DR.LUGAILa

DR.LUGAILa USHAURI WA MAGONJWA NA TIBA

27/12/2024

Asomaye na Afahamu hizi Ni Siku za Mwisho

03/12/2024
  MADONDA YA TUMBO MWENYEWE-Asilimia Kubwa ya watu wanasumbuliwa na Madonda ya Tumbo na Hawajui Ni namna gani wataweza k...
16/05/2022

MADONDA YA TUMBO MWENYEWE
-Asilimia Kubwa ya watu wanasumbuliwa na Madonda ya Tumbo na Hawajui Ni namna gani wataweza kujitibu..Basi Hili Tatizo limekwisha amini.

Leo Natoa somo kuhusu Dawa ambayo unaweza kujitengenezea mwenyewe ukiwa Nyumbani bila ghalama yeyote na ukajitibu Madonda ya Tumbo bila ghalama..

YA PARACHICHI.
-Watu wengi hutapeliwa na kupewa dawa ambayo siyo Tiba sahihi kwa Madonda ya Tumbo,hivyo Leo nakuletea SoMo kuhusu Mbegu ya PARACHICHI,

YA KUANDAA DAWA HII
1.Chukua Mbegu zako 10 za PARACHICHI Kisha zioshe vyema..

2.Katakata vipande vidogo vidogo vya Mbegu hizo Kisha zianike sehemu ya kivuli,Usianike kwenye Jua,hakikisha umeanika kivulini..

3.Zikikauka Basi Zichukue uzisage,ukiwa unazisaga changanya na vitunguu Swaumu 5 ndio uvisagie kwa pamoja..


1.Kijiko kimoja Cha Chai Mara tatu kwa siku (1×3)

2.Unaweza kutumia kwenye Chai,Maji machemu,Uji/Juice yeyote..

3.K**a Tatizo lako si la Muda mrefu Basi Tumia ndani ya mwezi mmoja tu,wiki mbili za mwanzo Utaona utofauti mkubwa Sana Ila ili kutokomeza Tatizo Basi Tumia Mwezi mzima, Utanipigia cm kunishukuru...

-K**a Tatizo lako Ni la Muda mrefu/Sugu Basi Tumia ndani ya miezi miwili na nusu,
-Usitapeliwe hiyo ndio dawa ya kwanza kutibu Madonda hivyo jitengenezee mwenyewe Ukiwa Nyumbani..

-Pia K**a Unahitaji dawa iliyotiali means niliyoitengeneza mwenyewe Basi Dose yake Ni kopo 3 kwa Sh:35000 tu, lakini nakushauri Ujitengenezee ili uone Uhakika wa Uponywaji pia Ukiinywa Unywe kwa Imani Utapona...

LIKE PAGE HII ILI USIPITWE NA MASOMO MBALIMBALI YA AFYA BUREE...

-KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA CM NAMBA
+255623494539

MUNGU AKUPONYE KUPITIA MBEGU HIYO

Address

Bwanga-Chato
Geita

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DR.LUGAILa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to DR.LUGAILa:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category