20/02/2026
Baadhi ya wazazi na walezi wa wanafunzi wa shule ya msingi Charambe iliyopo kata ya Kilungule Manispaa ya Temeke wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa na wataalamu kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania wakati wa kikao kazi cha kujadili umuhimu wa watoto kupewa chakula shuleni