Afya fit Tiba Asili

Afya fit Tiba Asili Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya fit Tiba Asili, Medical and health, Dar es salaam, Ilala.

Dr Monicah
Nawasaidia Wanaume Kutatua Changamoto Za Uzazi Ikiwemo Upungufu Wa Nguvu Za Kiume na Tezi Dume Kwa Kutumia Lishe, Mazoezi,Kanuni Za Kisaikolojia na Tiba Asilia kupona KABISA
wa.me/+255789907021

Huduma Zetu Zinakufikia Popote Ulipo Ndani na Nje Ya Nchi, Tunafanya Delivery Kwa Uaminifu Mkubwa Kabisa..Hujachelewa Ik...
12/11/2025

Huduma Zetu Zinakufikia Popote Ulipo Ndani na Nje Ya Nchi, Tunafanya Delivery Kwa Uaminifu Mkubwa Kabisa..

Hujachelewa Ikiwa Unatamani Kutatua Changamoto Yako Katika Mfumo Wa Uzazi Kwa Njia Asili na Salama Kwa Matokeo ya Kudumu Wasiliana Nasi Sasa.

12/11/2025

K**a Haujawahi Kuona Mawe Kwenye Kibofu au Figo...Haya Hapa Ndivyo Yanavyokua...

Sababu Kubwa ni Uvimbe Wa Tezi Dume,Unywaji Mdogo Wa Maji,Lishe Yenye Chumvi Nyingi na nyama Nyingi pia

Linda Figo Zako Kwa Kuepuka Sababu Hizi...

Kwa Ushauri na Suluhisho Asili la Tezi Dume Bila Upasuaji Wasiliana Nasi Sasa Kabla Tatizo Lako Halijakuletea Madhara K**a Haya..
πŸ‡ΉπŸ‡Ώ πŸ‡ΊπŸ‡Έ

πŸ§ͺ Kujua hali yako ni ushindi wa kwanza!Namshukuru sana ndugu yetu kwa hatua ya kupima afya ya tezi dume na uzazi. Wengi ...
11/11/2025

πŸ§ͺ Kujua hali yako ni ushindi wa kwanza!

Namshukuru sana ndugu yetu kwa hatua ya kupima afya ya tezi dume na uzazi. Wengi huogopa, lakini yeye ameonyesha ujasiri! πŸ‘

*Afya huanza kwa kujua!*
*Je, wewe umeshapima?*
πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Je ni Kukojoa Mara Kwa Mara?Je ni Kuwahi Kufika Kileleni??Au Kushindwa Kurudia Tendo la Ndoa?Pengine Huna Hamu ya Tendo ...
11/11/2025

Je ni Kukojoa Mara Kwa Mara?
Je ni Kuwahi Kufika Kileleni??
Au Kushindwa Kurudia Tendo la Ndoa?
Pengine Huna Hamu ya Tendo la Ndoa au Hupati Choo Kwa Wakati na ukipata ni Kigumu Sana Maumivu ya Bawasiri?

Pata Ushauri na Suluhisho Asili na Salama kutoka Afyafit TibaAsili


11/11/2025

*''TUMETOA OFA MAALUMU YA SIKU 5 TU''*

*SABABU MAALUM YA KUTOA OFA HII YA SIKU 5 πŸ”₯*

Tunakaribia kuingiza mzigo mpya, na *tumebakiwa na dozi 5 tu* kutoka batch iliyopo!

πŸ›’ *Kabla hatujaingiza mzigo mwingine, tumeamua kutoa hizi dose 5 kwa OFA KUBWA k**a shukrani kwa wateja wetu waaminifu na wanaochukua hatua mapema.*

K**a sehemu ya kuwashukuru kwa kuwa karibu nami na kufuatilia huduma Zetu, *tumeamua kutoa OFA HII MAALUM kwa siku 5 tu!* πŸŽ‰

Kwa wale watakaochukua hatua *ndani ya siku hizi 5*, badala ya kulipia dozi kamili kwa *sh 640,000*,
utalipia *sh 480,000 tu!*
πŸ’₯ Na kwa kuanzia, unaweza kupata dozi yako kwa *sh 185,000 tu!* Yenye Kukupa Matokeo ya Awali huku ukijipanga Kuendelea na Kumalizia dozi Kamili.

*Ikiwa bado hujapata nafasi ya kuchukua hatua, huu ndio muda sahihi.*
K**a Bado Unasumbuliwa na Changamoto za Uzazi, Tezi Dume na Bawasiri Bila Upasuaji na Nguvu za Kiume...
Afya yako ni kipaumbele na ofa k**a hii huwa haitokei mara kwa mara.

*Nipigie au njoo inbox sasa* kabla muda haujaisha ⏳

*Afyafit_Tibaasili*
*Afya Yako ni Kipaumbele Chetu πŸ’ͺ*
*+255789907021*

10/11/2025

Zifahamu Sababu Zinazopelekea Kupata Mawe Kwenye Kibofu au Kwenye Figo.
πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

07/11/2025
07/11/2025

Comment Hapa Chini πŸ‘‡ nikushauri Njia Asili za Kuondoa Tatizo Lako.
πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

07/11/2025

FAIDA ZA TANGAWIZI KWA MWANAUME πŸ”₯
Usidharau Tangawizi ya unga – Ina nguvu kubwa sana kiafya kwa mwanaume!

βœ… Huongeza nguvu za kiume
βœ… Huongeza hamu ya tendo la ndoa
βœ… Huboresha mzunguko wa damu
βœ… Husaidia kupunguza mkojo wa mara kwa mara usiku
βœ… Hupunguza kitambi na mafuta tumboni
βœ… Huondoa gesi, kujaa tumboni & hupunguza uzito
βœ… Huongeza stamina na huondoa uchovu

🟒 Namna ya Kutumia Unga wa Tangawizi
β†’ Chukua Β½ kijiko cha chai cha unga wa tangawizi
β†’ Changanya na maji ya moto kikombe kimoja
β†’ Unaweza kuongeza asali kijiko kimoja (si lazima)
β†’ Kunywa asubuhi kabla ya kula & usiku kabla ya kulala

πŸ”₯Tumia kila siku kwa matokeo bora
Afya yako ni silaha yako!


07/11/2025

Kwa Mwanaume Mwenye Changamoto ya Tezi Dume na Unapata Hali ya Kukojoa Mara Kwa Mara Usiku Usiendelee Kuteseka Kimya Kimya,,,

Wasiliana Nasi Kupata Mwongozo Wako BURE Kabisa Ambao Umewasaidia Wanaume Wengi waliokuwa na Changamoto K**a Yako...
πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

05/11/2025

Unakojoa Mara Kwa Mara?
Tumia Njia Hizi 5 za Asili Zikisaidie Kumaliza Tatizo Lako

Address

Dar Es Salaam
Ilala

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya fit Tiba Asili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya fit Tiba Asili:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram