Makao Makuu Fitness Club

Makao Makuu Fitness Club Michezo ni Uchumi

29/12/2024

Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony Mavunde, ametembelea Gereza Kuu Isanga akiambatana na wadau wa maendeleo Dodoma, maarufu k**a 'Dodoma Legends' jana Desemba 28, 2024 na kupokewa na Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza (CP) Nicodemus Tenga kwa niaba ya Kamishna Jenerali wa Jeshi la...

05/12/2024

Pamoja na Utamu wa Sukari, kuna sehemu haitumiki wala kuhitajika,

05/12/2024
05/12/2024

Wazairi wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda akizungumza jambo leo Disemba 4, 2024 jijini Dar es Salaam wakati akihitimisha Kongamano la Tisa la Sayansi, Teknolojia, Ubunifu na Maonesho (STICE 2024), lililofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), Dar....

05/12/2024
04/12/2024

Mzee Joseph Warioba amepongeza uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2024 kwa kufanyika kwa amani na utulivu, akisisitiza kuwa hii ni ishara ya ukomavu wa demokrasia nchini Tanzania. Akizungumza na waandishi wa habari leo, alitoa wito kwa wananchi wote kuendeleza mshik**ano na ushirikiano baada ya....

04/12/2024

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa taarifa kuhusu Maadhimisho ya  Miaka 63 ya Uhuru  wa Tanzania Bara kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Desemba 4, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

04/12/2024

 Kamishna Msaidizi Idara ya Sera anayeshughulikia masuala ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Masuala ya Kodi na Mwenyekiti wa Kongamano la Kodi, Bw. Juma Mkabakuli, akifungua Kongamano la Kodi Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, kwa niaba ya Uongozi wa Wizara ya Fedha lililofanyika Mkoa wa Iringa.

Address

Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Makao Makuu Fitness Club posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Makao Makuu Fitness Club:

Share