27/10/2025
UNAPOANZA WEEK MPYA K**A NAKUPA MAMBO HAYA MUHIMU KWA AFYA YAKO
Hapa Kuna Mambo Makuu 6 Muhimu Katika Mfumo Wa afya ya Mwanaume Rijali.
1. Mishipa imara ya ubongo na yenye afya njema.
2. Mishipa imara ya uti wa mgongo.
3. Mishipa imara ya kusafirisha damu mwilini.
4. Uzalishaji mzuri na imara wa homoni ya testosterone mwilini.
5. Mishipa midogo modogo ya damu katika uume iliyo imara na yenye afya njema.
6. Uhusiano imara na wenye afya kati ya mishipa ya fahamu iliyo katika ubongo, mishipa ya kwenye uti wa mgongo pamoja na msuli na mishipa ya kwenye uume.
KUMBUKA: Ili Mwanaume Aweze Kuwa Na Nguvu Imara Za Kiume Na Aendelee Kuwa Na Nguvu Hizo Ni Lazima Mambo Yote Hayo Muhimu Katika Mfumo Wa Nguvu Za Kiume Yawe Imara, Pasiwepo Na Hitilafu Yeyote Ile.
CHUNGUZA HALI NA MAENDELEO YA AFYA YAKO YA UZAZI
It's me Msumba
+255623252280
AFYA YAKO KIPAUMBELE CHETU