St. Gaspar Referral and Teaching Hospital

St. Gaspar Referral and Teaching Hospital The St. Gaspar Referral and Teaching Hospital is a national referent center in Tanzania.

"Cure, educate, console" is the motto of the hospital and it expresses the true identity and the real nature of the mission of the hospital.

Afya bora, maisha bora. Karibuni sana!
27/02/2026

Afya bora, maisha bora. Karibuni sana!

Wawakilishi kutoka Shirika la Kimataifa lisilo la kiserikali la ReSurge (ReSurge International) wamefanya ziara ya siku ...
27/02/2026

Wawakilishi kutoka Shirika la Kimataifa lisilo la kiserikali la ReSurge (ReSurge International) wamefanya ziara ya siku moja hapa Hospitali ya Rufaa na Mafunzo St.Gaspar-Itigi ikiwa hii ni kati ya hospitali nne za Tanzania zinazofanya kazi kwa ushirikiano na Shirika hilo hasa katika maeneo ya utoaji wa huduma za upasuaji bandia na upasuaji wa kurekebisha maumbile (reconstructive surgery) sambamba na kutoa mafunzo kwa Madaktari wa upasuaji pamoja na kubadilishana uzoefu.

Shirika hilo la upasuaji pia hutoa nafasi ya upatikanaji wa huduma salama za upasuaji wa kurekebisha maumbile kwa watu wasio na uwezo wa kumudu gharama.

ReSurge International

26/02/2026

25/02/2026

Mtu mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Ngalya Nshomi Makakala mkazi wa Kijiji cha Mbwasa ameishukuru Hospitali ya Rufaa na Mafunzo St.Gaspar-Itigi kwa hudum...

TANGAZO MAALUMU!!Ikiwa una changamoto hizo au unamfahamu mtu mwenye changamoto hizo TAFADHALI TUNAOMBA UWASILIANE NASI S...
24/02/2026

TANGAZO MAALUMU!!

Ikiwa una changamoto hizo au unamfahamu mtu mwenye changamoto hizo TAFADHALI TUNAOMBA UWASILIANE NASI St. Gaspar Referral and Teaching Hospital
Au tupigie +255 755 454 040, +255 784 738 432, +255 764 077 625, +255 769 956 853.

Wataalamu wa Afya katika sehemu ya Epidemolojia na Maabara hapa Hospitali ya Rufaa na Mafunzo St.Gaspar-Itigi wamepatiwa...
23/02/2026

Wataalamu wa Afya katika sehemu ya Epidemolojia na Maabara hapa Hospitali ya Rufaa na Mafunzo St.Gaspar-Itigi wamepatiwa mafunzo kwa vitendo ili kuwaongezea umahiri katika Uimarishaji na Ufuatiliaji wa ugonjwa wa kupooza ulio Tepetepe(AFP SURVEILLANCE)

Mafunzo hayo yameratibiwa na Wizara ya Afya kupitia Programu ya Tanzania Field Epidemology Training (TFELTP) na yanafanyika katika Halmashauri zote za Mkoa wa Singida


Muhimbili University of Health and Allied Sciences Singida Manispaa Hospitali ya rufaa mkoa wa dodoma Itigi Dc

20/02/2026

HOSPITALI YA RUFAA ST.GASPAR -ITIGI ILIVYOJIZATITI KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI....Tibu Fariji,Elimisha

19/02/2026

TANGAZO MAALUMU!!

Ikiwa una changamoto hizo au unamfahamu mtu mwenye changamoto hizo TAFADHALI TUNAOMBA UWASILIANE NASI St.Gaspar Hospital-Itigi

Au tupigie +255 755 454 040, +255 784 738 432,
+255 764 077 625, +255 769 956 853.

19/02/2026

NI KIPINDI CHA TAFAKURI NA TOBA

Hospitali ya Rufaa na Mafunzo St.Gaspar-Itigi inawatakia heri ya mfungo mwema wa mwaezi mtukufu wa Ramadhani
18/02/2026

Hospitali ya Rufaa na Mafunzo St.Gaspar-Itigi inawatakia heri ya mfungo mwema wa mwaezi mtukufu wa Ramadhani

18/02/2026

Safari ya siku 40 imeanza leo 18/2/2026 jumatano ya majivu

Hospitali ya Rufaa na Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Mt.Gaspari-Itigi kinawatakia Heri ya Mfungo wa Kwaresma
18/02/2026

Hospitali ya Rufaa na Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Mt.Gaspari-Itigi kinawatakia Heri ya Mfungo wa Kwaresma

Address

Itigi
12

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when St. Gaspar Referral and Teaching Hospital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to St. Gaspar Referral and Teaching Hospital:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category