AFYA YA UZAZI

AFYA YA UZAZI Naitwa Musa Senkubo, Najihusisha na Huduma ya afya katika kutatua changamoto za uzazi kwa (KE) & (ME)

21/07/2025
12/07/2025

Una kila sababu ya kufanikiwa , wewe unaweza , wewe ni shujaa, wewe ni jasiri na wewe ni mshindi anza sasa kupigania ndoto zako. Muda haujawahi kumsubiri mtu na usisubiri uwe na kikubwa ndio uanze bali anza sasa ukue.

K**a uko DODOMA njoo ofisini nikuonyeshe namna fursa ilivyo ukiipenda utafanya nanusipoipenda unaachana nayo.

Call / Whatsapp 0652893499

23/06/2025

*UNAFAHAMU NINI KUHUSU UZEE NA MARDHI YA UZEENI YANAYOTOKANA NA KUCHOKA KWA MWILI*

Uzee ni hatua ya maisha ya mwanadamu inayofuata baada ya utu uzima, ambapo mwili na akili huanza kuonesha mabadiliko ya asili yanayotokana na kuongezeka kwa umri. Kibiolojia, uzee huambatana na kushuka kwa nguvu za mwili, kupungua kwa uwezo wa viungo kufanya kazi kwa ufanisi k**a zamani, na ongezeko la uwezekano wa kupata magonjwa ya muda mrefu.

*Kibiolojia* : Ni mchakato wa kupungua kwa uwezo wa mwili kutokana na uharibifu wa seli unaotokea taratibu kadri miaka inavyoongezeka.

■ DALILI NA MABADILIKO YA UZEE

1. Kupungua kwa nguvu na misuli

2. Kupungua kwa kasi ya kumbukumbu na uwezo wa kufikiri haraka

3. Kuongezeka kwa magonjwa k**a shinikizo la damu, kisukari, au ugonjwa wa moyo

4. Kubadilika kwa ngozi (kulegea au kupata mikunjo)

5. Mabadiliko katika usingizi na hamu ya kula

Bidhaa hii ni ulinzi na suluhisho la changamoto zote za maradhi yenye uhusino na utu uzima ama uzee. Na itakufanya kuwa na muonekano wa ujana ngozi yenye kuvutia, mwili wenye nguvu na kukufanya kuzeeka na nguvu zako .

Inapatikana @550,000/= naninatumika kwa mwezi mzima .

Call/ Whatsapp 0652893499

IFAHAMU FEMIBIOTI▶️ Ni bidhaa mpya kwa ajili ya Wanawake pekee.▶️ Iko katika mfumo wa Ungaunga (Powder)▶️ Imetengenezwa ...
15/05/2025

IFAHAMU FEMIBIOTI

▶️ Ni bidhaa mpya kwa ajili ya Wanawake pekee.

▶️ Iko katika mfumo wa Ungaunga (Powder)

▶️ Imetengenezwa kwa teknolojia kubwa kutokana na *Probiotics* (Bakteria wazuri) na *Prebiotic* (Viini lishe vya Bakteria wazuri)

▶️ Humlinda mwanamke dhidi ya Maambukizi (infections), Vimbe (Inflammations) kwenye uke ( vaginitis)

🦋 Vaginitis ni Maambukizi na vimbe zinazotokea kwenye uke (vaginal) na kusababisha

✅ Miwasho( itching)
✅ Michubuko (irritation)
✅ Kutoa Uchafu (abnormal discharge)
✅ Maumivu wakati wa kujamiiana

🦋Matatizo makuu yanayoondolewa na Femibiotic

1️⃣ Vulvovaginal candidiasis (Fungus)
2️⃣ Bacterial vaginosis (Kuota kwa bacteria wabaya
3️⃣ Trichomoniasis (Maambukizi ya Ngono) STDs.

MWAMBIE JIRANI YAKO AMWAMBIE JIRANI YAKE, SULUHISHO LA CHANGAMOTO HIZO LIPO, ASITESEKE

Kupata bidhaa hii Nipigie
0652893499

02/05/2025

Tezi dume ni kiungo cha mfumo wa uzazi wa kiume kinachozunguka sehemu ya juu ya mrija wa mkojo (urethra), chini ya kibofu cha mkojo. Kazi yake kuu ni kutengeneza na kutoa majimaji yanayochanganyika na mbegu za kiume wakati wa utoaji wa shahawa.

Kisababishi kikuu cha tezi dume kuvimba (prostate enlargement), au benign prostatic hyperplasia (BPH), ni mabadiliko ya homoni yanayotokea kadri mwanaume anavyozeeka. Kadri umri unavyoongezeka, tezi dume inaelekea kukua, jambo linaloweza kusababisha kuvimba kwa sababu ya mkusanyiko wa seli.

■Visababishi vingine ni

K**a una umri wa miaka 38 na kuaendelea inawezekana haya ndio mambo yanayokutesa na kukunyima raha . Hivyo ukiona haya jua uko kwenye hatari ya madhara ya tezi dume

1. Shida ya kuanza kukojoa. Unakojoa mkojo unatoka kwa shida

2. Kukojoa mara kwa mara, hasa nyakati za usiku.

3. Hisia ya kibofu kutokukamilisha kutoa mkojo.

4. Mkojo kuendelea kutoka ata baada ya kumaliza kukojoa.

5. Kudhoofika kwa nguvu ya mkojo au mkojo kutoka kwa taabu.

Iwapo kuvimba kwa tezi dume hakutibiwi, linaweza kusababisha shida k**a vile maambukizi ya mfumo wa mkojo (UTIs), kuathiri figo, au kuwa na matatizo ya kudumu ya kibofu.

Ila ondoa hofu tuna bidhaa bora za afya zilizotengenezwa kwa viambata vya asili ambazo zimewasaidia wengi kupona tatizo la tezi dume bila upasuaji. Karibu na wewe tumalize tatizo lako sasa na niko na ofa ya 20% kwa ajili yako .

Call / whatsapp 0652893499

26/04/2025

*𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 MAGONJWA YA 𝗠𝗜𝗙𝗨𝗣𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗨𝗡𝗚𝗜𝗢👇*
🌿 Kusagika kwa Pingili za Mgongo
🌿 Maumivu Makali ya Kiuno na Mgongo
🌿 Mifupa Kusagana
🌿 Miguu Kuwaka Moto
🌿 Kuhisi Ganzi
🌿 Maumivu ya Shingo, Kiuno
🌿 Kukosa Uteute kwenye Magoti
🌿 Kushindwa Kutembea n.k

𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗭𝗜𝗡𝗔𝗭𝗢𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗔𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗬𝗔 𝗠𝗜𝗙𝗨𝗣𝗔 (𝗢𝗘𝗧𝗘𝗢𝗣𝗢𝗥𝗢𝗦𝗜𝗦) 👇
✍️ Magonjwa ya figo.
✍️ Upungufu wa hormone za estrogen hii ni kwa wanawake hasa wale wenye (Menopause) kikomo cha hedhi
✍️ Upasuaji na kuondolewa (ovaries) mayai ya uzazi kwa wanawake
✍️ Anorexia uzito mdogo kupita kias APA ni kwa wale wanaopenda sana kujinyima kula kupita kiasi wakikwepa kunenepa sana na kufanya mazoezi kupita kiasi.

𝗔𝗧𝗛𝗔𝗥𝗜 𝗭𝗜𝗡𝗔𝗭𝗢𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗜𝗦𝗛𝗪𝗔 𝗡𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔𝗠𝗢𝗧𝗢 𝗭𝗔 𝗠𝗜𝗙𝗨𝗣𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗨𝗡𝗚𝗜𝗢 👇
🍀 Mifupa kuvunjika kwa urahisi.
🍀 Kupinda Mgongo wakati wa Uzeeni
🍀 Maumivu makali ya Mifupa hasa Katika uti wa mgongo, Mabegani, Kifuani na katika Nyonga.
🍀 Ulemavu wa Kudumu
🍀 Kupata Tatizo la Kiharusi (Stroke)
🍀 Kifo 😥

𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜
*0652893499*
.

JE, UNAKABILIWA  NA PID na HOMONAL IMBALANCE ? , SULUHISHO LAKO LIPO HAPA NI LA KUDUMU.KWA 580,000/= UNAKUWA MAMA HARAKA...
30/03/2025

JE, UNAKABILIWA NA PID na HOMONAL IMBALANCE ? , SULUHISHO LAKO LIPO HAPA NI LA KUDUMU.

KWA 580,000/= UNAKUWA MAMA HARAKA

Je, unahisi maumivu tumbo chini ya kitovu na usumbufu kutokana na PID au mabadiliko ya homoni na kupelekea kupata hedhi isiyoeleweka isiyokuwa na mpangilio wa tarehe, Kupata uchafu mweupe mzito wenye harufu, kukosa ute wa uzazi na kushindwa kubeba ujauzito ?. Virutubisho vyetu vimeundwa mahususi kukusaidia kuondoa maumivu, kurejesha usawa wa homoni, na kuishi kwa afya bora kwa kumaliza changamoto zote hizo.

Virutubisho vyetu hivi husaidia kuondoa uvimbe, maumivu ya tumbo, na mabadiliko ya homoni ambayo yanatokana na PID na kutofanya kazi vizuri kwa homoni. Utafiti unaonyesha kuwa viungo hivi vya asili vina uwezo wa kuboresha afya yako ya uzazi na kuleta usawa wa homoni kwa muda mfupi.

Virutubisho vyetu vina viambato vya asili ambavyo vimejaribiwa na kuthibitishwa kusaidia wanawake wengi k**a wewe kupata nafuu ya haraka na kuboresha afya zao. Hakuna madhara ya muda mrefu katika utumiaji, na ni suluhisho la asili kabisa.

Ushuhuda wa Wateja kutoka Dodoma

[ "Baada ya kutumia virutubisho hivi, nilianza kuona mabadiliko ndani ya wiki tatu! Maumivu ya tumbo na dalili za homoni kutokuwa sawa zimepotea kabisa niko sawa na Naona k**a nimepata mwili wangu tena na changamoto zote zimepotea , nakushukuru sana dr.– Anna G. ]

Hizi ni faida za kutumia virutubisho vyetu :-

1. Kumaliza maumivu na usumbufu wa PID.
2. Kurudisha usawa wa homoni.
3. Kuimarisha afya ya uzazi kwa wanawake.
4. Kuboresha hali ya ngozi, uzito, na mzunguko wa hedhi.
5. Kuondoa harufu na uchafu mweupe mzito au k**a mtindi ukeni.
6. Kurekebisha mzunguko kwa hedhi

Usikubali kuendelea kuteseka na PID au homoni zisizo sawa na changamoto zote za mfumo wa uzazi. Pata virutubisho vyako sasa kwa punguzo maalum, Weka oda yako leo na anza safari ya kuelekea afya bora ya uzazi na usawa wa homoni.

Kuna punguzo la 20% kwa oda zitakazowekwa ndani ya siku 3 zijazo!

Ikiwa hutapata matokeo ndani ya siku 30, tunakupa uhakikisho wa kurudishiwa pesa bila maswali yoyote. KARIBUNI SANA.

Call /whatsapp 0652893499

24/01/2025

diseases) husababishwa na mchanganyiko wa mambo mbalimbali, yakiwemo:

Mabadiliko ya asili ya mwili (Aging Process)
Mwili unapozidi kuzeeka, seli, tishu, na viungo huanza kupoteza uwezo wa kufanya kazi kwa ufanisi, hali inayoongeza hatari ya maradhi k**a vile:

■Magonjwa ya moyo.

■Kisukari cha aina ya pili.

■Shinikizo la damu (High blood pressure).

■Osteoporosis (kupotea kwa wingi wa mifupa).

○Mfumo wa kinga unaodhoofika (Weakened Immune System)
Umri mkubwa hufanya mfumo wa kinga kupungua nguvu, na kusababisha mwili kushindwa kupambana na maambukizi na magonjwa k**a kansa au magonjwa sugu.

Mabadiliko ya homoni
Kupungua kwa homoni fulani mwilini, k**a vile estrogeni kwa wanawake (baada ya menopause) na testosterone kwa wanaume, kunaweza kusababisha matatizo k**a mifupa kuwa dhaifu, kupoteza nguvu za misuli, au matatizo ya uzazi.

Tabia na mtindo wa maisha (Lifestyle Factors)
Tabia zisizofaa zinazofuatwa kwa muda mrefu zinaweza kuchangia maradhi ya uzee, k**a vile:

1. Lishe duni (vyakula vyenye mafuta mengi, sukari, na chumvi).

2. Ukosefu wa mazoezi.

3. Unywaji pombe kupita kiasi na uvutaji sigara.

Msongo wa oksidishaji (Oxidative Stress)
Mwili huzalisha viini sumu (free radicals) vinavyoweza kuharibu seli na tishu. Kwa umri mkubwa, uwezo wa mwili wa kupambana na sumu hizi hupungua, na kuchangia magonjwa k**a Alzheimer’s, saratani, na magonjwa ya mishipa ya damu.

Mambo ya kinasaba (Genetics)
Baadhi ya watu wanaweza kurithi vinasaba vinavyowafanya wawe na uwezekano mkubwa wa kupata maradhi fulani yanayohusiana na uzee, k**a vile ugonjwa wa kisukari au matatizo ya moyo.

Mazoea ya kisaikolojia (Psychological Factors)
Msongo wa mawazo wa muda mrefu, upweke, au huzuni huongeza hatari ya maradhi ya akili k**a vile unyogovu, pamoja na magonjwa ya mwili yanayohusiana na uzee.

Mazingira na mazingira ya kazi
Kufanya kazi katika mazingira yenye sumu, au kuishi katika maeneo yenye uchafuzi wa mazingira kwa muda mrefu, kunaweza kuchangia matatizo k**a kansa au ugonjwa wa mapafu.

Kuzuia au kupunguza hatari ya maradhi haya sasa unahitaji kutumia bidhaa hii ambayo itakulinda na yote hayi

Call / whatsapp 0652893499

03/01/2025

CALL 0652893499

DODOMA DODOMA DODOMA DODOMA USIKUBAKI KUPITWA NA HII FURSAKaribu sana kwesho kwenye Semina ya elimu ya biashara ya mtaji...
30/11/2024

DODOMA DODOMA DODOMA DODOMA

USIKUBAKI KUPITWA NA HII FURSA

Karibu sana kwesho kwenye Semina ya elimu ya biashara ya mtaji mdogo , namna ya kutumia muda wako wa ziada kuingiza kipata bila kuathiri ahughuli zako , ajira yako ama biashara yako

Ni bure hakuna kiingilio

K**a utakuwepo nitumie sms inbox andika nebo " NITAKUWEPO"

Call / Whatsapp 0652893499

05/11/2024

Check out Mu_ Health_Solution’s video.

NJIA SALAMA NA ASILI YA KUDHIBITI KISUKARI KUPITIA VIRUTUBISHO LISHE BILA MADHARA, BILA PRESHA!Unajisikia kuchoshwa na k...
04/11/2024

NJIA SALAMA NA ASILI YA KUDHIBITI KISUKARI KUPITIA VIRUTUBISHO LISHE BILA MADHARA, BILA PRESHA!

Unajisikia kuchoshwa na kudhibiti sukari yako kila siku? Una wasiwasi kuhusu afya yako ya baadaye na kuendelea kutumia dawa zenye madhara? Sasa kuna suluhisho la asili na lishe bora ambalo linaweza kubadilisha jinsi unavyohisi

Virutubisho hivi vya kisukari vimeundwa kusaidia mwili wako kupata utulivu wa sukari bila hofu ya madhara makubwa.

■ Virutubisho vyetu vitakusaidia kurekebisha mambo yafuatayo mwilini mwako

○ Kudhibiti Kiwango cha Sukari: Husaidia kuweka viwango vya sukari kwenye kiwango cha kawaida, kupunguza hatari ya kuzidi au kushuka sana kwa sukari.

○ Vinaboresha Nguvu na utendaji kazi wa homoni ya Insulini: Virutubisho vyetu vina viambato vinavyosaidia mwili kujitibu na kuboresha mwitikio wa insulini kwa asili.

○ Vinaimarisha Afya ya Moyo na Mishipa: vina viambato vinavyosaidia kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo ambayo huwa kawaida kwa wenye kisukari.

○ Vinasaidia Kudhibiti Hamasa ya Kula: Inadhibiti hamu ya kula, hivyo kusaidia kudhibiti uzito, jambo muhimu kwa watu wenye kisukari.

■ Virutubisho vyetu vina mchanganyiko wa viambato asili, vikiwa na vitamini, madini, na mimea maalum iliyothibitishwa kusaidia mwili kudhibiti viwango vya sukari na kuongeza nguvu. Hii inamaanisha unaweza kuhisi mabadiliko haraka, huku ukiimarisha mwili wako kwa muda mrefu

Hii nishuhuda ya mgonjwa wetu kutoka Arusha 👇

[ “Nimekuwa na kisukari kwa miaka 5 na nilikuwa naogopa sana kupoteza nguvu na afya. Lakini baada ya kuanza kutumia virutubisho hivi, nimeona mabadiliko makubwa! Kiwango changu cha sukari kimekuwa imara na afya yangu imeimarika.” ]

Pata Punguzo la 20% kwa kila oda ya dozi ya kwa wateja 3 wa kwanza .Ofa hii ni maalum kwa kipindi hiki tu!. Ofa inaisha tarehe 07/11/2024.

Usikubali kisukari kiathiri maisha yako zaidi. Chukua hatua sasa na anza safari ya kuimarisha afya yako kwa kutumia virutubisho vyetu salama na vyeenye ufanisi!

Piga simu sasa ama njoo inbox whatsapp kwa namba
0652893499. Ama bonyeza kitufe cha whatsa hapo kwenye tango ili kupata huduma.

Address

Dodoma

Opening Hours

Monday 07:00 - 22:00
Tuesday 07:00 - 22:00
Wednesday 07:00 - 22:00
Thursday 07:00 - 22:00
Friday 07:00 - 22:00
Saturday 07:00 - 22:00
Sunday 07:00 - 22:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA YA UZAZI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA YA UZAZI:

Share