07/01/2026
Afisa Lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), Eliasaph Mwana akijibu maswali ya washiriki wa mafunzo ya namna ya kukusanya taarifa za utafiti wa kuhakiki ufanisi wa unga mchanganyiko wa mbegu za mchicha na nafaka nyingine katika kupunguza utapiamlo kwa watoto wenye umri kuanzia miezi sita hadi 59 kabla ya kuanza kufanyika kwa utafiti huo unaotarajiwa kufanyika katika Halmashauri mbili za mkoa wa Arusha (Arusha jiji na Arusha Vijijini).