AFYA IMARA Foundation 01

AFYA IMARA Foundation 01 Tunatibu kwa kutumia virutubisho lishe toka kwenye mimea asili magonjwa yakuambukiza na yasioambukiza

KUTOKA DAMU UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA.imara123Tatizo hili kitaalamu linajulikana k**a post co**al bleeding. Tatizo h...
01/11/2023

KUTOKA DAMU UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA.imara123
Tatizo hili kitaalamu linajulikana k**a post co**al bleeding. Tatizo hili linawakumba wanawake hasa ambao wana matatizo ya mvurugiko wa hormone hasa hasa hormone ya estrogen na pia wanawake waliofikia ukomo wa hedhi.

👉 Hali hii inaweza kuambatana na maumivu na kwa wengine isiwe na maumivu kulingana na chanzo chake.

👉Ukubwa wa tatizo.

👉Tafiti zinaonesha kwamba ni asilimia 9% ya wanawake ambao hawajafikia ukomo wa gedhi wanapata tatizo hili na asilimia 63% ya wanawake waliofikia ukomo wa hedhi wanakumbwa na hali hii.imara123
VISABABISHI VYA TATIZO HILI👇👇

hali hii inaweza kutokana na sababu k**a ukavu au uke kuwa mwembamba sana hivyo kupelekea kupata michubuko wakati wa tendo la ndoa.
Pia hali hii inaweza kuwa dalili ya tatizo la kiafya hivyo sio ya kubeza.imara123
Yafuatayo ni magonjwa yanayoweza kusababisha kutoka damu wakati wa tendo la ndoaimara123
👉Saratani ya mlango wa kizazi
👉Kuvimba kwa mlango wa kizazi
👉 Maambukizi katika via vya uzazi(PID)
👉 Maambukizi ya magonjwa ya zinaa k**a vile pangusa, nk
👉 Uke kukauka kutokana na kupungua kwa ute au kukoma kwa hedhi
👉 Kuharibika kwa uke kutokana na msuguano wakati wa tendo la ndoa
👉 Kuchubuka kwa shingo au mlango wa uzazi
👉Mzunguko wa hedhi kubadirikabadirika
👉 Vidonda ukeni vitokanavyo na maambukizi ya zinaa
👉 Saratani ya tumbo la uzazi
👉 Mlango wa kizazi kutokeza nje ya uke

👉Kutokwa na damu ukeni wakati wa tendo la ndoa sio hali ya kawaida kwa wanawake ambao si bikra. Sio kitu cha kuchukulia poa kwani inaweza kuwa dalili ya tatizo katika mwili wako. Hivyo basi unapopatwa na hali hii usikae kimya onana na daktari ili k**a kuna tatizo litibiwe mapema.
Ushauri na tiba

Call &wsp
0658078222

Instagram 👇👇imara123imara123imara123

.imara123 Moja ya sababu inayoleta matatizo ya kuzaa pale umri unapokua mkubwa ni kupevushwa yai mara chache kuliko kawa...
01/11/2023

.imara123 Moja ya sababu inayoleta matatizo ya kuzaa pale umri unapokua mkubwa ni kupevushwa yai mara chache kuliko kawaida. Kadiri wanawake wanapoendelea kukua mizunguko yao ya hedhi inaanza kubadilika na mayai kushindwa kupevushwa kwa wakati. Idadi ya mayai na ubora wa mayai unapungua, mwanamke anapofika umri kati ya miaka 30 mpaka 40. imara123

Sababu nyingine zinazofanya kupata ujauzito baada ya miaka 35 kuwa vigumu ni pamoja na:

Maambukizi au upasuaji uliosababisha kovu kwenye tishu maeneo yanayozunguka mfuko wa mimba,mirija ya falopiani au mlango wa kizazi cha mwanamke.
Ugonjwa wa “endometriosis”.Uvimbe katika mfuko wa uzazi.
Upungufu wa uteute ndani ya mlango wa kizazi.
Magonjwa ya kudumu/sugu k**a shinikizo la damu au kisukari.imara123

Kuharibika mimba pia ni tatizo kubwa kwa wanawake wenye umri zaidi ya miaka 35. Hii inasababishwa na ongezeko la mabadiliko ya jenetiki za uumbaji. Wanawake wenye umri kati ya miaka 35-45 wana nafasi kati ya asilimia 20-35 ya mimba kuharibika.

Mwanamke aliye na afya kimwili,kiakili na kihisia anaweza kupata ujauzito – pombe,sigara na matumizi ya kahawa(vinywaji vyenye kafeni) zinaweza kupunguza nafasi ya wewe kupata ujauzito. Pia kuwa na uzito mdogo au mkubwa sana inaweza kuingilia ufanyaji kazi wa homoni.imara123

Angalia ishara za mwili wako zitakazo kusaidia kujua wakati gani ni wa kufanya ngono ili kupata ujauzito – rekodi jotoridi la mwili na majimaji ukeni ili kujua muda muafaka na Ishara hizi zitakusaidia kujua ni wakati gani yai linapevushwa ndani ya mwili wako na k**a yai lako linapevushwa kwa wakati. Nk
.imara123

☎️:0658078222

01/11/2023
01/11/2023

Taasisi ya AFYA IMARA FOUNDATION Tunatibu kwa kutumia virutubisho lishe toka kwenye mimea asili magonjwa yote yanayoambukizwa na yasioambukiza

.imara123 Moja ya sababu inayoleta matatizo ya kuzaa pale umri unapokua mkubwa ni kupevushwa yai mara chache kuliko kawa...
01/11/2023

.imara123 Moja ya sababu inayoleta matatizo ya kuzaa pale umri unapokua mkubwa ni kupevushwa yai mara chache kuliko kawaida. Kadiri wanawake wanapoendelea kukua mizunguko yao ya hedhi inaanza kubadilika na mayai kushindwa kupevushwa kwa wakati. Idadi ya mayai na ubora wa mayai unapungua, mwanamke anapofika umri kati ya miaka 30 mpaka 40. imara123

Sababu nyingine zinazofanya kupata ujauzito baada ya miaka 35 kuwa vigumu ni pamoja na:

Maambukizi au upasuaji uliosababisha kovu kwenye tishu maeneo yanayozunguka mfuko wa mimba,mirija ya falopiani au mlango wa kizazi cha mwanamke.
Ugonjwa wa “endometriosis”.Uvimbe katika mfuko wa uzazi.
Upungufu wa uteute ndani ya mlango wa kizazi.
Magonjwa ya kudumu/sugu k**a shinikizo la damu au kisukari.imara123

Kuharibika mimba pia ni tatizo kubwa kwa wanawake wenye umri zaidi ya miaka 35. Hii inasababishwa na ongezeko la mabadiliko ya jenetiki za uumbaji. Wanawake wenye umri kati ya miaka 35-45 wana nafasi kati ya asilimia 20-35 ya mimba kuharibika.

Mwanamke aliye na afya kimwili,kiakili na kihisia anaweza kupata ujauzito – pombe,sigara na matumizi ya kahawa(vinywaji vyenye kafeni) zinaweza kupunguza nafasi ya wewe kupata ujauzito. Pia kuwa na uzito mdogo au mkubwa sana inaweza kuingilia ufanyaji kazi wa homoni.imara123

Angalia ishara za mwili wako zitakazo kusaidia kujua wakati gani ni wa kufanya ngono ili kupata ujauzito – rekodi jotoridi la mwili na majimaji ukeni ili kujua muda muafaka na Ishara hizi zitakusaidia kujua ni wakati gani yai linapevushwa ndani ya mwili wako na k**a yai lako linapevushwa kwa wakati. Nk

☎️:0658078222imara123

.imara123 Moja ya sababu inayoleta matatizo ya kuzaa pale umri unapokua mkubwa ni kupevushwa yai mara chache kuliko kawa...
01/11/2023

.imara123 Moja ya sababu inayoleta matatizo ya kuzaa pale umri unapokua mkubwa ni kupevushwa yai mara chache kuliko kawaida. Kadiri wanawake wanapoendelea kukua mizunguko yao ya hedhi inaanza kubadilika na mayai kushindwa kupevushwa kwa wakati. Idadi ya mayai na ubora wa mayai unapungua, mwanamke anapofika umri kati ya miaka 30 mpaka 40. imara123

Sababu nyingine zinazofanya kupata ujauzito baada ya miaka 35 kuwa vigumu ni pamoja na:

Maambukizi au upasuaji uliosababisha kovu kwenye tishu maeneo yanayozunguka mfuko wa mimba,mirija ya falopiani au mlango wa kizazi cha mwanamke.
Ugonjwa wa “endometriosis”.Uvimbe katika mfuko wa uzazi.
Upungufu wa uteute ndani ya mlango wa kizazi.
Magonjwa ya kudumu/sugu k**a shinikizo la damu au kisukari.imara123

Kuharibika mimba pia ni tatizo kubwa kwa wanawake wenye umri zaidi ya miaka 35. Hii inasababishwa na ongezeko la mabadiliko ya jenetiki za uumbaji. Wanawake wenye umri kati ya miaka 35-45 wana nafasi kati ya asilimia 20-35 ya mimba kuharibika.

Mwanamke aliye na afya kimwili,kiakili na kihisia anaweza kupata ujauzito – pombe,sigara na matumizi ya kahawa(vinywaji vyenye kafeni) zinaweza kupunguza nafasi ya wewe kupata ujauzito. Pia kuwa na uzito mdogo au mkubwa sana inaweza kuingilia ufanyaji kazi wa homoni.imara123

Angalia ishara za mwili wako zitakazo kusaidia kujua wakati gani ni wa kufanya ngono ili kupata ujauzito – rekodi jotoridi la mwili na majimaji ukeni ili kujua muda muafaka na Ishara hizi zitakusaidia kujua ni wakati gani yai linapevushwa ndani ya mwili wako na k**a yai lako linapevushwa kwa wakati. Nk
.imara123
☎️:0658078222imara123

Address

Dodom
Dodoma

Telephone

+255658078222

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA IMARA Foundation 01 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA IMARA Foundation 01:

Share