Kabigwa Afya

Kabigwa Afya HeaLTh Entertaining Contents °||°Sexual & Reproductive Health •||•
MenTal Health 🧠 •||• Digital Health Enthusiast•||•

Tangawizi + Kitunguu saumu→ Kwa kikohozi kikali.Kitunguu maji + Tangawizi → Hushusha cholesterol na kutibu UTI (maambuki...
25/07/2025

Tangawizi + Kitunguu saumu→ Kwa kikohozi kikali.

Kitunguu maji + Tangawizi → Hushusha cholesterol na kutibu UTI (maambukizi ya njia ya mkojo).

Manjano (turmeric) + Asali → Hupunguza uvimbe na maumivu (anti-inflammation).

Karoti + Nyanya mbichi →Ni nzuri kwa macho.

Juisi ya tango →Ni nzuri kwa ngozi.

Kabeji + Karoti → Husaidia ini (liver).

Juisi ya chungwa → Huimarisha afya ya utumbo mpana (colon).

Maharage yaliyopikwa + Nyanya mbichi → Ni nzuri kwa tezi dume (prostate).

Parachichi → Husaidia afya ya moyo.

Maji ya karafuu → Hupunguza maumivu ya hedhi.

Mifupa ya samaki → Hujenga mifupa imara.

Tikiti maji + Ndizi + Tango + Karanga → Kwa nguvu za kiume imara.

Juisi ya nanasi = Husaidia kusafisha uke na kuupa harufu nzuri.

Lita 2 za maji kwa siku → Kwa afya ya figo.

Mayai →Huchochea uzalishaji wa homoni.

Maharagwe mabichi →Hujenga mifupa yenye nguvu.

JINSI YA KUMEZA VITUNGUU SWAUMU KWA MATOKEO MAZURI1️⃣ Meza punje 2-3 bila kuzitafuna, kisha unywe maji ya uvuguvugu.2️⃣ ...
28/05/2025

JINSI YA KUMEZA VITUNGUU SWAUMU KWA MATOKEO MAZURI

1️⃣ Meza punje 2-3 bila kuzitafuna, kisha unywe maji ya uvuguvugu.

2️⃣ K**a ladha yake inakusumbua, changanya na asali kidogo.

3️⃣ Fanya hivi kila siku kwa muda wa mwezi mmoja na utaona matokeo makubwa!

Sikia, Usiende Kutapeliwa Kwa Kudanganywa kwamba Kuna Dawa za Kuongeza Nguvu, Kurefusha au Kunenepesha,

Soma Hapa 👇

Kuna Matunda/Ndizi yenye Sukari Nyingi Kuliko Hizi?
27/05/2025

Kuna Matunda/Ndizi yenye Sukari Nyingi Kuliko Hizi?

K**a wewe upo na Michirizi kwenye Tumbo,  Mapaja au  Makalioni,kitaalamu inatwa Stretch Mark , Basi  Chukua Mbinu Hii Ni...
27/05/2025

K**a wewe upo na Michirizi kwenye Tumbo, Mapaja au Makalioni,kitaalamu inatwa Stretch Mark ,

Basi Chukua Mbinu Hii Ni zuri na Matokeo ya Haraka....

Kausha vizuri Mbegu za Mnyonyo, Kisha saga Vizuri Kutoa Mafuta Yake,

Paka mafuta hayo kutwa mara Mbili, Asubuhi na Usiku kwa siku 14 Njoo na Mrejesho...

NB: Nakushauri uandae Mwenyewe, kwani asilimia kubwa ya wanao uza mafuta haya ni uchakachuaji.🫵

Unafanya Detoxification (Kuondoa Sumu Mwilini) Kwa Kutumia Nini? Hakikisha Unafanya Detoxification au Kuondoa Sumu Mwili...
27/05/2025

Unafanya Detoxification (Kuondoa Sumu Mwilini) Kwa Kutumia Nini?

Hakikisha Unafanya Detoxification au Kuondoa Sumu Mwilini Angalau Mara 2-3 Kwa Mwezi.

23/06/2024

Maji💦 -> Kwa Ajili ya Figo!

Mayai 🥚-> Kwa Ajili ya Ubongo 🧠!

Carrots🥕 -> Kwa Ajili ya Macho!

Nanasi 🍍-> Kwa Ajili ya Koo!

Cabbage 🥬 -> Kwa Ajili ya Utumbo!

Tango 🥒 -> Kwa Ajili ya Ngozi!

Tangawizi -> Kwa Ajili ya Koo na Mapafu!

Parachichi & Nyanya 🥑 -> Kwa Ajili ya Afya ya Moyo 🫀!

Mazoezi exercise🏋️ -> Kwa Ajili ya Afya imara na Kinga Bora ya Mwili!

Mboga za Majani 🥦🫑 -> Kwa Ajili ya Kuongeza Kinga yako ya Mwili.

Furaha 😆 -> Kwa Ajili ya Afya yako ya Akili!

17/01/2024

1. Kunywa Glass 2 za Maji Asubuhi hii, Fanya hivyo Kwa Ajili ya Vital organs zako🫀🫁 .

2. "Kaa Mbalii" na Sukari Nyingi, na utakua umeuokoa Mwili wako.

3. Usinywe Soda wala Energy Drink Leo, Okoa Moyowako na Kongosho (Pancreas).

4. Kula Angalau yai 🥚 1 Leo Kwa Ajili ya Moyo na Ubongo 🧠.

5. Usiwe Mtu wa Huzuni au Kujinenea Mabaya, Fanya Hivyo ili Kuilinda Afya Yako ya Akili.

6. Hakikisha unapata Mboga za Majani Kwa Ajili ya Kuimarisha Kinga Yako ya Mwili.

7. Usikae sehemu moja Kwa Masaa Kadhaa Kwa Muda Mrefu, Kaa wima, simama jinyooshe, Fanya hivyo kukusaidia Mgongo wako.

8. Pata Muda wa Kupumzika, Ni nzuri Kwa Afya yako ya Akili.

9. Pata Muda wa Mazoezi, Angalau dk 30 TU, Utakuwa umeuweka mwili wako mbali na Magonjwa Nyemelezi Kwa kuwa na Kinga.

10. Like & Share ili iwafikie na Kuwasaidia Wengine 🙏

Address

Dodoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kabigwa Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram