28/03/2022
Tatizo la kutobeba mimba kwa mwanamke chanzo chake unatakiwa kupima Kwanza ili kujiridhisha Zaidi , kwani matatizo mengi ya kutopata mtoto linaweza kusababishwa na mwanamme
Ni vizuri kupima Kwanza wote wawili na kubaini chanzo Zaidi Ni Nani Kati ya mwanamme na mwanamke ,
Pili K**a unaona ugumu Ni vema kutumia dawa wote wawili lakini ni vizuri kumshilikisha mtaalamu aweze kuwapatia ushauri zaidi kwani swala la uzazi ni Haki ya Kila binadamu ,
Bantu care tunatoa huduma hii miaka mingi Sana kwa wote mwanamke na mwanamme , tunapenda kupata ushirikiano kutoka sehemu zote mbili, changamoto ya kutopata mtoto kwa baadhi ya wazazi inasababishwa na mambo mengi Sana Kila mtu huenda ana SABABU yake lakini tusikalili kuwa tatizo la kutobeba mimba kwa muda mrefu licha ya kutumia dawa mbalimbali Bila matokeo chanya ndo ukate Tamaa,
Ushauri wetu haujachelewa kabisa huenda sababu haijapatiwa ufumbuzi kulingana na mazoea ya Kila siku ilivozoeleka, Bantu care tuna utaaratibu maalumu kwa wote na mwanamke na tunatafti nyingi Sana za kubaini vyanzo vya matatizo mbalimbali, karibu sana Bantu care tukuhudumie , kusafishwa mfumo wa uzazi kwetu ni kipaumbele Cha Kwanza na ndipo ufuate utaaratibu maalumu wa kukutibu,
Kwa Nini tunakusafisha kwa dawa ya Bantu cleanser, dawa hii inakusafisha kwa kuondoa sumu mwilini kwani wengi wetu kutokana na maisha yetu ya kutumia madawa na vinywaji na vyakula miili imejaa sumu ,
Dawa ya Bantu cleanser unasafisha magonjwa ya zinaa , fungus, uvimbe kwenye kizazi , pia kwa wanaume Inaondoa ngiri , Inatibu Chango la uzazi na Inaondoa matatizo ya mfumo wa chakula pia ikiwemo bawasiri ,
Bantu cleanser unaitumia mara mbili tu hapo utakuwa umesafisha mwili ,
Dawa hii unatumia kabla ya kutumia dawa zozote za uzazi kwa mwanamme na mwanamke ,
Ikumbukwe pia wanawake wengi wametumia sana dawa za mpango uzazi kwani dawa hizi zinamatokeo hasi baada ya muda katika mfumo wa homoni za uzazi kwani madawa haya yantengeneza sumu.
Contact+255788357263, 0762964509