ERY Herbal Clinic

ERY Herbal Clinic Huu ni ukurasa maalumu kwa ajili ya elimu ya tiba za magonjwa kupitia mimea | piga simu 0658505671

Haya ni meno—unadhani nini chanzo cha kufikia hatua hii?Nasoma comment
07/03/2026

Haya ni meno—unadhani nini chanzo cha kufikia hatua hii?

Nasoma comment

Vile mkioana wote wachafu😅
07/03/2026

Vile mkioana wote wachafu😅

Wasukuma wanaita “Nhama”  wakimaanisha ni “mti wa milele au uzima” kwa makabila mengi hujulikana k**a MlamaKisayansi una...
07/03/2026

Wasukuma wanaita “Nhama” wakimaanisha ni “mti wa milele au uzima” kwa makabila mengi hujulikana k**a Mlama

Kisayansi unajulikana k**a “Combretum molle” ni miongoni mwa mimea maarufa sana katika tiba za kijadi, umefanyia majaribio mara nyingi kwenye maabara nchini Ethiopia na kuonyesha uwezo mkubwa wa kupambana na HIV.

Karibu kila sehemu ya mti huu (mizizi, majani, mbegu, vitawi, na magome ya shina) imekuwa ikitumiwa katika tiba asilia kutibu maradhi na magonjwa tofauti tofauti.

Chukua sehemu yeyote ya huu mmea; mizizi, magome ya shina, au majani chemsha au loweka kwenye maji ya moto (infusion), kisha kunywa utaweza kujitibia shida nyingi ikiwemo:-

✅️​Maumivu ya tumbo, tumbo kuunguruma (colic), na kukosa choo (constipation).
✅️​Minyoo ya tumbo (nguvu kubwa ya kuua kabisa minyoo)
✅️Kuhara damu (dysentery), na homa.
✅️​Malaria,
✅️Kuvimba mwili (oedema/kujaza maji),
✅️Maumivu ya kichwa, na maumivu ya mgongo.
✅️​Ugonjwa wa ukoma,
✅️Maambukizi ya VVU (HIV)
✅️Kikohozi, na maumivu ya kifua (angina).
✅️​Kifua kikuu (TB) na matatizo mengine ya kifua.

Wapenzi wa kazi zangu za uandishi mkae kwa kutulia—kuna kitabu kinakuja soon kimesheheni maarifa makubwa ya huu mti mpaka namna ya kuutumia:
▪️Kuunga mifupa iliyovunjika
▪️​Kutibu homa ya manjano (jaundice/yellow fever),
▪️Kisonono (gonnorrhoea)
▪️Matatizo ya kushindwa kukojoa (anuria).

Ni mmea mzuri kwa wanawake wakati wa kujifungua ili kusaidia kuharakisha utokaji wa kondo la nyuma. Katika jadi umetumika sana kusaidia kutoa mimba na kutibu kuvuja kwa damu baada ya uzazi.

Mdharau asili hufa kikatili

Follow Ery Herbs
07/03/2026

Follow Ery Herbs

Magonjwa yanakutesa kwa sababu hautaki kujifunza tiba asili —ungekuwa na maarifa ya kutosha, mmea huu usingekuwa unaufye...
05/03/2026

Magonjwa yanakutesa kwa sababu hautaki kujifunza tiba asili —ungekuwa na maarifa ya kutosha, mmea huu usingekuwa unaufyeka shambani kwako na kuuchoma moto

Kisayansi unajulikana k**a “Mitracarpus hirts” ni mmea bingwa kwa kutibu maradhi yote ya ngozi mpaka ukoma, ni mmea wenye uwezo mkubwa wa kutibu kabisa kansa na kisukari.

Maarifa haya utayapata katika kitabu kinachokuja kwa jina la

Mdharau asili hufa kikatili

Ujumbe kwa Wanaume Kuhusu Wanawake na Ndoa​Kila mwanamke aliyeolewa ana mwanaume mmoja anayempenda zaidi kuliko mume wak...
04/03/2026

Ujumbe kwa Wanaume Kuhusu Wanawake na Ndoa

​Kila mwanamke aliyeolewa ana mwanaume mmoja anayempenda zaidi kuliko mume wakr

Najua wengi wenu mtabisha, lakini huo ndio ukweli. K**a wanawake wangepewa nafasi ya kuolewa na mwanaaume zaidi ya mmoja, wengi wao wangeolewa na zaidi ya wanaume wanne.

Mara zote imeonekana kuwa, wanawake huwawazia wanaume wengine mambo makuu na kujenga matarajio yasiyo halisi—hufikiri "huwenda yule ni bora kuliko niliyenaye".

​Mwanamke mmoja aliyeolewa aliwahi kuniambia kuwa hakuolewa na mumewe kwa sababu alikuwa "aina" (spec) ya mwanamume aliyemtaka. Aliolewa naye kwa sababu ni mwanaume anayejali, anayethamini familia, na ni tajiri. Lakini kwa muonekano, umbo la mwili, na mambo mengine ya binafsi, hakuwa chaguo lake la kwanza.

​K**a mwanaume, ni muhimu kuwa na ufahamu kwamba huwezi kutimiza vigezo vyote anavyovihitaji mwanamke. Ikiwa vigezo vyake ni 10 na wewe unavyo 5 au 6, atakukubali.

Lakini hiyo haimzuii kuwatamani wanaume wengine ambao wana sifa zile ambazo wewe huna. Katika hatua hiyo, atatamani mwanaume huyo angekuwa mumewe, na usipoangalia, usaliti unaweza kutokea.

​K**a utamaduni ungeruhusu wanawake, wengi wao wangeolewa na wanaume zaidi ya wanne. Wanawake wana asili ya kuwa na wapenzi wengi (polygamous) kuliko wanaume, na ndiyo maana wanasaliti sana, lakini jamii haiko tayari kwa mazungumzo haya.

​Hata mwanamke adai kiasi gani anakupenda, kuna mwanamume mwingine ambaye bado anampenda na kutamani angekuwa mume au mpenzi wake😀

Na ikiwa mwanaume huyo anayempenda anatokea kuwa boss wake, mfanyakazi mwenzake, au mtu yeyote aliye karibu naye—hakuna kitakachomzuia kukusaliti na mwanaume huyo.

​Hivyo basi, kadiri unavyoelewa mapema kuwa kuna mwanaume mwingine ambaye mwanamke wako anampenda, ndivyo itakavyokuwa bora kwako. Weka akilini kuwa huwezi KAMWE kutimiza vigezo vyote vya mwanamke, na vile vigezo ambavyo huna, kuna mwanamume mwingine huko nje anayevitimiza.

​Mahubiri yangu kila mara huonekana k**a mzaha kwa baadhi ya wanaume, lakini ni kwa wale wanaohusika. Sitaki kusema mengi zaidi,

​Sheria ni Sheria 🫵

1 au 2?
04/03/2026

1 au 2?

TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO▪️​Chukua papai bichi, lioshe vizuri sana, kisha likate ▪️Katika vipande vidogo vidogo. ▪️Viwek...
04/03/2026

TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO

▪️​Chukua papai bichi, lioshe vizuri sana, kisha likate
▪️Katika vipande vidogo vidogo.
▪️Viweke kwenye chombo na uongeze lita 2 za maji.
▪️​Liache kwa muda wa siku 4 ili lioze/lichache (fermentation).
▪️Baada ya hapo, chuja maji hayo na uyahifadhi
▪️Unaweza kuyatupa makapi ya vipande vya papai.

🔹️️​Anza kunywa nusu kikombe mara 3 kwa siku kwa muda wa wiki mbili hadi mwezi mmoja.
🔹️️Tengeneza mchanganyiko mpya kila unapomaliza ule uliotayarisha mwanzo.
✅️Utapona kabisa vidonda vya tumbo.

Tiba asili zinapatikana: 0658 505 671

02/03/2026

Sasahivi kila mtu ni mchambuzi wa masuala ya siasa na vita😅

Kijana wa miaka 21 aitwaye Raphael Samuel raia wa India, amezua mjadala mkubwa mtandaoni baada ya kutangaza kwamba hatak...
02/03/2026

Kijana wa miaka 21 aitwaye Raphael Samuel raia wa India, amezua mjadala mkubwa mtandaoni baada ya kutangaza kwamba hataki kufanya kazi kwa sababu alizaliwa bila ridhaa yake.

Hoja yake ni kwamba, kwa kuwa hajawahi kuchagua kuzaliwa basi wazazi wake wana jukumu la kumpa fedha na kumuhudumia maisha yake yote.

Anasema kwamba kulazimishwa kufanya kazi kwa maisha ambayo hakuyaomba ni jambo lisilo la haki, na jukumu ilo liko kwa wale waliomleta duniani.

Kauli hiyo imesababisha mamilioni ya comments
kwenye mitandao ya kijamii, huku maoni ya watu yakigawanyika vikali kuhusu hoja yake Huku wamoja wakimpongeza na wengine wakimuona k**a mpuuz Tu

MAONI YAKO NI YAPI?

DAWA KALI YA MINYOO YA TUMBONINdugu yangu—​Ikiwa huwezi kupata mbegu za papai kwa ajili ya kutibu minyoo, leo nitakuelek...
02/03/2026

DAWA KALI YA MINYOO YA TUMBONI

Ndugu yangu—​Ikiwa huwezi kupata mbegu za papai kwa ajili ya kutibu minyoo, leo nitakuelekeza dawa nyingine yenye nguvu kubwa ya kuangamiza kabisa minyoo wa tumboni.

​✅ Mahitaji
▪️​Kiganja kimoja cha majani ya mpapai
▪️​Kiganja kimoja cha majani ya mparachichi
▪️​Ndimu mbili (2)
▪️​Punje tano (5) za kitunguu saumu

​✅ MAANDALIZI
​Chemsha mahitaji yote kwenye lita moja ya maji safi ya kunywa.

​✅ MATUMIZI
​Kunywa vikombe vitatu kwa siku kwa muda wa wiki moja.

📌​ZINGATIA
​Punguza matumizi ya sukari wakati wote wa matibabu haya.

Mdharau asili hufa kikatili

Address

Geita

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ERY Herbal Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram