AFYA YA UZAZI

AFYA YA UZAZI Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA YA UZAZI, Medical and health, Dodoma.

NASAIDIA WANAWAKE NA WANAUME WENYE YA CHANGAMOTO YA UZAZI

✅Tunatatua kuanzia chanzo cha tatizo kwa kutumia bidhaa zenye ubora wa hali ya juu na kumaliza tatizo kabisa

✅Piga simu kwa ushauri na matibabu ya changamoto za uzazi
0652893499

11/05/2026

Epuka kushiriki tendo la ndoa mara tu unapomaliza hedhi. hakikisha unafanya usafi vizuri wa uke wako kuondoa bacteria wabaya wa mabaki ya damu ya hedhi ili kuhepuka madhara kwa mpenzi wako na kwako mwenye . Jali afya yako kwanza kuliko kupenda sana kufanya tendo pasipo salama.

゚viralシ

09/05/2026

K**a wewe ni mtumiaji mzuri wa p2 jua haya ndio yatakayokukuta

゚viralシ

Kulala bila chupi kunaweza kuwa na faida kadhaa kwa baadhi ya wanawake, hasa upande wa afya na faraja. Hizi ni baadhi ya...
08/05/2026

Kulala bila chupi kunaweza kuwa na faida kadhaa kwa baadhi ya wanawake, hasa upande wa afya na faraja. Hizi ni baadhi ya faida zinazotajwa mara nyingi:

1.Kupunguza unyevunyevu sehemu za siri.
Hewa hupita vizuri zaidi, hivyo kusaidia eneo la uke kubaki kavu na kupunguza mazingira yanayoweza kuchochea fangasi au muwasho.

2.Kupunguza joto na msuguano.
Kulala bila chupi kunaweza kusaidia ngozi kupumua na kupunguza muwasho unaosababishwa na nguo zinazobana.

3.Faraja wakati wa kulala
Watu wengi huhisi huru zaidi na kupata usingizi mzuri wanapolala bila nguo za ndani zinazobana.

4.Kusaidia afya ya ngozi
Ikiwa mtu hupata vipele au muwasho kutokana na jasho au msuguano, kulala bila chupi kunaweza kusaidia kupunguza tatizo hilo.

Hata hivyo:
Ni muhimu kuhakikisha mazingira ya kulala ni safi, k**a mashuka na nguo za kulalia. K**a kuna uchafu mwingi au hali ya hewa ya baridi sana, wengine wanaweza kujisikia vizuri zaidi kuvaa chupi ya pamba isiyobana.

゚viralシ

PID ni hatari , unapoona dalili ambazo sio nzuri kwenye afya ya uzazi kafanye vipimo haraka kuhepuka ugumba na kansa ya ...
08/05/2026

PID ni hatari , unapoona dalili ambazo sio nzuri kwenye afya ya uzazi kafanye vipimo haraka kuhepuka ugumba na kansa ya kizazi

゚viralシ

07/05/2026

Thamani ya mama ni kubwa sana , usipoitambua dunia itakuwa ngumu sana kwako

゚viralシ

06/05/2026

🚨 JE, UNASUMBULIWA NA TEZI DUME? USIPUUZE DALILI HIZI!

❌ Unakojoa mara kwa mara hasa usiku?
❌ Mkojo unatoka kwa shida au kwa kukatika?
❌ Unahisi maumivu wakati wa kukojoa au kwenye nyonga?
❌ Nguvu za kiume zimepungua ghafla?

👉 Hizi ni dalili za tatizo la TEZI DUME (Prostate) – na usipolishughulikia mapema linaweza kuleta madhara makubwa!

🔥 HABARI NJEMA!
Sasa kuna suluhisho la asili linalosaidia:
✅ Kupunguza uvimbe wa tezi dume
✅ Kurahisisha mtiririko wa mkojo
✅ Kupunguza maumivu na muwasho
✅ Kuongeza nguvu za kiume kwa asili

💊 Tiba hii inatengenezwa kwa virutubisho vya asili vilivyochaguliwa kusaidia afya ya mwanaume bila madhara makubwa.

💯 Wanaume wengi tayari wameshuhudia mabadiliko ndani ya muda mfupi!

📞 WASILIANA NASI SASA:
📱 0652893499

📦 Tunatoa huduma ya usafirishaji popote ulipo!

⚠️ Usingoje hali iwe mbaya zaidi. Anza kujali afya yako leo!

05/05/2026

05/05/2026

K**a una mzunguko wa siku 26 hakikisha unatumia table kupanga uzazi na kuacha kutumia uzazi wa mpango k**a Sindano ,Njit...
05/05/2026

K**a una mzunguko wa siku 26 hakikisha unatumia table kupanga uzazi na kuacha kutumia uzazi wa mpango k**a Sindano ,Njiti na P2 ili kuwa na uzazi salama

Ukifanya mambo haya utabeba mimba kwa haraka sana1. Tibu maambukizi ya via vya uzazi 2. Rekebisha homoni zako ili upate ...
04/05/2026

Ukifanya mambo haya utabeba mimba kwa haraka sana

1. Tibu maambukizi ya via vya uzazi

2. Rekebisha homoni zako ili upate period kwa wakati sahihi na iliyo sawa

3. Acha kutumia njia za uzazi wa mpango k**a Sindano, Kipandiki, P2

4. Tibie uvimbe k**a unao kwenye kizazi ama mji wa mayai ( Ovarian cysts)

5. Tumia virutubisho bora vya kuimarisha mfumo wa uzazi vitakavyosaidia uzalishwaji bora wa mayai na kukomaa vizuri

Call 0652893499 ili kupata virutubisho sasa

Hizi ndio sababu zinazopelekea mimba Kuharibika mara kwa mara
04/05/2026

Hizi ndio sababu zinazopelekea mimba Kuharibika mara kwa mara

Address

Dodoma

Opening Hours

Monday 07:00 - 22:00
Tuesday 07:00 - 22:00
Wednesday 07:00 - 22:00
Thursday 07:00 - 22:00
Friday 07:00 - 22:00
Saturday 07:00 - 22:00
Sunday 07:00 - 22:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA YA UZAZI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA YA UZAZI:

Share