Ilembula Lutheran Hospital

Ilembula Lutheran Hospital Ukurasa rasmi wa Hospitali ya Kilutheli ya Ilembula. The Official page for Ilembula Luthera The hospital has a bed capacity of 317 beds.

Ilembula Lutheran Hospital is a health facility owned and run by the Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT), Southern Diocese (SD). It provides a wide variety of health care services such as Internal Medicine, Paediatrics, Surgery, Gynaecology, and Obstetrics, Palliative Care, Dentistry, Ophthalmology HIV CTC, T.B/Leprosy as well as Reproductive and Child Health (RCH) clinics. It is a teaching hospital for Nurse and Clinic Officer Students of Ilembula Institute of Health & Allies Studies. It is also used as a practicum & research facility for other students both from within the country and from abroad.

TANGAZO! TANGAZO! TANGAZO!Habari njema wakazi wote wa Wilaya ya Wanging'ombe na maeneo jirani!Uongozi wa Hospital ya Kil...
18/11/2025

TANGAZO! TANGAZO! TANGAZO!

Habari njema wakazi wote wa Wilaya ya Wanging'ombe na maeneo jirani!

Uongozi wa Hospital ya Kilutheli llembula unawakaribisha kupata huduma maalum kutoka kwa Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Ndani, atakayetoa uchunguzi, ushauri na matibabu kwa magonjwa mbalimbali, huduma zitatolewa kila siku ya jumatano kuanzia wiki hii Mahali: Hospital ya Kilutheli ilembula

Huduma zitakazo tolewa ni ikiwemo matibabu ya:

Kisukari

Shinikizo la damu

Magonjwa ya moyo

Magonjwa ya figo

Magonjwa ya mapafu (Asthma, COPD n.k.)

Magonjwa ya tumbo na utumbo

Magonjwa ya ini

Magonjwa ya darnu (mf. Anemia)

Magonjwa ya tezi (Thyroid)

Maumivu ya mwili yasiyoisha

Mzio (Allergies)

Maambukizi sugu na matatizo ya kimetaboliki

Na mengine mengi

Gharama:

Kufungua faili: Tsh 10,000

Vipimo no dowo: Zitatolewa kwa gharama nafuu (bel ya punguzo)

Usikiapo/Uonapo Tangazo hili, Mtaarifu na mwingine.

Karibuni Hospital ya Kilutheli llembula - Tuko kwa ajili ya afya yako!

12/11/2025

HABARI NJEMA KWA WAKAZI WOTE WA ILEMBULA NA VIJIJI JIRANI.

Upimaji wa macho katika Hospitali ya Kilutheri llembula, unaendelea kwa wananchi wote na Madaktari bingwa wa Macho kutoka Hospitali ya llembula wanaendelea kutoa huduma za MATATIZO YA MACHO KWA PUNGUZO LA BEI KUANZIA LEO TAREHE 12/11/2025 HADI 14/11/2025.

HUDUMA ZINALEWAZO K**A IFUATAVYO

HUDUMA
Upimaji wa macho unatolewa Bure

Upasuaji mkubwa wa mtoto wa jicho unatolewa Bure

Miwani ya kusomea inatolewa kwa Shilling 15,000/=

Huduma za dawa zinatolewa kwa Garama nafuu(Bei ya Punguzo)

Kwa maelezo zaidi wasiliana kwa namba hii 0759853336 - Dr. Shaha Pelapela

TANGAZO TANGAZO TANGAZO"Je, Wataka kuona"HABARI NJEMA KWA WAKAZI WOTE WA ILEMBULA NA VIJIJI JIRANI.Hospitali ya Kiluther...
10/11/2025

TANGAZO TANGAZO TANGAZO

"Je, Wataka kuona"

HABARI NJEMA KWA WAKAZI WOTE WA ILEMBULA NA VIJIJI JIRANI.

Hospitali ya Kilutheri llembula, inawatangazia wananchi wote kwamba Madaktari bingwa wa Macho kutoka Hospitali ya llembula watatoa huduma za MATATIZO YA MACHO KUANZIA TAREHE 12/11/2025 HADI 14/11/2025.

HUDUMA ZITOLEWAZO K**A IFUATAVYO

HUDUMA
Upimaji wa macho utafanyika Bure

Upasuaji mkubwa wa mtoto wa jicho utafanyika Bure

Miwani ya kusomea itatolewa kwa shillingi 15,000/=

Huduma za dawa zitatolewabkwa Garama nafuu(Bei ya Punguzo)

Kwa maelezo zaidi wasiliana kwa namba hii 0759853336 - Dr. Shaha Pelapela

Atakayesoma au kusikia Tangazo hili amwambie na mwenzake.

Tangazo hili limetolewa na; Uongozi wa Hospitali ya llembula.

Upimaji wa bure uliofanyika 24/08/2025 katika hospitali ya llembula ulikuwa zaidi ya huduma ulikuwa ishara ya mshik**ano...
04/10/2025

Upimaji wa bure uliofanyika 24/08/2025 katika hospitali ya llembula ulikuwa zaidi ya huduma ulikuwa ishara ya mshik**ano na kujali afya zetu. Asanteni wote kwa kujitokeza

TANGAZO TANGAZO TANGAZOHABARI NJEMA KWA WAKAZI WOTE WA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI NA MAENEO JIRANI.Uongozi wa Hospita...
21/09/2025

TANGAZO TANGAZO TANGAZO

HABARI NJEMA KWA WAKAZI WOTE WA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI NA MAENEO JIRANI.

Uongozi wa Hospitali ya Kilutheri llembula, unawakaribisha wadau wote na watumia huduma katika Hospitali ya Kilutheri llembula, kwenye sherehe za uzinduzi wa mashine ya CT SCAN ambao utafanyika tarehe 24.09.2025 katika Hospitali ya kilutheri llembula kuanzia saa tano asubuhi.

Pia katika uzinduzi huo, utaenda sambamba na upimaji vya vipimo vya maabara BURE k**a vile;

SUKARI, VIPIMO VYA INI NA HOMA YA INI, VIPIMO VYA FIGO, KIPIMO CHA KIWANGO CHA MAFUTA MWILINI, KIPIMO CHA HOMONI ZA UZAZI NA GOITA, KIPIMO CHA TEZI DUME, UMEME WA MWILI, NA KIPIMO CHA KIWANGO CHA KINGA MWILINI.

NB: AFYA YAKO NDIO MTAJI WAKO

11/08/2025
  inawatakia heri ya Sikukuu ya Wakulima (Nanenane)
08/08/2025

inawatakia heri ya Sikukuu ya Wakulima (Nanenane)





08/08/2025
Mwone kano wa Chumba cha X-RAY na Radiology katika Hospitali ya kirutheri Ilembula
04/08/2025

Mwone kano wa Chumba cha X-RAY na Radiology katika Hospitali ya kirutheri Ilembula

Check out Ilembulahospital’s video.

29/07/2025

Tunajali afya zetu
29/07/2025

Tunajali afya zetu

Address

50 Thomas Nyimbo Road
Ilembula
59305

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ilembula Lutheran Hospital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Ilembula Lutheran Hospital:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram