Doctor Tumwesige

Doctor Tumwesige Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Doctor Tumwesige, Medical and health, Kahama.

Viungo asilia: polysaccharides-peptide na Polysaccharides K Inasaidia kuboresha kinga za mwili  Inaongeza nguvu, inaimar...
12/10/2022

Viungo asilia: polysaccharides-peptide na Polysaccharides K

Inasaidia kuboresha kinga za mwili

Inaongeza nguvu, inaimarisha mwili na kuongeza hamu ya kula.

Hupunguza maumivu ya mwili na kuondoa madhara ya tiba ya mionzi na huwafaa wenye changamoto ya Saratani.

Hutatua tatizo la hormone imbalance kwa wanawake kwa kutengeneza uwiano wa vichochezi.

Hutibu fibroids (uvimbe) kwenye kizazi bila upasuaji

Hutatua changamoto ya HPV (Human Papiloma Virus)

Huondoa matatizo ya ngozi k**a chunusi na, utango tango, visundo sundo.

Inatibu asthma ya mapafu na ngozi,

Nzuri kwa watu wenye changamoto ya kujaa maji kwenye mapafu.

Husaidia watu waliofanyiwa operation kupona haraka

Huondoa sumu mwilini zilizotokana na dawa na kemikali mbali mbali.

Tupigie 0686038472



wa homoni

KWANINI DETOX  INAKUHUSU?Kwasababu Asilimia kubwa ya maradhi yanayo wasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo k...
12/10/2022

KWANINI DETOX INAKUHUSU?

Kwasababu Asilimia kubwa ya maradhi yanayo wasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao.

Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi.

VYANZO VYA SUMU Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;

1. Matumizi ya dawa mara kwa mara
2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
4. Ukosekanaji wa lishe sahihi na diet nzuri
5.Matumizi ya madawa makali
6. Uzito mkubwa
7. Mitindo ya maisha
8. Njia za uzazi wa mpango za kisasa

DALILI ZA KUWA SUMU NYINGI MWILINI
1. Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele
2. Kuwa na uzito wa kupindukia
3. Kutokupata choo au choo kigumu
4. Kukosa usingizi na kujihisi kuchokachoka
5. Kiichwa kuuma
6. Kupata miwasho
7. Maumivu ya viungo k**a vile mgongo, goti
8. Kuwa na hasira mara kwa mara.
9.Tumbo kujaa gesi

MADHARA YAKE
1. Kuondoa hamu ya tendo la ndoa
2. Maumbikizi katika figo
3. Maumbikizi katika Ini
4. Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
5. Hupelekea uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke
6. Hupelekea matatizo ya pressure
7. Mvurugiko wa homoni

Jamani wengi tunaandaa detox zetu nyumbani ni kweli lakini si detox zote zinasafisha mifumo yote ya mwili kwa pamoja Huu ndio ukweli,

Detox inauwezo ambao inasaidia kusafisha mfumo wote wa mwili
Leo nitaitoa kwa 45,000/= tu badala ya 65,000/=

Kwa Ushauri zaidi WhatsApp +255686038472

*FEMICARE KIPENZI CHA WANAWAKE*Ni dawa ipo katika mfumo wa kimiminikaUnasafishia ukeni usiku mara Moja  *KAZI ZAKE*👉Huti...
12/10/2022

*FEMICARE KIPENZI CHA WANAWAKE*

Ni dawa ipo katika mfumo wa kimiminika
Unasafishia ukeni usiku mara Moja

*KAZI ZAKE*
👉Hutibu UTI sugu
👉Hutibu Fangasi sugu
👉Inaondoa Miwasho ukeni
👉Inaondoa Harufu mbaya ukeni
👉inaondoa Uchafu unatoka ukeni
👉inasafisha na kuzibua milija ya uzazi
👉inakurinda usipate UTI na Fangasi
👉inaufanya uke unakuwa msafi na kuvutia muda wote
👉inaongeza joto la uke
👉inabana Kuta za uke zilizo legea
👉inapunguza Maumivu makali wakati wa Hedhi
👉inarudisha ute ute ukeni
👉inatibu PID ikitumika na refined, Refined ni ya vidonde unameza

Kwa maelekezo zaidi namna ya Kuipata karibu inbox au piga...OFFER HII NI KWA AJILI YAKO *40,000/=*


ZIJUE FAIDA ZA FEMICARE KWAMWANAMKE.Femicare ni Dawa au Tiba ya Asili kutoka USA ambayo hutumiwa na Wanawake kwaajili ya...
07/10/2022

ZIJUE FAIDA ZA FEMICARE KWAMWANAMKE.

Femicare ni Dawa au Tiba ya Asili kutoka USA ambayo hutumiwa na Wanawake kwaajili ya kuondoa changamoto mbalimbali Ukeni.

Imetengenezwa kiasili 100% haina kemikali mbaya.

ZIJUE FAIDA 9 ZA FEMICARE.

1.Huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaochangia vyoo.

2.Inatibu Fangasi sugu ukeni na U.T.I sugu.

3.Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D ikitumika na Yunzi
4.Huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika.

5.Inafanya Uke kuwa msafi na mkavu muda wote.

6.Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika ikitumika na Yunzhi.

7.Inakaza misuli ya Uke uliolegea na kuwa tight.

8.Inaondoa maumivu ya Tumbo chini ya kitovu. (chango).

9.Inaondoa michubuko ukeni, vidonda na vijipele vyote.`

Uke ni sehemu ya wazi yenye unyevu unyevu ni rahisi Kuvurugwa na kupata Maambukizi ya Mara kwa mara,Utibu na Utunze kwa kutumia Femicare feminine cleaner, Kiboko ya Maambukizi yote Ukeni na kwenye via vya Uzazi ikitumika na Yunzhi.

Karibu kwa ushauri mawasiliano +255686038472.


IJUE TEZI DUME NINI DALILI MADHARA NA TIBA YA KANSA AU KUVIMBA KWA TEZI DUME BILA UPASUJI Tezi dume ni moja ya tezi ya u...
01/10/2022

IJUE TEZI DUME NINI DALILI MADHARA NA TIBA YA KANSA AU KUVIMBA KWA TEZI DUME BILA UPASUJI

Tezi dume ni moja ya tezi ya uzazi ya kiume ambayo kila mwanaume anayo, tezi hii lipo chini ya kibofu cha mkojo na inazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume.

*NOTE:Jinsi umri unavyoongezeka tezi dume nayo huongezeka ukubwa ambao unaweza kuwa wa kawaida au Saratani.*

Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume.
•Maambukizi ya Bakteria (Prostatitis).

•Kukua kwa tezi dume ambayo sio Saratani (Benign Prostatic
Hypertrophy-BPH).

•Saratani ya tezi dume.

KAZI YA TEZI DUME

•Kutoa majimaji anayochanganyika na mbegu za kiume (sperms) kutengeneza manii (semen).

SARATANI YA TEZI DUME

Saratani ya tezi dume inashika nafasi ya tatu kwa kusababisha vifo vitokanavyo na saratani kwa wanaume duniani.

Pia ni chanzo kikuu cha vifo vinavyosababishwa na saratani kwa wanaume wenye umri wa miaka 40 na kuendelea.

VISABABISHI VYA SARATANI YA TEZI DUME

Chanzo hasa cha saratani ya tezi dume hakijulikani, saratani hii ina uhusiano mkubwa na;
•Umri, Wanaume wenye umri kuanzia
miaka 40 na kuendelea wanapata zaidi saratani ya tezi dume.

•Vyakula vyenye kiasi kikubwa cha mafuta, hasa ya wanyama.

•Historia ya tatizo hili kwenye familia (Genetic).

•Kuwa na uzito uliokithiri.

DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME.

Katika hatua za awali, dalili hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume Isiyokuwa Saratani (BPH).
Dalili hizo ni pamoja na;

•Kusikia kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku.

•Haja ndogo kuchelewa kutoka unapoanza kukojoa.

•Kutoa mkojo wenye mtiririko dhaifu na kuchuruzika kidogo kidogo baada ya kumaliza kukojoa.

•Kujikakamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote.

•Kutoa mkojo au manii
yaliyochanganyika na damu.

•Maumivu makali sehemu mbalimbali za mwili k**a Saratani imesambaa.

•Kupungua uzito, kuhisi kichefuchefu, uchovu na kizunguzungu.

UCHUNGUZI / UPIMAJI

•Uchunguzi kwa kutumia kidole cha shahada kupitia njia ya haja kubw

KUTOKWA NA UCHAFU NA HARUFU MBAYA UKENI (VAGINOSIS)Nimekuwa nikipata simu nyingi sana kuhusiana na tatizo hili pamoja na...
21/09/2022

KUTOKWA NA UCHAFU NA HARUFU MBAYA UKENI (VAGINOSIS)
Nimekuwa nikipata simu nyingi sana kuhusiana na tatizo hili pamoja na namna ya kutibu pia. Nikaona si vibaya kuliweka hapa ili kila mtu iwe rahisi kujifunza
Wanawake wengi wanasumbuliwa na tatizo la kutokwa na uchafu ukeni na uchafu huo huwa sambamba na harufu kalia au bila harufu na upo k**a maziwa ya mgando
Kitaalamu hali ya kutokwa na maji maji ukeni (viginal fluids) yenye rangi nyeupe au ya njano ni hali ya kawaida na sio tatizo ila endapo majimaji hayo yapo katika hali ya ute mzito wenye rangi nyeupe au k**a mgando wa maziwa na yanatoa harufu kali sambamba na muwasho basi hiyo sio hali ya kawaida ni ugonjwa uitwao VAGINOSIS
majimaji ya ute unaoteleza kutoka sehemu za siri ni njia inayowezesha viungo vya uzazi vya mwanamke kujisafisha na kutoa uchafu wa seli zilizokufa na mabaki ya damu ya hedhi nje ya mwili. Pia huvikinga viungo vya uzazi dhidi ya maambukizi ya bacteria au fangasi wanaosababisha magonjwa. Kawaida huwa hayatoi harufu na huwa na rangi nyeupe au njano. Na pua huwa ni asidi ya Lactic ambayo huzuia kuzaliana kwa vijidudu vya maradhi na huzalishwa kwenye tezi za Bartholin zilizopo kwenye shingo ya mlango wa uzazi (Cervix)

SABABU ZA KUTOKWA UCHAFU NA HARUFU MBAYA UKENI
-maambukizi ya bacteria k**a Trichomoniasis, candidiasis, Gonorhea, uambukizo wa bacteria candida albicans, vaginosia bacteria ambao husababisha kutoa harufu
-mabaki ya vitambaa, pedi, pamba na tishu ambazo hazikutolewa wakati wa hedhi
-kutumia tishu wakati wa kumaliza kujisaidia, hivyo kuacha mabaki ambayo yanasababisha tatizo hilo
-usafi wa sehemu za siri usipozingatiwa hasa baada ya hedhi kumalizika huweza kuwa mazalia mazuri ya bacteria wanaosababisha harufu
-kukaa muda mrefu na pedi bila kubadili
-kuvaa chupi mbichi, chafu na nguo nyinginezo za ndani mara kwa mara na bila kuzifua.

DALILI YA UGONJWA HUU
1: kutokwa ute au majimaji yasiyo ya kawaida yenye harufu kali k**a shombo ya samaki
2: maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu
3: kutokwa na uchafu wenye rangi k**a ya kijani
4: kuwashwa sehemu za siri na kutokwa vidonda mpaka mapajani k**a hutatumia dawa
5: kutokwa ute uliochanganyika na damu hata k**a haupo kwenye hedhi.

Address

Kahama

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Doctor Tumwesige posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share