afya na Kuimarisha afya mwili.
7. Huondoa magonjwa mengi ya mfumo wa chakula k**a Gesi,Kiungulia, Michubuko katika mfuko wa chakula, Irritable Bowel Disease
Kwa Maelezo zaidi na Ushauri Piga 0679622827

Address

Mwananyamala, Kabakabana, Ruganisa Plot
Dar Es Salam
31338

Telephone

0767074124

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Welu Pharmacy posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category