AFYA YA UZAZI

AFYA YA UZAZI Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA YA UZAZI, Medical and health, Dodoma.

NASAIDIA WANAWAKE WENYE YA CHANGAMOTO YA UZAZI

✅Tunatatua kuanzia chanzo cha tatizo kwa kutumia bidhaa zenye ubora wa hali ya juu na kumaliza tatizo kabisa

✅Piga simu kwa ushauri na matibabu ya changamoto za uzazi
0652893499

12/01/2026

✍️Usisubiri uwe na kipato kikubwa ndio uanze

✍️ Usiamini kufanikiwa katika biashara lazima uanzue na mtaji mkubwa

✍️ Fanya maamuzi ya maisha yako sasa ili kujenga kesho yako

Anza biashara kwa mtaji wa 150,000/= tu na uingize laki 5 mpaka milioni Faida kwa mwezi . Unangoja nini tumia fursa sasa

Andika sms " NAHITAJI KUJIELIMISHA " tumia kwenda Whatsapp namba
0652893499

05/01/2026

UNAPATA SHIDA YA TEZI DUME?
👉 Kukojoa mara kwa mara usiku?
👉 Mkojo kutoka kwa shida au maumivu?
👉 Hamu ya tendo kupungua?
Usisubiri hali iwe mbaya zaidi.
Linda afya ya tezi dume yako mapema kabla haijageuka kuwa tatizo kubwa.

🧠 TEZI DUME NI NINI NA KWA NINI NI MUHIMU?
Tezi dume (Prostate) ni tezi ndogo kwa mwanaume, lakini ina mchango mkubwa sana katika:
✓ Afya ya mkojo
✓Nguvu za kiume
✓Uzazi
✓Usawa wa homoni za kiume

Changamoto zikianza kwenye tezi dume, huathiri maisha yote ya mwanaume.

⚠️ DALILI ZA AWALI ZA SHIDA ZA TEZI DUME
✔️ Kukojoa mara nyingi hasa usiku
✔️ Mkojo kutoka taratibu au kukatika
✔️ Maumivu wakati wa kukojoa
✔️ Kuhisi kibofu hakijamalizika
✔️ Kupungua kwa nguvu za kiume
✔️ Maumivu ya chini ya mgongo au sehemu ya nyonga
👉 Dalili hizi zikipuuzwa huweza kupelekea:
✓ BPH (tezi dume kuvimba)
✓ Maambukizi sugu
✓ Hatari ya kansa ya tezi dume

💡 SULUHISHO SALAMA & ASILIA
🌿 Tuna virutubisho vya Afya ya Tezi Dume
Bidhaa hizi zimeundwa kusaidia:
✅ Kuondoa uvimbe wa tezi dume
✅ Kusawazisha homoni (DHT & Testosterone)
✅ Kuboresha mtiririko wa mkojo
✅ Kuongeza nguvu za kiume
✅ Kulinda seli za tezi dume dhidi ya uharibifu

🔬 VINAVYOFANYA BIDHAA ZETU KUWA TOFAUTI
✔️ Viambato asilia vilivyothibitishwa
✔️ Husaidia mwili kujitibu (sio kuficha dalili)
✔️ Salama kwa matumizi ya muda mrefu
✔️ Haina kemikali kali
✔️ Inafaa wanaume kuanzia miaka 38+

🧪 VIRUTUBISHO HUFANYA KAZIJE?
✓ Hupunguza DHT nyingi inayochochea uvimbe
✓ Hupunguza uchochezi (inflammation)
✓Huboresha mzunguko wa damu kwenye tezi dume
✓ Huimarisha kinga ya mwili

BONYEZA LINK HAPA CHINI ILI KUPATA MSAADA ZAIDI

https://chat.whatsapp.com/JLcIXeQXmko4liiLOIlX3r

28/12/2025
28/12/2025

🌺 Changamoto za Ukeni ambazo Wanawake Wengi Hukutana Nazo 🌺

🔹 Kuwasha sehemu za siri
🔹 Harufu isiyo ya kawaida
🔹 Kukauka kwa uke
🔹 Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🔹 Utoaji wa uchafu usio wa kawaida

➡️ Changamoto hizi zinaweza kusababishwa na maambukizi, usafi duni, au mabadiliko ya homoni.
Kumbuka: Usione aibu kutafuta ushauri wa daktari au mtaalamu wa afya ya uzazi

CALL / WHATSAPP 0652893499

26/12/2025

1. Kukojoa mara kwa mara usiku
2. Mkojo kutoka taratibu
3. Nguvu za kiume kupungua

Wanaume wengi hudhani ni uzee…
Kumbe ni dalili za awali za shida ya tezi dume.
Usiposimamia mapema, huweza kuishia BPH au hatari ya kansa ya tezi dume.

✅ Habari njema: Kuna njia salama ya kujilinda mapema bila upasuaji.

👉 NITUMIE “PROSTATE” WhatsApp nikueleze zaidi. au bonyeza link hapa chini kuja moja kwa moja Whatsapp

https://wa.me/255652893499?text=Nahitaji%20msaada%20kuhusu%20shida%20za%20tezi%20dume

23/12/2025

🌸 JE, UNAPITIA MAUMIVU YA NDANI KWA NDANI KIMYA KIMYA? 🌸
(PID • Homonal Imbalance • Uvimbe kwenye Via vya Uzazi)
Umewahi kujiuliza:
Kwa nini hedhi haiko sawa?
Kwa nini maumivu ya tumbo la chini hayakwishi?

✓ Kwa nini mimba haishiki au inaharibika mara kwa mara?
Kwa nini umechoka, una hasira bila sababu, au hamu ya tendo la ndoa imepungua?

👉 K**a jibu ni NDIYO, fahamu kuwa hauko peke yako, na muhimu zaidi — kuna msaada salama wa lishe unaoweza kuanza leo.

⚠️ CHANGAMOTO HIZI ZIKIPUUZWA, HUWEZA KUATHIRI:

∆ Uwezo wa kushika mimba
∆ Afya ya mfuko wa uzazi
∆ Ndoa / mahusiano
∆ Afya ya homoni kwa ujumla

Wanawake wengi wamekuwa wakitumia dawa bila kushughulikia chanzo halisi cha tatizo — mwili wenye sumu, homoni zisizo sawa na kinga dhaifu.

🌿 SULUHISHO LA LISHE LINALOANZA NDANI YA MWILI 🌿

Tunatoa virutubisho lishe vya asili, vilivyoundwa kusaidia mwili wa mwanamke:
✔ Kusafisha mfumo wa uzazi
✔ Kurekebisha homoni taratibu
✔ Kupunguza uvimbe na maambukizi (PID)
✔ Kuimarisha kinga ya mwili
✔ Kuandaa mwili kwa ujauzito wenye afya
🔑 Hatutibu ugonjwa, bali tunasaidia mwili kujirekebisha wenyewe, k**a ulivyokusudiwa kiasili.

💖 KWA NANI BIDHAA HIZI NI MUHIMU?
✔ Mwanamke mwenye PID
✔ Mwanamke mwenye mzunguko wa hedhi usioeleweka
✔ Mwenye uvimbe/fibroids/maumivu ya tumbo la chini
✔ Anayetafuta ujauzito
✔ Anayetaka afya bora ya uzazi kwa muda mrefu

🌺 FAIDA HALISI WANAZOSHUKUDIA WATEJA WENGI 🌺
✨ Kupungua kwa maumivu ya tumbo
✨ Mzunguko wa hedhi kuanza kuimarika
✨ Kuongezeka nguvu na hamasa
✨ Kujisikia mwepesi na mwenye matumaini
✨ Kujiamini tena k**a mwanamke
(Matokeo hutofautiana kulingana na mwili wa mtu)
⏳ KWA NINI UANZE SASA, SIO BAADAYE?
👉 Kila mwezi unaopita bila kuchukua hatua, tatizo linaweza kuendelea kukaa kimya lakini linaendelea kuharibu.
👉 Afya ya uzazi ina muda, usisubiri hadi uambiwe “umechelewa”.

📲 CHUKUA HATUA LEO
Bonyeza INBOX / WHATSAPP sasa
📞 Pata ushauri wa bure kabla ya kuanza
🎁 Mpango wa matumizi unaoendana na hali yako

👉 MWILI WAKO UNASTAHILI HUDUMA BORA.
👉 UZAZI NI BARAKA — ULINDE LEO.

16/12/2025

Usipitwe na hii fursa kijana . Mwanachuo ,muhitimu wa chuo, mama wa nyumbani ama mtumishi wa serikali njoo ujielimishe kufanya ni kuamua .

02/12/2025

SUKARI INATIBIKA NA INAISHA KABISA ILA SIO KWA DAW NI KWA VIRUTUBISHO TU

DM nikupatie suluhisho la kudumu

01/12/2025

Wanaschuo hakikisha hii haukosi , ni fursa ya kipekee sana hakikisha unakuja kwenye semina na wenzako ili muone njia mpya ya mafanikio

01/12/2025

K**a una shida zifuatazi
1. Kuishiwa ute kwenye maungio

2. Kulika kwa gwegwedu kwenye maungio

3. Pingili za mgongo kupishana

4. Pingili za mgongo kusagika

5. Maumivu ya shingo

7. Maumivu ya vifundo vya mguu

hakikisha unatumia hivi virutubisho sasa kumaliza changamoto yako

26/11/2025

Address

Dodoma

Opening Hours

Monday 07:00 - 22:00
Tuesday 07:00 - 22:00
Wednesday 07:00 - 22:00
Thursday 07:00 - 22:00
Friday 07:00 - 22:00
Saturday 07:00 - 22:00
Sunday 07:00 - 22:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA YA UZAZI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA YA UZAZI:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram