Sauti Ya Afya

Sauti Ya Afya ๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฒ - ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข, ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ. +๐Ÿฎ๐Ÿฑ๐Ÿฑ๐Ÿฒ๐Ÿฎ๐Ÿด๐Ÿฏ๐Ÿฒ๐Ÿญ๐Ÿญ๐Ÿฌ๐Ÿฐ

๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ ๐—ž๐—จ๐—›๐—จ๐—ฆ๐—จ ๐—ฉ๐—œ๐—ฆ๐—”๐—•๐—”๐—•๐—œ๐—ฆ๐—›๐—œ  ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ, ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ, ๐—ก๐—๐—œ๐—” ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—”, ๐—›๐—”๐—ง๐—จ๐—” ๐—ญ๐—”๐—ž๐—˜ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ:๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ:  Ni hali amb...
26/10/2024

๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ ๐—ž๐—จ๐—›๐—จ๐—ฆ๐—จ ๐—ฉ๐—œ๐—ฆ๐—”๐—•๐—”๐—•๐—œ๐—ฆ๐—›๐—œ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ, ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ, ๐—ก๐—๐—œ๐—” ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—”, ๐—›๐—”๐—ง๐—จ๐—” ๐—ญ๐—”๐—ž๐—˜ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ:

๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ: Ni hali ambapo virusi huathiri ini, na kuleta kuvimba au ini kuharibika kwakiwango kikubwa na ini kushindwa kabisa kufanya kazi.

Ini lina weza kuathiriwa kwa unywaji wa pombe kupita kiasi, uvutaji sigara, maambukizi ya virus pamoja na uwepo wa sumu nyingi mwilini.

Kuna aina mbalimbali za homa ya ini, ambazo zinaainishwa kulingana na aina ya virusi vinavyosababisha, k**a vile Hepatitis A, B, C, D, na E. Aina hizi zina tofauti katika njia za maambukizi na athari zao kwa afya.

๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—”๐—ช๐—˜๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—๐—จ๐— ๐—จ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—”:

โž– Miwasho ya ngozi na Uchovu kupita kiasi

โž– Vidonda vya tumbo na homa za mara kwa mara za mwili.

โž– Maumivu ya misuli na viungo.

โž– Njano ya macho na ngozi (jaundice)

โž– Kupungua kwa hamu ya kula.

โž– Maumivu ya tumbo, hasa upande wa kulia juu

โž– Kinyesi kilichokosa rangi au mkojo wa rangi ya giza

๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ฆ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—”๐—ก๐—”๐—ช๐—˜๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—˜๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฃ๐—œ๐—ง๐—œ๐—” ๐—ก๐—๐—œ๐—” ๐— ๐—•๐—”๐—Ÿ๐—œ ๐— ๐—•๐—”๐—Ÿ๐—œ:

โž– Damu iliyoambukizwa na virus vya Hepatitis.

โž– Kujamiiana bila kinga (Ngono zembe).

โž– Vifaa visivyo safi vya matibabu au sindano

โž– Chakula au maji yaliyosababishwa na vijidudu (hasa kwa Hepatitis A na E)

Kinga ni pamoja na kupata chanjo (hasa kwa Hepatitis A na B), kuepuka kushiriki vifaa vya kibinafsi k**a sindano au vitu vya kucha, na kuwa na usafi wa hali ya juu na k**a tayari unaishi na maambukizi inahitajika kuwai matibabu ya mapema.

๐—›๐—”๐—ง๐—จ๐—” ๐—ญ๐—” ๐—จ๐—›๐—”๐—ฅ๐—œ๐—•๐—œ๐—™๐—จ ๐—ช๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—จ๐—ก๐—”๐—ข ๐—˜๐—ก๐——๐—˜๐—Ÿ๐—˜๐—” ๐—ฃ๐—ข๐—Ÿ๐—˜ ๐—ฃ๐—ข๐—Ÿ๐—˜ ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—”๐—ก๐—” ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ช๐—˜๐—ฃ๐—ข ๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐— ๐—ฅ๐—˜๐—™๐—จ:

Uharibifu wa ini hupitia hatua kadhaa, na kila hatua inaathiri ini kwa kiwango tofauti. Hapa ni hatua kuu za uharibifu wa ini:

๐Ÿญ. ๐—จ๐˜ƒ๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ ๐˜„๐—ฎ ๐—œ๐—ป๐—ถ (๐—Ÿ๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—œ๐—ป๐—ณ๐—น๐—ฎ๐—บ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป):

Katika hatua hii ya awali, seli za ini huvimba kutokana na sababu k**a vile maambukizi ya virusi (hepatitis), matumizi mabaya ya pombe, au sumu. Mara nyingi, mtu hahisi dalili yoyote, lakini uvimbe huu unaweza kuendelea ikiwa chanzo hakitazuiwa.

๐Ÿฎ. ๐—ž๐˜‚๐˜ƒ๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—œ๐—ป๐—ถ ๐—ž๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐˜‚ (๐—Ÿ๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—™๐—ถ๐—ฏ๐—ฟ๐—ผ๐˜€๐—ถ๐˜€):

Ikiwa uvimbe hautatibiwa, ini huanza kutengeneza kovu au tishu ngumu kwenye maeneo yaliyoathiriwa. Tishu hizi zinaweza kupunguza uwezo wa ini kufanya kazi vizuri, lakini bado kuna nafasi ya kurejesha afya ya ini ikiwa hatua zitachukuliwa mapema.

๐Ÿฏ. ๐—œ๐—ป๐—ถ ๐—ก๐—ด๐˜‚๐—บ๐˜‚ (๐—–๐—ถ๐—ฟ๐—ฟ๐—ต๐—ผ๐˜€๐—ถ๐˜€):

Katika hatua hii, tishu za kovu zimeenea sana na kuharibu muundo wa ini.

Hii huathiri kwa kiasi kikubwa uwezo wa ini kufanya kazi zake, na ni hatua ya uharibifu ambayo mara nyingi haiwezi kurudi nyuma.

Hata hivyo, matibabu yanaweza kusaidia kupunguza kasi ya uharibifu na kudhibiti dalili.

๐Ÿฐ. ๐—ฆ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—œ๐—ป๐—ถ (๐—Ÿ๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—–๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ฒ๐—ฟ):

Wagonjwa ambao wamepata cirrhosis wana hatari kubwa ya kuendeleza saratani ya ini.

Saratani hii inaweza kuwa ya hatari na inahitaji matibabu ya kina.

๐Ÿฑ. ๐—ž๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ฑ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—œ๐—ป๐—ถ (๐—Ÿ๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—™๐—ฎ๐—ถ๐—น๐˜‚๐—ฟ๐—ฒ):

Hii ni hatua ya mwisho ambapo ini haliwezi kufanya kazi zake muhimu kabisa.

Ini linashindwa kusafisha damu, kuzalisha protini muhimu, na kudhibiti viwango vya sumu mwilini.

Kushindwa kwa ini ni hali hatari inayohitaji matibabu ya haraka, na mara nyingi wagonjwa katika hatua hii wanahitaji kupandikizwa ini.

Kwa kuzingatia Vipimo, Ushauri, Matibabu ya mapema na Chanjo husaidia sana katika kutokomeza tatizo na kuhepusha hatari za siku za usoni.

๐—›๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐— ๐—จ๐—ข๐—ก๐—” ๐——๐—”๐—ž๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—›๐—จ๐—ง๐—ข๐—Ÿ๐—˜๐—ช๐—” ๐—•๐—จ๐—ฅ๐—˜๐—˜.

๐—ง๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐——๐—ฎ๐—ฟ ๐—ฒ๐˜€ ๐˜€๐—ฎ๐—น๐—ฎ๐—ฎ๐—บ ๐—ž๐—ถ๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ผ๐—ป๐—ถ ๐—™๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ, ๐—ด๐—ต๐—ผ๐—น๐—ผ๐—ณ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜„๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—ฎ, ๐—™๐—น๐—ผ๐˜„ ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐— ๐—ฏ๐—ถ๐—น๐—ถ.

Unaweza kuwasilkana nasi kwakupiga simu au kutuma ujumbe mfupi wa maandishi.

WhatsApp. 0628 361 104 +255746484873

๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ, ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ.

๐—›๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข, ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—”๐—œ๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—•:๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—• :- Ni virus vinavyo sababisha ugonj...
25/10/2024

๐—›๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข, ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—”๐—œ๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—•:

๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—• :- Ni virus vinavyo sababisha ugonjwa mkali wa Ini [๐—ž๐—ผ๐˜ƒ๐˜‚ ๐—น๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ฆ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ถ] kutokana na uwepo wa maambukizi haya kwa muda mlefu pasipo kutibiwa.

Virusi ivyo vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza mtu mara 100 zaidi ya virusi vya ukimwi.

Zifuatazo ni baadhi ya njia za usambaaji wa virusi vya homa ya ini ambazo ni pamoja na:-

โž– Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto Katika kipindi cha ujauzito au kujifungua.

โž– Kufanya mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya INI [HEPATITIS].

โž– Kuchangia vifaa vyenye ncha kali k**a sindano hasa kwa watumiaji wa madawa ya kulevya au wachora tattoo, miswaki.

โž– Kuongezewa damu ambayo ina maambukizi ya virus vya homa ya INI aina ya Hepatitis.

โž– Kunyonyana Ndimi Dendaโ€™ na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.

โž– Kuchangia taulo na mtu mwenye ugonjwa huu.

โž– Kubadilishana nguo na mtu mwenye huu ugonjwa au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho.

Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivyo ni hatari kuliko virus vya ukimwi kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku saba 7 hadi nane 8.

Virusi vya ukimwi (VVU) havina uwezo wa kuishi nje ya mfumo wa damu hata kwa dakika moja.

Mtu mwenye homa ya ini ana wastani mdogo wa kuishi kuliko mwenye ukimwi.

Kwa maana hiyo, mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini hufariki dunia haraka sana k**a hatopatiwa matibabu mapema basi huishi muda mfupi sana kuliko mwenye VVU.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—จ๐—ช๐—˜๐—ฃ๐—ข ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐— ๐—Ÿ๐—˜๐—™๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ฆ๐—œ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ [๐—›๐—•๐—ฉ]:

โž– Maumivu ya tumbo upande wa kulia (Upande wa ini).

โž– Ascites ya tumbo(Tumbo kujaa maji), Sura na miguu kuvimba.

โž– Kichefuchefu cha mara kwa mara Muda mwengine mgonjwa hutapika.

โž– Miwasho ya ngozi ya mara kwa mara hasa majira ya jioni.

โž– Maumivu ya tumbo asili ya kichomi na kifua kuwa na asidi au kiungulia.

โž– Baadhi ya wagonjwa hunenepa kusiko kwa kawaida, hali ambayo inatokana na mrudikano wa mafuta mengi katika tishu au misuri baada ya ini kushindwa kusindika au kuchakata mafuta mwilini.

โž– Macho na ngozi kuwa vya njano (Jaundice).

โž– Mkojo mweusi/mkojo kuwa na rangi iliyokolea k**a coca-cola.

Kuna baadhi ya wagonjwa wa homa ya ini hukaa muda mlefu [Miaka mingi] pasipo kuona dalili yoyote za homa ya ini, kwa kipindi iki ini likiendelea kuharibika hatimae huja kupata ugonjwa mkali wa ini na kusababisha ini kushindwa kabisa kufanya kazi pia huweza kusababisha kifo asipopata matibabu sahihi na mapema.
Hii hatua huitwa โ€œ๐—™๐˜‚๐—น๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ป๐˜ ๐—น๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—ณ๐—ฎ๐—ถ๐—น๐˜‚๐—ฟ๐—ฒโ€.

Dalili huja kuonekana waziwazi miaka mingi baada ya mtu kuambukizwa.

Kwa wenye maambukizi ya virusi aina C matibabu ya Dawa kwa wiki 8 humaliza tatizo [Kupona kabisa] .

Na kwa wenye Virus aina ya B matibabu ya Dawa ni kwa wiki 12 adi 16 humaliza maambukizi. [Kupona kabisa]

Unaweza kuwasiliana nasi kwakupiga simu au kutuma ujumbe mfupi wa maandishi.

WhatsApp. 0628 361 104 +255746484873

๐—›๐—ข๐—ฆ๐—ฃ๐—œ๐—ง๐—”๐—Ÿ๐—œ, ๐—ง๐—จ๐—ก๐—”๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—”๐—ก๐—” ๐——๐—”๐—ฅ ๐—˜๐—ฆ ๐—ฆ๐—”๐—Ÿ๐—”๐—”๐—  ๐—ž๐—œ๐—š๐—”๐— ๐—•๐—ข๐—ก๐—œ.

๐—ž๐—ช๐—” ๐—›๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—จ๐— ๐—จ๐—ข๐—ก๐—” ๐——๐—”๐—ž๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—›๐—จ๐—ง๐—ข๐—Ÿ๐—˜๐—ช๐—” ๐—•๐—จ๐—ฅ๐—˜.

๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฒ, ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข, ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ, ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—๐—ข.

๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—จ - ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐—จ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—™๐—œ๐—š๐—ข ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐—ช๐—” ๐—ช๐—œ๐—ž๐—œ ๐Ÿด ๐—›๐—”๐——๐—œ ๐Ÿญ๐Ÿฎ, ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—จ๐—ž๐—” ๐——๐—œ๐—”๐—Ÿ๐—ฌ๐—ฆ๐—œ๐—ฆ:Ugonjwa wa figo. Ni hali Am...
24/10/2024

๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—จ - ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐—จ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—™๐—œ๐—š๐—ข ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐—ช๐—” ๐—ช๐—œ๐—ž๐—œ ๐Ÿด ๐—›๐—”๐——๐—œ ๐Ÿญ๐Ÿฎ, ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—จ๐—ž๐—” ๐——๐—œ๐—”๐—Ÿ๐—ฌ๐—ฆ๐—œ๐—ฆ:

Ugonjwa wa figo. Ni hali Ambapo figo hupoteza utendaji wake wa kazi hatua kwa hatua, na kusababisha mrundikano wa taka na maji maji mwilini.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—๐—จ๐—ž๐—จ๐— ๐—จ ๐— ๐—จ๐—›๐—œ๐— ๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—™๐—œ๐—š๐—ข ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ญ๐—˜๐—ง๐—จ:

โž– kuchuja damu kwakuondoa urea na asid ya ziada katika damu.

โž– kuondoa taka mwilini k**a vile sumu zitokanazo na aina mbali mbali ya vyakula tunavyo kula.

โž– kudhibiti shinikizo la damu kwakuweka sawa viwango vya cholesterol.

โž– kuzalisha chembe nyekundu za damu (Red blood Cells).

โž– kudumisha afya ya mifupa na maungio.

โž– kusawazisha kemikali za damu mwilini k**a vile Enzymes.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฆ๐—”๐—•๐—”๐—•๐—œ๐—ฆ๐—›๐—œ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—™๐—œ๐—š๐—ข ๐—ž๐—จ๐—™๐—˜๐—ฅ๐—œ:

โž– Kisukari

โž– Kuwepo kwa Shinikizo la juu la damu ( High Blood Pressure).

โž– Ugonjwa wa Tezi dume.

โž– Ugonjwa wa Sicle seli anemia(Kuvunjika kwa chembe nyekundu za damu).

โž– Uwepo wa chumvi ya ziada kwenye damu.

โž– Uwepo wa mawe kwenye figo.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—จ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—ช๐—” ๐—™๐—œ๐—š๐—ข:

Watu wengi hawana dalili za moja kwa moja za ugonjwa wa figo, mpaka pale unapo endelea kudumu kwa muda mlefu: hata hivyo ugonjwa wa figo unapokuwa katika hatua za awali unaweza kupata au kusikia dalili mbali mbali zikiwemo:

โž– Kujisikia uchovu wa mara kwa mara, mwili kukosa nguvu na kukojoa mkojo wenye rangi ya njano iliyo kolea kutokana na wingu wa Urea mwilini.

โž– Maumivu makali ya kichwa na vichomi vya mara kwa mara, maumivu ya kifua na kupata kiungulia.

โž– Shida ya kulala au kukosa usingizi wa moja kwa moja.

โž– Kukaza kwa misuli hasa wakati wa usiku au wakati wa kufanya kazi ya kukaa na kusimama kwa muda mlefu.

โž– Miguu na vifundo vya miguu kuvimba au kujaa maji (Edema).

โž– kuwa na ngozi kavu, kuhisi kichefuchefu na muda mwengine kutapika.

โž– Kuwa na kizungu zungu na kupoteza hamu ya kula.

Karibu kupata suluhisho la kudumu la homa ya figo, tibu changamoto hii kwa muda wa wiki 8 hadi 12 kumaliza tatizo pasipo Dialysis.

๐—›๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐— ๐—จ๐—ข๐—ก๐—” ๐——๐—”๐—ž๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—›๐—จ๐—ง๐—ข๐—Ÿ๐—˜๐—ช๐—” ๐—•๐—จ๐—ฅ๐—˜๐—˜.

๐—ง๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐——๐—ฎ๐—ฟ ๐—ฒ๐˜€ ๐˜€๐—ฎ๐—น๐—ฎ๐—ฎ๐—บ ๐—ž๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐—ฆ๐˜๐—ผ๐—ฝ ๐—ผ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ.

Unaweza kuwasilkana nasi kwakupiga simu au kutuma ujumbe mfupi wa maandishi WhatsApp. 0628 361 104 +255746484873

๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—œ๐—ฃ๐—œ๐—ก๐——๐—œ ๐—–๐—›๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฆ๐—›๐—œ๐—Ÿ๐—œ๐—ž๐—œ ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ [ ๐——๐—ข๐—ญ๐—œ], ๐— ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—›๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ช๐—” ๐—จ๐—ง๐—”๐—ฅ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—จ ๐— ๐—”๐—”๐—Ÿ๐—จ๐— ๐—จ ๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—š๐—”๐—ง๐—œ๐—” ๐—ฉ๐—ฌ๐—”๐—ž๐—จ๐—Ÿ๐—” ๐—ฆ๐—”๐—Ÿ๐—”๐— ๐—” ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—œ๐— ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ฆ๐—˜๐—Ÿ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ง๐—œ๐—ฆ๐—›๐—จ ๐—ญ๐—” ๐—™๐—œ๐—š๐—ข ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ž๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—›๐—”๐—ฅ๐—”๐—ž๐—” ๐—ก๐—” ๐—Ÿ๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—จ:

๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ.

๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ ๐—™๐—”๐—œ๐——๐—” ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—œ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—จ๐— ๐—œ๐—” ๐—•๐—ฅ๐—ข๐—–๐—–๐—ข๐—Ÿ๐—œ ๐Ÿฅฆ ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜ ๐—ญ๐—˜๐—ง๐—จ ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—œ๐—Ÿ๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ž๐—จ: Broccoli ni mboga ya kijani inayohusiana na ...
19/10/2024

๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ ๐—™๐—”๐—œ๐——๐—” ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—œ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—จ๐— ๐—œ๐—” ๐—•๐—ฅ๐—ข๐—–๐—–๐—ข๐—Ÿ๐—œ ๐Ÿฅฆ ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜ ๐—ญ๐—˜๐—ง๐—จ ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—œ๐—Ÿ๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ž๐—จ:


Broccoli ni mboga ya kijani inayohusiana na kabichi, sukumawiki, na kabeji. Ina kichwa cha maua kinachofanana na miti midogo na ni chanzo kizuri cha virutubisho, k**a vile vitamini C, vitamini A, vitamini K, nyuzi, na madini k**a kalsiamu na manganese.

Inapendekezwa sana kwa afya kutokana na uwezo wake wa kusaidia kinga ya mwili, kuboresha usagaji chakula, na kusaidia kudhibiti uzito.

Broccoli inaweza kuliwa ikiwa mbichi, iliyopikwa kwa mvuke, au kwa kuungwa na mafuta salama kwa afya na kutumika kwenye mlo tofauti tofauti k**a saladi na mboga za majani.

Broccoli ni mboga yenye faida nyingi za kiafya kutokana na viinilishe vyake vya kipekee. Hapa kuna baadhi ya faida zake:

๐Ÿญ. ๐— ๐˜„๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—”๐—ป๐˜๐—ถ๐—ผ๐˜…๐—ถ๐—ฑ๐—ฎ๐—ป๐˜๐˜€:

Broccoli ina vioksidishaji k**a vile vitamini C, beta-carotene, na flavonoids, ambavyo vinasaidia kupambana na viini vya magonjwa na uharibifu wa seli unaosababishwa na free radicals (Sumu).

๐Ÿฎ. ๐—›๐˜‚๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ž๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ฑ๐—ต๐—ถ๐—ฑ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐˜‚๐—ด๐˜‚ ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐˜†๐—ฒ๐—บ๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐˜‡๐—ถ:

Vitamini C, Vitamini A na virutubisho vingine vilivyomo kwenye broccoli vinaimarisha mfumo wa kinga ya mwili kuwa imara zaidi katika kukabiliana na vimelea vya magonjwa k**a vile Bakteria na Virusi, kusaidia mwili kujilinda dhidi ya maambukizi na magonjwa mbalimbali ya kuambukiza.

๐Ÿฏ. ๐—”๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ถ๐—ณ๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜‚๐—ป๐—ด๐—ถ๐—ผ:

Broccoli ina kalsiamu na vitamini K, viinilishe ambavyo ni muhimu kwa afya ya mifupa na kusaidia kupunguza hatari ya ugonjwa wa mifupa (osteoporosis).

๐Ÿฐ. ๐—›๐˜‚๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜‡๐˜‚๐—ถ๐˜†๐—ฎ ๐—ต๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ผ๐˜†๐—ผ:

Vyakula vyenye nyuzinyuzi nyingi k**a broccoli husaidia kudhibiti kiwango cha cholesterol mwilini, hivyo kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo.

๐Ÿฑ. ๐—›๐˜‚๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ผ:

Broccoli ina vitamini A, lutein na zeaxanthin, viinilishe ambavyo vinatumika kusaidia kuboresha afya ya macho na kupunguza hatari ya magonjwa k**a vile cataracts na upofu wa uzee.

๐Ÿฒ. ๐—›๐˜‚๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—จ๐˜€๐—ฎ๐—ด๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—–๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ (๐——๐—ถ๐—ด๐—ฒ๐˜€๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป๐—ฆ๐˜†๐˜€๐˜๐—ฒ๐—บ):

Broccoli ni chanzo kizuri cha nyuzinyuzi ambazo husaidia katika usagaji wa chakula na kuzuia matatizo ya utumbo k**a vile saratani ya utumbo, vidonda vya tumbo, bawasiri na kuvimbiwa.

๐Ÿณ. ๐—›๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฆ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ธ๐—ฎ๐—บ๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—น๐—ฒ ๐˜€๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ๐—ณ๐˜‚, ๐—ป๐˜†๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ, ๐˜‚๐˜๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ผ ๐—ป๐—ฎ ๐—œ๐—ป๐—ถ:

Broccoli ina kemikali za kiasili k**a vile sulforaphane, ambazo zimeonyesha uwezo wa kupunguza na kuzuiya hatari ya aina fulani za saratani k**a saratani ya mapafu, ini, matiti, kibofu, utumbo, kongosho na koloni.

๐Ÿด. ๐—ž๐˜‚๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ก๐—ด๐—ผ๐˜‡๐—ถ:

Broccoli ina vitamini C ambayo inasaidia katika utengenezaji wa collagen, protini inayowajibika kwa kuboresha afya ya ngozi na kupunguza mikunjo na uzee wa ngozi.

Kwa kifupi, kula broccoli mara kwa mara huchangia kwakiasi kikubwa sana katika kujenga afya bora ya mwili kwa ujumla.

๐—ž๐—ช๐—”๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—š๐—”๐—ง๐—œ๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ฆ๐—”๐—›๐—œ๐—›๐—œ ๐—ก๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜ ๐—•๐—ข๐—ฅ๐—” ๐—ก๐—œ ๐—›๐—”๐—ง๐—จ๐—” ๐—ญ๐—” ๐— ๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ - ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—œ๐— ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ฃ๐—”๐— ๐—ข๐—๐—” ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ž๐—จ๐—˜๐—ฃ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—›๐—”๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ฆ๐—œ๐—ž๐—จ ๐—ญ๐—œ๐—๐—”๐—ญ๐—ข:

๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ, ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ.

๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ ๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ก๐—”๐—ฌ๐—ข ๐—ง๐—ข๐—ž๐—”๐—ก๐—” ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ช๐—˜๐—ฃ๐—ข ๐—ช๐—” ๐—ฆ๐—จ๐— ๐—จ ๐—ก๐—ฌ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ ๐— ๐—ช๐—œ๐—Ÿ๐—œ๐—ก๐—œ:Sumu mwilini ni hali ambapo kemikali au vitu vyen...
19/10/2024

๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ ๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ก๐—”๐—ฌ๐—ข ๐—ง๐—ข๐—ž๐—”๐—ก๐—” ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ช๐—˜๐—ฃ๐—ข ๐—ช๐—” ๐—ฆ๐—จ๐— ๐—จ ๐—ก๐—ฌ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ ๐— ๐—ช๐—œ๐—Ÿ๐—œ๐—ก๐—œ:

Sumu mwilini ni hali ambapo kemikali au vitu vyenye madhara vinaingia au kujilimbikiza mwilini na kusababisha athari mbaya kwa afya. Sumu inaweza kuingia mwilini kwa njia mbalimbali k**a vile:

โž–Kumeza: kupitia chakula, maji, au dawa zenye sumu.

โž–Kupumua: kuvuta hewa yenye kemikali hatari k**a moshi wa sigara, gesi au vumbi la sumu.

โž– Kupitia ngozi: kugusana na kemikali za sumu au vitu vyenye sumu k**a vile viuatilifu au kemikali za viwandani.

โž– Sindano: kupitia sindano au vifaa vyenye sumu au dawa zilizochanganyika vibaya.

Athari za sumu mwilini zinaweza kuwa za muda mfupi (k**a kichefuchefu, kutapika) au za muda mrefu (k**a kuharibu ๐—ถ๐—ป๐—ถ, ๐—ณ๐—ถ๐—ด๐—ผ, ๐—บ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ๐—ณ๐˜‚, ๐—ธ๐—ผ๐—ผ ๐—น๐—ฎ ๐—ต๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ถ) kutegemea aina ya sumu na kiwango kilichoingia mwilini.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—จ๐—ช๐—˜๐—ฃ๐—ข ๐—ช๐—” ๐—ฆ๐—จ๐— ๐—จ ๐—ก๐—ฌ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ ๐— ๐—ช๐—œ๐—Ÿ๐—œ๐—ก๐—œ:

Kuwa na sumu nyingi mwilini (toxins) kunaweza kusababisha madhara mbalimbali kiafya, ikiwemo:

๐Ÿญ. ๐—จ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐˜ƒ๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฑ๐—ต๐—ผ๐—ผ๐—ณ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ถ

- Mwili unapotatizika kutoa sumu, unaweza kuhisi uchovu wa kudumu na kukosa nguvu.

๐Ÿฎ. ๐— ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—ป๐—ด๐—ผ๐˜‡๐—ถ

- Ngozi inaweza kuwa kavu, kupata mapele, vipele, au hata magonjwa k**a vile psoriasis na eczema kutokana na sumu kujilimbikiza mwilini.

๐Ÿฏ. ๐—ž๐˜‚๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ถ

- Kinga ya mwili inakuwa dhaifu, na hivyo mwili kuwa rahisi kushambuliwa na magonjwa.

๐Ÿฐ. ๐—ž๐—ถ๐˜‡๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜‡๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐˜ƒ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐˜„๐—ฎ

- Sumu nyingi mwilini zinaweza kusababisha maumivu ya kichwa au kizunguzungu cha mara kwa mara.

๐Ÿฑ. ๐—ž๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐˜๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐—น๐—ฎ ๐—บ๐—ณ๐˜‚๐—บ๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—บ๐—ฒ๐—ป๐—ด'๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ผ

- Hii inaweza kupelekea kuvimbiwa, gesi nyingi, au kuhisi tumbo kujaa mara kwa mara.

๐Ÿฒ. ๐—ž๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐˜‡๐—ฒ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐˜‡๐—ถ๐˜๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ป๐—ฒ๐—ป๐—ฒ๐—ฝ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ถ๐—ธ๐—ผ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ฎ

- Sumu zinaweza kuathiri mfumo wa homoni, na hivyo kusababisha kuongezeka kwa uzito au kushindwa kupunguza uzito.

๐Ÿณ. ๐—ž๐˜‚๐—ต๐—ถ๐˜€๐—ถ ๐—ต๐—ผ๐—บ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ต๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐˜€๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ป๐—ถ

- Sumu zinaweza kuathiri mfumo wa neva, hivyo kusababisha mfadhaiko, wasiwasi, au hali ya kuwa na hasira mara kwa mara.

๐Ÿด. ๐—ž๐˜‚๐˜ƒ๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ถ

- Sumu zinaweza kuchangia kuvimba kwa viungo au mwili kwa ujumla.

Ni muhimu kutoa sumu mwilini kupitia njia k**a vile kunywa maji mengi, kula chakula safi na bora, na kufanya mazoezi mara kwa mara.

๐—ž๐—ช๐—”๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—š๐—”๐—ง๐—œ๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ฆ๐—”๐—›๐—œ๐—›๐—œ ๐—ก๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜ ๐—•๐—ข๐—ฅ๐—” ๐—ก๐—œ ๐—›๐—”๐—ง๐—จ๐—” ๐—ญ๐—” ๐— ๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ - ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—œ๐— ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ฃ๐—”๐— ๐—ข๐—๐—” ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ž๐—จ๐—˜๐—ฃ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—›๐—”๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ฆ๐—œ๐—ž๐—จ ๐—ญ๐—œ๐—๐—”๐—ญ๐—ข:

๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ, ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ.

๐—›๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข, ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—”๐—œ๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—•:๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—• :- Ni virus vinavyo sababisha ugonj...
19/10/2024

๐—›๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข, ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—”๐—œ๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—•:

๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—• :- Ni virus vinavyo sababisha ugonjwa mkali wa Ini [๐—ž๐—ผ๐˜ƒ๐˜‚ ๐—น๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ฆ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ถ] kutokana na uwepo wa maambukizi haya kwa muda mlefu pasipo kutibiwa.

Virusi ivyo vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza mtu mara 100 zaidi ya virusi vya ukimwi.

Zifuatazo ni baadhi ya njia za usambaaji wa virusi vya homa ya ini ambazo ni pamoja na:-

โž– Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto Katika kipindi cha ujauzito au kujifungua.

โž– Kufanya mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya INI [HEPATITIS].

โž– Kuchangia vifaa vyenye ncha kali k**a sindano hasa kwa watumiaji wa madawa ya kulevya au wachora tattoo, miswaki.

โž– Kuongezewa damu ambayo ina maambukizi ya virus vya homa ya INI aina ya Hepatitis.

โž– Kunyonyana Ndimi Dendaโ€™ na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.

โž– Kuchangia taulo na mtu mwenye ugonjwa huu.

โž– Kubadilishana nguo na mtu mwenye huu ugonjwa au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho.

Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivyo ni hatari kuliko virus vya ukimwi kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku saba 7 hadi nane 8.

Virusi vya ukimwi (VVU) havina uwezo wa kuishi nje ya mfumo wa damu hata kwa dakika moja.

Mtu mwenye homa ya ini ana wastani mdogo wa kuishi kuliko mwenye ukimwi.

Kwa maana hiyo, mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini hufariki dunia haraka sana k**a hatopatiwa matibabu mapema basi huishi muda mfupi sana kuliko mwenye VVU.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—จ๐—ช๐—˜๐—ฃ๐—ข ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐— ๐—Ÿ๐—˜๐—™๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ฆ๐—œ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ [๐—›๐—•๐—ฉ]:

โž– Maumivu ya tumbo upande wa kulia (Upande wa ini).

โž– Ascites ya tumbo(Tumbo kujaa maji), Sura na miguu kuvimba.

โž– Kichefuchefu cha mara kwa mara Muda mwengine mgonjwa hutapika.

โž– Miwasho ya ngozi ya mara kwa mara hasa majira ya jioni.

โž– Maumivu ya tumbo asili ya kichomi na kifua kuwa na asidi au kiungulia.

โž– Baadhi ya wagonjwa hunenepa kusiko kwa kawaida, hali ambayo inatokana na mrudikano wa mafuta mengi katika tishu au misuri baada ya ini kushindwa kusindika au kuchakata mafuta mwilini.

โž– Macho na ngozi kuwa vya njano (Jaundice).

โž– Mkojo mweusi/mkojo kuwa na rangi iliyokolea k**a coca-cola.

Kuna baadhi ya wagonjwa wa homa ya ini hukaa muda mlefu [Miaka mingi] pasipo kuona dalili yoyote za homa ya ini, kwa kipindi iki ini likiendelea kuharibika hatimae huja kupata ugonjwa mkali wa ini na kusababisha ini kushindwa kabisa kufanya kazi pia huweza kusababisha kifo asipopata matibabu sahihi na mapema.
Hii hatua huitwa โ€œ๐—™๐˜‚๐—น๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ป๐˜ ๐—น๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—ณ๐—ฎ๐—ถ๐—น๐˜‚๐—ฟ๐—ฒโ€.

Dalili huja kuonekana waziwazi miaka mingi baada ya mtu kuambukizwa.

Kwa wenye maambukizi ya virusi aina C matibabu ya Dawa kwa wiki 8 humaliza tatizo [Kupona kabisa] .

Na kwa wenye Virus aina ya B matibabu ya Dawa ni kwa wiki 12 adi 16 humaliza maambukizi. [Kupona kabisa]

Unaweza kuwasiliana nasi kwakupiga simu au kutuma ujumbe mfupi wa maandishi.

WhatsApp 0628 361 104 +255746484873

๐—›๐—ข๐—ฆ๐—ฃ๐—œ๐—ง๐—”๐—Ÿ๐—œ, ๐—ง๐—จ๐—ก๐—”๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—”๐—ก๐—” ๐——๐—”๐—ฅ ๐—˜๐—ฆ ๐—ฆ๐—”๐—Ÿ๐—”๐—”๐—  ๐—ž๐—œ๐—š๐—”๐— ๐—•๐—ข๐—ก๐—œ.

๐—ž๐—ช๐—” ๐—›๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—จ๐— ๐—จ๐—ข๐—ก๐—” ๐——๐—”๐—ž๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—›๐—จ๐—ง๐—ข๐—Ÿ๐—˜๐—ช๐—” ๐—•๐—จ๐—ฅ๐—˜.

๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฒ, ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข, ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ, ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—๐—ข.

๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—จ - ๐—ง๐—œ๐—•๐—จ ๐—ฆ๐—”๐—ฅ๐—”๐—ง๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—”๐—™๐—จ, ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—ญ๐—ข, ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ž๐—˜:Saratani ya mapafu ni ugonjwa unaohusishwa...
19/10/2024

๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—จ - ๐—ง๐—œ๐—•๐—จ ๐—ฆ๐—”๐—ฅ๐—”๐—ง๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—”๐—™๐—จ, ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—ญ๐—ข, ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ž๐—˜:

Saratani ya mapafu ni ugonjwa unaohusishwa na ukuaji usio wa kawaida wa seli katika tishu za mapafu ambayo huanza kupelekea Tumors yani ๐—ฉ๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ๐—ณ๐˜‚.

Tishu hizi za kansa zisipotibiwa mapema, zinaweza kuenea kutoka kiungo kimoja hadi kingine kwa njia inayoitwa metastasisi.

Saratani ya mapafu hujulikana k**a Kasinomasi, hii ni aina ya saratani ya mapafu ambayo husababishwa na uzalianaji na ukuaji wa cell za mapafu pasipo mpangilia maalum (Abnormal Cells) kwenye tishu za mapafu.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฆ๐—”๐—•๐—”๐—•๐—œ๐—ฆ๐—›๐—œ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—ฆ๐—”๐—ฅ๐—”๐—ง๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—”๐—™๐—จ (๐—ž๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—ข๐— ๐—”๐—ฆ๐—œ).

โž– Uvutaji sigara kupita kiasi au kuvuta moshi wa sigara kutoka kwa mtu anaevuta sigara.

โž– Maambukizi ya bakteria au virus kwa njia ya hewa.

โž– Uchafunzi wa hali ya hewa k**a vile moshi wa magari na viwandani.

โž– Ulaji wa nyama nyekundu kupita kiasi k**a vile nyama ya ng'ombe, nguruwe, kondoo na mbuzi.

โž– Kazi za migoni uchimbaji wa madini na unywaji pombe kupita kiasi.

โž– Maswala ya kijenetic (Kurithishwa katika ukoo wenye historia ya ugonjwa wa saratani ya mapafu).

โž– Ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na chumvi.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ฆ๐—”๐—ฅ๐—”๐—ง๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—”๐—™๐—จ (๐—ž๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—ข๐— ๐—”๐—ฆ๐—œ).

โž– Upungufu wa pumzi, kupumua kwa shida na kukosa pumzi kabisa.

โž– Kukohoa damu na kikohozi kikavu.

โž– Maumivu ya kifua na kujihisi mgonjwa, mwili kuuma na kukosa nguvu.

โž– Kupoteza uzito, kupoteza umakini katika kazi, kupoteza hamu ya kula.

โž– Ngozi kuwa kavu na kupoteza mwonekano.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ฆ๐—”๐—ฅ๐—”๐—ง๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—”๐—™๐—จ ๐—ž๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—ข๐— ๐—”๐—ฆ๐—œ ๐—œ๐—ฆ๐—œ๐—ฃ๐—ข ๐—ง๐—œ๐—•๐—œ๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—˜๐— ๐—”!.

โž– Mapafu kujaa maji, mapafu kutengeneza vimbe na vidonda sugu.

โž– Maumivu ya mara kwa mara ya kifua na kukosa pumzi.

โž– Uwepo wa sumu nyingi na mabaki ya protini kwenye damu kutengeneza cholesterol.

โž– Kuferi kwa ini, figo, kongosho na Moyo.

โž– Kupata strock yani kiharusi au kupalalaizi na kupoteza kumbu kumbu.

โž– Kudhoofika kwa kinga ya mwili na kupata magonjwa sugu ya kuambukiza na yasiyo ambukiza.

โž– Kupata shambulio la moyo, mishipa ya moyo kusinyaa au kutanuka.

โž– Mgonjwa kupoteza maisha.

๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—ฆ๐—”๐—ฅ๐—”๐—ง๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—”๐—™๐—จ ( ๐—ž๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—ข๐— ๐—”๐—ฆ๐—œ).

โž– Saratani ya mapafu yani kasinomasi inaweza kuonekana rediografu ya kifua na tomography ya kumpyuta yani ukaguzi wa (CT).

Utambuzi udhibitishwa kwa biopsies ambayo hutekelezwa kwa bronkoskopi au mwongozo wa (CT).

๐—จ๐—›๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—œ๐—” ๐—ช๐—” ๐—ฆ๐—”๐—ฅ๐—”๐—ง๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—”๐—™๐—จ ๐—จ๐—Ÿ๐—œ๐— ๐—ช๐—˜๐—ก๐—š๐—จ๐—ก๐—œ!.

Kwa jumla ya asilimia 58% ya mwatu wote ulimwenguni na asilimia 16% barani Afrika hugundulika idadi ya watu wanao ishi na saratani ya mapafu kwakipindi kilefu pasipo wao kujitambua hali ambayo inaendelea kutishia maisha.

Saratani ya mapafu yani kasinomasi ni kisababishi kikuu cha vifo ulimwenguni vinavyo husiana uwepo wa saratani ya mapafu kwa jinsia zote wanaume na wanawake, na husababisha takribani vifo milioni 8.32 ya vifo duniani kote.

๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—ฆ๐—”๐—ฅ๐—”๐—ง๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—”๐—™๐—จ.

โž– kuzuiya uzalianaji wa seli za kansa katika mapafu.

โž– kuondoa ukungu na vimbe za mapafu.

โž– kuimarisha afya ya upumuaji na kuzuiya kubana kwa kifua wakati wa kupumua.

โž– kuzibua mirija ya hewa au viriba hewa (Alveolars) kwakuondoa uteute au mucus katika viribahewa hivyo vya upumuaji.

โž– kuondoa maumivu ya kichwa na misuri.

โž– kuondoa vichomi, ganzi, misuri kukaza na kukoa hamu ya kula.

โž– Kuondoa cholesterol katika mishipa ya damu na seli za ubongo na mapafu.

โœ… Matibabu na matokeo ya muda mlefu na ya kudumu, yanategemea na aina ya saratani ya mapafu, hatua yani kiwango cha uweneaji wa cell hizi za kansa katika tishu za mapafu na afya ya mgonjwa kwa ujumla.

Unaweza kuwasiliana nasi kwakupiga simu au kutuma ujumbe mfupi wa maandishi
WhatsApp 0628 361 104 +255746484873

๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—œ๐—ฃ๐—œ๐—ก๐——๐—œ ๐—–๐—›๐—” ๐— ๐—”๐—จ๐——๐—›๐—จ๐—ฅ๐—œ๐—ข ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ( ๐——๐—ข๐—ญ๐—œ ) ๐— ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—›๐—จ๐—ฃ๐—˜๐—ช๐—” ๐—จ๐—ง๐—”๐—ฅ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—จ ๐— ๐—”๐—”๐—Ÿ๐—จ๐— ๐—จ ๐—ช๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜ ๐—ฆ๐—”๐—Ÿ๐—”๐— ๐—” ๐—ฆ๐—”๐— ๐—•๐—”๐— ๐—•๐—” ๐—ก๐—” ๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—›๐—œ๐—Ÿ๐—œ, ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ž๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—ข๐—ž๐—˜๐—ข ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐— ๐—™๐—จ๐—ฃ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—จ!

๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ [ ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ] ๐—ก๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐— ๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—ญ๐—” ๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข๐—ก๐—” ๐—ž๐—ช๐—”๐—ก๐—œ๐—ก๐—œ ๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ช๐—”๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—›๐—จ๐—Ÿ๐—”๐—ญ๐—œ๐— ๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—›๐—จ๐——๐—›๐—จ๐—ฅ...
17/10/2024

๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ [ ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ] ๐—ก๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐— ๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—ญ๐—” ๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข

๐—ก๐—” ๐—ž๐—ช๐—”๐—ก๐—œ๐—ก๐—œ ๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ช๐—”๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—›๐—จ๐—Ÿ๐—”๐—ญ๐—œ๐— ๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—›๐—จ๐——๐—›๐—จ๐—ฅ๐—œ๐—” ๐——๐—ข๐—ญ๐—œ ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐— ๐—”๐—œ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ข ๐—ฌ๐—ข๐—ง๐—˜:

Muda wa kumaliza tatizo au changamoto, inategemea hatua ya tatizo lilipo fikia, na tunapo zungumzia hatua ya tatizo tuna tazama au kuzungumzia mambo matatu.

โž– Wingi wa maambukizi yani vimelea Virusi hapa tunamaanisha (Viral load).

โž– Afya ya ini (Liver health and liver functions)

โž– Afya ya mgonjwa kwa ujumla yani changamoto anazo zipitia kwa wakati huo (Currently General Health for Patient ).

Kwaiyo kuna wagonjwa wanao maliza tatizo hili kwa muda wa wiki nane yani miezi miwili na wengine wiki 12 yani miezi mitatu, miezi minne na wengine mwaka mnzima na wapo wachache inawalazimu kuhudhulia dozi maisha yote kutokana na hatua ya ugonjwa ulipo fikia na kuathiri ini.

Wagonjwa ambao maranyingi sana inawalazimu kushiliki dozi katika kipindi chote ni wagonjwa ambao wapo kuanzia hatua ya tatu ya uharibifu wa ini unao endelea pole pole kutokana na maambukizi ya muda mlefu (Third Stage of liver Demage).

Hatua hii ya tatu maranyingi sana ini likuwa tayari limeshafikia hatua ya kuwa na kovu baada ya multiple cells yani seli nyingi au tishu nyingi za ini kupasuliwa kwa wingi na zile scar tissues yani tishu au seli za ini zilizo pasuliwa kuwa placed yani kukusanyika au kukaa pamoja na health tissues hizi ni tishu za ini zenye afya, zinapo kuja kuingiliana na tishu au seli za ini zilizo haribika, huwa zinakuja kutengeneza kovu la ini.

Kovu hili hulifanya ini kuwa katika hatua ya tatu ya uharibifu wa ini ulio endelea pole pole kutokana na uwepo wa maambukizi ya virus vya Hepatitis kwa muda mlefu hatua hii ya tatu tunaita "๐—Ÿ๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—–๐—ถ๐—ฟ๐—ฟ๐—ต๐—ผ๐˜€๐—ถ๐˜€ ๐—ฆ๐˜๐—ฎ๐—ด๐—ฒ ".

Kovu hili la ini huingilia utendaji kazi wa ini kwakiwango kikubwa sana, na kulifanya ini lianze kuacha au kushindwa kufanya baadhi ya kazi zake muhimu au metabolism mbali mbali mwilini k**a vile uchujwaji wa Sumu, Asidi, Protini ya ziada, Mafuta na kuweka sawa viwango sahihi vya maji mwilini ili maisha yaweze kuendelea.

Na ukitazama kovu la ini ndio mwanzo wa ini kuingia katika hatua ya nne ya uharibifu wa ini ambayo ni Liver cancer au saratani ya ini.

Kwa wagonjwa walio katika hatua ya tatu, hatua ya nne na hatua ya tano maranyingi sana inakuwa ni ngumu kupona moja kwa moja kwasababu kovu la ini huwa ๐—ต๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐—ธ๐—ถ anaweza kumaliza maambukizi na kupata utaratibu wa chanjo, lakini bado ini lake litaendelea kuzalisha seli za kansa.

Kupitia hatua hizi hatarishi, mgonjwa hushauliwa kuendelea kuhudhulia Dozi, Vyakula salama kwa afya ya ini pamoja na vipimo vya mara kwa mara ili kuzuiya kovu la ini lisiendelee kuharibu tishu za ini zilizo Salia ili kuliwezesha ini kuendelea kufanya kazi zake za kilasiku.

Matibabu ya dozi za kuondoa maambukizi ya virus vya homa ya ini dozi hizi zipo katika mfumo wa vidonge na ni Antviral (Ant-hepatitis B Virus Medicine).

Ufanis wa dawa hizi katika kumaliza tatizo, dawa hizi hazifanyi kazi ya fubaza maambukizi kwaiyo ๐—ต๐—ฎ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ฎ viambata vya DNA ya kirus wa Hepatitis ambayo inamfanya awe sugu katika mwitikio wa dozi na kumtengeneza kirusi katika hali ya kufubazwa.

๐——๐—ข๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—• ๐—ก๐—” ๐—– ๐—›๐—จ๐—™๐—”๐—ก๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—”๐—ญ๐—œ ๐— ๐—•๐—”๐—Ÿ๐—œ ๐— ๐—•๐—”๐—Ÿ๐—œ ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข:

โž– Kuimarisha afya ya ini katika utendaji kazi wake.

โž– Kurejesha seli za ini zilizo chakaa kwakuweka sawa chembe hai ya seli yani DNA.

โž– Kuzilinda seli za ini au tishu zilizo hai zisiweze kushambuliwa na maambukizi.

โž– Kuimarisha afya ya ini kwakufanya liver Recovering.

โž– Kuimarisha afya ya figo na utumbo kwakuzuiya na kutibu vidonda vya tumbo, tumbo kujaa gesi, ganzi, bawasiri pamoja na kansa ya utumbo.

โž– Kuzuiya Assicites yani tumbo kujaa maji pamoja na mwili k**a vile miguu.

โž– Kuondoa na kuzuiya Jaunces yani manjano ya ngozi na macho.

โž– Kuondoa na kuzuiya maumivu ya misuri, mifupa na kifua.

โž– Kuongeza hamu ya kula na kuimarisha mfumo wa Digestion System yani mfumo wa mmeng'enyo wa chakula (๐—”๐—Ÿ๐—ง ๐—ป๐—ฎ ๐—”๐—ฆ๐—ง ) Enzymes.

โž– Blood Detoxification na Cleaning (Kusafisha damu kwakuondoa sumu, mabaki ya protini, Urea, asid, na kuondoa maambukizi yaliyo nje ya mfumo wa seli).

โž– Kuongeza au kurejesha hamu ya tendo la ndoa kwa wanaume na wanawake kuimarisha mfumo wao wa homon.

โž– Kulinda na Kuimarisha afya ya figo, nyongo na kibofu kwakweka sawa rangi ya mkojo.

Lengo na dhumuni la matibabu ni kutibu changamoto hii na kutoa suluhisho lililo bora na la kudumu katika kumaliza maambukizi na kuimarisha afya ini kwa ujumla, na mgonjwa aweze kuifikia huduma ya vipimo na chanjo.

๐—›๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ฎ๐˜‚๐—ฟ๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—บ๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ฎ ๐——๐—ฎ๐—ธ๐˜๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ต๐˜‚๐˜๐—ผ๐—น๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐—ฏ๐˜‚๐—ฟ๐—ฒ.

๐™ƒ๐™Š๐™Ž๐™‹๐™„๐™๐˜ผ๐™‡ ๐™๐™๐™‰๐˜ผ๐™‹๐˜ผ๐™๐™„๐™†๐˜ผ๐™‰๐˜ผ ๐˜ฟ๐˜ผ๐™ ๐™€๐™Ž ๐™Ž๐˜ผ๐™‡๐˜ผ๐˜ผ๐™ˆ - ๐™†๐™„๐™‚๐˜ผ๐™ˆ๐˜ฝ๐™Š๐™‰๐™„, ๐™๐™€๐™๐™” ๐™‚๐™ƒ๐™Š๐™‡๐™Š๐™๐˜ผ ๐™”๐˜ผ ๐™๐™’๐˜ผ๐˜ผ ๐™๐™‡๐™Š๐™’ ๐™”๐˜ผ ๐™‹๐™„๐™‡๐™„

Unaweza kuwasiliana nasi kwakupiga simu au kutuma ujumbe mfupi wa maandishi kupitia WhatsApp:

0628 361 104 +255746484873

๐—ž๐—ช๐—”๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—š๐—”๐—ง๐—œ๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜ ๐—•๐—ข๐—ฅ๐—” ๐—ก๐—œ ๐—›๐—”๐—ง๐—จ๐—” ๐—ญ๐—” ๐— ๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ - ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฅ๐—˜๐—๐—˜๐—ฆ๐—›๐—” ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ž๐—จ๐—˜๐—ฃ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—›๐—”๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ฆ๐—œ๐—ž๐—จ ๐—ญ๐—œ๐—๐—”๐—ญ๐—ข:

๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข, ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ, ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—๐—ข.

๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—จ - ๐—ง๐—œ๐—•๐—จ ๐—ฉ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—–๐—ข๐—ฆ๐—˜ ๐—ฉ๐—˜๐—œ๐—ก๐—ฆ ๐—•๐—œ๐—Ÿ๐—” ๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ฆ๐—จ๐—”๐—๐—œ - ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐—ฉ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—–๐—ข๐—ฆ๐—˜ ๐—ฉ๐—˜๐—œ๐—ก๐—ฆ ๐—ก๐——๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ช๐—œ๐—ž๐—œ ๐Ÿด:Mishipa ya varico...
17/03/2024

๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—จ - ๐—ง๐—œ๐—•๐—จ ๐—ฉ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—–๐—ข๐—ฆ๐—˜ ๐—ฉ๐—˜๐—œ๐—ก๐—ฆ ๐—•๐—œ๐—Ÿ๐—” ๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ฆ๐—จ๐—”๐—๐—œ - ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐—ฉ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—–๐—ข๐—ฆ๐—˜ ๐—ฉ๐—˜๐—œ๐—ก๐—ฆ ๐—ก๐——๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ช๐—œ๐—ž๐—œ ๐Ÿด:

Mishipa ya varicose, au varicosities veins.

Ni mishipa ya damu iliyovimba na kupinda pinda kwa Kawaida mishipa hii hutokea au kukaa kwenye miguu na wakati mwingine mishipa ya varicose huunda katika sehemu nyingine za mwili tofauti na miguuni k**a vile Vifundoni ikiwa na rangi ya Blue, Zambarau au nyekundu.

Vipuli hivi vya bluu au zambarau kawaida huonekana kwenye miguu, na vifundo vyako.
Inaweza kuambatana na maumivu au kuwasha.

๐’๐€๐๐€๐๐” ๐™๐ˆ๐๐€๐™๐Ž ๐–๐„๐™๐€ ๐‚๐‡๐Ž๐‚๐‡๐„๐€ ๐Š๐”๐๐€๐“๐€ ๐•๐€๐‘๐ˆ๐‚๐Ž๐’๐„ ๐•๐„๐ˆ๐๐’!.

Mtu yeyote anaweza kupata mishipa ya varicose. Sababu fulani huongeza uwezekano wako wa kupata mishipa ya varicose, ikiwa ni pamoja na:

[ 1 ] Umri: Kwa sababu ya mchakato wa kuzeeka, kuta za mshipa na vali hazifanyi kazi vizuri k**a zilivyofanya hapo awali. Mishipa hupoteza elasticity ya kuimarisha mishipa iyo.

[ 2 ] Jinsia: Homoni za k**e zinaweza kuruhusu kuta za mishipa ya miguuni kuanza kuonyesha varicose.

Watu ambao ni wajawazito, wanaotumia kidonge cha kudhibiti uzazi au kutumia njia za uzazi wa mpango au wanaopitia kipindi cha kukoma kwa hedhi wana hatari kubwa ya kupata mishipa ya varicose kwa sababu ya mabadiliko ya viwango vya homoni.

[ 3 ] Kujifungua kwa Oparesheni

[ 4 ] Kutumia njia za uzazi wa mpango

[ 5 ] Unene au mwili mkubwa

[ 6 ] Kuwa na damu nyingi

[ 7 ] Kuwa na damu Ya kuganda au nzito

[ 8 ] Kukoma kwa hedhi

[ 9 ] Historia ya Familia: Hali hii inaweza kurithiwa (huendeshwa katika familia) Genitics Factors.

[ 10 ] Mtindo wa maisha: Kusimama au kukaa kwa muda mrefu hupunguza mzunguko wa damu. Kuvaa nguo zinazobana, k**a vile mikanda au suruali yenye mikanda ya kiunoni kunaweza kupunguza mtiririko wa damu.

[ 11 ] Afya kwa ujumla: Hali fulani za kiafya, k**a vile kuvimbiwa sana au uvimbe fulani, huongeza shinikizo la damu kwenye mishipa.

[ 12 ] Matumizi ya tumbaku: Watu wanaotumia bidhaa za tumbaku wana uwezekano mkubwa wa kupata VARICOSE VEIN.

[ 13 ] Uzito: Uzito wa ziada huweka shinikizo kwenye mishipa ya damu.

๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ง๐—ข๐—ž๐—”๐—ก๐—”๐—ฌ๐—ข ๐—ก๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—š๐—”๐— ๐—ข๐—ง๐—ข ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—–๐—ข๐—ฆ๐—˜ ๐—ฉ๐—˜๐—œ๐—ก๐—ฆ ๐—œ๐—ฆ๐—œ๐—ฃ๐—ข ๐—ง๐—œ๐—•๐—œ๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—˜๐— ๐—”:

[ 1 ] Maumivu ya mara kwa mara ya miguu na misuri kukaza

[ 2 ] Saratani au Kansa ya kudumu

[ 3 ] Hupelekea kushindwa kutembea kabisa pindi ugonjwa huu usipo tibiwa mapema.

๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐— ๐—จ๐—ข๐—ก๐—” ๐——๐—”๐—ž๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—›๐—จ๐—ง๐—ข๐—Ÿ๐—˜๐—ช๐—” ๐—•๐—จ๐—ฅ๐—˜.

Kwa mawasiliano zaidi na huduma usisite kuwasiliana nasi kwa kupiga simu au WhatsApp

0628 361 104

+255628361104

Thamani ya Dozi TZS 86, 000/=

TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM KIMARA STOP OVER :

๐Š๐š๐ซ๐ข๐›๐ฎ ๐“๐ฎ๐ค๐ฎ๐ก๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐ข๐ž - ๐ค๐ฐ๐š ๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐š๐ฆ๐จ๐ญ๐จ ๐ณ๐š ๐š๐Ÿ๐ฒ๐š ๐ญ๐ฎ๐ง๐š๐ญ๐จ๐š ๐”๐’๐‡๐€๐”๐‘๐ˆ ๐๐€ ๐“๐ˆ๐๐€.

TOKOMEZA HOMA YA INI [Hepatitis B] NDANI YA WIKI  12 - Rejesha afya na tumaini jema la maisha YAKO - - HOMA YA INI INATI...
08/02/2024

TOKOMEZA HOMA YA INI [Hepatitis B] NDANI YA WIKI 12

- Rejesha afya na tumaini jema la maisha YAKO -

- HOMA YA INI INATIBIKA -

HEPATITIS B :- Ni homa ya INI inayosababishwa na kirus wa Hepatitis B.

Virusi ivyo vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza watu mara 100 zaidi ya virusi vya ukimwi.

Zifuatazo ni baadhi ya njia za usambaaji wa virusi vya homa ya ini ambazo ni pamoja na:-

(1) Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.

(2) Kufanya mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.

(3) Kuchangia vifaa vyenye ncha kali k**a sindano hasa kwa watumiaji wa madawa ya kulevya au wachora tattoo, miswaki.

(4) Kuongezewa damu ambayo ina maambukizi ya virus vya homa ya INI aina ya Hepatitis.

(5) Kunyonyana Ndimi Dendaโ€™ na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.

(6) Kuchangia taulo na mtu mwenye ugonjwa huu.

(7) Kubadilishana nguo na mtu mwenye huu ugonjwa au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho.

Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivyo ni hatari kuliko hata vya ukimwi kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku saba.

Virusi vya ukimwi (VVU) havina uwezo wa kuishi nje ya mfumo wa damu hata kwa dakika moja.

Mtu mwenye homa ya ini ana wastani mdogo wa kuishi kuliko mwenye ukimwi.

Kwa maana hiyo, mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini hufariki dunia haraka sana k**a hatopatiwa tiba mapema basi huishi muda mfupi sana kuliko mwenye VVU.

BAADHI YA DALILI ZITOKANAZO NA HOMA YA INI:

(1) Mwili kuwashwa ifikapo jioni au usiku.

(2) Uchovu wa mara kwa mara mwili kudhoofika

(2) Kichefuchefu na muda mwengine kutapika.

(3) Mwili kuwa dhaifu na Kukosa nguvu.

(4) Homa kali na maumivu ya Magoti wakati.

(5) Kupoteza hamu ya kula.

(6) Kupungua uzito Kwa kasi.

(7) Maumivu makali ya tumbo upande wa ini.

(viii) Macho na ngozi kuwa vya njano.

(9) Mkojo mweusi/mkojo kuwa na rangi iliyokolea k**a coca-cola.

KUMBUKA

๐ŸŽฏ Kuna kundi dogo la wagonjwa wa homa ya ini hupata ugonjwa mkali wa ini na kusababisha ini kushindwa kabisa kufanya kazi pia huweza kusababisha kifo asipopata matibabu mapema.
Hii hatua huitwa โ€œFulminant liver failureโ€.

- - - - - - - - - - - - - - - - -

Dalili huja kuonekana waziwazi miaka mingi baada ya mtu kuambukizwa.

Kwa wenye maambukizi ya virusi aina C matibabu ya Dawa kwa wiki 8 humaliza tatizo [Kupona kabisa] .

Na kwa wenye Virus aina ya B matibabu ya Dawa ni kwa wiki 12 adi 16 humaliza virus wote. [Kupona kabisa]

BAADHI YA MADHARA YATOKANAYO NA HOMA YA INI

[1 ] INI kushindwa kufanya kazi (Liver Failure).

[2 ] Saratani ya ini (Hepatoma).

[3] Figo kuferi na tumbo kujaa maji

[4] Maumivu ya tumbo yasiyo isha

[5]Tumbo, Sura na miguu kuvimba.

[6] Njaa ya mara kwa mara na kali.

[7] Hupelekea Kifo

VIPIMO, USHAURI NA KUMUONA DAKTARI HUTOLEWA BURE...

Bonyeza namba hii tuwasiliane WhatsApp au kupiga simu

0628 361 104

๐Ÿ“ฒ+255628361104
... TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM KIMARA STOP OVER...

Address

Kimara Stop Over
Dodoma
12763

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sauti Ya Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share