AVE MARIA SAUNA

AVE MARIA SAUNA AVE MARIA SAUNA is a business that provides sauna, reflexology, back massage and foot scrubs. welcome

We use natural products such as coffee, oranges, turmeric, avocado, coconut oil (rozela), mchaichai oil, mkaratusi oil, clove oil, and peanut oil.

06/05/2025

Karibuni sana Ave Maria Sauna โ€“ mahali ambapo afya ya mwili na utulivu wa akili hukutana.

Hapa tunakukaribisha kwa mikono miwili upate huduma ya sauna ya kiwango cha juu, inayosaidia kuondoa sumu mwilini (detox), kupunguza msongo wa mawazo, kuboresha mzunguko wa damu na kuongeza kinga ya mwili.

Imeandaliwa kwa mazingira tulivu, salama, na yenye harufu ya asili kutoka kwa mimea tiba.

Tunaamini afya ni msingi wa furaha, na hapa Ave Maria Sauna, tunakuhakikisha unapata huduma ya kukuponya, kukuburudisha na kukuweka kwenye njia bora ya maisha yenye afya.

Njoo upumzike na ujitunze katika utulivu wa kweli.
Ave Maria Sauna โ€“ mahali pa uponyaji wa mwili na roho.

๐ŸŒฟ Mei Mosi 2025 ๐ŸŒฟLeo tunawaenzi mashujaa wa kazi ๐Ÿ’ชPumzika, jipe muda โ€” Hakika umetumikia taifa kwa bidii!Katika mapumzik...
01/05/2025

๐ŸŒฟ Mei Mosi 2025 ๐ŸŒฟ
Leo tunawaenzi mashujaa wa kazi ๐Ÿ’ช
Pumzika, jipe muda โ€” Hakika umetumikia taifa kwa bidii!

Katika mapumziko yako... tunakukaribisha pia kwenye huduma zetu za Sauna | Massage | Scrub Kwa ajili yako, mfanyakazi hodari! ๐ŸŒธ

Pia msisahau kufuatilia ukurasa wetu wa Instagram Https://www.instagram.com/avemariasauna

Na Facebook https://tinyurl.com/AveMariaSauna

Karibu sana Ave Maria Sauna, Kwa Huduma Bora na za Kukusaidia katika Afya yako

MAWASILIANO:
Tupigie simu/Whatsapp:- 0739362030 au 0759362030

HOURS:
Huduma zinaanza Saa 4.30 asubuhi hadi saa 4.30 usiku.๐Ÿ˜Š

LOCATION:
Tupo Dodoma, Barabara ya kwenda Nanenane, baada ya AZAM Unaingilia PETROL STATION ya kwanza KUSHOTO COMPOUND yenye GHOROFA YA KIJANI KIBICHI

On this special day, AVE MARIA SAUNA together with Tanzanian Citizens we honor the historic union of Tanganyika and Zanz...
26/04/2025

On this special day, AVE MARIA SAUNA together with Tanzanian Citizens we honor the historic union of Tanganyika and Zanzibar in 1964 โ€“ the remarkable birth of our great nation, the United Republic of Tanzania.

KEY MESSAGE
"Umoja ni Nguvu"

Lets uphold our unity, and build a stronger future together.

Happy Union Day!

Pia msisahau kufuatilia ukurasa wetu wa Instagram Https://www.instagram.com/avemariasauna

Na Facebook https://tinyurl.com/AveMariaSauna

Karibu sana Ave Maria Sauna, Kwa Huduma Bora na za Kukusaidia katika Afya yako

MAWASILIANO:
Tupigie simu/Whatsapp:- 0739362030 au 0759362030

HOURS:
Huduma zinaanza Saa 4.30 asubuhi hadi saa 4.30 usiku.๐Ÿ˜Š

LOCATION:
Tupo Dodoma, Barabara ya kwenda Nanenane, baada ya AZAM Unaingilia PETROL STATION ya kwanza KUSHOTO COMPOUND yenye GHOROFA YA KIJANI KIBICHI

22/04/2025

...
Karibuni sana Ave Maria Sauna โ€“ mahali ambapo afya ya mwili na utulivu wa akili hukutana.

Hapa tunakukaribisha kwa mikono miwili upate huduma ya sauna ya kiwango cha juu, inayosaidia kuondoa sumu mwilini (detox), kupunguza msongo wa mawazo, kuboresha mzunguko wa damu na kuongeza kinga ya mwili.

Imeandaliwa kwa mazingira tulivu, salama, na yenye harufu ya asili kutoka kwa mimea tiba.

Tunaamini afya ni msingi wa furaha, na hapa Ave Maria Sauna, tunakuhakikisha unapata huduma ya kukuponya, kukuburudisha na kukuweka kwenye njia bora ya maisha yenye afya.

Njoo upumzike na ujitunze katika utulivu wa kweli.
Ave Maria Sauna โ€“ mahali pa uponyaji wa mwili na roho.

Baada ya mapumziko ya siku 3 kwa ajili ya kushiriki kikamilifu kipindi kitakatifu cha Pasaka, tunafurahi kuwajulisha kuw...
21/04/2025

Baada ya mapumziko ya siku 3 kwa ajili ya kushiriki kikamilifu kipindi kitakatifu cha Pasaka, tunafurahi kuwajulisha kuwaโ€ฆ.

Ave Maria Sauna imefunguliwa tena kuanzia leo,
Jumatatu, 21 Aprili 2025!

Karibuni sana kwa huduma bora k**a kawaida, kwa ajili ya mapumziko, afya, na utulivu wa mwili na akili.

Tupo tayari kuwahudumia kwa upendo na weledi!

______________________________
๐Ÿ“ Tupo Dodoma, Barabara ya kwenda Nanenane, baada ya AZAM, unaingia Petrol Station ya kwanza kushoto, Compound yenye ghorofa ya kijani kibichi.

MAWASILIANO:
Tupigie simu/Whatsapp:- 0739362030 au 0759362030

HOURS:
Huduma zinaanza Saa 4:30 asubuhi hadi saa 4:30 usiku.

Ave Maria Sauna inawatakia wateja wetu na waumini wote wa Kikristo,  Pasaka Njema iliyojaa baraka, amani na tumaini jipy...
20/04/2025

Ave Maria Sauna inawatakia wateja wetu na waumini wote wa Kikristo, Pasaka Njema iliyojaa baraka, amani na tumaini jipya katika Yesu Kristo.

Ikawe Pasaka njema kwako na wapendwa wako!

HUDUMA ITAENDELEA K**A KAWAIDA KUANZIA JTATU YA TAR. 21 APRIL, 2025 PASAKA

Pia msisahau kufuatilia ukurasa wetu wa Instagram Https://www.instagram.com/avemariasauna

Na Facebook https://tinyurl.com/AveMariaSauna

Karibu sana Ave Maria Sauna, Kwa Huduma Bora na za Kukusaidia katika Afya yako

MAWASILIANO:
Tupigie simu/Whatsapp:- 0739362030 au 0759362030

HOURS:
Huduma zinaanza Saa 4.30 asubuhi hadi saa 4.30 usiku.๐Ÿ˜Š

LOCATION:
Tupo Dodoma, Barabara ya kwenda Nanenane, baada ya AZAM Unaingilia PETROL STATION ya kwanza KUSHOTO COMPOUND yenye GHOROFA YA KIJANI KIBICHI

Wapendwa๐Ÿ‘‰๐ŸพHope tunaendelea vizuri na MAANDALIZI ya kuelekea Sikukuu ya PASAKA; MAANDALIZI YA KIROHO NA KIMWILI, hongera ...
18/04/2025

Wapendwa

๐Ÿ‘‰๐ŸพHope tunaendelea vizuri na MAANDALIZI ya kuelekea Sikukuu ya PASAKA; MAANDALIZI YA KIROHO NA KIMWILI, hongera sana๐Ÿค ๐Ÿค๐Ÿค

Kufuatia hiyo

AVE MARIA SAUNA, TUTAFUNGA UTOAJI HUDUMA KWA SIKU 3: TAR. 18 HADI 20 APRIL, 2025 ( IJUMAA KUU, JUMAMOSI na JUMAPILI YA PASAKA)

HUDUMA ITAENDELEA K**A KAWAIDA KUANZIA JTATU YA TAR. 21 APRIL, 2025 PASAKA

HERINI SANA KWA MAANDALIZI NA HATIMAYE SHEREHE YA UFUFUKO YESU KRISTO BWANA WETU.

Tunawakumbusha na kuwatakia Ijumaa Kuu wateja wetu, waumini wa Kikristo nchini Tanzania na kote duniani Ikawe siku yenye...
18/04/2025

Tunawakumbusha na kuwatakia Ijumaa Kuu wateja wetu, waumini wa Kikristo nchini Tanzania na kote duniani

Ikawe siku yenye utulivu na neema kuu.
Tuadhimishe pamoja mateso, kifo na upendo wa ajabu wa Mwokozi wetu Yesu Kristo.

Pia msisahau kufuatilia ukurasa wetu wa Instagram
https://www.instagram.com/avemariasauna

Na Facebook
https://tinyurl.com/AveMariaSauna

Karibu sana Ave Maria Sauna, Kwa Huduma Bora na za Kukusaidia katika Afya yako

MAWASILIANO:
Tupigie simu/Whatsapp:- 0739362030 au 0759362030

HOURS:
Huduma zinaanza Saa 4.30 asubuhi hadi saa 4.30 usiku.๐Ÿ˜Š

LOCATION:
Tupo Dodoma, Barabara ya kwenda Nanenane, baada ya AZAM Unaingilia PETROL STATION ya kwanza
KUSHOTO COMPOUND yenye GHOROFA YA KIJANI KIBICHI

Au ingia Google Map, Tunapatikana kwa kuandika "AVE MARIA SAUNA"

.Kwa MATOKEO makubwa (big results) ya ngozi yako! Fanya sauna na ScrubWatu watakuuliza k**a na umeilinda vipi ngozi yako...
10/04/2025

.
Kwa MATOKEO makubwa (big results) ya ngozi yako! Fanya sauna na Scrub
Watu watakuuliza k**a na umeilinda vipi ngozi yako kila utakapoenda!!

Karibu sana Ave Maria Sauna,
Kwa Huduma Bora na za Kukusaidia katika Afya yako

MAWASILIANO:
Tupigie simu/Whatsapp:- 0739362030 au 0759362030

HOURS:
Huduma zinaanza Saa 4.30 asubuhi hadi saa 4.30 usiku.๐Ÿ˜Š

LOCATION:
Tupo Dodoma, Barabara ya kwenda Nanenane,
baada ya AZAM Unaingilia PETROL STATION ya kwanza
KUSHOTO COMPOUND yenye GHOROFA YA KIJANI KIBICHI

Au ingia Google Map, Tunapatikana kwa kuandika "AVE MARIA SAUNA"


Kwa miaka mingi sana, Manjano hutumika k**a kiungo cha chakula, dawa ya asili na pia katika urembo wa ngozi!Kwa upande w...
07/04/2025

Kwa miaka mingi sana, Manjano hutumika k**a kiungo cha chakula, dawa ya asili na pia katika urembo wa ngozi!

Kwa upande wa scrub ya manjano imekuwa moja ya msaada bora zaidi kwa urembo na afya ya ngozi kwa wengi!

Manjano yana wingi wa virutubisho k**a curcumin na antioxidants, ambayo husaidia katika kupunguza uvimbe, lakini pia katika kung'arisha ngozi, pamoja na kusawazisha rangi ya ngozi na kuleta mwanga wa asili.

Scrub ya manjano ina ina faida nyingi sana kwa urembo wa ngozi na afya kwa ujumla. Hizi hapa ni baadhi ya faida kuu za Scrub ya manjano kwa ngozi yako

FAIDA ZA SCRUB YA MANAJANO

1. Kupunguza Uvimbe
Curcumin, kiungo kinachopatikana kwenye manjano, husaidia kupunguza uvimbe na uwekundu, na pia kutuliza hali za ngozi k**a chunusi au eczema.

2. Kung'arisha Ngozi
Manjano husaidia kupunguza madoa meusi, rangi isiyo sawa ya ngozi, na kutoa mwangaza wa asili.

3. Kinga dhidi ya kuzeeka mapema (Anti-aging)
Manjano Ina viambato vya kuzuia uharibifu wa ngozi unaosababishwa na radicals huru, hivyo kupunguza dalili za mikunjo, kuchakaa na kuzeeka kwa ngozi mapema.

4. Kupambana na Chunusi
Pia manjano yanaaminika kuwa na viambata vya antibakteria ambavyo husaidia sana kwenye kuzuia chunusi kwa kuweka vinyweleo vyako vya ngozi vikiwa safi dhidi ya uchafu, mafuta na kuua bakteria ambao hupelekea chunusi. 

5. Kusafisha Ngozi
Katika scrub, manjano husaidia kuondoa seli zilizokufa, na kufanya ngozi iwe laini na yenye afya.
Simu au Whatsapp: 0785868744 au 0759362030

Tupo Dodoma, Barabara ya kwenda Nanenane,
baada ya AZAM Unaingilia PETROL STATION ya kwanza
KUSHOTO COMPOUND yenye GHOROFA YA KIJANI KIBICHI

Remembering the legacy of Abeid Amani Karume, the first president of Zanzibar and the first vice president of Tanzania.K...
07/04/2025

Remembering the legacy of Abeid Amani Karume, the first president of Zanzibar and the first vice president of Tanzania.

Karibuni wote Ave maria sauna; Suluhisho la afya, relaxation na urembo

Tupo Dodoma, Barabara ya kwenda Nanenane,
baada ya AZAM Unaingilia PETROL STATION ya kwanza
KUSHOTO COMPOUND yenye GHOROFA YA KIJANI KIBICHI

Unaweza ku-search "AVE MARIA SAUNA" kwenye Google Maps

Ni kweli kwamba... matumizi ya mara kwa mara ya scrub ya kahawa yanaweza kuboresha mwonekano wa ngozi na kuifanva iwe na...
03/04/2025

Ni kweli kwamba... matumizi ya mara kwa mara ya scrub ya kahawa yanaweza kuboresha mwonekano wa ngozi na kuifanva iwe na mng'an wa asili.

Karibu AVE MARIA SAUNA tunafanya Body Scrub kwa kutumia bidhaa za asili ikiwemo SCRUB YA KAHAWA.... Huduma zetu ni nzuri na bora sana!

Pia, tunauza SCRUBS za kahawa... unaweza kufika ofisini kwetu au kuagiza sasa kwa namba zetu. Tupigie Simu/Whatsapp:- โ€ช+255 759 362 030โ€ฌ au โ€ช+255 785 868 744โ€ฌ

HUDUMA ZETU ZINATOLEWA KWA UADILIFU WA HALI YA JUU.

Tunapatikana Dodoma, Barabara ya kwenda Nanenane, baada ya AZAM UNAINGILIA PETROL STATION YA KWANZA KUSHOTO COMPOUND YENYE GHOROFA YA KIJANI KIBICHI

Address

Ilazo Near By Dodoma To Morogoro Road And Opposite To Kamwana Express HQ/DODOMA
Dodoma

Opening Hours

Monday 10:30 - 22:30
Tuesday 10:30 - 22:30
Wednesday 10:30 - 22:30
Thursday 10:30 - 22:30
Friday 10:30 - 22:30
Saturday 10:30 - 22:30
Sunday 10:30 - 22:30

Telephone

+255759362030

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AVE MARIA SAUNA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AVE MARIA SAUNA:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category