Dr. Kifimbo

Dr. Kifimbo KARIBU KATIKA HUDUMA YA DR.KIFIMBO MTABIBU NA MNAJIMU WA TIBA ASILIA NA KIMBILIO LA WENGI AFRICA POPOTE ULIPO HUDUMA INAKUFIKIA

14/03/2023

KARIBU KATIKA HUDUMA YA DR KIFIMBO MTAALAMU NA MNAJIMU WA TIBA ASILIA NA KIMBILIO LA WENGI AFRICA POPOTE ULIPO HUDUMA INAKUFIKIA.
+255718862654.

14/03/2023

KARIBU KATIKA HUDUMA YA DR KIFIMBO MTAALAMU NA MNAJIMU WA TIBA ASILIA NA KIMBILIO LA WENGI AFRICA POPOTE ULIPO HUDUMA INAKUFIKIA.
+255718862654.

28/05/2022
03/11/2021

KARIBU KATIKA HUDUMA YA DR KIFIMBO MTAALAMU WA TIBA ASILIA NA KIMBILIO LA WENGI AFRICA POPOTE ULIPO HUDUMA INAKUFIKIA.
+255718862654.

19/10/2021

Kkumtuliza mume au mke na Kumvuta mume au mke
Kuongeza mahaba
__________________________
Dr kifimbo mtaalam wa Tiba Asilia na kimbilio la wengi Africa leo anakuletea dawa mujarabu
Chukua mizizi ya mti huu na majani yake Kisha ponda na upate unga wake na ukaushe juani na ukishakauka utakuwa unachoma kwenye Moto kwa manuizo.
Dawa hii utampagawisha mwenza wako huko aliko muda wote atakuwa na shauku na wewe.
Onyo dawa hii usimfanyie mke wa mtu au mume wa mtu.

Pia maua ya dawa hii ni mazuri Sana kwa kupandishia nyota , pia mizizi yake ni dawa nzuri ya nguvu za kiume na ngiri pamoja na Chango.
____________________________
KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NA MZEE KIFIMBO MTAALAMU NA MNAJIMU WA TIBA ASILIA NA KIMBILIO LA WENGI AFRICA POPOTE ULIPO HUDUMA INAKUFIKIA. KWA MSAADA ZAIDI PIGA SIMU:....
+255718862654.

18/10/2021

LEO 18/10/2021

Assalam alykum warahmatullah wabarakatu
_________&&&&&&&&_________

ZIFUATAZO NI BAADHI YA NDOTO MBAYA KWA BINADAMU:

👉Katika dunia hii tunayoishi sisi binadamu huwa Kuna Siri kubwa Sana ambazo binadamu wengi huwa zinawatokea pindi wanapokuwa kwenye usingizi mzito.
👉Si kingine Bali ni NDOTO.

✍️JE NDOTO NI NINI?

👉Ndoto ni taarifa maalum au maono maalum amayo binadamu huwa anayapata pindi awapo usingizini.
👉Au ndoto ni ile hali ambayo binadamu anakuwa kwenye hali ya uchovu ndani ya kichwa chake ndipo ubongo wake unatawaliwa na matukio yote ambayo binadamu huwa anayatendaga na ndipo ubongo wake huwa unatabia yakukumbuka ya kukumbuka matukio mbalimbali yanayomsonga.

LEO HII NITAZUNGUMZIA BAADHI YA NDOTO ZENYE MAONO MABAYA AU ISHARA MBAYA KWA BINADAMU:
___________&&&&&&____________

✍️KUOTA UNAKIMBIZWA NA POLISI AU WATU.
👉Hii ndoto ni miongoni mwa ndoto zenye ishara mbaya kwa muotaji ambapo zinamjulisha kuwa Kuna hatari juu yake eiza WANGA au WACHAWI wanamfuatilia au Kuna binadamu wanamfuatilia kwa lengo baya.

✍️KUOTA UNAFANYA MAPENZI MARA KWA MARA.
👉Hii tabia ya kuota unafanya mapenzi Mara kwa mara kwenye usingizi eiza na mtu unaemfahamu au usiemfahamu tambua hii ni ishara mbaya Sana.

✍️KUOTA UNAKULA CHAKULA MARA KWA MARA.
👉hii tabia miongoni mwa watu wengi huwa inawatokea Sana pindi walalapo Basi hujikuta wanaota wanakula wenyewe ama wanalishwa na watu wasiowatambua na wengine hujikuta wanaamka asubuhi tayari wanakuwa wameshiba .pia hii ni dalili mbaya kwako.

✍️KUOTA UNAPEWA PESA NA MTU ALIEKUFA.
👉Hii ndoto ni dalili ya kuwa na mitihani ya kimaisha.ni kwamba ukimuota mtu aliekufa eiza ndugu yako au rafiki yako ama jirani yako amekufa ndani ya usingizi alafu anataka kukupa pesa unachotakiwa zikatae.

✍️KUOTA UNASHIKA UJAUZITO MARA KWA MARA.
👉K**a una tabia yakuota Mara mjamzito Mara sio mjamzito wakati dalili ya wewe kuwa mjamzito huna tambua huo ni mtihani kwako na tambua una matatizo ndani ya mwili wako.

✍️KUOTA UNASHINDWA KUUPANDA MLIMA.
👉Hii pia ni ishara mbaya kwako .ni kwamba jambo lolote jema kwako utashindwa kulitatua.

WhatsApp number. +255718862654.
NIPO DODOMA TANZANIA.

SHUKRANI KWA WOTE MNAOFUATIA MAKALA ZANGU.

18/10/2021

Assalam alykum warahmatullah wabarakatu

DR.KIFIMBO. +255718862654.
_____________________________________
✍️IJUWE TAREHE 1

✍️Ninamaanisha tarehe 1 ya mwezi wowote tambua unamilikiwa na nyota ya UFALME au UTAJIRI.

✍️Na yeyote aliyezaliwa kwenye tarehe inayofanana na namba 1 .
Mfano tarehe 1,10,19, wa mwezi wowote wa kundi namba 1 .
Ni kundi linalotawaliwa na SAYARI au NYOTA yenye mwanga mkubwa kuliko zote ulimwenguni ambayo ni JUA na ndani yake ndipo panapopatikana NYOTA YA SIMBA.

SWALI: JE KWA NINI TAREHE ZAO ZA KUZALIWA NI TOFAUTI LAKINI WAMO KWENYE NYOTA AMA SAYARI YENYE NAMBARI 1 .

JIBU LAKE K**A IFUATAVYO.
__________&&&&&&&___________
✍️Kwenye tarehe 1=1

Kwenye tarehe 19
1+9=10

Vunja 10
1+0=1

Kwenye tarehe 28
2+8=10

1+0=1

✍️ kwa hiyo tarehe 1,10,19,28
Katika nyota zimo kwenye nyota ya SIMBA yenye sayari ya JUA.
_____________&&&&&&&___________

✍️jua ndio nyota pekee yenye uwezo na nguvu ya kuing'arisha Dunia na vitu vyote vilivyopo.
✍️Jua ndio nyota yenye mwanga kuliko vyote Duniani.
✍️jua ndio chimbuko la upepo wote uliopo Duniani.
✍️Jua ndio uwepo wa mimea ulimwenguni kuzalisha chakula chake.

TAMBUA NDANI YA JUA NDIMO PANAPATIKANA NYOTA YA SIMBA.
_________&&&&&&__________
NGUVU YA SIMBA.

✍️Simba ndio mfalme wa mwitu

KWA MAELEZO HAPO JUU UNAGUNDUA KUWA WATU WOTE WALIOZALIWA TAREHE KATI YA 1,10,19,NA 28

HAWA NDIO

✍️MATAJIRI ama ndio watu wenye nyota ya kumiliki pesa nyingi mno kuliko binadamu yeyote aliyezaliwa nje ya terehe hizo hapo juu.

Kwa kifupi watu wenye nyota ya SIMBA ndio wepesi kuwa MATAJIRI nambari 1 Duniani K**a nyota zao zinavyowaruhusu.

MFANO WA HAO MATAJIRI WENYE NYOTA YA SIMBA AMA SAYARI YA JUA.

✍️BIL GATE Amezaliwa tarehe 28 ndio tajiri namba 1 Duniani.
✍️DANDOTE Amezaliwa tarehe 10 ndio tajiri namba 1 Africa.
✍️SLIM Amezaliwa tarehe 28 ndio tajiri namba 1 Mexico na 3 kidunia.
✍️AMBANI Amezaliwa tarehe 19 ndio tajiri namba 1 India.

KWA KIFUPI NI NGUMU SANA KUMKUTA TAJIRI NAMBA 1 DUNIANI ALAFU AKAWA AMEZALIWA TAREHE KATI YA 2,11,20 NA 29 YA MWEZI WOWOTE.HAKUNA NI NGUMU MNO

DR.KIFIMBO NIPO DODOMA TANZANIA
➡️ WhatsApp number +255718862654

17/10/2021

Address

Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr. Kifimbo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr. Kifimbo:

Share

Category