TFNC Tanzania

TFNC Tanzania Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from TFNC Tanzania, Nutritionist, Ilala.

Mwenyekiti kamati ya wazazi Shule ya Msingi Unubini, Temeke, Albinus Masalu akitoa ahadi ya kuendelea kuhamasisha wazazi...
18/11/2025

Mwenyekiti kamati ya wazazi Shule ya Msingi Unubini, Temeke, Albinus Masalu akitoa ahadi ya kuendelea kuhamasisha wazazi na walezi kuchangia huduma ya chakula wanachopewa watoto shuleni mara baada ya kupewa semina elekezi kuhusu umuhimu wa lishe iliyotolewa kwa wazazi na walezi wa shule hiyo.

Semina hiyo imetolewa na wataalamu kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) pamoja na Manispaa ya Temeke kupitia mradi wa Afya na Lishe unaotekelezwa katika shule za msingi 15 za Manispaa ya Temeke kupitia uwezeshaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP).

Mwenyekiti Serikali ya Mtaa Unubini, Manispaa ya Temeke, Raphael Berege akisisitiza jambo kuhusu umuhimu wa wazazi kucha...
18/11/2025

Mwenyekiti Serikali ya Mtaa Unubini, Manispaa ya Temeke, Raphael Berege akisisitiza jambo kuhusu umuhimu wa wazazi kuchangia chakula shuleni wakati wa semina elekezi kwa wazazi na walezi wa Shule ya Msingi Unubini inayotolewa na Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) kupitia mradi wa Afya na Lishe unaotekelezwa katika shule za msingi 15 za Manispaa ya Temeke.

Mradi huu unatekelezwa kwa ushirikiano kati ya TFNC, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), na Manispaa ya Temeke

Afisa Lishe Manispaa ya Temeke, Happy Nkunda akielezea umuhimu wanafunzi kupata chakula shuleni kwa wazazi na walezi wa ...
18/11/2025

Afisa Lishe Manispaa ya Temeke, Happy Nkunda akielezea umuhimu wanafunzi kupata chakula shuleni kwa wazazi na walezi wa shule ya msingi Unubini ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa Afya na Lishe unaotekelezwa katika shule za msingi 15 za Manispaa ya Temeke.

Mradi huu unatekelezwa kwa ushirikiano kati ya TFNC, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), na Manispaa ya Temeke

 .samizi
18/11/2025

.samizi

18/11/2025

Mkurugenzi wa Idara ya Elimu na Mafunzo ya Lishe, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), Dkt. Esther Nkuba akitoa ...
18/11/2025

Mkurugenzi wa Idara ya Elimu na Mafunzo ya Lishe, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), Dkt. Esther Nkuba akitoa elimu ya lishe kwa wazazi na walezi wa wanafunzi wa shule ya msingi Unubini manispaa ya Temeke ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa Afya na Lishe unaotekelezwa katika shule za msingi 15 za Manispaa ya Temeke.

Mradi huu unatekelezwa kwa ushirikiano wa TFNC, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), na Manispaa ya Temeke

Je, wewe ni mkazi wa Singida na mikoa ya jirani, na ni mjasiriamali  unayesindika unga kwa ajili ya chakula cha watoto w...
13/11/2025

Je, wewe ni mkazi wa Singida na mikoa ya jirani, na ni mjasiriamali unayesindika unga kwa ajili ya chakula cha watoto wenye umri miezi sita na kuendelea, na kuangaika wapi utapata ujuzi wa kitaalamu utakaokusaidia kuongeza thamani bidhaa yako? Sasa TFNC imesikia hitaji lako kwa kukuandalia mafunzo ya usindikaji unga mchanganyiko kwa matumizi ya watoto wenye umri wa miezi 9-23 yatakayofanyika mkoani Singida tatehe 6-11 Septemba kwa Ada ya Tsh. 160,000 tu.

Kujisajili tafadhali tembelea https://www.tfnc.go.tz/announcements/kozi-3

13/11/2025
Tanzania Food and Nutrition Centre is announcing a short course on Nutrition Assessment, Counselling and Support (NACS) ...
11/11/2025

Tanzania Food and Nutrition Centre is announcing a short course on Nutrition Assessment, Counselling and Support (NACS) for People Living with HIV and TB. The course is preferably for nurses, clinicians, nutritionists and dietetician. Deadline for registration will be on 20 November, 2025.

Kindly clink the link bellow for registration: https://www.tfnc.go.tz/announcements/nacs

For more information contact 0686 258 266

uniceftz

Address

Ilala

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00

Telephone

0658990996

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TFNC Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category