RapherMedics

RapherMedics TUNASAIDIA WATU KUONDOKANA NA SHIDA ZA KIAFYA

JINSI YA KUONDOA CHUNUSI, UPELE, MADOA, MIWASHO & UKAVU WA NGOZI NA KUFANYA NGOZI YAKO IWE NYORORO!Huwezi kujiona mzuri ...
13/09/2024

JINSI YA KUONDOA CHUNUSI, UPELE, MADOA, MIWASHO & UKAVU WA NGOZI NA KUFANYA NGOZI YAKO IWE NYORORO!

Huwezi kujiona mzuri wa kuvutia k**a unaishi na matatizo ya ngozi k**a chunusi, upele, madoa, fangasi, ngozi kavu na kutoonekana vizuri kwa ngozi yako. Sasa umefika mwisho wa mateso yako!

DALILI ZA MATATIZO YA NGOZI NI PAMOJA NA:

1. Chunusi na vipele vinavyosababisha ngozi kuwa na matatizo.

2. Madoa yanayojitokeza kwenye ngozi.

3. Ngozi kavu inayosababisha muonekano mbaya.

4. Harufu mbaya kutoka kwa ngozi au kuonekana kwa ngozi isiyo na mvuto.

5. Mikunjo ya ngozi kabla ya uzee

CHANZO CHA MATATIZO HAYA HUWA NI:

- Kutokutumia bidhaa bora za kutunza ngozi.

- Matumizi vipodozi vinavyo athiri ngozi.

-Kukosa utunzaji wa ngozi wenye kulingana na aina ya ngozi yako.

- Sumu kuzidi mwilini

- Mabadiliko ya homoni

- Matumizi madogo ya maji

- Kukaa juani mda mrefu

UFUMBUZI WA TATIZO LAKO: PREMIUM SKIN CARE BUNDLE

Kwa kutumia Premium Skin Care Bundle, utapata:

Anatic essence Soap: Sabuni ya kipekee inayosaidia kuondoa , chunusi, madoa, ukavu, bacteria, fangasi wa ngozi na kuzibua vinyweleo kwenye ngozi.

Detoxilive: Bidhaa inayosaidia kutakasa mwili kwa ndani Kwa Kuondoa mafuta yaliyozidi, sumu na kusaidia ngozi kuwa nyororo na yenye afya.

FAIDA ZA PREMIUM SKIN CARE BUNDLE:

- Kuondoa chunusi, madoa, na vipele.

- Kufanya ngozi yako kuwa laini, yenye mvuto na yenye afya.

- Kupunguza ngozi kavu na kufanya ngozi yako ionekane nzuri na nyororo.

Usikose nafasi hii ya kuboresha ngozi yako kwa kutumia bidhaa hizi za ubora. Pata matokeo ya haraka na uhakika kwa kutumia Premium Skin Care Bundle.

Kwa mawasiliano zaidi: 📞 Simu: 0687807361

#

JINSI YA KUONDOA UCHAFU, MIWASHO, HARUFU MBAYA, UTI NA FANGASI SUGU KWA HARAKA NA UHAKIKA!Fangasi sugu na UTI imekuwa ke...
13/09/2024

JINSI YA KUONDOA UCHAFU, MIWASHO, HARUFU MBAYA, UTI NA FANGASI SUGU KWA HARAKA NA UHAKIKA!

Fangasi sugu na UTI imekuwa kero kwa wengi, ikijirudia mara kwa mara hata baada ya matibabu. K**a unapata shida hizi, sasa umefika mwisho wa mateso yako.

DALILI ZA FANGASI AU UTI NI PAMOJA NA:

1. Uchafu usio wa kawaida, wenye harufu mbaya au bila harufu.

2. Miwasho kwenye maeneo ya nje ya uke, mashavu ya uke, au ndani, na kusababisha kujikuna hadi kupata vipele au vidonda.

3. Mkojo mchafu au maumivu wakati wa kukojoa.

4. Maumivu ya kiuno, mgongo au sehemu ya kibofu.

5. Kupata homa ya vipindi au ya mara kwa mara.

CHANZO CHA TATIZO HILI HUWA NI:

- Kutotumia tiba sahihi, au dawa ambazo bakteria na fangasi tayari wamezoea.

- Kukosea njia sahihi ya kujisafisha baada ya haja kubwa au ndogo.

- Kuvaa chupi za mpira zinazobana sana au kutokauka vizuri.

- Kutumia sabuni kujisafisha sehemu nyeti.

- Kuanika nguo za ndani bafuni au maeneo yenye unyevunyevu.

- Kukosa usafi wa vyoo unavyotumia mara kwa mara.

UFUMBUZI WA TATIZO LAKO:

Kwa kutumia Tiba, utapata:

- Kuondokana na uchafu na harufu Kwa haraka.

- Kuondoa miwasho sugu

- Kinga dhidi ya bakteria na fangasi

- Usafi wa uhakika kwa sehemu nyeti

- Kuondokana na ukavu

- Matokeo yasiyorudiarudia, ukitumia k**a inavyoshauriwa

TIBA hii ni suluhisho la uhakika, likiwasaidia wanawake wengi kurudi kwenye hali yao ya kawaida na kuondoa kabisa dalili zinazowasumbua.

Ikiwa umechoshwa na matatizo haya sugu na unatafuta suluhisho la kudumu, usikose nafasi hii. Pata msaada wa kitaalamu na elimu ya bure ya namna ya kujisafisha na kudhibiti hali yako!

Kwa mawasiliano zaidi: 📞 Simu: 0687807361

& UTI #

PID Inaweza Kukusababishia Ugumba  Usiruhusu Hii Ikuangamize, Tumia Tiba Mbadala Leo!"Pelvic Inflammatory Disease (PID) ...
12/09/2024

PID Inaweza Kukusababishia Ugumba Usiruhusu Hii Ikuangamize, Tumia Tiba Mbadala Leo!"

Pelvic Inflammatory Disease (PID) ni moja ya magonjwa hatari kwa wanawake ambayo yanaweza kuathiri sana mfumo wa uzazi.

Ugonjwa huu huathiri viungo vya uzazi vya ndani k**a mirija ya uzazi (fallopian tubes), ovari, na mji wa mimba, na unaweza kusababisha ugumba, mimba nje ya kizazi, au hata maumivu sugu ya nyonga.

Dalili za PID Usizozipuuza:

✍️Maumivu makali ya tumbo au nyonga

✍️Kutokwa na uchafu mzito usio wa kawaida kutoka ukeni

✍️Homa, uchovu, au homa ya ghafla

✍️Maumivu wakati wa tendo la ndoa

✍️Kutokwa na damu isiyo ya kawaida

Je, Tiba Mbadala Inaweza Kufanya Nini?

PID inaweza kutibika kwa kutumia tiba mbadala ambazo husaidia kuondoa maambukizi na kuimarisha kinga ya mwili.

Tiba hizi za lishe zinajumuisha mimea na virutubisho ambavyo ni salama, bila madhara ya dawa kali za hospitali.

Zinafanya kazi kwa haraka kurejesha afya ya uzazi na kumaliza kabisa maumivu na hatari ya ugumba.

Faida za Tiba Mbadala:

✍️Huondoa maambukizi bila kutumia dawa za hospitali

✍️Huimarisha kinga ya mwili ili kuzuia maambukizi mengine

✍️Hurekebisha mzunguko wa hedhi na afya ya uzazi

✍️Ni salama na haina madhara makubwa

Ugonjwa wa PID Usikuangamize! Usikae kimya ukiteseka na PID, wasiliana nasi ili upate tiba mbadala itakayokusaidia kuondoa tatizo hili kabisa.

Mawasiliano
0687807361

Je mwanaume unajua hii....Ili uwe vizuri tendoni unastahili kupata Lishe yenye virutubisho Kwa wingi hasa madini ya calc...
06/09/2024

Je mwanaume unajua hii....

Ili uwe vizuri tendoni unastahili kupata Lishe yenye virutubisho Kwa wingi hasa madini ya calcium Kwa ajiri ya kuimarisha misuli ya uume, madini ya selenium na zinc Kwa ajiri ya kupandisha homoni ya kiume(testosterone).

Mfano wa Lishe muhimu hujumuisha asali, karanga, ndizi mbivu, tikiti maji, chai ya tangawizi, mboga za majani, tende, mayai, chocolate, maji Kwa wingi na vingine..

Pia unastahili kupunguza kutumia vyakula vyenye mafuta Kwa wingi, sukari & chumvi Kwa wingi, pombe na kutotumia kabisa booster pamoja na kutokuwa na mawazo

Unapofanya Hivyo na ukatumia pia na kirutubisho hiki basi kwako utakuwa imara mda wowote na hutopata kero za kuwahi, uchovu, Kukosa hisia na mengine.
0687807361

#

K**a una dalili hizi basi tambua Mwili umejaa sumu na mafuta Kwa wingi...✍️Kuwa na uchovu usio isha✍️Kukosa kupata using...
06/09/2024

K**a una dalili hizi basi tambua Mwili umejaa sumu na mafuta Kwa wingi...

✍️Kuwa na uchovu usio isha
✍️Kukosa kupata usingizi mzuri
✍️Kuwa na shida za mmeng'enyo wa chakula
✍️Kitambi na Unene usio wa kawaida
✍️Kichwa kuuma mara nyingi
✍️Shida za joint na maungio (arthritis)
✍️Shida za ini na Figo hasa shida Ikiwa ya mda mrefu.

K**a una dalili hizi basi unashauriwa kutumia kirutubisho Lishe hili Kwa usingizi mzuri, Mwili imara na usio na maradhi mbalimbali.
0687807361

#

✍️✍️
02/09/2024

✍️✍️

K**A UNA DALILI HIZI BASI TAMBUA UNA SHIDA YA MAUNGIO.

✍️Maumivu ya Maungio: Hii ni dalili kuu, ambapo huhisi maumivu kwenye maungio, hasa baada ya shughuli au asubuhi wakati wa kuamka. Maumivu yanaweza kuwa ya kudumu au ya muda mfupi, na mara nyingi yanaweza kuwa makali wakati wa hali ya hewa ya baridi au unyevunyevu.

✍️Uvimbaji wa Maungio: Maungio yaliyoathiriwa yanaweza kuvimba, na kufanya eneo hilo kuwa gumu au lenye uvimbe. Uvimbaji huu unaweza kuambatana na hali ya kuwa na joto kwenye eneo hilo, na wakati mwingine hali hii inaweza kudumu kwa muda mrefu.
✍️Ugumu wa Maungio (Stiffness): Unaweza kuhisi ugumu wa maungio, hasa baada ya kukaa au kulala kwa muda mrefu. Ugumu huu mara nyingi hupungua kadri unavyotembea au kufanya mazoezi, lakini unaweza kurudi tena baada ya kipindi cha kutokufanya shughuli.

✍️Kupoteza Uwezo wa Kawaida wa Kutumia Maungio: Unaweza kugundua kuwa hawezi kutumia maungio kwa urahisi k**a kawaida. Kwa mfano, Unaweza kuwa na ugumu wa kushika vitu, kuinua mikono, au kupiga magoti.

✍️Kuvimba na Kuonekana kwa Vidonda au Vipele: Katika hali nyingine, Maungio, hasa aina fulani k**a vile lupus au arthritis ya rumatoid, unaweza kuonyesha dalili za ngozi k**a vipele, vidonda, au kubadilika kwa rangi ya ngozi karibu na maungio.

Wahi sasa usaidiwe
0687807361
Afya #

K**A UNA DALILI HIZI BASI TAMBUA UNA SHIDA YA MAUNGIO.✍️Maumivu ya Maungio: Hii ni dalili kuu, ambapo  huhisi maumivu kw...
02/09/2024

K**A UNA DALILI HIZI BASI TAMBUA UNA SHIDA YA MAUNGIO.

✍️Maumivu ya Maungio: Hii ni dalili kuu, ambapo huhisi maumivu kwenye maungio, hasa baada ya shughuli au asubuhi wakati wa kuamka. Maumivu yanaweza kuwa ya kudumu au ya muda mfupi, na mara nyingi yanaweza kuwa makali wakati wa hali ya hewa ya baridi au unyevunyevu.

✍️Uvimbaji wa Maungio: Maungio yaliyoathiriwa yanaweza kuvimba, na kufanya eneo hilo kuwa gumu au lenye uvimbe. Uvimbaji huu unaweza kuambatana na hali ya kuwa na joto kwenye eneo hilo, na wakati mwingine hali hii inaweza kudumu kwa muda mrefu.
✍️Ugumu wa Maungio (Stiffness): Unaweza kuhisi ugumu wa maungio, hasa baada ya kukaa au kulala kwa muda mrefu. Ugumu huu mara nyingi hupungua kadri unavyotembea au kufanya mazoezi, lakini unaweza kurudi tena baada ya kipindi cha kutokufanya shughuli.

✍️Kupoteza Uwezo wa Kawaida wa Kutumia Maungio: Unaweza kugundua kuwa hawezi kutumia maungio kwa urahisi k**a kawaida. Kwa mfano, Unaweza kuwa na ugumu wa kushika vitu, kuinua mikono, au kupiga magoti.

✍️Kuvimba na Kuonekana kwa Vidonda au Vipele: Katika hali nyingine, Maungio, hasa aina fulani k**a vile lupus au arthritis ya rumatoid, unaweza kuonyesha dalili za ngozi k**a vipele, vidonda, au kubadilika kwa rangi ya ngozi karibu na maungio.

Wahi sasa usaidiwe
0687807361
Afya #

K**A UNA DALILI HIZI BASI TAMBUA MWILI UNA KIWANGO KIKUBWA CHA SUMU.
29/08/2024

K**A UNA DALILI HIZI BASI TAMBUA MWILI UNA KIWANGO KIKUBWA CHA SUMU.

JINSI YA KUONDOA UCHAFU, MIWASHO AU KERO ZA FANGASI AU UTI KWA MDA MFUPI HATA K**A IMEKUWA SUGU.Fangasi sugu na UTI sugu...
29/08/2024

JINSI YA KUONDOA UCHAFU, MIWASHO AU KERO ZA FANGASI AU UTI KWA MDA MFUPI HATA K**A IMEKUWA SUGU.

Fangasi sugu na UTI sugu imekuwa ni kero kwa wengi maana imekuwa inajirudia mara nyingi hata baada ya tiba.

Na miongoni mwa dalili kuu ambazo shida ya fangasi au UTI imekuwa ikijionesha ni pamoja na...
1. Uchafu usio wa kawaida yaani unaweza kuwa na harufu au lah!
2. Kupata miwasho hasa kwenye mashavu au sehemu za nje na kufanya ujikune na kupata vipele au vidonda.
3. Mkojo mchafu au maumivu yeyote wakati wa kukojoa
4. Maumivu ya kiuno, mgongo au sehemu ya kibofu.
5. Kupata homa Kwa baadhi

Pindi unapoona dalili hizi basi ujue una shida ya fangasi au UTI lakini wengi wanapata shida hizi na kushindwa kupona kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo.....

1. Kukosa tiba sahihi au kutumia dawa ambazo bacteria au fangasi wametengeneza ukomavu.
2. Kutozingatia namna sahihi ya kujisafisha baada ya haja , wengi hujisafisha kutoka nyuma kuja mbele hii sahihi
3. Kuanika nguo za ndani bafuni ,chooni au sehemu yenye kivuli
4. Kutumia sabuni kujisafisha
5. Kutozingatia usafi wa choo
6. Kuvaa nguo za ndani za mpira zenye kubana
7. Kuwa na shida ya hormone imbalance.
8. Kutozingatia namna sahihi ya usafi wa sehemu husika.

Je umekubwa na kero za uchafu usio wa kawaida, miwasho, maumivu wakati wa kukojoa, Mkojo mchafu na vingine basi tambua ni shida za fangasi au UTI.

Inawezekana umechoshwa na kero na haujapata suluhisho kamili haujachelewa una nafasi ya kusaidiwa.

Huduma yetu ni lazima Tuwasiliane nawe Ili kukusaidia kupona kabisa pasipo jirudia na utapewa elimu

Mawasiliano
0687807361

*Je, Unajua Mwili Wako Umejaa Sumu?* Kila siku, miili yetu inakumbana na kemikali na sumu kutoka mazingira tunayoishi. S...
26/08/2024

*Je, Unajua Mwili Wako Umejaa Sumu?*

Kila siku, miili yetu inakumbana na kemikali na sumu kutoka mazingira tunayoishi.

Sumu hizi, zikizidi mwilini, zinaweza kuathiri afya yetu kwa njia nyingi.

Sababu za Kuwepo kwa Sumu Mwilini:

Lishe Duni: Vyakula vya viwandani vilivyojaa kemikali.

Mazingira: Maji na hewa

Madawa na Vipodozi: Matumizi ya bidhaa zenye kemikali hatari.

Vileo na Sigara: Matumizi ya pombe, sigara, na madawa ya kulevya.

Dalili za Sumu Kuzidi Mwilini:

❇️Uchovu usioisha na kukosa nguvu.
❇️Maumivu ya kichwa yasiyo na sababu.
❇️Maumivu ya misuli na viungo.
❇️Matatizo ya kumeng’enya chakula k**a vile kuvimbiwa.
❇️Harufu mbaya mdomoni
❇️Jasho zito.

Jinsi ya Kupunguza Sumu Mwilini:

✍️Kunywa Maji kwa Wingi: Maji husaidia kuondoa sumu mwilini kupitia mkojo.

✍️Lishe Bora: Kula vyakula asilia, mboga za majani, na matunda.

✍️ *Kutumia Vidonge vya Detoxilive: Vidonge vya asili vinavyosaidia mwili kuondoa sumu.*

❇️Kufanya Mazoezi: Mazoezi huongeza mzunguko wa damu na kutoa sumu kupitia jasho.

❇️Kupata Usingizi wa Kutosha: Usingizi husaidia mwili kupona na kuondoa sumu.

Ili kupata ushauri zaidi kuhusu jinsi ya kujitakasa na kuimarisha afya yako, wasiliana nasi kupitia namba 0655151092.

Afya na Raphael – Tunajali Afya Yako

Afya na Raphael jifunze afya kwenye page yetu usikose kufollow Ili ujifunze zaidi
26/08/2024

Afya na Raphael jifunze afya kwenye page yetu usikose kufollow Ili ujifunze zaidi

JINSI YA KUONDOA UCHAFU, MIWASHO AU KERO ZA FANGASI AU UTI KWA MDA MFUPI HATA K**A IMEKUWA SUGU.Fangasi sugu na UTI sugu...
26/08/2024

JINSI YA KUONDOA UCHAFU, MIWASHO AU KERO ZA FANGASI AU UTI KWA MDA MFUPI HATA K**A IMEKUWA SUGU.

Fangasi sugu na UTI sugu imekuwa ni kero kwa wengi maana imekuwa inajirudia mara nyingi hata baada ya tiba.

Na miongoni mwa dalili kuu ambazo shida ya fangasi au UTI imekuwa ikijionesha ni pamoja na...
1. Uchafu usio wa kawaida yaani unaweza kuwa na harufu au lah!
2. Kupata miwasho hasa kwenye mashavu au sehemu za nje na kufanya ujikune na kupata vipele au vidonda.
3. Mkojo mchafu au maumivu yeyote wakati wa kukojoa
4. Maumivu ya kiuno, mgongo au sehemu ya kibofu.
5. Kupata homa Kwa baadhi

Pindi unapoona dalili hizi basi ujue una shida ya fangasi au UTI lakini wengi wanapata shida hizi na kushindwa kupona kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo.....

1. Kukosa tiba sahihi au kutumia dawa ambazo bacteria au fangasi wametengeneza ukomavu.
2. Kutozingatia namna sahihi ya kujisafisha baada ya haja , wengi hujisafisha kutoka nyuma kuja mbele hii sahihi
3. Kuanika nguo za ndani bafuni ,chooni au sehemu yenye kivuli
4. Kutumia sabuni kujisafisha
5. Kutozingatia usafi wa choo
6. Kuvaa nguo za ndani za mpira zenye kubana
7. Kuwa na shida ya hormone imbalance.
8. Kutozingatia namna sahihi ya usafi wa sehemu husika.

Je umekubwa na kero za uchafu usio wa kawaida, miwasho, maumivu wakati wa kukojoa, Mkojo mchafu na vingine basi tambua ni shida za fangasi au UTI.

Inawezekana umechoshwa na kero na haujapata suluhisho kamili haujachelewa una nafasi ya kusaidiwa.

Huduma yetu ni lazima Tuwasiliane nawe Ili kukusaidia kupona kabisa pasipo jirudia na utapewa elimu

Mawasiliano
0655151092

Address

Dodoma
4100

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255687807361

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when RapherMedics posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to RapherMedics:

Share