Midwife Priscar

Midwife Priscar Ongea na mkunga mtaalam kwa maswala yote ya uzazi na malezi,
wasap 0746107093
insta

Umeteseka kubeba ujauzito bila mafanikio,karibu kuongea na mkunga mtaalam...Umebeba ujauzito unakusumbua,au unhitaji uan...
21/08/2025

Umeteseka kubeba ujauzito bila mafanikio,karibu kuongea na mkunga mtaalam...

Umebeba ujauzito unakusumbua,au unhitaji uangalizi Wa ujauzito Wako ili iliujifungue salama,karibia kuongea na mkunga kwa msaada zaidi...

Online clinic ...

Wasap me
0742 318469

Nyote mnakaribishwa




Kwa wale kwenye changamoto ya kubeba ujauzitoKwenye changamoto za fibroid,hormone imbalance,Pid,kukosa ute Wa ovulation ...
19/08/2025

Kwa wale kwenye changamoto ya kubeba ujauzito

Kwenye changamoto za fibroid,hormone imbalance,Pid,kukosa ute Wa ovulation karibu tukusaidie

Kwa kutumia hizi supplement utatibu hzo.changamoto nawe uweze kubeba ujauzito...

Tuna supplement kwa changamoto za wanaume na wanawake wasioweza kubeba ujauzito....

Wasiliana nami

Wasap
0742318469



Hii unatumia na mubaba Wako...Nawaombea mwaka huu wote mshike ujauzito mnaotafuta WatotoKwa msaada zaidi njoo Wasap..Was...
11/08/2025

Hii unatumia na mubaba Wako...

Nawaombea mwaka huu wote mshike ujauzito mnaotafuta Watoto

Kwa msaada zaidi njoo Wasap..

Wasap 0742318469

Maelezo ya hii supplement...

Fertity coffee

Bei: elfu 50

Umetafuta mimba bila mafanikio wakati ndo huu. Hii inatumika na wote wanaume kwa wanawake

Inasaidia
🌸 inaboresha na kuimalisha mfumo afya ya uzazi
🌸inasaidia kushika mimba
🌸inasaidia kubalance hormones
🌸 inarekebisha mfumo wa hedhi
🌸 inaimalisha mfuko wa uzazi (uterus)
🌸 inasaidia kupata ute wa uzazi (ovulation)
🌸 inasaidia kupevusha mayai ya uzazi
🌸 kuongeza kiwango na ubora cha manii ( improve s***m count and quality)
🌸inaongeza uwezo wa kutungisha mimba

Jinsi ya kutumia
Unatumia sachet 1-2 kwa siku
Unaweza changanya kwenye maji ya vuguvugu tu na kunywa
Au ukaitumia k**a diet shake

Karibu Tukuhudumie...Female fertility enhancer/boostBei elfu 50Mikoani tunatumaUmetafuta mimba bila mafanikio wakati ndo...
11/08/2025

Karibu Tukuhudumie...

Female fertility enhancer/boost

Bei elfu 50

Mikoani tunatuma

Umetafuta mimba bila mafanikio wakati ndo huu

Inasaidia
🌸 inaboresha na kuimalisha mfumo wa uzazi kwa mwanamke
🌸inasaidia kushika mimba
🌸inasaidia kubalance hormones
🌸 inarekebisha mfumo wa hedhi
🌸 inaimalisha mfuko wa uzazi (uterus)
🌸 inasaidia kupata ute wa uzazi (ovulation)
🌸 inasaidia kupevusha mayai ya uzazi

Angalizo
🌸 usitumie k**a uko period
🌸 usitumie k**a ni mjamzito

Wasap 0742318469

Licenced💥BscN,RN,NO.To God be the Glory🙏🙏
23/03/2025

Licenced💥
BscN,RN,NO.

To God be the Glory🙏🙏

🌟K**a wewe ninmjamzito na unahitaji Huduma za MkungaKaribu kwenye group letu la wajawazito wanaozaa kawaida na wanaojifu...
10/02/2025

🌟K**a wewe ninmjamzito na unahitaji Huduma za Mkunga

Karibu kwenye group letu la wajawazito wanaozaa kawaida na wanaojifungua kwa operation ...

Utapata Msaada zaidi WA elimu na tutafuatilia Hali yako ya ujauzito na kujua k**a kuna vidokezo vyovyote vya hatarii ili tuweze kuvizuia mapema ...

Jukumu letu nikuhakikisha unajifungua salama...

K**a unahitaji elimu na mwenza wako pia unakaribishwa ...

Wanaohitaji Huduma ya kujifungua kwa jakuzi ndani ya maji tunatoa Huduma hyo pia katika mkoa WA Dar.

Wasiliana nami
Wasap 0742318469

Mkunga anaokoa maisha ya mama na mtoto💥💥

 Baada ya kuzalisha na kuhudumia wamama wajawazito walio kwenye uchungu.Naipenda kazi Yangu ya Ukunga.Mungu Ibariki miko...
10/01/2025


Baada ya kuzalisha na kuhudumia wamama wajawazito walio kwenye uchungu.

Naipenda kazi Yangu ya Ukunga.Mungu Ibariki mikono Yangu nizidi kuwahudumia vyema.

Kwa pamoja tuwavushe salama.

Kwa Huduma ya uzazi,uangalizi wakati wa ujauzito,kujifungua
Wasiliana nami
Wasap 0746107093

Msongo wa Màwazo kwa kitaalam Sonoma unaweza kusababisha,Mwanamke asibebe ujauzito...Hii ni kutokana na huu ugonjwa upel...
30/11/2024

Msongo wa Màwazo kwa kitaalam Sonoma unaweza kusababisha,
Mwanamke asibebe ujauzito...

Hii ni kutokana na huu ugonjwa upelekea

Mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa,

Kukosa Ute unapeleka kubeba mimba,

Wengine kukosa hedhi au kupata mvurugiko WA hedhi...

Uzito kupitiliza

Homone imbalance

Kutokomaa kwa mayai ya uzazi....

Kukosa hamu ya Kula...

Na mengine mengi....

Mwanamke anaweza kupitia changamoto hii na kutoshika ujauzito kwa Mda mrefu na endapo akienda hospital anaweza kaumbiwa ana tatizo la homoni au anaweza kaumbiwa Hana ugonjwa wowote unapeleka kukosa ujauzito.

Njoo uongeze na Mkunga utasaidika.

Karibu wasap 0746107093


Mtaalamu WA saikologia ya wanawake kwenye maswala ya uzazi.

Mamy with her daughter  &Thank you our Mentor,Founder of International water Birth prof
05/07/2024

Mamy with her daughter &
Thank you our Mentor,Founder of International water Birth prof

 mpenda WatotoJamani nawaombea mjifungue salama,mnyonyeshe Watoto wenu...Hapo anatafuta ziwa,mama yake kamnyonyesha laki...
19/03/2024

mpenda Watoto
Jamani nawaombea mjifungue salama,mnyonyeshe Watoto wenu...

Hapo anatafuta ziwa,mama yake kamnyonyesha lakini bado anahitaji nikamtia moyo aendelee kumpa ziwa,

Watoto wenye kilo nyingi wanahitaji maziwa ya kutosha ili wasije badilika,ndio unasikiaga wengine wanapata manjano,wengine kiwango cha sukari kinashuka mwilini,hivo wa nahitaji maziwa ya mama yakutosha...

Huyu baby girl kilo 3.9,

Mama ujauzito wa kwanza kajifungua kawaida...

Wakunga tupo kukusaidia na kukupa elimu ya kutosha...

Karibu..


Pregnant care room
Wasap 0742318469

Unahitaji mkunga wa kusimamia safari yako ya ujauzito nakukuzalisha...Kazi hii nimeanza 2014 hadi sasa...Nimesaidia wama...
17/03/2024

Unahitaji mkunga wa kusimamia safari yako ya ujauzito nakukuzalisha...

Kazi hii nimeanza 2014 hadi sasa...
Nimesaidia wamama wengi na wamejifungua Salama...

Mimi ni mkunga Mtaalam katika ngazi ya Shahada...

Nakukaribisha sana k**a unahitaji kuhudumiwa na Mimi nakukisaidia safari yako yakiitwa mama, au yakuongeza mtoto mwingine....

Kwa sasa napatikana Dar es salaam,
Kwa wamama wa mkoani naweza fatilia ujauzito wako kwa njia ya wasap group ili kujifunza na kuwasiliana na mmoja mmoja.

Ni maombi Yangu kila mama Mjamzito ajifungue salama...

Kwa uhitaji wa huduma hii
Wasiliana nami
Wasap/call 0742318469




Ili mama ajifungue salama anahitaji elimu ya kumuondoa hofu,Mama huyu alikuwa na hofu ya mimba iliyopita,pia alikuwa ana...
11/03/2024

Ili mama ajifungue salama anahitaji elimu ya kumuondoa hofu,
Mama huyu alikuwa na hofu ya mimba iliyopita,pia alikuwa anaona uchungu ni tofauti na huu.

Ukweli uchungu huwa unatofautiana
Kikubwa nilimpa elimu ya kutoa hofu akatulia na maumivu ya hofu yakapungua.

Ukweli ni kwamba kuna psychological pain hofu ya kuogopa ambayo inaleta maumivu yasiyojulikana..

Namshukuru Mungu tumeenda salama hadi kujifungua..

Tumepata Baby boy 3.3kg

Amefurahia sana huduma niliyompa..

Kila laheri kwake Kwenye malezi...

Wasap 0742318469.

Address

Dodoma

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Midwife Priscar posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Midwife Priscar:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram