Tiba na afya care.

Tiba na afya care. Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tiba na afya care., Medical and health, Katoro geita, Geita.

30/08/2025

K**A UNA DALILI ZIFUATAZO UJUE UNA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID (TINDIKALI YA TUMBO).

1. Kuwaka moto kifuani (Kiungulia) hasa wakati wa
usiku au unapolala, hali hii hutokea pia mara baada ya kula.

2. Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa
moyo baadhi ya nyakati. Hali hii hupelekea baadhi ya
watu kuhisi wana matatizo ya moyo

3. Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhisi
kuchanganyikiwa.

4. Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida
kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu

5. Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.

6. Kuwa na wasiwasi na hofu kubwa na hufikia
hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku

7. Moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi
mkubwa.

8. Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara
kutoka usingizini.

9. Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati

10. Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara
kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.

11. Kupata kikokozi kisichoisha

12. Kuvimba Tonsilitis/mafidofido mara kwa
mara.

13. Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea
kutoa harufu mbaya ya kinywa

14. Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakini
kila unavyojaribu kukitoa hakitoki

15. Kupata fangasi mdomoni (mdomo huanza
kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya)

16. Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za
kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa

17. Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya
mabega, maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.

Njoo tukusaidie kuondokana na tatizo hili.

Piga simu no. 0744046949

30/08/2025

TIBA YA KUDUMU YA NGIRI {HERNIA}, CHANGO - WANAWAKE NA WANAUME BILA UPASUAJI •{ OPERATION }•

Call&Txt&Whatsapp
0744046949

DALILI ZA NGIRI CHANGA KWA WANAUME

1. Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.
2. Kupiga mingurumo tumboni.
3. Kujaa gesi tumboni.
4. Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.
5. Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.
6. Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.
7. Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.
8. Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.
9. Nuru ya macho hupotea taratibu.
10. Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.
11. Kuvutwa makende au upande mmoja maumivu.
12. Kupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.
13. Maumivu makali ya mgongo au kiuno
14. Uume kusinyaa na kunywea k**a wa mtoto

DALILI ZA NGIRI (HERNIA) SUGU( iliyo komaa)

1. kende(pumbu) moja au mbili kuvimba
2. kuvimba Juu ya kinena kushoto au kulia
3. kufanyiwa UPASUAJI wa hernia
4. Kufanyiwa UPASUAJI kisha ika rejea tena
5. kende( pumbu) kupotea zote au moja
6. Kenda kujaa maji.
7. Kuvimba kwa kitovu au kende uvimbe wenye kujaa k**a nyama
8. Kuwa na uvimbe unaoteremka kuingia ndani ya korodani
9. Kuwa na uvimbe unaojitokeza tumboni na kuteremka hadi ndani ya korodani
10. Maumivu/Kusikia kichefuchefu/

DALILI ZA CHANGO LA UZAZI { WANAWAKE }

1️⃣maumivu makali wakati wa kuingia siku za hedhi
2️⃣maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa
3️⃣homa kali anapokaribia siku zake za hedhi
4️⃣uchovu mkubwa wakati siku za hedhi
5️⃣Kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi
6️⃣kupata michubuko kwenye sehemu za uke
7️⃣kuchukia kushiriki tendo la ndoa
8️⃣kupata uvimbe kwenye kizazi

|Tiba| ushauri| na utafiti Dawa asili|

Call & txt & Whatsapp
0744046949.....................................

30/08/2025

*BAADHI YA MADHARA AYAYOPITIA MGONJWA WA TEZI DUME*
☑️Kushindwa kumudu tendo la ndoa
☑️Mkojo kushindwa kutoka (retention of urine)
☑️Mgandamizo kwenye kibofu cha mkojo
☑️Vijiwe kwenye kibofu cha mkojo
☑️Uambukizi katika njia ya mkojo (UTI)
☑️Madhara katika figo au kibofu
☑️Shinikizo la damu
☑️Kushindwa kutoa shahawa kwenye uume (retrograde ej*******on)
☑️Nimonia (Pneumonia)
☑️Damu kuganda

30/08/2025
31/12/2024
𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗠𝗦𝗛𝗧𝗨𝗞𝗢 𝗪𝗔 𝗠𝗢𝗬𝗢 (𝗛𝗲𝗮𝗿𝘁 𝗔𝘁𝘁𝗮𝗰𝗸)👇🍀 Maumivu ya kifua - hisia ya shinikizo, uzito, kubanwa au kufinya ka...
30/11/2024

𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗠𝗦𝗛𝗧𝗨𝗞𝗢 𝗪𝗔 𝗠𝗢𝗬𝗢 (𝗛𝗲𝗮𝗿𝘁 𝗔𝘁𝘁𝗮𝗰𝗸)👇
🍀 Maumivu ya kifua - hisia ya shinikizo, uzito, kubanwa au kufinya katika kifua
🍀Maumivu katika sehemu zingine za mwili - inaweza kuhisi kana kwamba maumivu yanaenea kutoka kwa kifua chako hadi kwa mikono yako (kawaida mkono wa kushoto huathirika, lakini unaweza kuathiri mikono yote miwili), Taya, shingo, Mgongo Pamoja na Tumbo.
🍀Kuhisi kizunguzungu
🍀 Kutokwa na jasho
🍀 Upungufu wa pumzi
🍀 Kuhisi mgonjwa au kuwa mgonjwa
🍀 Hisia nyingi za wasiwasi (sawa na kuwa na mashambulizi ya hofu)
🍀 Kukohoa au kupumua Kwa shida
🍀 Maumivu ya kifua mara nyingi huwa makali, baadhi ya watu wanaweza tu kupata Maumivu Madogo, sawa na kukosa kusaga Chakula.

*VYANZO VYA SUMU* Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;1. Matumizi ya dawa mara kwa mara2. Mat...
11/11/2024

*VYANZO VYA SUMU*

Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;
1. Matumizi ya dawa mara kwa mara
2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
4. Ukosekanaji wa lishe na mlo kamili.
5. Matumizi ya madawa makali.
6. Uzito mkubwa
7. Mitindo ya maisha
8. Njia za uzazi wa mpango za kisasa

*DALILI ZA KUWA SUMU NYINGI MWILINI.*

1. Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele nk.
2. Kuwa na uzito wa kupindukia
3. Kutopata choo au kupata choo kigumu
4. Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza
5. Kichwa kuuma kila mara
6. Kupata miwasho
7. Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti, nyonga
8. Kuwa na hasira mara kwa mara.
9. Tumbo kujaa gesi nk

*MADHARA YA MWILI KUJAA SUMU.*
1. Kukosa hamu ya tendo la ndoa
2. Kupata maambukizi ya figo
3. Kupata maambukizi ya Ini
4. Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
5. Husababisha uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke.
6. Hupelekea matatizo shinikizo la damu la juu (high blood pressure)
7. Mvurugiko wa homoni na kupelekea hedhi kuvurugika, maumivu ya hedhi na kukosa hedhi ikiwa si mjamzito.
8. Husababisha vimbe mbalimbali mwilini.
Call/whatapp/message 0744046949

Address

Katoro Geita
Geita

Telephone

+255744046949

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tiba na afya care. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram