Afyamaximum

Afyamaximum Health Advicer & Marketing Planer
☎️+255 788214288
Pata ushauri mzuri kuhusu afya yako.

27/04/2023
20/04/2023
- Dalili za mwanzo ni muwasho katika tundu la njia ya mkojo.- Maumivu ya kuungua njia ya mkojo wakati wa kukojoaa.- Kuto...
16/03/2023

- Dalili za mwanzo ni muwasho katika tundu la njia ya mkojo.
- Maumivu ya kuungua njia ya mkojo wakati wa kukojoaa.
- Kutokwa na usaha kwenye njia ya mkojo.
- Kushindwa kabisa kupitisha mkojo
- Kupitisha mkojo kwa shida ambapo itakuwa inazidi kadri siku zinavyo enda
- Kuonekana kwa damu kwenye mkojo

Je unasumbuliwa na changamoto k**a hiyo?
Usijali fanya maamuzi sahihi kuhusu afya yaki bofya libk hapo chini kupata solution

👇👇👇👇👇👇👇

https://shaabaniissa42.systeme.io/807478da

Leo tuone ni wangapi wako vizuri kujisoma katka mzunguko wao wa hedhi.Hivi ni siku zipi za hatari na zipi sio za hatari ...
09/03/2023

Leo tuone ni wangapi wako vizuri kujisoma katka mzunguko wao wa hedhi.

Hivi ni siku zipi za hatari na zipi sio za hatari kulingana na mzunguko wako?

Je unasumbuliwa na changamoto k**a hiyo,Usijali fanya maamuzi sahihi kuhusu afya yako piga simu ☎+255 788214288.
01/03/2023

Je unasumbuliwa na changamoto k**a hiyo,Usijali fanya maamuzi sahihi kuhusu afya yako piga simu ☎+255 788214288.

Jambo la furaha sana katika maisha ya  ndoa mke anapokupa heshima yako na kufurahia uwepo wako katika maisha yake ila ni...
22/02/2023

Jambo la furaha sana katika maisha ya ndoa mke anapokupa heshima yako na kufurahia uwepo wako katika maisha yake ila ni jambo la huzuni sana unapokuwa na mke katika ndoa hakuheshimu, hana furaha na wewe na hatambui uwepo wako katika maisha yake, Kwakweli inasikitisha sana;

Je unachangamoto yeyote katika ndoa ama mahusiano?

Usijali wasiliana nami kupata ushauri.
Kwa mawasikiano zaidi
Piga Simu☎️ : +255 788214288

Tunda hili linafaida kubwa katika mwili wa mwanadamu.Na faida za tunda la apple ni k**a zifuatazo.-Maumivu ya kichwaTund...
12/02/2023

Tunda hili linafaida kubwa katika mwili wa mwanadamu.
Na faida za tunda la apple ni k**a zifuatazo.

-Maumivu ya kichwa
Tunda hili linafaida katika maumivu ya kichwa.
Apple🍎 lilowiva unatakiwa ulimenye maganda yake,halafu ule kwa kutia chumvi kidogo kila siku asubuhi kabla ya kula kitu chochote, na uendelee kufanya hivi kwa muda wa wiki mbili.

-Anaemia
Tunda la apple lina madini ya iron,arsenic na phosphorus, kwa mtu mwenye ugonjwa huu inafaa kutengeneza juice ya 🍎 apple.
Inashauriwa kunywa glass moja ya juice ya apple kabla ya kula chakula(nusu saa kabla) na pia kabla ya kwenda kulala usiku.

-High Blood Pressure
Apple🍎 linasaidia katika kuongeza kutoa (Secration) mkojo ambapo husaidia kurudisha blood pressure katika hali ya kawaida pia inasaidia kupungua kwa sodium chloride katika figo.

-Dysentery
Kwa watoto wanao sumbuliwa na maradhi ghlabu, inashauriwa kumpa kila wakati kipande Cha apple🍎
kwani huzuia hali ya ugonjwa huo.

-Meno
Kila baada ya chakula kula 🍎 apple moja, kwa maana tunda hili husaidia sana kuyasafisha na kuyaepusha meno na vijidudu na kuoza.

-Matatizo ya Tumbo
Kuna matatizo tofauti ya tumbo, kwahiyo tunda hili limekusanya matatizo yote ya tumbo na kuondoa matatizo hayo.Changanya 🍎 apple, asali kidogo na ufura kidogo na kula kabla chakula hiki husaidia kuondoa matatizo ya tumbo K**a vile usagaji mdogo wa chakula na mengine.

-Kuharisha na Kutapika
Mwenye kutokezewa na ugonjwa huu ni vizuri sana kutumia tunda hili na kila siku ale mawili pia k**a yatapikwa au kuchomwa ni mazuri zaidi kwani hulainisha cellulose.
Mbali na hayo yote Kuna njia mbadala na rahisi zaidi ambayo ni tiba lishe kutoka India iliyo gunduliwa na Dr. Ahmed Lutfih yenye mchanganyiko wa maca,ashwagandha etc ambayo yenye virutubisho vinavyo julikana k**a stemcells vyakiayovedic vyenye uwezo wa kupambana na kuulinda mwili dhidi ya magonjwa na sumu zitokanazo na vyakula tunavyokula.

Kupata ushauri wa daktari

Piga Simu☎️ +255 788214288

Address

Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afyamaximum posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afyamaximum:

Share