TFNC Tanzania

TFNC Tanzania Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from TFNC Tanzania, Nutritionist, Ilala.

Imarisha taaluma yako na TFNC! ๐ŸŽ“โœจUnajua mbinu bora zaidi za kutathmini ulaji wa chakula? Jiunge nasi kuanzia tarehe 18 m...
04/05/2026

Imarisha taaluma yako na TFNC! ๐ŸŽ“โœจ

Unajua mbinu bora zaidi za kutathmini ulaji wa chakula? Jiunge nasi kuanzia tarehe 18 mpaka 21 Mei, 2026 katika kozi yetu fupi ya mtandaoni.

Kwa nini ushiriki?

โœ… Jifunze mbinu za kisasa za kufanya tathimini ya ulaji โ€œDietary Assessmentโ€.
โœ… Pata cheti kitakachoongeza thamani katika CV yako.
โœ… Soma ukiwa popote (Online Course).

โณ Siku 13 zimebaki! Usisubiri dakika ya mwisho.

๐Ÿ“ฉ Maelezo zaidi: 0717794612

๐ŸŒ Tovuti: www.tfnc.go.tz

Hatua Kubwa Kuelekea Zanzibar Isiyo na Upungufu wa Madini Joto! ๐Ÿง‚โœจLeo, Mei 4, 2026, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania...
04/05/2026

Hatua Kubwa Kuelekea Zanzibar Isiyo na Upungufu wa Madini Joto! ๐Ÿง‚โœจ

Leo, Mei 4, 2026, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) kwa kushirikiana na Wizara ya Afya Zanzibar, Wizara ya Elimu Zanzibar pamoja na Wataalamu kutoka Shirika la Iodine Global Network (IGN), imefanya kikao kazi muhimu cha maandalizi ya kuanza rasmi kwa utafiti wa mfumo wa ufuatiliaji wa chumvi yenye madini joto (FORTIMAS) katika ngazi ya jamii.

Kwanini FORTIMAS?

Lengo ni kuanzisha mfumo rahisi na endelevu wa kukusanya takwimu sahihi zitakazosaidia Serikali kuona mwenendo wa tatizo la upungufu wa madini joto visiwani humo na kuchukua hatua za haraka kulinda afya ya jamii.

Afya bora huanza na lishe bora! ๐Ÿ’ช๐Ÿพ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

TanzaniaLishe

Celebrating Research Excellence at TFNC! ๐ŸŽ“๐Ÿ‘๐ŸพWe are proud to share a new research publication by our very own Ms. Victori...
02/05/2026

Celebrating Research Excellence at TFNC! ๐ŸŽ“๐Ÿ‘๐Ÿพ

We are proud to share a new research publication by our very own Ms. Victoria Kariathi, a Researcher in Nutrition here at the Tanzania Food and Nutrition Centre.

Her study, published in the Advances in Public Health journal (Wiley), explores the โ€œDeterminants of Dietary Quality Among Adults in Tanzania.โ€ The research highlights the critical roles that Food Literacy and General Self-Efficacy play in shaping healthy eating habits in both rural and urban areas.

Research like this is vital for developing evidence-based strategies to improve the nutritional status of all Tanzanians.

๐Ÿ“– Read the full article: Scan the QR code in the image or visit the Wiley Online Library.

EvidenceBasedHealth Wiley

โ€œSura za ushindi, mioyo ya huduma! ๐ŸŒŸ Timu ya TFNC ikiungana na wafanyakazi wote duniani kusherehekea juhudi, maarifa, na...
01/05/2026

โ€œSura za ushindi, mioyo ya huduma! ๐ŸŒŸ Timu ya TFNC ikiungana na wafanyakazi wote duniani kusherehekea juhudi, maarifa, na weledi mahali pa kazi. Kumbuka: Mfanyakazi bora huanza na sahani bora. Heri ya Mei Mosi! ๐Ÿฅ—๐Ÿ”ฅ

โ€

Heri ya Mei Mosi kwa watumishi wote nchini! ๐Ÿ™๐Ÿพ๐ŸŒŸโ€      โ€
01/05/2026

Heri ya Mei Mosi kwa watumishi wote nchini! ๐Ÿ™๐Ÿพ๐ŸŒŸโ€

โ€

โ€œTaasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) inawatakia wafanyakazi wote nchini heri ya Siku ya Mei Mosi. Tunatambua kuw...
01/05/2026

โ€œTaasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) inawatakia wafanyakazi wote nchini heri ya Siku ya Mei Mosi. Tunatambua kuwa nguvu ya kazi inatokana na lishe bora. Tuendelee kujenga taifa lenye afya na tija! ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿฒ

K**a wewe ni mjasiriamali  unayesindika unga kwa ajili ya chakula cha watoto wenye umri miezi sita na kuendelea, *Hii si...
30/04/2026

K**a wewe ni mjasiriamali unayesindika unga kwa ajili ya chakula cha watoto wenye umri miezi sita na kuendelea, *Hii si ya Kukosa*

*Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC)* imeandaa mafunzo ya muda mfupi yatakayo kusaidia kupata ujuzi wa kitaalamu katika kuongeza thamani bidhaa unayoizalisha. Mafunzo yatafanyika tatehe 22 - 24 Mei, 2026 katika ofisi za TFNC Mikocheni, Mtaa wa Sembeti.

Ada ya mafunzo ni Tsh. 160,000 tu. Jisajili sasa kwa kuskani QR kodi hapo kwenye tangazo ama tembelea:
https://www.tfnc.go.tz/announcements/kozi

Kwa maswali zaidi piga simu namba: 0681810080 au 0755249143

Hatua kubwa katika kuimarisha lishe nchini! ๐Ÿฅ—๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟLeo Aprili 28 2025, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) kwa kushi...
28/04/2026

Hatua kubwa katika kuimarisha lishe nchini! ๐Ÿฅ—๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Leo Aprili 28 2025, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) kwa kushirikiana na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) wameanza kutoa mafunzo maalum ya matumizi ya mbinu mpya ya MIMI (Modeling and Mapping Risk of Inadequate Micronutrient Intake) ikiwa ni mwedelezo wa jitihada za kujenga uwezo wa kitaifa kwa wataalamu katika suala la uchambuzi wa takwimu zinazohusu athari za Viashiria vya upingufu wa Vitamini na Madini

Mafunzo haya yatatumika k**a fursa ya kimkakati kuimarisha uwezo wa kitaasisi nchini katika kuzalisha ushahidi thabiti unaotokana na takwimu kuhusu upungufu wa vitamini na madini, ili kusaidia katika mikakati ya kuwezesha kufikiwa kwa malengo ya vipaumbele vya maendeleo ya kitaifa k**a yalivyoainishwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.

# MIMImodel Tanzania PublicHealth DataDrivenNutrition Afya TanzaniaDevelopment Dira2050

"Muungano wetu, fahari yetu. Tuulinde na kuuenzi kwa upendo na mshik**ano. Heri ya Siku ya Muungano! ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟโค๏ธโ€.
26/04/2026

"Muungano wetu, fahari yetu. Tuulinde na kuuenzi kwa upendo na mshik**ano. Heri ya Siku ya Muungano! ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟโค๏ธโ€.

โ€œLeo  tarehe 22/04/2026,  Uongozi wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imekutana na timu ya wataalamu kutoka U...
22/04/2026

โ€œLeo tarehe 22/04/2026, Uongozi wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imekutana na timu ya wataalamu kutoka Uchumi Institute kwa ajili ya kikao kazi cha kufanya tathmini ya utekelezaji wa Mpango Mkakati (Strategic Plan) unaomaliza muda wake, na kuanza maandalizi ya kuandaa Mpango Mkakati mpya.

Tathmini hii ni hatua muhimu katika kupima mafanikio tuliyofikia, kutambua changamoto, na kuweka mikakati thabiti ya kuendeleza mapambano dhidi ya utapiamlo na kuimarisha afya ya jamii nchini.

โ€

Happy Karume Day
07/04/2026

Happy Karume Day

Tunawatakia Pasaka Njema
05/04/2026

Tunawatakia Pasaka Njema

Address

Ilala

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00

Telephone

0658990996

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TFNC Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category