TFNC Tanzania

TFNC Tanzania Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from TFNC Tanzania, Nutritionist, Ilala.

Baadhi ya wazazi na walezi wa wanafunzi wa shule ya msingi Charambe iliyopo kata ya Kilungule Manispaa ya Temeke wakifua...
20/02/2026

Baadhi ya wazazi na walezi wa wanafunzi wa shule ya msingi Charambe iliyopo kata ya Kilungule Manispaa ya Temeke wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa na wataalamu kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania wakati wa kikao kazi cha kujadili umuhimu wa watoto kupewa chakula shuleni

Afisa Elimu kata ya Kilungule, Agnes  Nyigu akitoa maelezo kuhusu majukumu ya wazazi kulingana na waraka wa elimu bure k...
20/02/2026

Afisa Elimu kata ya Kilungule, Agnes Nyigu akitoa maelezo kuhusu majukumu ya wazazi kulingana na waraka wa elimu bure kwa wazazi na walezi wa wanafunzi shule ya msingi Charambe iliyopo Manispaa ya Temeke, jijini Dar es salaam wakati wa kikao cha kuhamasisha kuchangia chakula wanachopewa watoto shuleni ikiwa ni utekelezaji wa mradi wa Afya na Lishe unaotekelezwa katika shule za msingi 15 za Manispaa ya Temeke.

Mradi huu unatekelezwa kwa ushirikiano wa TFNC, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), na Manispaa ya Temeke

Tunawatakia Wakristo wote Kwaresma Njema
19/02/2026

Tunawatakia Wakristo wote Kwaresma Njema

Ramadhan Kareem
19/02/2026

Ramadhan Kareem

Mkurugenzi wa Idara ya Elimu na Mafunzo ya Lishe, kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), Dkt. Esther Nkuba ...
18/02/2026

Mkurugenzi wa Idara ya Elimu na Mafunzo ya Lishe, kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), Dkt. Esther Nkuba akiongea na wazazi na walezi wa wanafunzi shule ya msingi Charambe iliyopo Manispaa ya Temeke, jijini Dar es salaam wakati wa kikao cha kuhamasisha kuchangia chakula wanachopewa watoto shuleni ikiwa ni utekelezaji wa mradi wa Afya na Lishe unaotekelezwa katika shule za msingi 15 za Manispaa ya Temeke.

Mradi huu unatekelezwa kwa ushirikiano wa TFNC, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), na Manispaa ya Temeke

Afisa Elimu Watu Wazima Manispaa ya Temeke, Sister, Mwalimu Donasiana Njuu akimwakilisha Afisa Elimu Manispaa kufungua k...
15/02/2026

Afisa Elimu Watu Wazima Manispaa ya Temeke, Sister, Mwalimu Donasiana Njuu akimwakilisha Afisa Elimu Manispaa kufungua kikao cha kuhamasisha wazazi na walezi wa wanafunzi wa shule ya msingi Kilamba kuchangia mpango wa chakula shuleni ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa Afya na Lishe unaotekelezwa katika shule za msingi 15 za Manispaa ya Temeke.

Mradi huu unatekelezwa kwa ushirikiano kati ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania, Manispaa ya Temeke na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP).

Nassor Said, mzazi wa mwanafunzi shule ya msingi Likwati, akitoa rai kwa wazazi wenzake kuchangia mpango wa vhakula shul...
15/02/2026

Nassor Said, mzazi wa mwanafunzi shule ya msingi Likwati, akitoa rai kwa wazazi wenzake kuchangia mpango wa vhakula shuleni wakati wa kikao cha kuwaelezea wazazi umuhimu wa wanafunzi kupewa chakula shuleni ikiwa ni utekelezaji wa mradi wa Afya na Lishe unaotekelezwa katika shule za msingi 15 za Manispaa ya Temeke kupitia ushirikiano wa TFNC, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), na Manispaa ya Temeke

Issa Komba, mzazi wa mwanafunzi shule ya msingi Likwati, akiuliza swali  wakati wa kikao cha kuwaelezea wazazi  umuhimu ...
15/02/2026

Issa Komba, mzazi wa mwanafunzi shule ya msingi Likwati, akiuliza swali wakati wa kikao cha kuwaelezea wazazi umuhimu wa wanafunzi kupewa chakula shuleni ikiwa ni utekelezaji wa mradi wa Afya na Lishe unaotekelezwa katika shule za msingi 15 za Manispaa ya Temeke kupitia ushirikiano wa TFNC, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), na Manispaa ya Temeke

15/02/2026
Lulu Hamisi Jaha mzazi wa mwanafunzi shule ya msingi Likwati, akitoa ushuhuda namna mpango wa utoaji chakula shuleni uli...
14/02/2026

Lulu Hamisi Jaha mzazi wa mwanafunzi shule ya msingi Likwati, akitoa ushuhuda namna mpango wa utoaji chakula shuleni ulivyomsaida mtoto wake kufanya vizuri darasani tofauti na ilivyokuwa awali, Jaha ametoa ushuhuda huo wakati wa kikao cha kuwaelezea wazazi umuhimu wa wanafunzi kupewa chakula shuleni ikiwa ni utekelezaji wa mradi wa Afya na Lishe unaotekelezwa katika shule za msingi 15 za Manispaa ya Temeke kupitia ushirikiano wa TFNC, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), na Manispaa ya Temeke

Bakari Juma Chuo ambaye ni mzazi wa mwanafunzi shule ya msingi Likwati, akichangia mada kuhusu umuhimu wa kuwapa watoto ...
14/02/2026

Bakari Juma Chuo ambaye ni mzazi wa mwanafunzi shule ya msingi Likwati, akichangia mada kuhusu umuhimu wa kuwapa watoto mlo wa asubuhi kabla ya kwenda shule wakati wa kikao cha kuwaelezea wazazi umuhimu wa wanafunzi kupewa chakula shuleni ikiwa ni utekelezaji wa mradi wa Afya na Lishe unaotekelezwa katika shule za msingi 15 za Manispaa ya Temeke kupitia ushirikiano wa TFNC, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), na Manispaa ya Temeke

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Likwati, Sosthenes Stephen Amasi akielezea namna Serikali yake itakavyohamasisha jamii...
14/02/2026

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Likwati, Sosthenes Stephen Amasi akielezea namna Serikali yake itakavyohamasisha jamii kuchangia chakula cha watoto shuleni wakati wa kikao cha kuwaelezea wazazi na walezi wa wanafunzi wa shule ya msingi Likwati umuhimu wa wanafunzi kupewa chakula shuleni ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa Afya na Lishe unaotekelezwa katika shule za msingi 15 za Manispaa ya Temeke.

Mradi huu unatekelezwa kwa ushirikiano wa TFNC, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), na Manispaa ya Temeke

Address

Ilala

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00

Telephone

0658990996

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TFNC Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category