
24/03/2025
LINI UTAACHA KUTOKWA NA UCHAFU UKENI
*Chukua muda mfupi Soma hii*
📌Tatizo la kutokwa na uchafu ukeni wenye harufu mbaya hii ni hali mbaya sana kwani inaleta fedheha hasa unapokuwa na watu na hata kwa mpenzi wako
📌Kutokwa na uchafu ukeni ni sababu ya haya
1.Pelvic inflammatory deseases (P.I.D)
2.Candidiasis(fungal infections)
3.Gonorrhoea,Sphillis
4.U.T.I
📌Hali hii inakera sana hasa unapo kuwa na rafiki yako au na mwenzako wakati wa kula keki inaweza kujutoa mchezon hata kupelekea kuharibu mahusiano
🛑FANYA HIVI KUONDOKANA NA TATIZO HILI
1.Tibu tatizo hili kwa kikamilifu kabisa lisiweze kujirudia tena
2.Zingatia usafi wako binafsi
3.Epuka kuvaa nguo zenye unyevu na zinazobana
4.Epuka vyakula vyenye sukari nyingi kwani huchochea kuongezeka kwa Fungus
5.Epuka kutumia vitu vyovyote kuweka ukeni k**a sabuni au manukato kwan hupelekea kuongeza PH ya uke na kufanya fungus kuwa wengi
🛑HEBU JIULIZE UTAKUWA NA HUO UJAFU MPAKA LINI?
K**a hali hii inakukera na kukunyima amani leo nipo hapa kukusaidia kwa ushauri zaidi na matibabu
+255623252280
Msumba
AfyaClinic
AFYA YAKO KIPAUMBELE CHETU