Choice Wellness Center

Choice Wellness Center Health Coach & master herberlist

29/08/2025

Watch, follow, and discover more trending content.

12/05/2024
12/05/2024
12/05/2024
12/05/2024
12/05/2024
12/05/2024
Fahamu kuhusu soda
02/05/2024

Fahamu kuhusu soda

🤔
01/05/2024

🤔

🟩Je unafahamu kuhusu SAUNA na faida zake❓ Sauna ni Chumba  kichosanifiwa k**a sehemu ya kupata joto la mvuke.Mtu anapoku...
29/12/2023

🟩Je unafahamu kuhusu SAUNA na faida zake❓

Sauna ni Chumba kichosanifiwa k**a sehemu ya kupata joto la mvuke.Mtu anapokua katika chumba cha sauna hutokwa jasho jingi sambamba na faida kadhaa.

FAIDA ZA SAUNA NI K**A ZIFUATAVYO:

1️⃣Husaidia kuondosha sumu mwlini kwa njia ya jasho
2️⃣Huimarisha afya ya ngozi
3️⃣Husaidia kupunguza msongo wa mawazo
4️⃣Huondoa maumivu ya misuli pamoja na viungo.
5️⃣Husaidia kuimarisha afya ya ubongo.
6️⃣Husaidia kurekebisha pressure.
7️⃣Husaidia kupata usingizi kwa wenye changamoto ya kukosa usingizi
8️⃣Husaidia kupunguza uzito
9️⃣Husaidia kuimarisha mfumo wa upumuaji pamoja na kuleta nafuu kwa wale wenye changamoto kwenye njia ya upumuaji.
🔟Huimarisha kinga ya mwili hivyo hupunguza kasi ya magonjwa nyemelezi
🔵Pamoja na faida nyingine nyingi

ℹKwa maelezo zaidi/maswali piga simu namba 📞 0784144385

Bei ni Tshs 10,000/= (unlimited time)

CHOICE WELLNESS CENTER.
Arusha,Ngusero karibu na Arusha city bar/Choice health laboratory

SAUNA|CUPPING & HIJAMA|FACIAL CARE|HOLISTIC APPROACH|HERBAL DRUGS

🟢🟢KUUMIKA (HIJAMA/WET CUPPING)🟢🟢 ▶️Kuumika ni mbinu zenye asili ya kale zilizohusisha kutoa damu chafu katika mwili. 🔴Uw...
28/12/2023

🟢🟢KUUMIKA (HIJAMA/WET CUPPING)🟢🟢

▶️Kuumika ni mbinu zenye asili ya kale zilizohusisha kutoa damu chafu katika mwili.

🔴Uwepo wa  damu chafu katika mwili husababisha maumivu,pamoja na athari zingine zinazopelekea maradhi ambayo mengi yamekua ni korofi katika matibabu.

🔵Mifumo yetu ya maisha ya sasa,ikiwemo nidhamu zisizo rafiki kwenye kula,matumizi holela ya dawa za hospitali,machafuko ya hali ya hewa pamoja na sababu zinginezo hutuweka katika hatari ya kua  na  damu chafu.

ZIFUATAZO NI MIONGONI MWA FAIDA ZA KUUMIKA

1️⃣Husaidia kuondoa sumu mwilini ikiwemo heavy metals
2️⃣Husaidia kwenye maumivu makali hasa maumivu ya misuli,kipanda uso,viungo,mgongo pamoja na kiuno
3️⃣Husaidia katika masuala ya ugumba,maumivu makali wakati wa hedhi(dysmnorrhoea) pamoja na kutokuona hedhi(amenorrhoea) kwa wanawake

4️⃣Husaidia kuondoa uchovu uliopitiliza(chronic fatique syndrome)
5️⃣Husaidia katika maradhi ya Baridi ya bisi(rheumatoid arthitis),kisukari (diabetes) pamoja na shinikizo la juu la damu(hypertension)
6️⃣Husaidia kuongeza mzunguko wa damu baada ya kutolewa kwa damu chafu iliyokua ikisababisha mgandamizo

✅Mbali na faida  hizi tajwa,kuna  faida nyingine nyingi tu ambazo tija hupatikana baada ya kuhuisha mzunguko mzuri wa damu kwa kupitia utoaji wa damu chafu iliyokua ikileta congestion ndani ya mwili .

Hizo ni miongoni mwa faida za kuumika

Ifahamike kua,baada ya zoezi la kuumika,mabadiliko katika mfumo wa maisha hasa katika suala la ulaji ni muhimu,ila pia mabadiliko hayo yaendane na aina cha changamoto uliyokua nayo,au lengo halisi lililokufanya ufanye aina hii ya matibabu.

ℹKwa maelezo zaidi/maswali  piga simu namba   📞 0784144385

CHOICE WELLNESS CENTER.
Arusha,Tanzania

HUDUMA ZETU  ZINGINE NI PAMOJA NA

SAUNA|CUPPING & HIJAMA|FACIAL CARE|HOLISTIC APPROACH|HERBAL DRUGS

    #

🟩Je unafahamu kuhusu SAUNA na faida zake❓ Sauna ni Chumba  kichosanifiwa k**a sehemu ya kupata joto la mvuke.Mtu anapoku...
20/12/2023

🟩Je unafahamu kuhusu SAUNA na faida zake❓

Sauna ni Chumba  kichosanifiwa k**a sehemu ya kupata joto la mvuke.Mtu anapokua katika chumba cha sauna hutokwa na jasho jingi sambamba na faida kadhaa.

FAIDA ZA SAUNA NI K**A IFUATAVYO:

1️⃣Husaidia kuondosha sumu mwlini kwa njia ya jasho
2️⃣Huimarisha afya ya ngozi
3️⃣Husaidia kupunguza msongo wa mawazo
4️⃣Huondoa maumivu ya misuli pamoja na viungo.
5️⃣Husaidia kuimarisha afya ya ubongo.
6️⃣Husaidia kurekebisha pressure ya kupanda.
7️⃣Husaidia kupata usingizi kwa wenye changamoto ya kukosa usingizi
8️⃣Husaidia kupunguza uzito
9️⃣Husaidia kuimarisha mfumo wa upumuaji pamoja na kuleta nafuu kwa wale wenye changamoto kwenye njia ya upumuaji.
🔟Huimarisha kinga ya mwili hivyo hupunguza kasi ya  magonjwa nyemelezi
🔵Pamoja na faida nyinginezo.
         Bei ni Tshs 10,000/= (unlimited time)

ℹKwa maelezo zaidi/maswali  piga simu namba   📞 0784144385

CHOICE WELLNESS CENTER.
Arusha,Ngusero karibu na Arusha city bar/Choice health laboratory

SAUNA|CUPPING & HIJAMA|FACIAL CARE|HOLISTIC APPROACH|HERBAL DRUGS

    #

Address

Dodoma

Opening Hours

Monday 08:00 - 21:00
Tuesday 08:00 - 21:00
Wednesday 08:00 - 21:00
Thursday 08:00 - 21:00
Friday 08:00 - 21:00
Saturday 08:00 - 21:00
Sunday 08:00 - 21:00

Telephone

+255784144385

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Choice Wellness Center posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Choice Wellness Center:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram