
21/09/2025
TANGAZO TANGAZO TANGAZO
HABARI NJEMA KWA WAKAZI WOTE WA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI NA MAENEO JIRANI.
Uongozi wa Hospitali ya Kilutheri llembula, unawakaribisha wadau wote na watumia huduma katika Hospitali ya Kilutheri llembula, kwenye sherehe za uzinduzi wa mashine ya CT SCAN ambao utafanyika tarehe 24.09.2025 katika Hospitali ya kilutheri llembula kuanzia saa tano asubuhi.
Pia katika uzinduzi huo, utaenda sambamba na upimaji vya vipimo vya maabara BURE k**a vile;
SUKARI, VIPIMO VYA INI NA HOMA YA INI, VIPIMO VYA FIGO, KIPIMO CHA KIWANGO CHA MAFUTA MWILINI, KIPIMO CHA HOMONI ZA UZAZI NA GOITA, KIPIMO CHA TEZI DUME, UMEME WA MWILI, NA KIPIMO CHA KIWANGO CHA KINGA MWILINI.
NB: AFYA YAKO NDIO MTAJI WAKO