NIZA Asili

NIZA Asili Wataalamu wa Tiba Asili wenye suluhisho kwa
*Mfumo wa chakula
*Mfumo wa hewa
*Uzazi
*Moyo

Kwetu tunaamini Tiba Asili ni Maisha

AFYA KWANZA Raha ya kijijini Hapo chini kuna karanga za maganda (mbichi)Lini umekula hili pishi
09/02/2026

AFYA KWANZA

Raha ya kijijini

Hapo chini kuna karanga za maganda (mbichi)

Lini umekula hili pishi

AFYA KWANZASupu ya utumbo Unapenda kula hii supu na kitafunwa gani?
08/02/2026

AFYA KWANZA

Supu ya utumbo
Unapenda kula hii supu na kitafunwa gani?

07/02/2026

AFYA KWANZA

Chai ya majani ya mpera ni suluhisho kwa changamoto za wanandoa
Tazama video hii upate maarifa

AFYA KWANZAUmewahi kutumia dawa yoyote ya asili kutoka kwa mtaalamu wa Tiba Asili?
07/02/2026

AFYA KWANZA

Umewahi kutumia dawa yoyote ya asili kutoka kwa mtaalamu wa Tiba Asili?

07/02/2026

Mazoezi ni muhimu sana kwa afya

AFYA KWANZAMimi napenda sana ndizi mbivuWewe unapenda tunda gani zaidi?
06/02/2026

AFYA KWANZA

Mimi napenda sana ndizi mbivu

Wewe unapenda tunda gani zaidi?

06/02/2026

AFYA KWANZA

Tuambie jina la huu mti kwa kabila lako

06/02/2026

AFYA KWANZA

Pona amiba bila kuchoshwa na dawa
Mpera unakutibu huku unakuongezea nguvu


23/01/2026

AFYA KWANZA

Annona Senegalensis
Mtopetope pori

Wewe kikwapa kikali
Hii mali ni kwa ajili yenu


AFYA KWANZA 🌿 JIONI YA AFYA NA NURU 🌿Muda wa jioni ni wakati mwili unapoanza kupumzika na akili kupokea nguvu mpya.NIZA ...
08/01/2026

AFYA KWANZA

🌿 JIONI YA AFYA NA NURU 🌿
Muda wa jioni ni wakati mwili unapoanza kupumzika na akili kupokea nguvu mpya.
NIZA ASILI inalinda na kuimarisha afya ya mwili na roho kwa kutumia mimea halisi na uelewa wa mwili, ikikusaidia kujirekebisha bila kuumiza mwili.

K**a miale ya jioni inavyoangaza ghorofa,
ndivyo baraka za afya, amani, na nguvu za ndani zinavyokufikia.
👉 Ikiwa unahisi mwili wako unahitaji msaada wa kipekee, andika “Nahitaji msaada” kwenye comment au inbox WhatsApp 0788 700 445
Tutakuongoza hatua kwa hatua kwa njia ya tiba asili ya NIZA ASILI.


AFYA KWANZA Mwanafamilia kutoka Tanga amenitumia hii picha kuonesha jinsi anayakomesha maembeNajisikia fahari sana nikio...
03/01/2026

AFYA KWANZA

Mwanafamilia kutoka Tanga amenitumia hii picha kuonesha jinsi anayakomesha maembe

Najisikia fahari sana nikiona watu wanajali afya zao

Je, wewe unakula maembe mangapi kila siku msimu huu wa matunda haya matamu sana?


03/01/2026

AFYA KWANZA

Umepata amiba?
Unahara damu?

Video hii imebeba siri yote. Itazame kwa utulivu kisha LIKE & SHARE

#

Address

Mkoani
Geita

Opening Hours

09:00 - 17:00

Telephone

+255788700445

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when NIZA Asili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram