Afya fit Tiba Asili

Afya fit Tiba Asili Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya fit Tiba Asili, Medical and health, Dar es salaam, Ilala.

Dr Monicah
Nawasaidia Wanaume Kutatua Changamoto Za Uzazi Ikiwemo Upungufu Wa Nguvu Za Kiume na Tezi Dume Kwa Kutumia Lishe, Mazoezi,Kanuni Za Kisaikolojia na Tiba Asilia kupona KABISA
wa.me/+255789907021

20/01/2026

20/01/2026

MWANAUME KUOTA MATITI SI KAWAIDA

Mara nyingi ni dalili ya:
❌ Homoni ya kiume (Testosterone) kushuka
❌ Homoni ya k**e (Estrogen) kuongezeka
❌ Mafuta mengi tumboni yanayobadilisha homoni
❌ Tezi dume au mfumo wa homoni kusumbuka

Habari njema ✅
Mazoezi sahihi + lishe sahihi
👉 Husaidia kusawazisha homoni
👉 Kupunguza mafuta
👉 Kurudisha nguvu za kiume

📩 Andika “HOMONI” inbox
nikuelekeze hatua zaidi za mwanzo salama 💪

18/01/2026

Sababu Zinazopelekea Performance Kitandani Yako Kupungua ..
🇹🇿

18/01/2026

🇹🇿

17/01/2026

K**a mwanaume unapitia mojawapo ya hali hizi,
ni muhimu ujue huu si udhaifu wako, wala sio umri peke yake.

Mara nyingi, dalili hizi hutokana na:
👉 mmeng’enyo mbovu wa chakula
👉 acid reflux ya muda mrefu
👉 upungufu wa virutubisho muhimu
👉 mzunguko duni wa damu
👉 msongo wa mawazo na kukosa usingizi mzuri

Wanaume wengi hukimbilia dawa za kuongeza nguvu,
lakini husahau jambo moja muhimu sana:

⚠️ Nguvu za kiume ni dalili tu kuna chanzo nyuma yake.
Bila kushughulikia chanzo:
❌ utatumia dawa nyingi
❌ utapata nafuu ya muda mfupi
❌ tatizo litarudi tena

💡 Suluhisho la kweli linaanza na:
✔️ kurekebisha lishe
✔️ kuboresha mmeng’enyo wa chakula
✔️ kupunguza acid tumboni
✔️ kurejesha usawa wa mwili kwa ujumla

K**a unataka kuelewa chanzo halisi cha hali yako na upate mwongozo sahihi,
👉 andika ujumbe (Inbox) tuanze kukusaidia hatua kwa hatua.

17/01/2026

Unapata Choo Kigumu Mara kwa Mara?Nguvu zako za Kiume Zimeqnza Kupungua?

🇹🇿

17/01/2026

JE, USIKU WAKO UMEKUWA NI KERO KULIKO MAPUMZIKO?

Kuamka kila saa kwenda chooni siyo tu kunachosha, bali ni ishara mbaya kwa afya ya tezi dume na nguvu zako za

Nimeamua kutoa siri ambazo wengi hawawaambii wanaume. Katika darasa langu la SIKU 3 ZA MKOMBOZI, nitakufundisha:

• Siku ya 1: Jinsi ya kuzuia kero ya kukojoa mara kwa mara usiku bila kutumia kemikali.

• Siku ya 2: Vyakula 3 vinavyopatikana sokoni vinavyoweza kuamsha mfumo wa nguvu za kiume.

• Siku ya 3: Ratiba ya mazoezi mepesi ya kuimarisha misuli ya uzazi.

💰 KIINGILIO: TSh 5,000/- tu (Badala ya 20,000/-) 📍 MAHALI: Group Maalum la WhatsApp.

Hii siyo kwa kila mtu. Ni kwa ajili ya mwanaume anayejali afya yake na heshima ya nyumba yake.

👇 JIUNGE SASA KWA KUBONYEZA LINK HII: wa.me/255789907021

15/01/2026

🇹🇿

15/01/2026

U.T.I za Mara Kwa Mara Kwa Mwanaume Mara Nyingi Huhisisha Sehemu hizi 3...
🇹🇿 .t.i

15/01/2026

Umewahi Kujiuliza Kwanini Unatumia Dawa Nyingi Za Nguvu Za Kiume Lakini Huponi?

Hiki Ndicho Unakosa na Ndio Maana Huponi...
🇺🇸 🇹🇿

Address

Dar Es Salaam
Ilala

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya fit Tiba Asili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya fit Tiba Asili:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram