Tanzanian Training Centre for International Health

Tanzanian Training Centre for International Health (TTCIH) PPP Between the Ministry of Health (MoH), Novartis & Swiss TPH
P. O. Box 39, Ifakara, Morogo

Launching the BRIDGE Project—Building Resilient Institutions for Development in Global Health Education. The EU-funded, ...
16/01/2026

Launching the BRIDGE Project—Building Resilient Institutions for Development in Global Health Education. The EU-funded, 3-year initiative brings together the Tanzanian Training Centre for International Health (TTCIH), St. Francis University of College of Health and Allied Sciences (SFUCHAS), Kairuki University (KU), University of Bologna (UNIBO), National and Kapodistrian University of Athens (NKUA), and ReadLab PC to strengthen medical education in Tanzania. The pre-inception meeting was held on 14 January 2026 at TTCIH in Ifakara, with participation from TTCIH, SFUCHAS, and UNIBO.





12/01/2026

🎊 Signing off on an amazing 2025🎁 To our students partners and clients: Thank you for being part of our journey this yea...
22/12/2025

🎊 Signing off on an amazing 2025

🎁 To our students partners and clients: Thank you for being part of our journey this year. 🎁

🎉 The TTCIH team sends warm wishes for massive success in 2026, see you in the New Year! 🎉




📢 Announcement 📢  are Hiring   our TeamThe Tanzanian Training Centre for International Health (TTCIH) is looking for pas...
18/12/2025

📢 Announcement 📢
are Hiring
our Team

The Tanzanian Training Centre for International Health (TTCIH) is looking for passionate individuals to join our team in Ifakara!

We're hiring for one exciting role:
1. HUMAN RESOURCE MANAGER

to make a difference in health training?
Visit our website for full application details - www.ttcih.ac.tz

: Monday, 05 January 2026






Leo tarehe 17 Desemba, 2025 Wadau mbalimbali wa Afya Mkoa wa Kigoma na watalaamu wengine wa kitaifa kushirikiana na vyam...
17/12/2025

Leo tarehe 17 Desemba, 2025 Wadau mbalimbali wa Afya Mkoa wa Kigoma na watalaamu wengine wa kitaifa kushirikiana na vyama vya kitaaluma na wizara ya afya wakutana kufanya tathimini ya awali ya vyanzo na sababu za kina zinazopelekea vifo vitokanavyo na uzazi pamoja na vifo vya watoto wachanga,kisha kupanga mikakati ya kupunguza vifo hivo, kikao ambacho kinaendeshwa kwa siku mbili na taasisi ya Tanzanian Training Centre for International Health (TTCIH) chini ya ufadhili wa UNFPA.

Akitoa ripoti katika kikao hicho Dkt. Fatemazahra ambaye pia ni katibu wa chama cha madaktari bingwa wa uzazi na wanawake amesema vipo vyanzo vingi vinavyo sababisha vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga lakini sababu kubwa Zaidi ni kuvuja damu kwa wingi baada ya kujifungua (PPH) ikiwa na 33% kusababisha moyo kushindwa kufanya kazi (hypovolemic shock) ambayo ni chanzo cha haraka cha vifo ikiwa na 60% pamoja na kupanda kwa shinikizao la damu litokalno la ujauzito
“Tumeambiwa miundombinu nichangamoto katika maeneo mengi zikiwemo barabara katika baadhi ya maeneo lakini pia hakuna njia maalumu za kufanya ukaguzi wa vifo katika maeneo mbalimbali ya jamii zetu, lakini pia, itoshe kusema kwamba PPH ni chanzo kikubwa cha vifo kutokana na ripoti hii” amesema Dkt. Fatemazahra.

Akizungumza katika kikao hicho Dkt. Edward Amani ambaye ni Mkurugenzi wa Tanzanian Training Centre for International Health (TTCIH) amesema lazima wadau wote waendelee kuweka mikakati ya kuhakikisha hakuna vifo vitokanavyo na uzazi, ambapo amewataka wadau waweze kufanya jitihada katika sehemu za kazi na kutokuwa wasababishaji wa vifo hivyo kwa utunzaji wa taarifa za akinamama na watoto ambazo pia zitasaidia katika kuandaa mikakati mbalimbali ya kutokomeza vifo hivyo.

“Ni kikazia hapo niwaombe wote tuliopo hapa tuweze kwenda kuhakikisha tunafanya kazi kwa kujitoa ili kutokomeza tatizo la vifo vitokanavyo na uzazi na hapa lazima matokeo yaonekane ili tuweze kupata wadau kuweza kuendelea kutusaidia kupambana na tatizo hili, tukumbuke hiki ni kikao cha tathimini na kuweka mikakati hivyo mikakati tunayoiweka lazima tuhakikishe tumeifanyia kazi” amesema Dkt.Edward Amani.



Dirisha la uhamisho kwa wanafunzi wanaoendelea (CONTINUING STUDENTS) limefunguliwa. Hii ni nafasi yako ya kujiunga na CH...
18/11/2025

Dirisha la uhamisho kwa wanafunzi wanaoendelea (CONTINUING STUDENTS) limefunguliwa. Hii ni nafasi yako ya kujiunga na CHUO bora kwa mafunzo yenye kujenga wahitimu uwezo wa kutoa tiba kwa kutumia tafiti za kisayansi yaani “EVIDENCE BASED MEDICINE”

Kozi Zitolewazo;

👁️ Diploma in Optometry
🩺 Diploma in Clinical Medicine
💊 Diploma in Pharmaceutical Sciences

⏳ Wahi sasa! Dirisha linafungwa tarehe 12/12/2025.

Mawasiliano (Dawati la Uhamisho):
📞 0718 552 164
📞 0781 845 374



Students

18/11/2025



We are continuing to register students for the academic year 2025/26

🔹 Diploma in Optometry
🔹 Diploma in Clinical Medicine
🔹 Diploma in Pharmaceutical Sciences

🔄 Transfer Window is NOW OPEN

The transfer window for CONTINUING STUDENTS is officially OPEN.

🗓 Deadline : December 12, 2025.

Don't wait until the last minute!
👉 APPLY NOW!







  📌The Ag. Executive Director’s office, in collaboration with the TTCIH team, hosted a dynamic, week-long refresher cour...
18/11/2025

📌

The Ag. Executive Director’s office, in collaboration with the TTCIH team, hosted a dynamic, week-long refresher course to prepare for semester one of the 2025/26 academic year.

Participants dived into hands-on activities, covering key topics like teaching methodology, student assessment, mentorship, gender issues, and continuous quality improvement. 📚🩺

08/11/2025
Je, umechelewa kujaza fomu dirisha la 1, 2 & 3 la udahili? Usiwe na wasiwasi, bado una nafasi ya kuomba kupitia dirisha ...
06/10/2025

Je, umechelewa kujaza fomu dirisha la 1, 2 & 3 la udahili? Usiwe na wasiwasi, bado una nafasi ya kuomba kupitia dirisha la nne la udahili.

Wasiliana nasi upate maelekezo namna ya kujaza fomu ya maombi.

Karibu sana TTCIH Ifakara!


+255(0) 781 845 374
+255(0) 718 552 164

Je, umechelewa kujaza fomu dirisha la 1 & 2  la udahili? Usiwe na wasiwasi, bado una nafasi ya kuomba kupitia dirisha la...
09/09/2025

Je, umechelewa kujaza fomu dirisha la 1 & 2 la udahili? Usiwe na wasiwasi, bado una nafasi ya kuomba kupitia dirisha la tatu la udahili.

Wasiliana nasi upate maelekezo namna ya kujaza fomu ya maombi.

Karibu sana TTCIH Ifakara!


+255(0) 781 845 374
+255(0) 718 552 164

Je, umechelewa kujaza fomu na ukakuta dirisha la kwanza la udahili limefungwa? Usijali, bado unayo nafasi ya kuomba kuji...
18/08/2025

Je, umechelewa kujaza fomu na ukakuta dirisha la kwanza la udahili limefungwa? Usijali, bado unayo nafasi ya kuomba kujiunga na chuo kupitia dirisha la pili la udahili. Tafadhali wasiliana nasi kwa maelezo zaidi kuhusu jinsi ya kujaza fomu za maombi. Karibu sana TTCIH Ifakara!

1. Stashahada ya Utabibu
2. Stashahada ya Ufamasia
3. Stashahada ya Optometria

Sifa za Muombaji

Stashahada ya Utabibu - Ufaulu angalau D ya Biology, Chemistry na Physics
Stashahada ya Ufamasia - Ufaulu angalau D ya Biology na Chemistry
Stashahada ya Optometria - Ufaulu angalau D ya Biology, Chemistry, Basic Mathematics, English na Physics/Engineering Sciences

Kwa kujaza fomu moja kwa moja Chuoni na maelekezo zaidi piga simu namba zifuatazo: 0781,845374 & 0718 552 164 au tembelea tovuti yetu www.ttcih.ac.tz au tutumie barua pepe info@ttcih.ac.tz


Window
/26

Address

Mlabani
Ifakara

Opening Hours

Monday 07:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 05:00
Wednesday 08:00 - 05:00
Thursday 08:00 - 05:00
Friday 08:00 - 17:00

Telephone

+255232931532

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tanzanian Training Centre for International Health posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Tanzanian Training Centre for International Health:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram