Midwife Priscar

Midwife Priscar Ongea na mkunga mtaalam kwa maswala yote ya uzazi na malezi,
wasap 0624497225
insta

Happy Nurses week...Je unakumbuka kitu gani chema alichokufanyia Muuguzi.
09/05/2026

Happy Nurses week...
Je unakumbuka kitu gani chema alichokufanyia Muuguzi.

Happy International day to all Midwives🤱🤰👩🏾‍⚕️🎉Heri Ya Siku Ya Wakunga Duniani....❤️🙏
05/05/2026

Happy International day to all Midwives🤱🤰👩🏾‍⚕️🎉
Heri Ya Siku Ya Wakunga Duniani....❤️🙏

Njia mojawapo utakayomsaidia mtoto asipoteze joto baada ya kujifungua ni kukmkausha na kumuweka kifuani kwa mama yake ng...
30/04/2026

Njia mojawapo utakayomsaidia mtoto asipoteze joto baada ya kujifungua ni kukmkausha na kumuweka kifuani kwa mama yake ngozi kwa ngozi na kumfunika hapo Ili asipoteze joto.

Watoto wengi wachanga wanakufa na kubadilika baada ya kujifungua baada ya kupoteza joto(hypothermia).

Dear Mkunga kumbuka kumuweka mtoto kifuani mwa mama yake na kukmkausha,baada ya hapo mama aanze kumnyomyesha mtoto wake.

Kupunguza VIFO vya mama mjamzito na watoto wachanga ni jukumu letu sore🤱🤰👩🏾‍⚕️.


Muuguzi na Mkunga Kiongozi,Mentor ,Teacher 👩🏾‍⚕️🙏
Founder
tanzania

🤰.Unapata changamoto gani wakati wa ujauzito ,wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua...👩🏾‍⚕️Wasiliana na Muuguzi na...
13/03/2026

🤰.Unapata changamoto gani wakati wa ujauzito ,wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua...

👩🏾‍⚕️Wasiliana na Muuguzi na Mkunga mtaalam kwa Msaada zaidi....

Wasap📱 0624497225
👩🏾‍⚕️
🧑🏿‍⚕️Muuguzi na Mkunga Mtaalam🇹🇿

Watu wengi wanapitia changamoto ya kiakili,Kwa sababu wanakosa pakusemea,Wanaona Jamii itawachukuliaje...Wanapitia chang...
19/01/2026

Watu wengi wanapitia changamoto ya kiakili,Kwa sababu wanakosa pakusemea,
Wanaona Jamii itawachukuliaje...

Wanapitia changamoto za kiafya,kimahusiano,kindoa,kielimu,kiuchumi n.k
Lakini hapana pakusemea maana kila mtu anapambana kujionesha kuwa Yuko Sawa wakati anaumwa na Jamii imewafunza hivo...

Mwisho wa siku watu hawa wanakufa ndani Kwa ndani na mwisho wake wanamalizikia nnje...

Basi ukikumbwa na matatizo haya tafuta wapi pakusemea ili umpate Masada sahihi na wakitaalamu...

Kutana nami Nurse and Midwife Priscar
Nitakusaidia kiroho,na kiakili utakaa Sawa.
Wasiliana nami

Wasap 0742318469.
Barikiwa.

Hivi ile tabia yakupiga simu ata hujatoka wodini mnatoaga wapi??Na ile ya kutupia Picha mtandaoni kuonyesha tumbo lako h...
15/01/2026

Hivi ile tabia yakupiga simu ata hujatoka wodini mnatoaga wapi??

Na ile ya kutupia Picha mtandaoni kuonyesha tumbo lako hata kabla hujajifungua,mnapataga wapi hzo nguvu??

Karibu kujiunga group la wajawazito na la wale wanaotaka kuwa wajawazito.

Ada elfu 20
Wasap 0742318469
Midwife Priscar
Andika k**a ni Mjamzito,au unahitaji kubeba ujauzito.

Vitu muhimu anavyohitaji mtoto baada ya kuzaliwaMtoto mchanga anahitaji joto la mama Yake baada ya kuzaliwa skin to skin...
07/01/2026

Vitu muhimu anavyohitaji mtoto baada ya kuzaliwaMtoto mchanga anahitaji joto la mama Yake baada ya kuzaliwa skin to skin contact,mkaushe mtoto,mmasage mgongoni akishalia
Unamuweka mtoto kwenye kifua cha mama mtoto anaendelea kupata joto na kuanza kunyonya.

K**a mtoto hajalia utakata kitovu haraka na kumfanyia mtoto resustantation(help baby to breath)
Na hapo utatumia baby warmer kumpa joto.
Mtoto anahitaji dawa ya macho,tetracycline eye ointment
Pia anahitaji inj vitamin k ili kuzuia kutoka Kwa damu.

Karibu kujifunza nasi huduma ya mama Mjamzito na mtoto mchanga.


Muuguzi na mkunga kiongozi
Founder

Wajawazito wengi wanapitia vipindi vigumu wakiwa peke Yao Katika kipindi cha miezi Tisa ya ujauzitoHakuna wakumkumbusha ...
03/01/2026

Wajawazito wengi wanapitia vipindi vigumu wakiwa peke Yao
Katika kipindi cha miezi Tisa ya ujauzito

Hakuna wakumkumbusha dawa zake za kila siku,hakuna WA kufatilia Afya Yake naaendeleo Yake na mtoto...

Upweke huu unafanya wajawazito wengi kusagau Afya zao na mtoto...

Karibu kuungana Nami
Kufatilia Hali yako wakati wa ujauzito

Wasap 0742318469


Tunauza supplements za wajawazito...Ukinywa hutavimba miguuHutapata presha wala kisukari wakati WA ujauzoDamu itakuwa ya...
11/10/2025

Tunauza supplements za wajawazito...

Ukinywa hutavimba miguu

Hutapata presha wala kisukari wakati WA ujauzo

Damu itakuwa yakutosha mwilini..

Mtoto atapata madini yote yakumsaidia kukua vizuri...

Hutasikia uchovu wala maumivu ya kiuno wala mgongo...

Karibuni wajawazito

Pia tuna group la wajawazito wanaohitaji kufatiliwa Afya zao kipindi cha ujauzito...

Whasap
0742318469


Karibu kujiunga na group la wajawazito...Kupata elimu itakayokusaidia wakati wote WA ujauzito na baada ya kujifungua ......
24/09/2025

Karibu kujiunga na group la wajawazito...

Kupata elimu itakayokusaidia wakati wote WA ujauzito na baada ya kujifungua ...

Kupata ufuatiliaji WA Afya yako na mtoto kipindi cha ujauzito....

Group Hili ni mahususi Kwa wamama wajawazitoWaliopoteza Watoto mimba zilizopita...
Wenye uhitaji wa ungalizi...
Wenye ujauzito wa Kwanza...

Wasap Mjamzito

0742 318469

Midwife Priscar

Umeteseka kubeba ujauzito bila mafanikio,karibu kuongea na mkunga mtaalam...Umebeba ujauzito unakusumbua,au unhitaji uan...
21/08/2025

Umeteseka kubeba ujauzito bila mafanikio,karibu kuongea na mkunga mtaalam...

Umebeba ujauzito unakusumbua,au unhitaji uangalizi Wa ujauzito Wako ili iliujifungue salama,karibia kuongea na mkunga kwa msaada zaidi...

Online clinic ...

Wasap me
0742 318469

Nyote mnakaribishwa




Address

Dodoma
TANZANIA

Opening Hours

Monday 09:00 - 22:00
Tuesday 09:00 - 22:00
Wednesday 09:00 - 22:00
Thursday 09:00 - 22:00
Friday 09:00 - 22:00
Saturday 09:00 - 22:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Midwife Priscar posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Midwife Priscar:

Share