Edna_Afya_Uzazi

Edna_Afya_Uzazi Ninawasaidia Wanawake WA Maofisini wenye changamoto ya mvurugiko wa homoni "hormone Imbalance" kwa kutumia mpangilio wa chakula na tiba lishe

Baada ya kutumia program yangu haya ndio matokeo aliyopata.K**a unataka kujiunga karibu inbox
09/07/2025

Baada ya kutumia program yangu haya ndio matokeo aliyopata.

K**a unataka kujiunga karibu inbox

Mwanamke mwenye mzunguko wa siku 21 ambaye anaingia hedhi kwa siku 7...Siku yake ya hatari ya kubeba mimba inangukia sik...
09/07/2025

Mwanamke mwenye mzunguko wa siku 21 ambaye anaingia hedhi kwa siku 7...

Siku yake ya hatari ya kubeba mimba inangukia siku ambayo bado yuko kwenye hedhi....

Inabidi akutane na mtu wake siku ya hedhi ili ashike Mimba...

NB: Bila kujua hilo anaweza kumaliza waganga wote, na mavirutubisho vyote, akijua yeye ni mgumba...

ZINGATIA MAELEKEZO....ELIMU YA AFYA NIMUHIMU SANA...✍️

🚨 Hivi Unajua kuwa P.I.D inaweza kukusababishia ugumba wa kudumu?🤔➡️Ugonjwa wa P.I.D unasababishwa na maambukizi ya bakt...
09/07/2025

🚨 Hivi Unajua kuwa P.I.D inaweza kukusababishia ugumba wa kudumu?🤔

➡️Ugonjwa wa P.I.D unasababishwa na maambukizi ya bakteria yanayopanda hadi kwenye mirija ya uzazi.

Usipotibiwa mapema, ...

➡️Huweza kusababisha kuziba kwa mirija hiyo na kuongeza hatari ya mimba kutunga nje ya kizazi au hata ugumba wa kudumu.

⚠️ Dalili zake ni zipi?
✅Kutokwa na uchafu/majimaji mzito sehemu za siri

✅Maumivu makali ya nyonga na chini ya tumbo

✅Kutokwa na utoko wenye harufu mbaya

✅Maumivu wakati wa tendo la ndoa

✅Kutokwa na damu bila mpangilio

➡️P.I.D Inavyochelewa Kutibiwa, madhara yake yanaongezeka!

➡️PID inaweza kusababisha maumivu ya nyonga ya kudumu, ujauzito wa hatari, au kujifungua kabla ya muda.

➡️Pia, kwa mama mjamzito, inaweza kuathiri afya ya mtoto.

💊 Matibabu umetumia dawa za Hospitali bila mafanikio sasa ni muda wa kuanza na kupata tiba Lishe zetu zitakusaidia kutibu chanzo na miwasho utapona kabisa.

➡️Antibiotics zinaweza kuua bakteria, lakini haziwezi kurekebisha uharibifu uliotokea kwenye mirija ya uzazi.

Ndio maana ni muhimu kuchukua hatua mapema!

✅ Njia za kujikinga ni:

1️⃣Kufanya vipimo vya afya ya uzazi mara kwa mara

2️⃣Kutumia kinga unaposhiriki ngono

3️⃣Kuepuka ngono zembe

⚠️ USISUBIRI HALI IWE MBAYA!

➡️K**a unahisi dalili au umewahi kupata P.I.D,

Nitumie MESSAGE *NATAKA KUANZA MATIBABU*

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Bariki John Ndongolo, Jeremiah Beatrice, Niyonkuru Claud ...
09/07/2025

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Bariki John Ndongolo, Jeremiah Beatrice, Niyonkuru Claud Niceboy, Sammy Kck

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Hindu Jumanne, Adija Mwakipesile, Evodia Mlowe
21/06/2025

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Hindu Jumanne, Adija Mwakipesile, Evodia Mlowe

*LEO NAWAPA SIRI TANO ZA KUSHIKA MIMBA KIRAHISI🥰*1. Uwe unaona siku zako kila mwezi kwa mpangilio unaoeleweka.2. Uwe una...
19/06/2025

*LEO NAWAPA SIRI TANO ZA KUSHIKA MIMBA KIRAHISI🥰*

1. Uwe unaona siku zako kila mwezi kwa mpangilio unaoeleweka.

2. Uwe unaona ute wa uzazi kwenye siku yako ya hatari na Ufahamu siku zako za hatari ni zipi.

3. Usiwe na infection(maambukizi) yoyote kwenye kizazi hadi ukeni.

4. Mwanaume awe na uwezo wa kurutubisha mayai yako( Mbegu za kiume ziwe na Afya bora na ujazo unaotakiwa kurutubisha mayai).

5. Uwe na Uwezo wa kuzalisha mayai na mayai yawe yanapevuka kwa wakati.

*HIZO NDO SIRI PEKEE AMBAZO WATU HUA HAWAZIFAHAMU,*
*BASI UKIZIJUA HIZO NA UKAZIFANYIA KAZI,*
*TAMBUA KUA HIVI KARIBUNI TUTAKUITA MAMA.🥰*

K**A HAYO MAMBO HAYAKO SAWA BASI ANZA MATIBABU.

TUMA SMS *NATAKA KUANZA MATIBABU LEO*
Tutakutumia dawa popote ulipo *Tutakuna na punguzo maalumu kwa watu wawili tu leo.* Wanaotaka kushika ujauzito.

Call/ what's up 0750451050

*FAHAMU UHUSIANO ULIOPO KATI YA BINZARI (MANJANO) na MDALASINI KATIKA AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE.*🤰🤱Licha ya kuwa viungo ...
17/06/2025

*FAHAMU UHUSIANO ULIOPO KATI YA BINZARI (MANJANO) na MDALASINI KATIKA AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE.*🤰🤱

Licha ya kuwa viungo bora kwenye chakula kwa muonekano wake, radha yake na harufu yake nzuri ya kuvutia binzari (manjano) na mdalasini ni tiba nzuri sana katika afya zetu. Vina uwezo mkubwa wa kuleta utulivu wa akili, kutibu gesi tumboni na kiungulia, kusaidia kwenye urembo wa ngozi, kupunguza uzito lakini vina faida nyingi zaidi katika afya ya uzazi wa mwanamke.

*Faida zake katika afya ya uzazi kwa mwanamke:*👇

1. Hutibu uvimbe maji kwenye mayai yaani Ovarian Cyst.
2. Hupevusha na kukomaza mayai ili ubebe ujauzito kiurahisi.
3. Kuponya maumivu ya hedhi yaani chango la uzazi.
4. Inaondoa sumu ya uzazi wa mpango mwilini.
5. Huzibua mirija iliyoziba, mirija iliyojaa maji na mirija iliyojaa uchafu.
6. Inatibu makovu kwenye kizazi na kwenye mirija.

*FANYA HIVI:*👇

Chukua binzari (manjano) nyingi kisha usage unga wake ambao utakuwa unatumia kila unapohitaji.

Vilevile chukua mdalasini mwingi kisha usage unga wake ambao utakuwa unatumia kila unapohitaji.

*MATUMIZI YAKE:*👇

1. Chemsha maji kikombe kimoja yapate uvuguvugu kisha epua na uweke kwenye kikombe, ongeza kijiko kimoja cha unga wa mdalasini, kijiko kimoja cha unga wa binzari (manjano) na kijiko kimoja cha asali. Kisha koroga kwa pamoja chai hii na unywe kikombe kimoja asubuhi na kimoja jioni kwa siku 30 mfululizo kupata matokeo mazuri.

2. Chemsha maziwa fresh kikombe kimoja kisha epua weka kwenye kikombe, ongeza kijiko kimoja cha unga wa mdalasini, kijiko kimoja cha unga wa binzari (manjano) na kijiko kimoja cha asali. Kisha koroga kwa pamoja chai hii na unywe kikombe kimoja asubuhi na kimoja jioni kwa siku 30 mfululizo kupata matokeo mazuri.

Chagua njia mojawapo kati ya hizo mbili itakayokuwa rahisi kwako.
Usiweke sukari.❌
* *

Anza siku yako kwa kujihesabia baraka na mazuri machache uliyonayo kuliko kuwaza changamoto nyingi ulizonazo.Unachokiwaz...
13/06/2025

Anza siku yako kwa kujihesabia baraka na mazuri machache uliyonayo kuliko kuwaza changamoto nyingi ulizonazo.

Unachokiwaza huongezeka zaidi. Ukiwaza changamoto basi utavutia kuwa na changamoto nyingi zaidi lakini ukiwaza mafanikio utavutia mafanikio zaidi.

Pokea baraka zako.❤️ Mungu abariki uzao wa tumbo lako.🤰🤱
* na_afya_tips*

**JE, UNAPITIA CHANGAMOTO YA UVIMBE KWANYA VIFUKO VYA MAYAI. (OVARIAN CYST)?**  **Tuna suluhisho salama bila upasuaji!**...
12/06/2025

**JE, UNAPITIA CHANGAMOTO YA UVIMBE KWANYA VIFUKO VYA MAYAI. (OVARIAN CYST)?**

**Tuna suluhisho salama bila upasuaji!**

Ovari ni viungo muhimu vya uzazi kwa mwanamke. Huzalisha mayai na homoni za k**e k**a **estrojeni** na **progesterone**, ambazo hudhibiti mzunguko wa hedhi na ujauzito. Lakini wakati mwingine, ovari huweza kuathirika na uvimbe maji unaojulikana k**a **Ovarian Cyst**.

**DALILI ZAKE NI:**

- Maumivu wakati wa hedhi au tendo la ndoa

- Tumbo kujaa au kuvimba

- Kichefuchefu

- Damu isiyo ya kawaida wakati wa hedhi

- Kushindwa kumaliza kutoa mkojo

- Maumivu ya tumbo, nyonga au mapaja

**SABABU ZAKE NI PAMOJA NA:**

- Kuvuta sigara au unywaji pombe

- Kuvurugika kwa homoni

- Umri mkubwa

- PID

K**a ulipimwa na ukaambiwa unauvimbe kwenye fuko la mayai.
Tuma sms *NATAKA KUANZA MATIBABU LEO*0750451050

Harufu mbaya ukeni ni dalili kubwa ya magonjwa haya ⤵️🔹️ Maambukizi mbalimbali ya STDs (magonjwa ya zinaa) i.e Kaswende,...
12/06/2025

Harufu mbaya ukeni ni dalili kubwa ya magonjwa haya ⤵️

🔹️ Maambukizi mbalimbali ya STDs (magonjwa ya zinaa) i.e Kaswende, Kisonono.

🔹️ Fangasi ukeni

🔹️ Mirija ya uzazi kujaa uchafu.

🔹️ Kansa ya uke.

🔹️ PID

USIPUUZIE HARUFU MBAYA YOYOTE,

Wengi uwa mnakimbilia Kujisafisha Na Sabuni, Matumizi holela ya antibiotics, lakini harufu bado ipo.

Una changamoto Hii, nitumie SMS *Nataka kuanza matibabu* au piga 0750451050

Address

Geita

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Edna_Afya_Uzazi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share