Tanzanian Training Centre for International Health

Tanzanian Training Centre for International Health (TTCIH) PPP Between the Ministry of Health (MoH), Novartis & Swiss TPH
P. O. Box 39, Ifakara, Morogo

Je, umechelewa kujaza fomu na ukakuta dirisha la kwanza la udahili limefungwa? Usijali, bado unayo nafasi ya kuomba kuji...
15/07/2025

Je, umechelewa kujaza fomu na ukakuta dirisha la kwanza la udahili limefungwa? Usijali, bado unayo nafasi ya kuomba kujiunga na chuo kupitia dirisha la pili la udahili. Tafadhali wasiliana nasi kwa maelezo zaidi kuhusu jinsi ya kujaza fomu za maombi. Karibu sana TTCIH Ifakara!


+255(0) 781845 374
+255 (0) 718552164

 Taasisi ya Mafunzo ya Afya ya Kimataifa Ifakara (Tanzanian Training Centre for International Health) - TTCIH iliyopo mj...
06/07/2025


Taasisi ya Mafunzo ya Afya ya Kimataifa Ifakara (Tanzanian Training Centre for International Health) - TTCIH iliyopo mjini Ifakara Mkoani Morogoro inawatangazia umma kwamba sasa inapokea maombi ya kujiunga na Chuo kwa mwaka wa masomo 2025/26 kwa kozi zifuatazo;

1. Stashahada ya Utabibu
2. Stashahada ya Ufamasia
3. Stashahada ya Optometria

Sifa za Muombaji
Stashahada ya Utabibu - Ufaulu angalau D ya Biology, Chemistry na Physics
Stashahada ya Ufamasia - Ufaulu angalau D ya Biology na Chemistry
Stashahada ya Optometria - Ufaulu angalau D ya Biology, Chemistry, Basic Mathematics, English na Physics/Engineering Sciences

TTCIH imesajisajiliwa NACTVET kwa namba HAS/003. Chuo kina mazingira tulivu na mazuri kwa kujifunza ikiwa pamoja na wakufunzi waliobobea katika fani za afya na tafiti, hospitali ya kujifunzia kwa vitendo, mtandao wa uhakika, na kutoa mafunzo kupitia Mfumo wa Mafunzo kwa Njia ya Masafa unaosimamiwa na Wizara ya Afya (National eLearning Platform for Health).

Kwa kujaza fomu moja kwa moja Chuoni na maelekezo zaidi piga simu namba zifuatazo: 0781,845374, 0718 552 164, tembelea tovuti yetu www.ttcih.ac.tz au tutumie barua pepe info@ttcih.ac.tz


/26

Today, UNFPA, in collaboration with the Maternity Foundation, officially launched a significant 10 million Safer Birth I...
27/06/2025

Today, UNFPA, in collaboration with the Maternity Foundation, officially launched a significant 10 million Safer Birth Initiative. This vital program aims to enhance the capacity of midwives, enabling them to deliver high-quality services and contribute to saving 10 million live births. As a key implementing partner of UNFPA and the maternal health consortium lead, TTCIH as a implementing partner was proud to be part of this impactful launch!




TTCIH, a member of the Ifakara Cluster, took part in the SFUCHAS Scientific Conference hosted at Homeland Hall. This col...
26/06/2025

TTCIH, a member of the Ifakara Cluster, took part in the SFUCHAS Scientific Conference hosted at Homeland Hall. This collaborative event, organized by Ifakara Cluster, showcased groundbreaking research, fostered networking, and highlighted advancements in health and allied sciences. During the conference, TTCIH contributed by offering free eye examinations and medical consultations to attendees.

Did you register yet???Don't miss out! πŸ“šπŸ§ͺJoin brilliant minds at the 4th Annual SFUCHAS Scientific Conference β€” happenin...
24/06/2025

Did you register yet???

Don't miss out! πŸ“šπŸ§ͺ
Join brilliant minds at the 4th Annual SFUCHAS Scientific Conference β€” happening June 25–26, 2025, in Ifakara, Morogoro!

🌟 In collaboration with Ifakara Cluster, this event promises cutting-edge insights, networking, and research innovations in health and allied sciences.

🎯 Registration Fees:

Students: Tsh 15,000/=

Other Delegates: Tsh 50,000/=

πŸ•˜ Deadline: June 1, 2025

Secure your spot today β€” scan the QR code on the poster or pay via CRDB Bank or M-PESA. Let’s drive science forward together!

.

Taasisi ya Mafunzo ya Afya ya Kimataifa Ifakara (Tanzanian Training Centre for International Health) - TTCIH iliyopo mji...
24/06/2025

Taasisi ya Mafunzo ya Afya ya Kimataifa Ifakara (Tanzanian Training Centre for International Health) - TTCIH iliyopo mjini Ifakara Mkoani Morogoro inawatangazia umma kwamba sasa inapokea maombi ya kujiunga na Chuo kwa mwaka wa masomo 2025/26 kwa kozi zifuatazo;

1. Stashahada ya Utabibu
2. Stashahada ya Ufamasia
3. Stashahada ya Optometria

Sifa za Muombaji
Stashahada ya Utabibu - Ufaulu angalau D ya Biology, Chemistry na Physics
Stashahada ya Ufamasia - Ufaulu angalau D ya Biology na Chemistry
Stashahada ya Optometria - Ufaulu angalau D ya Biology, Chemistry, Basic Mathematics, English na Physics/Engineering Sciences

TTCIH imesajisajiliwa NACTVET kwa namba HAS/003. Chuo kina mazingira tulivu na mazuri kwa kujifunza ikiwa pamoja na wakufunzi waliobobea katika fani za afya na tafiti, hospitali ya kujifunzia kwa vitendo, mtandao wa uhakika, na kutoa mafunzo kupitia Mfumo wa Mafunzo kwa Njia ya Masafa unaosimamiwa na Wizara ya Afya (National eLearning Platform for Health).

Kwa kujaza fomu moja kwa moja Chuoni na maelekezo zaidi piga simu namba zifuatazo: 0781,845374, 0718 552 164, tembelea tovuti yetu www.ttcih.ac.tz au tutumie barua pepe info@ttcih.ac.tz


/26

Strengthening healthcare education! ✨ The Ministry of Health's RMNCAH team, TTCIH, and Edgar Maranta Ifakara College are...
24/06/2025

Strengthening healthcare education! ✨ The Ministry of Health's RMNCAH team, TTCIH, and Edgar Maranta Ifakara College are currently reviewing RMNCAH components in Clinical Medicine and Nursing & Midwifery curricula. We're pinpointing strengths and gaps to continuously improve our training. This collaborative meeting, hosted at TTCIH, is all about enhancing maternal, newborn, child, and adolescent health outcomes.

    -26thJune2025VENUE - Homeland Hall Ifakara.
22/06/2025




-26thJune2025
VENUE - Homeland Hall Ifakara.

  ANNUAL SCIENTIFIC CONFERENCE  Sponsor
19/06/2025

ANNUAL SCIENTIFIC CONFERENCE
Sponsor

19/06/2025



ANNUAL SFUCHAS SCIENTIFIC CONFERENCE  to GO  = Tsh. 15,000/=  =Tsh. 50,000/=Don't miss chance of Attending this amazing ...
10/06/2025

ANNUAL SFUCHAS SCIENTIFIC CONFERENCE
to GO

= Tsh. 15,000/=
=Tsh. 50,000/=

Don't miss chance of Attending this amazing SCIENTIFIC CONFERENCE.
-26thJune2025.

Taasisi ya Mafunzo ya Afya ya Kimataifa Ifakara (Tanzanian Training Centre for International Health) - TTCIH iliyopo mji...
28/05/2025

Taasisi ya Mafunzo ya Afya ya Kimataifa Ifakara (Tanzanian Training Centre for International Health) - TTCIH iliyopo mjini Ifakara Mkoani Morogoro inawatangazia umma kwamba sasa inapokea maombi ya kujiunga na Chuo kwa mwaka wa masomo 2025/26 kwa kozi zifuatazo;

1. Stashahada ya Utabibu
2. Stashahada ya Ufamasia
3. Stashahada ya Optometria

Sifa za Muombaji
Stashahada ya Utabibu - Ufaulu angalau D ya Biology, Chemistry na Physics
Stashahada ya Ufamasia - Ufaulu angalau D ya Biology na Chemistry
Stashahada ya Optometria - Ufaulu angalau D ya Biology, Chemistry, Basic Mathematics, English na Physics/Engineering Sciences

TTCIH imesajisajiliwa NACTVET kwa namba HAS/003. Chuo kina mazingira tulivu na mazuri kwa kujifunza ikiwa pamoja na wakufunzi waliobobea katika fani za afya na tafiti, hospitali ya kujifunzia kwa vitendo, mtandao wa uhakika, na kutoa mafunzo kupitia Mfumo wa Mafunzo kwa Njia ya Masafa unaosimamiwa na Wizara ya Afya (National eLearning Platform for Health).

Kwa kujaza fomu moja kwa moja Chuoni na maelekezo zaidi piga simu namba zifuatazo: 0781,845374, 0718 552 164, tembelea tovuti yetu www.ttcih.ac.tz au tutumie barua pepe info@ttcih.ac.tz


/26

Address

Geita

Opening Hours

Monday 07:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 05:00
Wednesday 08:00 - 05:00
Thursday 08:00 - 05:00
Friday 08:00 - 17:00

Telephone

+255232931532

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tanzanian Training Centre for International Health posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Tanzanian Training Centre for International Health:

Share