AFYA YA UZAZI

AFYA YA UZAZI Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA YA UZAZI, Medical and health, Dodoma.

NASAIDIA WANAWAKE NA WANAUME WENYE YA CHANGAMOTO YA UZAZI

✅Tunatatua kuanzia chanzo cha tatizo kwa kutumia bidhaa zenye ubora wa hali ya juu na kumaliza tatizo kabisa

✅Piga simu kwa ushauri na matibabu ya changamoto za uzazi
0652893499

01/03/2026

Changamoto ya ukavu ukeni ni tatizo kwa wanawake wengi sana hivi sasa na hawajui wafanye nini kurudisha ute ute ukeni .

k**a wewe ni muhanga wa hiyo hali nikutoe hofu suluhisho lipo , njoo inbox whatsapp ama piga simu namba hii chini

0652893499

01/03/2026

Haizi ni dalili za PID sio UTI , Hakikisha unapata matibabu kwa hlarakal sana kulinda afya yako ya uzazi

🇹🇿 🇨🇦 🇸🇪

01/03/2026

Fanya mambo haya k**a unahitaji kuwa mama sasa

Callk /WhatsApp 06529936499

🇺🇸 🇨🇦

DALILI ZA KUHARIBIKA KWA MIMBA (Miscarriage) ni ishara zinazoonyesha kuwa ujauzito unaweza kuwa katika hatari au tayari ...
01/03/2026

DALILI ZA KUHARIBIKA KWA MIMBA (Miscarriage) ni ishara zinazoonyesha kuwa ujauzito unaweza kuwa katika hatari au tayari umeharibika. Dalili zinaweza kutofautiana kwa kila mwanamke, lakini hizi ndizo za kawaida:
1️⃣ Kutokwa na damu ukeni
Damu inaweza kuwa nyepesi au nyingi
Inaweza kuwa ya rangi ya pinki, kahawia au nyekundu

2️⃣ Maumivu ya tumbo la chini
Maumivu k**a ya hedhi lakini makali zaidi
Kukaza au kuvuta tumboni

3️⃣ Maumivu ya mgongo wa chini
Maumivu makali au ya kuvuta

4️⃣ Kutoka mabonge ya damu au vitu k**a nyama ukeni

5️⃣ Kupungua ghafla kwa dalili za ujauzito
Kichefuchefu kupotea ghafla
Matiti kuacha kuuma
(Hii pekee haitoshi kuthibitisha kuharibika kwa mimba, lakini ikifuatana na damu au maumivu ni ishara ya tahadhari.)

kwa msaada zaidi wa ushauri wasiliana nami kwa
WhatsApp / Call 0652893499

01/03/2026

Je Unapitia hali hizi ,
1. kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku

2. Mkojo kutoka kwa shida

3. Maumivu wakati kukojoa

4. Maumivu ya nyonga na kiuno

6. Kupungua kwa nguvu za kiume

Hizi ni dalili kuwa Tezi yako imetanuka na unahitaji matibabu ya haraka kabla hali haijakuwa ya atari zaidi

Tuwasiliane ili upate matibabu Sasa .
Whatsapp/ Call 0652893499

K**a unasumbuliwa na tatizo la bawasili na unahitaji suluhisho la kudumu tuwasiliane sasa . Bawasili ni ugonjwa mbaya un...
28/02/2026

K**a unasumbuliwa na tatizo la bawasili na unahitaji suluhisho la kudumu tuwasiliane sasa . Bawasili ni ugonjwa mbaya unaweza kukupa kansa ya tumbo

Call 0652893499

Sababu za mwanamke kutofika kileleni (or**sm) zinaweza kuwa za kimwili, kihisia au kimahusiano. Hapa chini ni sababu kuu...
27/02/2026

Sababu za mwanamke kutofika kileleni (or**sm) zinaweza kuwa za kimwili, kihisia au kimahusiano. Hapa chini ni sababu kuu:

1. Sababu za Kihisia na Kisaikolojia
■Msongo wa mawazo (stress)
■Wasiwasi au hofu
■Kukosa kujiamini na mwili wake
■Historia ya maumivu au uzoefu mbaya wa kingono
■Kutokuwepo kwa hisia za upendo au usalama kwa mwenza

2. Kukosa Msisimko wa Kutosha
■Maandalizi mafupi (foreplay haitoshi)
■Kukosa mawasiliano ya wazi kuhusu kile anachopenda
■Mwenza kutokujua sehemu zake za hisia
■Wanawake wengi huhitaji muda zaidi wa kuandaliwa kihisia na kimwili kabla ya tendo.

3. Maumivu Wakati wa Tendo
■Ukavu ukeni
■Maambukizi ya uke
■Hofu ya kuumia
Maumivu hufanya mwili ushindwe ku-relax na kufika kileleni.

4. Mabadiliko ya Homoni
■Baada ya kujifungua
■Kipindi cha kunyonyesha
■Matatizo ya homoni
■Matumizi ya baadhi ya dawa (mfano dawa za msongo wa mawazo)

5. Matatizo ya Afya
■Kisukari
■Presha
■Matatizo ya neva
■Uchovu mwingi

6. Mtazamo au Elimu Ndogo ya Masuala ya Ndoa
■Kuona tendo k**a wajibu tu
■Kuwa na imani potofu kuhusu kufurahia tendo

K**a unapitia changamoto ya kutofika kileleni tuwasiliane nikipatie suluhisho

Call/ whatsapp 065289349

Uvimbe kwenye kizazi husumbua wanawake wengi hivi sasa , uvimne unaweza kuathiri afya ya mwanamke na hata wakati mwingin...
26/02/2026

Uvimbe kwenye kizazi husumbua wanawake wengi hivi sasa , uvimne unaweza kuathiri afya ya mwanamke na hata wakati mwingine kuathiri mimba na kusababisha kuharibika ama mtoto kufia tumboni k**a utakuwa zaidi .

Hizi ni dalili za mimba ya mtoto wa k**e , ila sio kwa asilimia 100%  vipimo sahihi ni muhimu kwa muda husika           ...
25/02/2026

Hizi ni dalili za mimba ya mtoto wa k**e , ila sio kwa asilimia 100% vipimo sahihi ni muhimu kwa muda husika

Hizi hapa ni sababu kwa nini mimba inatunga nje ya mfuko👇Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi huitwa mimba ya nje ya kiza...
22/02/2026

Hizi hapa ni sababu kwa nini mimba inatunga nje ya mfuko👇

Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi huitwa mimba ya nje ya kizazi (ectopic pregnancy). Mara nyingi hutokea kwenye mirija ya uzazi (fallopian tubes).

Sababu Zinazoweza Kusababisha Mimba Kutunga Nje ya Mfuko

1. Maambukizi ya nyonga (PID)
Maambukizi k**a Chlamydia au Gonorrhea yanaweza kuharibu au kuziba mirija ya uzazi, hivyo yai lililorutubishwa kushindwa kufika kwenye mfuko wa uzazi.

2. Mirija ya uzazi iliyoziba au kuharibika
Hii inaweza kutokana na maambukizi ya muda mrefu, upasuaji wa tumbo/nyonga, au kovu (scar tissue).

3. Historia ya mimba ya nje ya kizazi hapo awali
Ukishawahi kupata, hatari huongezeka tena.

4. Upasuaji wa mirija ya uzazi (k**a kufunga kizazi)
Wakati mwingine mirija inaweza kubadilika na kuathiri safari ya yai.

5. Matumizi ya baadhi ya njia za uzazi wa mpango
K**a mimba itatokea ukiwa na kitanzi (IUD), kuna uwezekano mkubwa iwe ya nje ya kizazi (ingawa ni nadra kutokea kabisa).

6. Uvutaji sigara
Sigara huathiri kazi ya kawaida ya mirija ya uzazi.

7. Umri mkubwa (zaidi ya miaka 35)
Huongeza hatari kidogo.

Call / Whatsapp : 0652893499
Kwa ushauri na suluhisho

Haya ni madhara ya kutumia kinywaji baridi ukiwa mjamzito . Acha hiyo tabia k**a unayo
20/02/2026

Haya ni madhara ya kutumia kinywaji baridi ukiwa mjamzito . Acha hiyo tabia k**a unayo

20/02/2026

🚨 UNASUMBULIWA NA BAWASILI?
❌ Maumivu wakati wa kujisaidia?
❌ Damu kutoka?
❌ Kuwashwa au kuvimba?
Usiendelee kuteseka kimya kimya!
Bawasili husababishwa na kufunga choo, kukaa muda mrefu, ujauzito au kunyanyua vitu vizito.
Kwa ushauri sahihi na msaada wa kiafya, unaweza kupunguza tatizo hili mapema.
✅ Kupunguza maumivu
✅ Kupunguza uvimbe
✅ Kurahisisha choo kutoka
✅ Kuzuia kujirudia mara kwa mara
🛑 Chukua hatua mapema kabla hali haijawa mbaya zaidi.
📲 Piga au WhatsApp sasa: 0652893499
📦 Tunatuma popote Tanzania
Mu Health Solution
Afya yako ni kipaumbele chetu 💚

Address

Dodoma

Opening Hours

Monday 07:00 - 22:00
Tuesday 07:00 - 22:00
Wednesday 07:00 - 22:00
Thursday 07:00 - 22:00
Friday 07:00 - 22:00
Saturday 07:00 - 22:00
Sunday 07:00 - 22:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA YA UZAZI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA YA UZAZI:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram