EDDY Health solution

EDDY Health solution AFYA NI UTAJIRI

Champions
25/06/2025

Champions

Karibu Upate Huduma za Afya 👋
25/02/2025

Karibu Upate Huduma za Afya 👋

HOSPITAL INAWALETEA OFA YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA (full body checkup) PAMOJA NA USHAURI KUTOKA KWA MADAKTARI BINGWAKWA G...
24/02/2025

HOSPITAL INAWALETEA

OFA YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA (full body checkup) PAMOJA NA USHAURI KUTOKA KWA MADAKTARI BINGWA

KWA GHARAMA YA TSH.30000/= TU

TUNATIBU MARADHI HAYA.

🔹Presha, 🔹Matatizo ya Moyo na INI
🔹Kansa, 🔹Vidonda vya Tumbo,
🔹Kisukari 🔹Pumu
🔹Stroku. 🔹Matatizo ya uzazi kwa kina mama na kina baba
🔹Matatizo ya mifupa, 🔹Matatizo ya miguu
🔹Ngozi, 🔹Figo, 🔹Fangasi sugu
🔹Kupunguza unene, uzito, na matumbo
🔹Kuongeza kinga mwilini(CD4)
🔹U.T.I sugu, 🔹Gesi
🔹Bawasiri, 🔹Tenzi dume
🔹Heshima ya ndoa kwa kina baba.

MATIBABU NA VIPIMO KWA MAGONJWA YOTE SUGU
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA ;
0745511420

KUFIKA HOSPITAL
Piga 0745511420

Juice bora kutumia ni hiikwa ajili kusafisha kibofu,kulainisha nyonga, kuondoa maumivu ya mgongo, kuondoa kichefuchefu n...
24/02/2025

Juice bora kutumia ni hii

kwa ajili kusafisha kibofu,

kulainisha nyonga,

kuondoa maumivu ya mgongo,

kuondoa kichefuchefu na kizunguzungu,

+ kuongeza uwezo wa mwili kupambana na magonjwa.

Muda Dakika 15

Idadi ya wanywaji : watu wawili

Mahitaji: Nanasi, Karoti + Tangawizi

Maelezo kwa ufupi..!

Tunda la nanasi na karoti vinachangia sana sukari yote ambayo juisi inatakiwa iwenayo.

Tangawizi inaweka uwiano sawa wa ladha kati ya nanasi na karoti,

k**a sio mpenzi wa tangawizi sio lazima kuitumia,

lakini k**a ni mpenzi wa nanasi au karoti unaweza kuzidisha kimojawapo ili upate ladha halisi ya unachokipenda.

Tangawizi: Inategemea na ubora wa tangawizi,

unaweza kuhitaji nyingi zaidi au wastani cha msingi uweze kupata harufu mwanana katika juisi yako.

•Menya vizuri nanasi yako kisha katakata vipande vidogo.

•Chukua vipande vya nanasi, karoti na tangawizi kisha saga kwenye blenda.

•Saga vizuri kisha chuja vizuri kwa chujio iliyo safi.

KUMBUKA Mwanaume Kit Package Ni tembe lishe na kahawa lishe kwa Ajili Ya Wanaume

Ni chakula tiba ya kuongeza uzalishwaji wa homoni za kiume ili kuboresha afya ya mbegu na misuri kwa wenye tatizo la:-

✓kuwahi kumaliza mapema,

✓maumbile dhaifu,

✓uume kusinyaa,

✓kukosa hamu ya tendo,

✓kushidwa kurudia,

✓kuondoa athari zilizotokana na punyeto

*  ZA   NI ZIPI??.* Dalili za ugonjwa huu hutofautiana kulingana na hatua husika. Siyo kila mwanamke huonesha dalili za ...
07/02/2025

* ZA NI ZIPI??.*
Dalili za ugonjwa huu hutofautiana kulingana na hatua husika. Siyo kila mwanamke huonesha dalili za kufanana na mwingine.
Pamoja na uwepo wa tofauti hizi, dalili za ujumla za huu ni;

✅ Maumivu makali sehemu ya chini ya haswa wakati wa hedhi.
✅ kali
✅ Kutokwa na katikati ya mzunguko wa hedhi au kutoka nyingi. Wengine siku zako hupotea kabsa.
✅Mlango wa huwa mwekundu sana, ambao mara nyingi hutoa uchafu mzito wenye rangi ya njano au mweupe wenye harufu kali sana igawa kuna wengine huwahayana harufu.
✅ Pia maumivu wakati wa tendo la na maumivu ya kiuno na mgongo mara kwa mara.
✅Kuvurugika Kwa mzunguko wa
✅ Kutokwa na majimaji mazito yenye ingawa kuna wengine huwa hayana harufu.
✅Kukosa hamu ya la ndoa.
wakati wa haja ndogo na wakati wa tendo la .
Baadhi ya wanawake huwa hawaoneshi dalili hii kubwa, na hudhani kuwa wapo sawa kabisa. huja wakati wa kutafuta , wengi hush*tushwa na ugumu katika kufanikisha hili.. piga 0745511420

11/08/2024

😂😂😂😂
08/08/2024

😂😂😂😂

 🔥🔥🔥
08/08/2024

🔥🔥🔥

07/08/2024

Hello 👋

PUNGUZA UZITO / UNENE / KITAMBI / MAFUTA MWILINI / NYAMA NYAMA ZEMBE ZOTE ZA KIUNO / TUMBO / MIKONODawa ni za asili kabi...
22/07/2024

PUNGUZA UZITO / UNENE / KITAMBI / MAFUTA MWILINI / NYAMA NYAMA ZEMBE ZOTE ZA KIUNO / TUMBO / MIKONO

Dawa ni za asili kabisa hazina madhara yoyote matokeo yake wiki 1 unapungua kg 10 na tumbo linaisha unabaki ukiwa na mwili wa kawaida wenye kupendeza zaidi

My dear kwanini uteseke na mwili / kitambi / wakati dawa zipo zinapatikana na matokeo yake mazuri sana

1)KUPUNGUZA TUMBO
2)KUPUNGUZA UNENE
3)KUPUNGUZA UZITO
4)KUPUNGUZA NYAMA NYAMA ZEMBE

DAWA ZINAPATIKANA KWA BEI NAFUU

1)kupunguza tumbo. 25000
2)kupunguza mwili mzima 35000

Piga 0745511420/ WhatsApp. / karibuni

*KWANINI UNAPATA UTI SUGU?**UTI*(Urinary Track Infection) ni maambukizi kwenye njia ya mkojo. Mtu anakua na UTI sugu kwa...
17/07/2024

*KWANINI UNAPATA UTI SUGU?*

*UTI*(Urinary Track Infection)

ni maambukizi kwenye njia ya mkojo. Mtu anakua na UTI sugu kwa sababu ya kuugua UTI mara kwa mara.

*UTI SUGU*
Ni mkusanyiko wa maambukizi aidha ya fangasi, virusi au bacteria ambayo yanatokea kwenye njia ya mkojo ya mwanamke au mwanaume.

*DALILI ZA UTI*
â­•Kupata maumivu makali
wakati wa kukojoa
â­•Kujisikia hali ya
kuchomachoma kwenye
kibofu wakati wa kukojoa
â­•Kujisikia kukojoa mara
kwa mara au kupata
mkojo kidogo sana
â­•Kupata maumivu ya
misuli
â­•Maumivu ya tumbo
la chini
â­•Mkojo kuwa mwekundu au
pink(dalili ya damu
kwenye mkojo)
â­•Mkojo kutoa harufu kali
â­•Maumivu ya nyonga
kwa mwanamke
â­•Wakati mwingine
kushindwa kujizuia mkojo
kutoka

*MADHARA YA UTI SUGU*
📌Figo kushindwa kufanya
kazi(kidney failure)
📌Kupata magonjwa ya
kibofu na kupelekea
mgonjwa kukojoa kwa
mirija
📌Maumivu makali ya
kiuno, mgongo na nyonga
📌Kupoteza hamu ya tendo
la ndoa
📌Kuharibu homoni
(hormonal imbalance)
📌Mimba kuharibika
📌Kushindwa kubeba mimba

*SULUHISHO*
Ipo tiba asili ya virutubisho ya kutibu UTI sugu na utaelekezwa njia za kujikinga usigue UTI mara kwa mara

*KUPATA HEDHI MARA MBILI KATIKA MWEZI MMOJA*DOCT  NI KAWAIDA JIBU HAPANA ?? JIFUNZE 👇👇*(INTERMENSTRUAL BLEEDING,METRORHA...
14/07/2024

*KUPATA HEDHI MARA MBILI KATIKA MWEZI MMOJA*
DOCT NI KAWAIDA JIBU HAPANA ??
JIFUNZE 👇👇

*(INTERMENSTRUAL BLEEDING,METRORHAGIA)*

Hii ni ile hali ambayo mwanamke hupata hedhi au kutokwa na damu ukeni muda wowote katika mzunguko wake tofauti na tarehe au muda aliiouzoea.....
......na damu hii hutokea pasipokua ama kuhusiana na tendo la ndoa.....
......mfano kwa mwezi huu wa 1mwanamke anaweza kupata hedhi tarehe 10/1 halafu akapata tena tarehe 25/1

Kuna wanawake wenye mzunguko ambao uko vizuri yaani haubadiliki badiliki na wanapata damu kidogo au matone kidogo tu katikati ya mzunguko(Cyclic midcycle intermenstrual bleeding).

Yaani wakati wa yai kutoka(ovulation).

Na kuna wengine hutokwa na damu nyepesi siku chache kabla ya kupata hedhi au baada ya kumaliza hedhi kwa siku kadhaa(Cyclic premenstrual or postmenstrual intermenstrual bleeding).

Hii ni hali ya kawaida ya kimwili tu kwani kunakua na mabadiliko kidogo ya hormonal ama vichocheo vinabadilishana majukumu nyakati hizi.

*VISABABISHI VYA KUPATA HEDHI MARA MBILI*

1.Matumizi ya vidonge vya majira(Oral contraceptives)

2.Maambukizi ya shingo ya kizazi(Cervicitis)

3.Maambukizi ya ndani ya kizazi(Endometritis)

4.Saratani ya kizazi(Uterine cancer)

5.Saratani ya shingo ya kizazi(cervical cancer)

6.Saratani ya uke(vaginal cancer)

7.Saratani ya sura ya uke na mdomo wa uke(Vulva cancer)

8.Maambukizi ya Uke(Vaginitis)

9.Madonda ya magonjwa ya zinaa kwenye mfumo wa uzazi(Sexually transmitted ulcerations)

10.Uvimbe ndani ya kizazi,shingo ya kizazi,uke nk(Benign growths).

Kwa ushauri na TIBA
Wasiliana nami

Dr. Ediga

Address

Dodoma

Telephone

+255745511420

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when EDDY Health solution posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to EDDY Health solution:

Share