30/08/2025
K**A UNA DALILI ZIFUATAZO UJUE UNA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID (TINDIKALI YA TUMBO).
1. Kuwaka moto kifuani (Kiungulia) hasa wakati wa
usiku au unapolala, hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2. Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa
moyo baadhi ya nyakati. Hali hii hupelekea baadhi ya
watu kuhisi wana matatizo ya moyo
3. Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhisi
kuchanganyikiwa.
4. Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida
kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu
5. Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6. Kuwa na wasiwasi na hofu kubwa na hufikia
hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku
7. Moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi
mkubwa.
8. Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara
kutoka usingizini.
9. Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati
10. Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara
kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
11. Kupata kikokozi kisichoisha
12. Kuvimba Tonsilitis/mafidofido mara kwa
mara.
13. Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea
kutoa harufu mbaya ya kinywa
14. Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakini
kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
15. Kupata fangasi mdomoni (mdomo huanza
kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya)
16. Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za
kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa
17. Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya
mabega, maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
Njoo tukusaidie kuondokana na tatizo hili.
Piga simu no. 0744046949