
29/05/2025
JINSI YA KUONDOA UCHAFU, MIWASHO, HARUFU MBAYA, UTI NA FANGASI SUGU KWA HARAKA NA UHAKIKA!
Fangasi sugu na UTI imekuwa kero kwa wengi, ikijirudia mara kwa mara hata baada ya matibabu. K**a unapata shida hizi, sasa umefika mwisho wa mateso yako.
DALILI ZA FANGASI AU UTI NI PAMOJA NA:
1. Uchafu usio wa kawaida, wenye harufu mbaya au bila harufu.
2. Miwasho kwenye maeneo ya nje ya uke, mashavu ya uke, au ndani, na kusababisha kujikuna hadi kupata vipele au vidonda.
3. Mkojo mchafu au maumivu wakati wa kukojoa.
4. Maumivu ya kiuno, mgongo au sehemu ya kibofu.
5. Kupata homa ya vipindi au ya mara kwa mara.
CHANZO CHA TATIZO HILI HUWA NI:
- Kutotumia tiba sahihi, au dawa ambazo bakteria na fangasi tayari wamezoea.
- Kukosea njia sahihi ya kujisafisha baada ya haja kubwa au ndogo.
- Kuvaa chupi za mpira zinazobana sana au kutokauka vizuri.
- Kutumia sabuni kujisafisha sehemu nyeti.
- Kuanika nguo za ndani bafuni au maeneo yenye unyevunyevu.
- Kukosa usafi wa vyoo unavyotumia mara kwa mara.
UFUMBUZI WA TATIZO LAKO:
Kwa kutumia Tiba, utapata:
- Kuondokana na uchafu na harufu Kwa haraka.
- Kuondoa miwasho sugu
- Kinga dhidi ya bakteria na fangasi
- Usafi wa uhakika kwa sehemu nyeti
- Kuondokana na ukavu
- Matokeo yasiyorudiarudia, ukitumia k**a inavyoshauriwa
TIBA hii ni suluhisho la uhakika, likiwasaidia wanawake wengi kurudi kwenye hali yao ya kawaida na kuondoa kabisa dalili zinazowasumbua.
Ikiwa umechoshwa na matatizo haya sugu na unatafuta suluhisho la kudumu, usikose nafasi hii. Pata msaada wa kitaalamu na elimu ya bure ya namna ya kujisafisha na kudhibiti hali yako!
Kwa mawasiliano zaidi: 📞 Simu: 0687807361
& UTI #