bright health care

bright health care Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from bright health care, Medical and health, Dodoma.

10/02/2023
๐—๐—˜ " ๐—ช๐—ฒ๐˜„๐—ฒ ๐—ป๐—ถ ๐— ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ธ๐—ฒ ๐—ž๐—ฎ๐˜๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ช๐—ฎ๐—น๐—ฒ ๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—ผ๐˜๐—ฒ๐˜€๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฃ๐—œ๐——, ?   PID, Pelvic Inflammatory Disease Ni Ugonjwa Unaoshambulia kati...
23/01/2023

๐—๐—˜ " ๐—ช๐—ฒ๐˜„๐—ฒ ๐—ป๐—ถ ๐— ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ธ๐—ฒ ๐—ž๐—ฎ๐˜๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ช๐—ฎ๐—น๐—ฒ ๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—ผ๐˜๐—ฒ๐˜€๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฃ๐—œ๐——, ? PID, Pelvic Inflammatory Disease Ni Ugonjwa Unaoshambulia katika Mfumo Mzima wa Uzazi wa Mwanamke. Wanawake Wengi Wamekuwa Wakijitibia na Baada ya Muda Hujirudia na Tatizo kuzidi kua sugu zaidi ya Mwanzo. ๐—ง๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—” ๐๐€๐€๐ƒ๐‡๐ˆ ๐˜๐€ ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—จ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—ช๐—” ๐—ฃ๐—œ๐——. (1)Kutokwa na Uchafu Ukeni Wenye Harufu Mbaya K**a Shombo ya Samaki. (2)Maumivu Makali Chini ya Kitovu Wakati wa Hedhi. (3)Kuwa Mkavu na Kukosa raha ya Tendo la Ndoa, Pamoja na Maumivu Wakati wa Tendo. (4)Maumivu ya Nyonga, Kiuno na Mgongo. ๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ ๐๐€๐€๐ƒ๐‡๐ˆ ๐˜๐€ ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ฃ๐—œ๐——. (1)Kuvurugika Kwa Mfumo wa Hormone. Hedhi kutokueleweka. (2)Kupata (Cancer) Saratani ya Shingo ya Kizazi. (3)Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa. (4)Mimba changa Kuharibika. (5)Maumivu Wakati wa tendo la ndoa. (6)Kukosa Ute wa uzazi na Kujikuta unapoteza uwezo wa Kubeba Mimba. (7)Uke Kuwa Mkavu na Kujikuta Unaambulia Maumivu ufanyapo Mapenzi. (8)Kuziba Kwa Mirija ya Uzazi(fallopian tubes). ๐Šแดกแด€ ๐”๐ฌสœแด€แดœส€ษช ษดแด€ ๐“ษชส™แด€ ๐ษชษขแด€ ๐’ษชแดแดœ ๐€แดœ Text ๐–atsapp

GAUTI (Gout) ni aina ya ugonjwa unaoathiri viungo vya mwili unaosababishwa na kuwepo kwa kiasi kikubwa kuliko kawaida ch...
21/01/2023

GAUTI (Gout) ni aina ya ugonjwa unaoathiri viungo vya mwili unaosababishwa na kuwepo kwa kiasi kikubwa kuliko kawaida cha tindikali ya Urea (uric acid) katika damu. Ongezeko la uric acid husababisha madhara katika jointi (joint) (jointi ni sehemu ya mwili inapokutana/ inapoungana mifupa miwili).

Gauti inaweza kutokea ghafla, kitaalamu huitwa acute gout au ikawa sugu yaani chronic gout.

Hali hiyo hutokea iwapo mwili wa mgonjwa unatengeneza uric acid nyingi kuliko kawaida au unashindwa kutoa uric acid mwilini k**a inavyotakiwa.

Ongezeko hili husababisha mrundikano wa uric acid katika majimaji yanayozunguka jointi yanayoitwa synovial fluid na hatimaye kutengeneza vijiwe vidogo vidogo vya tindikali ya urea yaani uric acid crystals ambavyo husababisha jointi kuvimba na hatimaye kuathirika.

Aidha unywaji pombe pamoja na matumizi ya baadhi ya madawa k**a vile dawa za kutoa maji mwilini husababisha ongezeko la kiwango cha uric acid katika damu.

Vihatarishi vingine vya gauti ni pamoja na kuwa na ugonjwa wa kisukari, magonjwa ya figo, unene uliopitiliza, ugonjwa wa sickle cell anemia au aina nyingine za upungufu wa damu, pamoja na saratani ya damu (leukemia).

DALILI
Dalili za gauti kwa kawaida huhusisha jointi moja au jointi chache. Jointi zinazoathiriwa zaidi ni pamoja na kidole kikubwa cha mguuni, magoti au kiwiko cha mguu.

Wagonjwa huwa na maumivu yanayoanza kwa ghafla hususan nyakati za usiku. Mara nyingi mgonjwa hudai anasikia maumivu makali k**a kitu kinachokata, kupwita au mifupa inayosagana. Jointi hubadilika na kuwa na joto, kuvimba na kuwa na nyekundu. Kwa kawaida mgonjwa hulalamika maumivu makali ikiwa ataguswa kwenye jointi yenye matatizo.

Wagonjwa wenye gauti kwa muda mrefu huwa pia na vinundu chini ya ngozi inayozunguka jointi zilizoathirika. Vinundu hivi kwa kitaalamu huitwa trophy.

MATIBABU
Matibabu ya gauti hujumuisha matumizi ya dawa, lishe pamoja na mabadiliko katika mfumo wa maisha wa mgonjwa. Dawa hutumika mara tu mgonjwa anapopata shambulio la ghafla. Lakini kwa ukosefu wa maarifa kuhusu ugonjwa huu watu wengi wanatumia dawa za kupunguza maumivu halafu badae maumivu huendelea k**a mwanzo. Dawa hizo ni pamoja na codeine na paracetamol,

USHAURI
Kwa matibabu ya uhakika changamoto ya gauti wasiana nami kwa namba 0759305096.

Fahamu kuhusu ugonjwa wa PIDPID ni kifupisho cha neno INFLAMMATOLY INFECTION DISEASESUgonjwa huu husababishwa na bakteri...
20/01/2023

Fahamu kuhusu ugonjwa wa PID
PID ni kifupisho cha neno INFLAMMATOLY INFECTION DISEASES
Ugonjwa huu husababishwa na bakteria ambao hushambulia via vya uzazi vya mwanamke na huleta madhara mbalimbali. Chanzo cha bakteria hawa inaweza kuwa ni magonjwa ya kuambukiza au zinaa ambayo mtu huyapata kwa njia ya kujamiana. Mfano wa magonjwa haya ni kisonono na kaswende na hii hutokea kwa sababu ya kutotibu magonjwa hayo kwa haraka

Pia bakteria hawa huweza kusababishwa na magonjwa k**a vile UTI na fangasi sugu endapo haitatibiwa kwa wakati muafaka

NJIA ZA KUAMBUKIZA P.I.D
(A) Kujamiiana
Kujamiiana kunaweza kumfanya mwanamke kupata magonjwa ya zinaa,fangasi au U.T.I endapo atakutana na mwanaume mwenye matatizo moja kati ya hayo.

(B) kutofuata kanuni za usafi pia kunaweza mfanya mwanamke kupata maambukizi ya PID.

3.DALILI ZA PID
: kutokwa na uchafu sehemu za siri (ukeni)
: maumivu ya tumbo chini ya kitovu
: maumivu ya tumbo upande wa kulia kwa juu
: bleed isiyo ya kawaida
:Homa isiyo ya kawaida
:kichefuchefu na kutapika
:maumivu wakati wa tendo la kujamiiana.

4. MADHARA YA PID
: UGUMBA
PID husababisha kovu katika mirija ya falopia na hivyo kufanya mbegu za kiume kushindwa kurutubisha yai la k**e na hatimaye kusababisha kusiwe na utungisho wa mimba. Na hali hii ikitokea ndipo tunasema ugumba umetokea.

: MIMBA NJE YA MFUKO (ECTOPIC PREGNANCY)
Wakati mwingine inaweza ikatokea yai kurutubishwa vizuri na mbegu za kiume na hatimaye utungisho kufanyika. Lakini kwasababu ya kovu hilo kuwepo kukapelekea mimba iliyo tungwa kushindwa kusafiri hadi kwenye uterus ambao ni mji wa mimba. Na hii kulazimisha mimba kukua ikiwa ndani ya Falopia. Hii hupelekea falopio kupasuka na mimba kuharibika.
Hali hii ya mimba kutunga na kukua ndani ya falopio ndiyo huitwa Ectopic Pregnancy au mimba nje ya mfuko.
Na tiba ya ectopic huwa ni upasuaji.

: UPUNGUFU WA DAMU.
kumbuka moja ya dalili za PID ni bleed isiyo ya kawaida. Hali hii hupelekea kutokea kwa upungufu wa damu mwilini.

: KIFO
PID inaweza kusababisha kifo kwa mwanamke k**a haito tibiwa mapema.

:MIMBA KUHARIBIKA.
PID inaweza kusababisha mimba kuharibika mara kwa mara baada ya kushika mimba. Hii ni kutokana na via vya uzazi kuwa na madhara yaliyosababishwa na bakteria wabaya.

Jua sababu za mifupa kudhoofu.1. LISHE MBOVUukosefu wa madini muhimu kwaajili ya afya ya mifupa k**a,calcium, magnesium,...
14/01/2023

Jua sababu za mifupa kudhoofu.

1. LISHE MBOVU
ukosefu wa madini muhimu kwaajili ya afya ya mifupa k**a,calcium, magnesium,vitamin D. Vitamin B 12 n.k

2. Kutokufanya mazoezi.

3. Cell zilizochakaa

Dalili.
maumivu makali ya viungo
Kukosa usungizi
Kupata stress
Baadhi ya viungo vya mwili kufa ganzi .Mwanamke mimba kutoka .mifupa kuvunjika na kuchelewa kuunga Madhara..

1. Mkandamizo wa disc kwenye UTI wa mgongo

2. Mifupa kusagana au kusagika

3.kupooza au kuparalyse

4. Mkandamizo wa mishipa ya fahamu na mishipa ya

chakula

5. Upungufu wa nguvu za kiume. N.k

HABARI NZURI NI KUWA TUPO NA SULUHISHO LA KUDUMU

LIJUE TATIZO LA TEZI DUME NA TIBA YAKEUpungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya tendo la ndoa kikamilifu C...
13/01/2023

LIJUE TATIZO LA TEZI DUME NA TIBA YAKE

Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya tendo la ndoa kikamilifu

CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
๐Ÿ’Š shinikizo la damu pamoja na ugonjwa wa moyo
๐Ÿ’Šmawazo
๐Ÿ’Š kisukari
๐Ÿ’Š uzito mkubwa au uliopitiliza
๐Ÿ’Š kutopata usingizi
๐Ÿ’Škujichua kwa mda mrefu
๐Ÿ’Š umri hasa wazee
๐Ÿ’Š matumizi ya dawa kali k**a za kutibu kansa

๐Ÿ’ŠKuwahi kufika kileleni
๐Ÿ’ŠKukosa hamu ya mapenzi
๐Ÿ’ŠKushindwa kurudia tendo la ndoa
๐Ÿ’ŠUume kusimama kwa ulegevu au kushindwa kusimamisha
๐Ÿ’ŠKuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukosa hamu kabisa ;
๐Ÿ’ŠMiguu, uso na tumbo kuvimba au kujaa maji
๐Ÿ’ŠKuhisi maumivu wakati au baada ya tendo hilo
๐Ÿ’ŠKuchelewa kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)

Ili kutibu ugonjwa huu tuna dawa za asili kabisa ambazo hazina kemikali na pia zinatoa matibabu ya uhakika usisite kuwasiliana nasi ili kupata matibabu ya uhakika

DALILI ZA MWANAMKE MWENYE UVIMBE KWENYE KIZAZI (UTERINE FIBROIDS):1.๐Ÿ–‡๏ธKupata damu nyingi wakati wa hedhi.2. ๐Ÿ–‡๏ธMaumivu ma...
12/01/2023

DALILI ZA MWANAMKE MWENYE UVIMBE KWENYE KIZAZI (UTERINE FIBROIDS):

1.๐Ÿ–‡๏ธKupata damu nyingi wakati wa hedhi.

2. ๐Ÿ–‡๏ธMaumivu makali wakati wa siku za hedhi.

3. ๐Ÿ–‡๏ธKuvimba miguu.

4. Unaweza kuhisi una ujauzito.

5. ๐Ÿ–‡๏ธMaumivu wakati wa tendo la ndoa.

6. ๐Ÿ–‡๏ธKuhisi kuvimbiwa.

7. ๐Ÿ–‡๏ธKupata haja ndogo kwa taabu.

8. ๐Ÿ–‡๏ธKutokwa na uchafu ukeni.

9.๐Ÿ–‡๏ธ Kupata choo kigumu au kufunga choo.

10.๐Ÿ–‡๏ธ Maumivu nyuma ya mgongo.

11. ๐Ÿ–‡๏ธMaumivu katika miguu ikiwa ni pamoja na miguu kuwaka moto.

12.๐Ÿ–‡๏ธ Upungufu wa damu.

13.๐Ÿ–‡๏ธ Maumivu ya kichwa.

14.๐Ÿ–‡๏ธ Uzazi wa shida.

15.๐Ÿ–‡๏ธ Kutopata ujauzito.

16.๐Ÿ–‡๏ธ Kuvimba sehemu ya chini ya tumbo.

17.๐Ÿ–‡๏ธ Maumivu ya nyonga.

18.๐Ÿ–‡๏ธ Mimba kutoka mara kwa mara (miscarriage).

19.๐Ÿ–‡๏ธ Kukojoa mara kwa mara kwan uvimbe huweka mgandamizo katika kibofu cha mkojo

20.๐Ÿ–‡๏ธ Hedhi zisizokuwa na mpangilio

MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUPONA HARAKA UVIMBE KWENYE KIZAZI

1. ๐Ÿ“ŽHakikisha una uzito sawa kila mara kulingana na urefu wako.

2. ๐Ÿ“ŽKula sana mboga za kijani na matunda

3. ๐Ÿ“ŽFanya mazoezi ya viungo kila mara, mara 4 mapaka 5 kwa wiki

4. ๐Ÿ“ŽKunywa maji mengi kila siku lita mbili mpaka lita tatu

5. ๐Ÿ“ŽKula sana vyakula vyenye nyuzi nyuzi (faiba) na punguza vyakula vyenye mafuta

6. ๐Ÿ“ŽUsitumie bidhaa zozote zenye kaffeina (chai ya rangi, kahawa, soda nyeusi zote nk), nyama nyekundu na vyakula vya kuchomwa au kupikwa katikati ya mafuta mengi (maandazi, chipsi, nk)

7. ๐Ÿ“ŽAchana kabisa na mawazo mawazo (stress) na hamaki nyingine zozote

8. ๐Ÿ“ŽAcha kuvuta sigara/tumbaku na vilevi vingine vyote hadi hapo utakapopona kabisa

CHANZO CHA MAGONJWA YA MOYOโœ๐ŸปMagonjwa ya moyo hutokea pale ambapo moyo huathiriwa na kuharibiwa kwa vitenda kazi vyake. ...
02/01/2023

CHANZO CHA MAGONJWA YA MOYO
โœ๐ŸปMagonjwa ya moyo hutokea pale ambapo moyo huathiriwa na kuharibiwa kwa vitenda kazi vyake. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata magonjwa ya moyo nayo ni pamoja na;

๐Ÿ‘‰๐ŸฟKuwa na (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P)
๐Ÿ‘‰๐ŸฟKuvuta sigala
๐Ÿ‘‰๐ŸฟUzito kupita kiasi na unene uliozidi
๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ Kisukari
๐Ÿ‘‰๐ŸฟUmri
๐Ÿ‘‰๐ŸฟUlaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
๐Ÿ‘‰๐ŸฟUtumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili

AINA ZA MAGONJWA YA MOYO
โœ๐ŸปZipo aina mbalimbali za magonjwa ya moyo hutofautiana japo yote huathiri moyo, nayo ni;

๐Ÿ“ŒUgonjwa wa moyo unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu (Coronary artery disease)

๐Ÿ“ŒMapigo ya moyo kwenda tofauti (Heart Arrhythmias)

๐Ÿ“ŒMoyo kushindwa kufanya kazi (Heart Failure)

๐Ÿ“ŒMagonjwa ya moyo ya kuzaliwa (Congenital heart disease

๐Ÿ“ŒMoyo kutanuka.

๐Ÿ“ŒShinikizo la damu (B.P)

๐Ÿ“ŒMshtuko/ Shambulio la moyo (Heart Attack).

๐Ÿ“ŒChembe ya Moyo

Kwa ushauri zaidi au maswali pamoja na tiba wasiliana nasi kwa namba 0759305096

Wasiana nami kwa namba 0759305096
02/01/2023

Wasiana nami kwa namba 0759305096

Tunatoa matibabu ya uhakika kwa wenye matatizo ya ganzi kwa namba 0759305096
31/12/2022

Tunatoa matibabu ya uhakika kwa wenye matatizo ya ganzi kwa namba 0759305096

Kwa matibabu ya wale wenye matatizo ya nguvu za kiume ndio muda muafaka wala hujachelewaWasiliana nami kwa namba 0759305...
31/12/2022

Kwa matibabu ya wale wenye matatizo ya nguvu za kiume ndio muda muafaka wala hujachelewa
Wasiliana nami kwa namba 0759305096

Address

Dodoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when bright health care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram