Tibu magonjwa kwa virutubisho.

Tibu magonjwa kwa virutubisho. Nawasaidia watu kuboresha Afya zao, na kutatua magonjwa yasiyo ya kuambukiza na pia Afya ya uzazi.

*🩸 UFAHAMU UGONJWA WA SIKOSELI (SICKLE CELL DISEASE)**AFYA YAKO DR SILA +255767866299**❓ Sikoseli ni nini?**🧬 Sikoseli* ...
08/07/2025

*🩸 UFAHAMU UGONJWA WA SIKOSELI (SICKLE CELL DISEASE)*

*AFYA YAKO DR SILA +255767866299*

*❓ Sikoseli ni nini?*

*🧬 Sikoseli* ni ugonjwa wa kurithi unaotokana na kupungukiwa damu.
Seli za damu za mgonjwa wa sikoseli huwa ngumu na za mviringo k**a mwezi mwembamba, tofauti na seli za kawaida ambazo ni k**a yai lililovutika.

🔴 Seli za kawaida huishi siku 120, lakini za mgonjwa wa sikoseli huishi siku 20 tu.
🛑 Hii husababisha kupungua kwa damu na kukwama kwa seli kwenye mishipa ya damu, na hivyo kuzuia oksijeni kufika vizuri sehemu zote za mwili.

*🧬 Chanzo cha Ugonjwa huu*

✅ Umetokana na mabadiliko ya haemoglobin – sehemu ya damu inayobeba oksijeni.
✅ Sikoseli hurithiwa kutoka kwa wazazi wawili carriers (wabeba vimelea).
👨‍👩‍👧 Wazazi hao wanaweza wasionekane wagonjwa lakini wakamzaa mtoto mgonjwa.
🤝 Mgonjwa wa sikoseli akioa/olewa na mtu asiye mgonjwa, watoto wao hawatakuwa wagonjwa, ila watabeba vimelea.

*⚠️ Dalili za Sikoseli*

1. 🩸 Kuishiwa damu mara kwa mara

2. 😖 Maumivu makali mwilini

3. ✋ Kuvimba vidole

4. 📉 Kuchelewa kukua kwa watoto

5. 👀 Kupungua kwa uwezo wa kuona

*🧪 Vipimo vya Kugundua Sikoseli*

(A) Kipimo cha Damu

🧫 Kipimo rahisi kinachopatikana kwenye maabara nyingi nchini.
⏱️ Majibu hutolewa ndani ya masaa 24.

*(B) Kipimo kipindi cha Ujauzito*

🌍 Katika nchi zilizoendelea, mtoto tumboni hupimwa kuona k**a ana ugonjwa huu.
🤰 Mama anaweza kuamua kuendelea au kutositisha ujauzito kulingana na majibu.

💊 Matibabu ya Sikoseli

✅ Upandikizaji wa uboho wa mifupa (Bone Marrow Transplant)
🔬 Unaweza kuponya kabisa, lakini ni ngumu sana kupata mtu anayeendana na wewe kikamilifu.
⚠️ Pia kuna hatari ya madhara makubwa.

🌿 Suluhisho Rahisi na Salama

*💡 Tumia virutubisho sahihi vinavyosaidia:*
✔️ Kuzalisha seli mpya
✔️ Kuimarisha mfumo wa damu
✔️ Kupunguza maumivu na matatizo mengine
✔️ Kurejesha afya yako kwa ujumla

*📞 Wasiliana Nami kwa Matibabu ya uhakika*

*📱 0767866299/ +255 767 866 299*
🩺 Huduma salama, ya kitaalamu na kwa uangalizi wa karibu!

🟢




🟣 Una swali? Uliza sasa – afya yako ni muhimu kwetu!
🧡 Elimu ni tiba – sambaza ujumbe huu uwasaidie wengine!

*AFYA YAKO DR SILA +255767866299*

12/06/2025

Pia k**a unasumbuliwa na matatizo ya Tezi dume karibu AFYA YAKO DR SILA tunayo suluhisho ya kukusaidia kuondokana na shida hii bila upasuaji wowote.

🤳 Wasiliana nasi kupitia +255767866299
Afya yako ni kipaumbele chetu.

20/05/2025

Je, wajua kuwa kuna suluhisho moja tu pekee ya kukusaidi kujikinga dhidi ya Bawasiri (Hemorrhoids) pia kumaliza kqbisa Bawasiri bila ya kufanyiwa upasuaji wowote na tatizo lisijirudie??

Wasiliana nami DR SILA JULIUS +255767866299 kupata huduma hii, wahi na wewe uwe mmoja wa wanufaika.

K**a unapita changamoto yoyote ya mifupa k**a vile 1. Mgongo kuuma2. ⁠Pingili kuuma 3. ⁠Mgongo kupinda 4. ⁠Mifupa kuvunj...
26/03/2025

K**a unapita changamoto yoyote ya mifupa k**a vile
1. Mgongo kuuma
2. ⁠Pingili kuuma
3. ⁠Mgongo kupinda
4. ⁠Mifupa kuvunjika ovyo
5. ⁠Mifupa kusagana
6. ⁠Mifupa kuwa laini😭
7. ⁠Kukosa uroto kwenye joints😭😭
8. ⁠Maubivu ya bega
9. ⁠Maumivu ya nyonga
10. ⁠Joints kuvimba
11. ⁠Ganzi sehemu yoyote
12. ⁠Miguu kuwaka moto n.k

Wasikiana nasi kwa msaada na tiba ya haraka☎️☎️+255767866299

21/03/2025

Je, wajua, kwanini mgonjwa wa kisukari anakuwa ana dalili ya kukojoa mara kwa mara?

Karibu nikusaidie kuimarisha Afya yako na pia kutibu ugonjwa wa sukari ndani ya siku 90 tu unapona kabisa kwa kutumia program maalumu.

Wasiliana nasi sasa hivi +255767866299

07/03/2025

Fikiria kwanza upasuaji wa Tezi dume unaweza kuleta changamoto k**a matatizo ya mkojo na upungufu wa nguvu za kiume.

Chunguza chaguo mbadala na zungumza na daktari wako kwa ushauri sahihi.

Karibu kwaajili ya ushauri na msaada zaidi +255767866299

JE UNAHITAJI NIKUHUDUMIE NINI KUHUSU AFYA YAKO YA MIFUPA?1. "Fanya afya ya mifupa yako iwe kipaumbele! Tuchukue hatua pa...
29/12/2024

JE UNAHITAJI NIKUHUDUMIE NINI KUHUSU AFYA YAKO YA MIFUPA?

1. "Fanya afya ya mifupa yako iwe kipaumbele! Tuchukue hatua pamoja kuimarisha mifupa na maungio yetu kwa mazoezi na lishe bora."

2. "Mifupa yenye nguvu, maisha yenye nguvu! Jifunze jinsi ya kutunza mifupa yako na kuimarisha maujngio yako leo."

3. "Usisubiri mpaka ni kuchelewa! Hakikisha afya ya mifupa yako ni bora kwa mazoezi sahihi na lishe yenye virutubisho."

4. "Mifupa imara, maisha yenye furaha! Jifunze kuhusu umuhimu wa afya ya mifupa na jinsi ya kuilinda."

5. "Tuweke nguvu kwenye mifupa yetu! Pata maarifa na mbinu za kuboresha afya ya mifupa na maujngio yako."

Karibu sana popote ulipo unaweza kupata msaada wetu kwa kuwasiliana nasi +2557866299

AFYA YAKO DR SILA
12/12/2024

AFYA YAKO DR SILA

29/11/2024

Mvurugiko wa hormone za uzazi ni moja ya changamoto kubwa sana ambayo huwakumba wanawake wengi sana na kupelekea kuwa na changamoto ya kutokupata ujauzito au kupata ujauzito kwa shida, na hata kupata madhara mengine makubwa k**a:-

1. Kupata maambukizi ukeni na kwenye mfumo wa uzazi mara kwa mara.
2. Kupata ugumba
3. Kupata vimbe za mfumo wa uzazi
4. Mirija kuziba
5.Uke kuwa mkavu.
6. Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
7. Kupata maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa.
8. Ngozi kuharibika
9. Kuongezeka uzito, n.k

Kuepukana na madhara haya ni muhimu sana kufanya maamuzi ya kupata matibabu ya haraka.
Kwa msaada zaidi wa ushauri na matibabu, wasiliana nami DR SILA +255767866299

AU WHATTSAP +255767866299

16/11/2024

Vitamini C ni muhimu sana kwenye mwili kwaajili ya kuimarisha Afya ya mtoto na watu wazima, kwani husaidia Kuimarisha Afya ya nywele, kuzuia upungufu wa damu, kuimarisha Afya ya ngozi n.k

16/10/2024

K**a unalo shinikizo la juu la damu, basi tegemea kuwa haya ni miongoni mwa madhara ambayo unaweza kuyapata k**a hauta chukua hatua leo hii ya kutibu kabisa tatizo hili hatari kwa watu wengi sana.

*MAHUSIANO YALIOPO KATI YA TEZI DUME NA UWEZO WA MWANAUME KUSHIRIKI TENDO LA NDOA.*  *BY DR SILA JULIUS 0767866299*Tezi ...
06/10/2024

*MAHUSIANO YALIOPO KATI YA TEZI DUME NA UWEZO WA MWANAUME KUSHIRIKI TENDO LA NDOA.*

*BY DR SILA JULIUS 0767866299*

Tezi dume, ni sehemu ya mwili muhimu sana, ambayo inafanya kazi katika kudhibiti utokaji wa mkojo, Uzalishaji wa manii ambayo husaidia kusafirisha mbegu za mwanaume, ia utengenezaji wa hormone za kiume k**a Testosterone.

Kwahiyo Tezi dume ikipata matatizo au ikipungua ukubwa au kuvimba, inaweza kusababisha kupungua kwa nguvu za kiume, k**a vile:-
✍️ Kuwahi kufika kileleni, kushindwa kushiriki tendo kwa ukamilifu, kukosa hamu ya tendo la ndoa, kupata maumivu wakati wa kushiriki tendo la ndoa, kushindwa kumfikisha mwanamke, n.k

Ni muhimu sana kuhakikisha unakua na Afya bora ya Tezi dume kwa kuendelea kufanya uchunguzi na kufuata mtindo wa maisha wenye Afya k**a vile lishe bora na mazoezi.

Karibu sana kwaajili ya ushauri na matibabu ya masuala ya wanaume na kutibu tezi dume bila upasuaji, DR SILA JULIUS +255767866299

Address

Geita

Telephone

+255767866299

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tibu magonjwa kwa virutubisho. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share