AFYA NI MTAJI

AFYA NI MTAJI Uelimishaji juu ya afya zetu

26/10/2022

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA KISUKARI, CHANZO, DALILI, MADHARA NA TIBA YAKE.

KISUKARI (diabetes mellitus ) ni ugonjwa wa uwepo wa kiasi kingi cha sukari katika damu. Sababu yake kubwa ni uhaba wa homoni ya insulini mwilini au upungufu wa uwezo wa mwili kuzalisha insulini ambayo husaidia kurekebisha kiwango cha sukari mwilini.

Kipi kinatokea mpaka mtu kupata ugonjwa wa sukari au kuongezeka kwa kiwango cha sukari mwilini?

Ugonjwa wa sukari hutokea baada ya ulaji wa wingi wa vyakula vyenye sukari (wanga), hasa zaidi vyenye sukari rahisi.

Mfano wa vyakula vitoavyo sukari mwilini ni k**a:- Ugali, wali, viazi, ndizi, mkate, chapati n.k

Ulaji wa wingi wa vyakula vyenye sukari au vitoavyo sukati kwa wingi, kwa kutofuata taratibu za kitabibu k**a kula kiasi kingi cha chakula baada ya saa kumi na moja jioni, ulaji wa chakula kingi katika mlo mmoja na utumiaji wa vyakula vyenye mafuta mengi hupelekea mtu kupata tatizo hili(Type 2 diabetes).

Wakati mwingine unaweza kupata tatizo la sukari kutokana na kurithi, historia ya sukari kwenye familia au kuzaliwa na upungufu wa uzalishaji wa kiwango cha insulini mwilini (Type 1 diabetes).

Sababu zingine zinazopelekea kupata tatizo hili ni Umri mkubwa, kuwa na uzito mkubwa, presha ya kupanda,historia ya sukari wakati wa ujauzito na magonjwa yanayoweza kupelekea kuharibika kwa ufanisi kazi wa insulini mwilini kiasi cha kushindwa kurekebisha kiwango cha sukari mwilini.

Sababu zote kwa pamoja hupelekea watu kupata kisukari, unapopata tatizo hili hakikisha unachukua hatua za haraka kukabiliana na changamoto hii.

Ugonjwa huu unakadiriwa kuua karibu watu million 1.5 kila mwaka duniani kote (WHO, 2019).

⏹️DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI.

1.Kushikwa na kiu cha mara kwa mara/kupatwa na kiu kikali.

2. Kukojoa mara kwa mara.

3. Kutokwa jasho jingi bila hata kufanya shughuli yeyote.

4. Uchovu usiokwisha pamoja na kupungua uzito licha ya kula vizuri.

5.Kupatwa na njaa ya mara kwa mara/njaa kali.

6. Mkojo kuwa na ladha ya sukari.

7.K

11/10/2022

tano Muhimu za afya unazo takiwa ku ZINGATIA

👉 Kunywa maji unapo amka(ya vuguvugu ao maji ya kawaida tu)

👉 Kabla ya kula chakula cha mchana (lunch) kunywa maji, Subiri Dk 30 Tumia , Subiri tena Dk30 Ndipo upate mlo wako wa siku...
Baada ya kula unaweza kutumia Glass moja ya maji ila ni Dk30 baada ya kula....
👉 Fanya MAZOEZI, fanya mazoezi kwa muongozo wa kitabu chetu

👉 Pata usingizi wakutosha huku ukizingatia masaa ya kulala... Usilale chini ya masaa (8)

👉 Mindset hii ni muhimu sana... Usiwe na jazba, usiwe mwepesi kupanic (mawazo yana ponya na yasipo kuponya yatakuuwa)

WEWE ni unachokula... Usipotumia chakula k**a baadae sasa utakuja kutumia k**a chakula.

Usipate tabu kuhusu ushauri wowote wa afya bonyeza tu hapo⬇

10/10/2022

FAIDA ZA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA..

(1). Hulinda mwili dhidi ya magonjwa ya Moyo.

(2).huongeza ukak**avu wa mifupa.

(3). huongeza upendo na msisimko kwa mpenzi wako.

(4). Huongeza umri wa kuishi.

(5). huongeza hali ya kujiamini na kuuthamini mwili wako.

(6). huongeza kasi ya mzunguko wa Damu.

(7). huongeza ukak**avu katika misuli ya nyonga.

(8).kwa mwanamke humsaidia kidhibiti mzunguko wa hedhi kuwa wa kawaida.

(9).humsaidia mwanamke kuongeza urembo na hata muonekano pia.

(10). huongeza kinga ya mwili.

(11).hupunguza uzito na kumfanya mtu kuwa na afya njema.

(12). huongeza uwezo wa pua kunusa zaidi.

(13). hupunguza uwezekano wa kupata saratani ya tezi Dume.

(14). hupunguza maumivu/uchovu.

(15). hupunguza msongo wa mawazo.

NOTE; K**A UNAJIJUA HAUWEZI KUSHIRIKI TENDO KUTOKANA NA SABABU ZOZOTE ZILE, BASI FAHAMU KUNA HATARI KUBWA YA KIAFYA UNAITENGENEZA BILA KUFAHAMU.

09/10/2022

FAHAMU ATHARI YA TATIZO LA KUTOPATA CHOO (Constipation) NA JINSI YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU

Choo Kigumu Ni haja kubwa inayopatikana isiyozidi mara tatu katika wiki au haja kubwa inayoleta shida kutoka kwake na utokaji wake ni mithili ya Mavi ya mbuzi (uyabisi) hata k**a inapatikana kila siku. Hali hii inaposhamiri muathirika hupata choo si zaidi ya mara tatu katika kipindi cha mwezi mmoja. Ni moja miongoni mwa matatizo katika mfumo wa kusaga chakula yanayowakumba watu wengi si hapa kwetu Tanzania au Afrika tu

bali dunia nzima kwa jumla. Shida ya kupata choo ni hali inayowakabili watu mbalimbali.

CHANZO CHA TATIZO LA KUTOPATA CHOO (Constipation)
Tatizo hili husababishwa zaidi na ulaji mbovu wa vyakula na kutokujizoesha kujisaidia mara kwa mara pia kula vyakula

vilivyokobolewa na matumizi mabaya ya dawa na magonjwa mengine pia na mabadiliko ya homoni mwilini ndio chanzo cha tatizo.

DALILI ZA TATIZO HILI LA KUTOPATA CHOO
Dalili za tatizo hili ni k**a ifuatavyo :
👉kupata Homa kali
👉kutapika na kupata vidonda nnje ya haja kubwa
👉kutumia nguvu na Muda mwingi kupata choo
👉ulimi kuwa na utando mweupe na hutoa harufu mbaya
👉kukosa hamu ya kula na tumbo kujaa gesi
👉kutetemeka kwa kuhisi baridi.

MADHARA YA KUKOSA CHOO
Kuna madhara makubwa iwapo hutaamua kupata tiba kwa kupuuzia kuona ni tatizo la kawaida, madhara hayo ni ÷
👉KUPATA SARATANI YA UTUMBO
👉FIGO KUSHINDWA KUFANYA KAZI VIZURI
👉KUPATA PRESHA NA KUPATA UGONJWA WA INI
👉KUPATA MAGONJWA YA MOYO NK

Usisubiri tatizo liwe sugu na hayo Madhara yakupate itakugharimu Sana, anza utatuzi Mapema...

Karibu tukuhudimie uondokane na changamoto hii 0622022149

08/10/2022

FAHAMU VIZURI MISULI HII INAYOSHIKILIA UUME NA KUUFANYA UUME USIMAME IMARA ZAIDI KWA MUDA MREFU PASIPO KULEGEA AU KUSINYAA.
👇
Pelvic floor muscle Ni msuli ambao umeshikilia Uume ,Wakati uume unasimama ndio unawezesha Mwanaume kusimamisha uume wake muda Mrefu .Ikiwa Ni Dhaifu uume unasimama kwa muda mfupi unalegea hatimaye uume unasinyaa .

Msuli huu umeunganisha uume na tundu la haja kubwa na sehemu ya mwanzo wa Uti wa Mgongo.(K**a unavyoona kwenye picha ,Hiyo sehemu iliyozungushiwa duara). Kuna vitu ambavyo hulegeza msuli huu na kuufanya kuwa Dhaifu ;

Moja, Bawasili -kutokwa na vinyama sehemu za haja kubwa.

Mbili,Kuvimbiwa (constipation ) tumbo linavyojaa gesi baada ya kushindwa kumeng'enya chakula Fulani,Basi msuli huu hulegea.

Tatu,Kupata Choo kigumu ,Yani ukienda chooni unatumia nguvu nyingi kusukuma haja kubwa.

Nne, Kujichua/punyeto.Punyeto pia husababisha msuli huu kulegea ,na Dalili inaonyesha Wakati wa kutoa mbegu za kiume Yani shahawa utakuta hazitoki kwa kasi ,haziruki zinafanya kudondoka K**a matone ya mvua.Yani zinadondoka tu.

Ikiwa huu msuli wa pelvic floor Ni imara utakuta shahawa zinatoka kwa Kasi na kwa nguvu zinaruka mbali na kwa Presha kubwa .Basi msuli huu ndio hufanya hiyo kazi.

Ukilegea shahawa zinatoka kwa uvivu , zinadondoka tu chini.

Tano, Uzito mkubwa/kitambi pia hulegeza msuli huu.Ndio maana wenye vitambi wengi uume ni mdogo umezama kwa ndani

Kwa upande wa Wanawake msuli huu ukilegea husababisha Uke kupanuka Sana na kuwa mlegevu.kubaini K**a anatatizo hili Ni kuingiza kidole ukeni alafu ajaribu kukibana akishindwa Basi misuli ya pc imelegea.

Waathirika wakubwa wa msuli huu wengi wao ni watu wa maofisini wanaokaa muda mrefu sehem moja, madereva wa magari na bodaboda, wanaojichua, wenye uzito uliopindukia, kisukari ,vidonda vya tumbo nk.
Suluhisho linahitajika mapema sana kabla msuli huo haujaaribika sana. Likiwa sugu litakusumbua.

👇👇👇
Suluhisho linahitajika mapema kabla changamoto haijawa sugu.

08/10/2022

UFANYE NINI UNAPOKUMBWA NA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME?

Unapokuwa na shida ya nguvu za kiume usitafute dawa. Hakuna dawa ya nguvu za kiume kwani nguvu za kiume SIYO UGONJWA k**a malaria au kisukari kwamba unahitaji dawa. Kukosa nguvu za kiume inaonyesha tu kuwa mwili wako umekosa virutubisho (lishe) muhimu ya kutosha. Ukipata tu hutokaa uone shida ya nguvu za kiume. Upe mwili wako virutubisho muhimu.

Sasa kwa kawaida ili kutatua changamoto za uzazi kwa mwanaume tungeweza kutumia tu lishe ya matunda na mbogamboga na mazoezi tu k**a babu zetu wa zamani.

Hata hivyo changamoto kubwa ni kuwa vyakula vingi dunia ya leo vinaandaliwa kwa kutumia kemikali za viwandani kuanzia mbolea, dawa za kuua wadudu na za uhifadhi.

Hivyo kemikali hizo zinafanya kazi kinyume chako na kudhoofisha mifumo ya mwili wako na kufanya usiwe ba afya bora na hata usifurahie tendo la ndoa tena.

Ndiyo maana kwa kuona hilo kuna virutubisho maalumu vilivyoandaliwa kitaalamu pasipo kutumia kemikali hizo ili kuusupport mwili wako urudi sawa uwe mwenye afya imara tena na uufurahie uanaume wako katika mahusiano yako.

Tutakupa pia elimu ya ziada ya afya ili uweze kuwa balozi mzuri kwa wengine wanaohangaika kwa muda mrefu.

07/10/2022
HIVI UMEKUWA UKIZINGATIA HILI JAMBO WAKATI WA TENDO LA NDOA 😜Unapojigundua kuwa huwezi kushiriki tendo la ndoa kikamilif...
04/10/2022

HIVI UMEKUWA UKIZINGATIA HILI JAMBO WAKATI WA TENDO LA NDOA 😜

Unapojigundua kuwa huwezi kushiriki tendo la ndoa kikamilifu huwa unahangaika sana kutumia madawa bila kujua chanzo cha tatizo lako na dawa unayotumia kazi yake ni ipi haswa!

Sababu hasa zinazofanya uanze kutumia dawa ni kwasababu, unawahi sana kufika kileleni, au mashine kusimama legelege baada ya round ya kwanza muda mwingine haisimami kabisa na hili jambo linakunyima usingizi kabisa 😂

Ila nikwambie jambo ambalo wengi niliwaambia wakaniskiza unapotumia dawa huwezi kupata matokeo ya kudumu ndo pale unakuta unafanya tendo bila kufika kileleni hadi mwenzio anachoka na wewe upo hoi, sasa hayo ni mapenzi au kukomoana tu!? 😀😂

Sasa njia sahihi ya kuweza kushiriki tendo kikamilifu na wote mkafurahia pamoja, nimekuandalia elimu fupi ambayo ntakuelezea utumie vitu gani ili uweze kuwa mwanaume wa shoka 😃💪

Nitatoa Nafasi Tatu leo kuwapa njia watu Watatu kujuwa namna gani wanakuwa imara cha kufanya Tuma ujumbe neno AFYA NI MTAJI kwenda whatsapp namba 0622022149 au piga simu usaidiwe mapema nafasi zikiisha utakuwa umechelewa.

26/08/2022

Natumaini uko salama ndugu.

Leo ningependa kukupatia Elimu maalum ya afya ya mwanaume ili uwe miongoni mwa wanufaika.

Ukiona uume unasimama kwa ulegevu ujue msuli unaojulikana kwa jina la PELVIC FLOOR MUSCLE , unakua umelegea, ili kuurudisha kwenye uimara wake unahitaji kiwango kikubwa Cha *protini na madini* na *vitamin*, pamoja na Mzunguko mzuri wa damu. Unashauriwa utumie dozi ya virutubisho asilia yaani Arg plus na Multimaca au Naturemin au bee pollen kwa sababu ya Utendaji kazi mzuri kwenye eneo hilo la kuiboresha mfumo wako mzima ili tatzo liishe moja kwa moja lisijirudie. Kadri unavyozidi kukaa na tatzo ndivyo tatzo linavyozidi kukuharibu. Majuto Ni mjukuu,

kwa mawasiliano piga 0622022149 au Whatsapp namba hiyohiyo

IMARISHA AFYA YA TENDO LA NDOA KWA KUTUMIA BIDHAA  YA MULTIMACA & ARG+FAIDA ZA MULTI - MACA- Husaidia kuupa mwili nguvu,...
17/08/2022

IMARISHA AFYA YA TENDO LA NDOA KWA KUTUMIA BIDHAA YA MULTIMACA & ARG+

FAIDA ZA MULTI - MACA
- Husaidia kuupa mwili nguvu,Hamu, na stamina wakati wa tendo.
-Huimarisha misuli ya Dhakari aliolegea kutoka na kujichua.
-Husaidia kwa wenye tatizo la kuwahi kufika kileleni
-Husaidia kubalance hormones kwa wenye tatizo la Hormones imbalance
-Husaidia kutoa mbegu zenye afya na zenye uwezo wa kuogelea na kulifikia yai kiurahisi
-Husaidia kuzibua uchafu kwenye mirija ya uzazi, hivyo kuepusha kuasithirika kwa tezi dume
-Husaidia kupunguza msongo wa mawazo.

FAIDA ZA FOREVER ARGI+ (PLUS) KIAFYA. . . 🍎Husaidia kwa wenye tatizo la kuwahi kufika kileleni .
🍎Huimarisha misuli ya dhakari legevu kutoka na kujichua. .
🍎Husaidia kubalance hormones kwa wenye tatizo la Hormones imbalance .
🍎Husaidia kutoa mbegu zenye afya na zenye uwezo wa kuogelea na kulifikia yai kiurahisi. .
🍎Husaidia kurekebisha na kuweka sawa kiwango cha mzunguko wa damu BP ( Blood Pressure). .
🍎Husaidia kupunguza mafuta mabaya kwenye mishipa ya damu (Cholesterol )
🍎Husaidia kuupa mwili nguvu na stamina wakati wa tendo .
🍎Husaidia kurekebisha Insulin mwilini kwa utunzaji wa sukari kwenye damu ili kuepusha au kupunguza madhara ya ugonjwa wa kisukari.
🍎Husaidia mzunguko mzuri wa damu kwenye mishipa sehemu zote za mwili, kutokana na uwepo wa Nitric oxide huzalisha oxygen ya kutosha kwenye damu. Hivyo huupa mwili nguvu na stamina wakati wote wa tendo.

BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA NA ZIMEDHIBITISHWA NA TFDA PAMOJA NA MASHIRIKA MAKUBWA YA KIMATAIFA. Wasiliana nasi Kwa namba 0620290463

Address

Capital
Dodoma
255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA NI MTAJI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA NI MTAJI:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram