Welu Pharmacy

Welu Pharmacy Hedhi yako inalindwa kwa kuthamini Mzunguko wako kwa kutumia pedi rafiki kila mwezi

π†πžπ­πŸπ’π§e πŽπŒπ„π†π€ πŸ‘ 𝐓𝐫𝐒𝐩π₯𝐞 𝐬𝐭𝐫𝐞𝐧𝐠𝐭𝐑 𝐅𝐒𝐬𝐑 𝐨𝐒π₯:Hiki ni kirutubisho kinachosaidia Kuongeza kiwango cha mafuta mazuri mwilini ya...
28/02/2026

π†πžπ­πŸπ’π§e πŽπŒπ„π†π€ πŸ‘ 𝐓𝐫𝐒𝐩π₯𝐞 𝐬𝐭𝐫𝐞𝐧𝐠𝐭𝐑 𝐅𝐒𝐬𝐑 𝐨𝐒π₯:

Hiki ni kirutubisho kinachosaidia Kuongeza kiwango cha mafuta mazuri mwilini ya Omega 3 yaani 𝑫𝑯𝑨 na 𝑬𝑷𝑨.
Mwili wako hauwezi kukupatia kiwango cha kutosha cha Omega 3 unachohitaji kwa ajili ya kuishi.Hivyo basi asilimia kubwa ya mafuta haya mazuri utayapata kutokana na virutubisho na vyakula hasa samaki aina ya Salmon.
Kirutubisho cha Getfine Omega 3 fish oil kinafaida zifuatazo;
🧊Hupunguza kiwango cha cholesterol kwa uwezo wake mkubwa wa kutibia Mishipa ya damu.
🧊Hupunguza Maumivu ya viungo na kukak**aa kwa joints na mifupa kwa wagonjwa wenye Baridi ya bisi.
🧊Hupunguza uhatari wa kuugua magonjwa ya moyo.
🧊Hupunguza uhatari wa kupata shambulio la moyo na stroke.
Getfine Omega 3 fish oil triple strength inavidonge 60 dose ya mwezi mmoja
πŸ“ Tunapatikana goba njia nne madale road

COCONUT OIL,𝗠𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔 𝗠𝗔𝗭𝗨π—₯π—œ 𝗬𝗔 π—žπ—¨π—£π—œπ—žπ—œπ—” π—–π—›π—”π—žπ—¨π—Ÿπ—”Haya ni Mafuta mwali ya n**i.πŸ₯₯πŸ₯₯πŸ₯₯ Ni Meupe na hayakereketi kwa sababu yameten...
28/02/2026

COCONUT OIL,𝗠𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔 𝗠𝗔𝗭𝗨π—₯π—œ 𝗬𝗔 π—žπ—¨π—£π—œπ—žπ—œπ—” π—–π—›π—”π—žπ—¨π—Ÿπ—”
Haya ni Mafuta mwali ya n**i.πŸ₯₯πŸ₯₯πŸ₯₯
Ni Meupe na hayakereketi kwa sababu yametengenezwa na n**i nzima.
🌴Mazuri sana kupikia chakula na Kukifanya chakula chako kiwe kitamu sana.
🌴Unaweza Kuweka Kwenye supu, Mboga za majani, Kutengeneza rosti mchuzi mzito.
☎️Tupigie simu: 0679622827

Tupo goba njia nne madale road

Tunafanya delivery popote pale ulipo

π‘²π’Šπ’π’šπ’˜π’‚π’‹π’Š 𝒄𝒉𝒂 π’Œπ’–π’Œπ’‚π’•π’‚ 𝒏𝒋𝒂𝒂 𝒛𝒂 π’Žπ’‚π’“π’‚ π’Œπ’˜π’‚ π’Žπ’‚π’“π’‚.𝑫𝑹 𝑩𝑢𝑨𝒁 𝑲𝑰𝑻π‘ͺ𝑯𝑬𝑡 𝑻𝑢𝑺𝑯𝑨 π‘»π‘¬π‘¨πŸ΅Kiungo hiki kina uwezo wa kubadili kinywaji kuwa na ...
28/02/2026

π‘²π’Šπ’π’šπ’˜π’‚π’‹π’Š 𝒄𝒉𝒂 π’Œπ’–π’Œπ’‚π’•π’‚ 𝒏𝒋𝒂𝒂 𝒛𝒂 π’Žπ’‚π’“π’‚ π’Œπ’˜π’‚ π’Žπ’‚π’“π’‚.𝑫𝑹 𝑩𝑢𝑨𝒁 𝑲𝑰𝑻π‘ͺ𝑯𝑬𝑡 𝑻𝑢𝑺𝑯𝑨 π‘»π‘¬π‘¨πŸ΅

Kiungo hiki kina uwezo wa kubadili kinywaji kuwa na ladha nzuri ingawaje hamna sukari ndani yake.πŸ‘Œ

Faida za DR BOAZ KITCHEN TOSHA TEA.
πŸ›‘οΈ. Inakata Uteja / hamu ya kulakula
vyakula vya SUKARI na WANGA.

πŸ›‘οΈ. Husaidia k**a una matatizo katika mfumo wa chakula gesi, kiungulia, choo kigumu

πŸ›‘οΈ. Husaidia kusafisha mfumo wa chakula na kuimarisha Usagaji wa Chakula.

Inasaidia Mtu yeyote Mwenye
Maradhi yafuatayo;
πŸ’‰. Kisukari
πŸ’‰. Presha
πŸ’‰. Uzito mkubwa na Kitambi
πŸ’‰. Nguvu za kiume
πŸ’‰. Pumu
πŸ’‰. Vidonda vya tumbo
Na mtu yeyote anayependa kulinda afya yakeπŸ›‘οΈ

πŸ’΅π—•π—”π—π—˜π—§π—œ:
Kwa wastani Pakiti moja ina Gram 10 inakoza Vikombe 4 ina maana Box Lenye pakiti 10 unatumia siku 40.
Hii ni bajeti kwa mtu anayekunywa Chai Kila siku.

Kinapatikana goba njia nne madale road

𝐆𝐄𝐓 π…πš°ππ„ π•πš°π“π€πŒπš°π 𝐀 𝐃 𝐊Ni kitutubisho chenye  mchanganyiko wa vitamin A, D na K. ambacho kinakupa faida nyingi kiafya kul...
27/02/2026

𝐆𝐄𝐓 π…πš°ππ„ π•πš°π“π€πŒπš°π 𝐀 𝐃 𝐊
Ni kitutubisho chenye mchanganyiko wa vitamin A, D na K. ambacho kinakupa faida nyingi kiafya kuliko ukinywa katika formula ya kila vitamin ikiwa inajitegemea.

π‘―π’–π’”π’‚π’Šπ’…π’Šπ’‚ 𝒔𝒂𝒏𝒂:
πŸ”₯Kuimarisha kinga ya mwili k**a umedhoofishwa na magonjwa sugu.
πŸ”₯Kuimarisha utendaji kazi wa moyo na msukumo mzuri wa damu.
πŸ”₯Kuimarisha mifupa na joint
πŸ”₯kuondoa maumivu ya mwili, misuli na mifupa.
πŸ”₯Kuimarisha ubora wa mayai kwa mwanamke na mbegu kwa mwanaume.
πŸ”₯Kuimarisha afya ya ngozi na kuondoa miwasho katika ngozi.
πŸ”₯Kuimarisha nuru ya macho kwa wenye matatizo ya uoni hafifu.
Kopo moja utalipata kwa tsh 90000

follow

DR BOAZ KITCHEN ALMOND SEEDS FLOUR 1. Unga Umetengenezwa na Almond seeds kwa asilimia 100.2. ⁠Unga wa Almond Ni chanzo K...
27/02/2026

DR BOAZ KITCHEN ALMOND SEEDS FLOUR
1. Unga Umetengenezwa na Almond seeds kwa asilimia 100.
2. ⁠Unga wa Almond Ni chanzo Kizuri cha Protini, Madini na Vitamins za Kujenga na Kuimarisha mwili.
3. ⁠Unga wa almond Una kiwango kidogo sana cha Wanga Hivyo Mgonjwa wa Kisukari, anayepunguza uzito au asiyependa Kuongezeka mwili anaweza Kupika mapishi mbalimbali na asiweze kuathiri malengo yake
4. Ni chaguo sahihi kwa mwenye matatizo ya Kumeng’enya Gluten inayopatikana kwenye mapishi Yote ya ngano. Ndiyo maana unga wetu β€œNi Gluten Free”.

Matumizi Ya Unga wa Almond Kiafya
1. Kutengeneza Uji
2. ⁠Kutengeneza Maziwa
3. ⁠Kuweka kwenye Mboga
4. ⁠Kuweka Kwenye Mchuzi
5. ⁠Kuoka Mikate
6. ⁠Kuoka chapati, Keki na mapishi mbalimbali mengine kulingana na ubunifu wako

Kinapatikana goba njia nne madale road

Tupigie simu 0679622827

STEVIA POWDER,hichi ni kiungo kizury Cha chai kinachotokana na mmea wa stevia Kiungo hichi husaidia kuimarisha mfumo wa ...
27/02/2026

STEVIA POWDER,hichi ni kiungo kizury Cha chai kinachotokana na mmea wa stevia

Kiungo hichi husaidia kuimarisha mfumo wa chakula

Kiungo Cha stevia kinaimarisha afya ya mwili wako wakat wote ,tumia kiungo hichi kuepukana na gas ,kiungulia ,choo kigumu na hata kusaidia Kwa wenye uzito mkubwa

Kinapatikana kwa bei ya sh 12000tu

Tupo goba njia nne madale road

Tupigie simu 0679622827

FAHAMU UMUHIMU WA KIRUTUBISHO CHA COLLAGEN KATIKA MWILI WA BINADAMU*Ni protini inayojenga mwili wa binadamu kwa asilimia...
27/02/2026

FAHAMU UMUHIMU WA KIRUTUBISHO CHA COLLAGEN KATIKA MWILI WA BINADAMU*

Ni protini inayojenga mwili wa binadamu kwa asilimia kubwa sana.
Asilimia 30 ya Protein inayojenga mwili ni Collagen. Ngozi imetengenezwa kwa asilimia 70 collagen na Mifupa imetengenezwa kwa asilimia 80 collagen.
Kadri umri unavyo enda Binadamu tunapungukiwa collagen. Na Huanza Kupungua kuanzia Umri wa miaka 20 na Tafiti zina onesha kwamba Kila mwaka unapungukiwa asilimia 1 ya collagen mwilini.
Hivyo Unapofikisha miaka 50 utakuwa umepungukiwa Robo ya Collagen mwilini mwako. Yaani utakuwa umepungukiwa 25% ya Collagen. Na Ukifikisha miaka 75 utakuwa umepungukiwa asilimia 50 ya Collagen mwilini mwako.
Kumbuka : Collagen ni Gundi inayofanya kila kitu katika mwili wako vishik**ane vizuri.

DALILI ZA KUPUNGUKIWA COLLAGEN
1. Kujikunja kwa Ngozi
2. Ngozi kunyauka
3. Ngozi kuwa na madoa madoa Meupe
4. Magonjwa ya Mifupa na Jointi kusagika na kuuma
5. Magonjwa ya Mfumo wa Chakula (Gastritis na PUD)
6. Kucha na Nywele kukatika kwa wepesi

AINA ZA COLLAGEN
Kuna aina takribani 29 za collagen katika mwili wa binadamu. Ingawaje Collagen type 1,2 na 3 ndiyo zimechangia karibia asilimia 90 ya collagen zote mwilini.
Collagen Type 1 : Hii hutengeneza Mifupa, Kucha,Meno, nywele nk
Collagen type 2: Hii hutengeneza Sponji ambayo husaidia Jointi ifanye kazi vizuri. Hutengeneza Cartilage
Collagen type 3 : Hii hutengeneza Sponji ambayo husaidia kutengeneza mishipa ya damu na kuta za mfumo wa chakula.

Get Fine Collagen Inakupatia aina zote za Collagen hizo sambamba na hivyo utapata Vitamin C, Hyaluronic acid na Biotin kwa faida nyingi za ziada kiafya.
TSH 50000 TU. PIGA SIMU 0679622827

Tupo goba njia nne madale road

GET FINE, HIGH ABSORPTION MAGNESIUM COMPLEX FORMULAFomula yake ni nzuri yenye kukupa matokeo mazuri sana kiafya. Imeteng...
26/02/2026

GET FINE, HIGH ABSORPTION MAGNESIUM COMPLEX FORMULA
Fomula yake ni nzuri yenye kukupa matokeo mazuri sana kiafya. Imetengenezwa kwa mchanganyiko wa aina 4 za magnesium ili Kuoneza ufanisi na matokeo chanya.
βœ…MAGNESIUM MALATE
βœ…MAGNESIUM CITRATE
βœ…MAGNESIUM GLYCINATE
Ni Kirutubisho chenye Mchanganyiko wa Magnesium aina tatu kukupa Manufaa makubwa kiafya.
1. Husaidia sana wenye matatizo ya misuli kukak**aa, Misuli kuuma na maumivu ya nevu za fahamu.
2. Husaidia wenye matatizo ya maumivu ya mifupa na jointi
3. Husaidia wenye matatizo ya umeng’enyaji wa chakula,Choo Kigumu na Bawasiri
4. Husaidia Upate usingizi mzuri na Kuondoa stress za Mwili.
5. Hunasa sumu na Kuondoa sumu za vyakula vibaya mwilini.
6. Huamsha shughuli za mwili na Kukupa Nguvu nyingi k**a unajihisi muda wote una uchovu.
7. Husaidia Homoni za K**e na Kiume kukaa katika kiwango kizuri na kuimarisha uzazi.
8. Husaidia mwenye matatizo ya allergy sugu
9. Husaidia mwenye Kipanda Uso, Kukosa Usingizi na Mwenye tatizo la Shinikizo la juu la damu.

Kirutubisho hichi kinapatikana goba njia nne madale road.

Tupigie simu namba 0679622827

GETFINE MAGNESIUM TRIPLECOMPLEX FORMULASio magnesium ya kawaida X Ni mchanganyiko wa nguvu wa:v Magnesium Glycinate - hu...
26/02/2026

GETFINE MAGNESIUM TRIPLE
COMPLEX FORMULA
Sio magnesium ya kawaida X Ni mchanganyiko wa nguvu wa:
v Magnesium Glycinate - husaidia relaxation & deep sleep E
v Magnesium Citrate - husaidia muscle function & absorption
v Magnesium Malate - husaidia energy balance & kupunguza uchovu
Formulation hii inafanya kazi kwa pamoja (synergy) kusaidia:
V Kupunguza stress l Kutuliza misuli inayokaza
* Kusaidia nervous system
V Kuboresha quality ya usingizi
Kuamka asubuhi ukiwa refreshed
60 Capsules (Dozi ya mwezi 1)
Bei: TSH 30,000 tu
< Piga / WhatsApp: 0679622827
- Tunapatikana pia ofisini, fika upate ushauri

Address

Mwananyamala, Kabakabana, Ruganisa Plot
Dar Es Salam
31338

Telephone

0767074124

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Welu Pharmacy posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category