Happy Health Care

Happy Health Care Afya yako furaha yako

Happy Health care kwa maswala ya uzazi_uzazi Unataka kubeba ujauzito?Fanya s*x (tendo la ndoa siku sahihi)K**a unataka k...
12/09/2023

Happy Health care kwa maswala ya uzazi_uzazi Unataka kubeba ujauzito?
Fanya s*x (tendo la ndoa siku sahihi)
K**a unataka kubeba ujauzito hakikisha zile ziku kadhaa ambazo unakuwa katika ovulation unazitumia vizuri. Usijifunge ukafanya siku ya ovulation peke yake.
Haijalishi unafanya mara ngapi jitahidi ufanye siku sahihi au wakati sahihi. Research zinaonesha kuwa hata ukifanya s*x siku 6 kabla ya siku yako ya ovulation bado una chance ya kubeba ujauzito. Ukifanya ile siku moja tuu ambayo wewe unaiona ni sahihi unaweza kosa chance ya kubeba ujauzito kwa mwezi huo. wa.me/0694003346

kisukari_solution DALILI 10 HATARI sim wa.me/0694003346 ZILIZOJIFICHA ZA KISUKARI.______________________________________...
12/09/2023

kisukari_solution DALILI 10 HATARI sim wa.me/0694003346 ZILIZOJIFICHA ZA KISUKARI.
______________________________________________

1. Kukojoa mara kwa mara. Watu wengi hukojoa mara nne hadi saba kwa siku.

2. Kiu ya kupita kiasi.

3.Njaa iliyokithiri.

4. Udhaifu/uchovu.

5. Pini na sindano.

6. Macho kuona ukungu.

7. Ngozi inayowaka moto hususani kwenye nyayo za miguu, viganja vya mikono na mwishoni mwa vidole.

8. Majeraha ya ngozi kuwa na uponyaji wa polepole saaaana na kuongezeka kwa maambukizo ya ngozi.

9. Maambukizi ya mara kwa mara ya njia ya mkojo(U.T.I) na Yeast.

10. Kukosa matumaini au “mood” hii huja yenyewe automatic.

Ili Kupata Suluhisho hili la Uhakika linaloendelea kuwatendea wengi miujiza ya kupona kabisa KISUKARI(diabetes type II) fanya hivi sasahivi👇

Tuma Ujumbe WHATSp no wa.me 0694003346

11/09/2023

Habari ndugu
Eternal international healthcare tupo Kwa watu wote wenye changamoto mbalimbali kiafya tutakuwa na Ofa ya Vipimo na Matibabu

Taasisi ya Afya ya magonjwa sugu kutoka CHINA, Imeanza kutoa Ofa kwa wagonjwa wote wa magonjwa sugu katika vituo vyake vyote, na Ofa hii niya
-KUONANA NA DAKTARI NI BURE
-USHAURI NI BURE
👇👇
▪️ Kipimo cha mwili mzima, Kupimwa magonjwa yote mwilini ni Tshs 20,000/= tu
▪️ Punguzo la bei 20% kwa kila dawa( bidhaa zetu )

Magonjwa tunayo tibu ni;
🚑 🔹Presha, 🔹Matatizo ya Moyo na INI
🔹Kansa, 🔹Vidonda vya Tumbo,
🔹Kisukari 🔹Pumu
🔹 Stroke 🔹Matatizo ya uzazi kwa kina mama na kina baba
🔹Matatizo ya mifupa, 🔹Matatizo ya miguu kuvimba
🔹Ngozi, 🔹Figo, 🔹Fangasi sugu
🔹Kupunguza unene, uzito, na kitambi
🔹Kuongeza kinga mwilini(CD4)
🔹U.T.I sugu, 🔹Gesi
🔹Bawasili 🔹Tenzi dume
🔹Heshima ya ndoa kwa kina baba. N.k

TIBA ZETU NI TIBALISHE (supriment) ZINA VIRUTUBISHO.
Ambavyo hufanya kazi kuu nne ( 4 ) mwilini:-
👉 Kuondoa sumu taka mwilini
👉 Kulinda/ Kukinga
👉 Kujenga
👉 Kutibu
Karibu
Wasiliana nasi kwa simu namba 0694003346
Dar es salaam

Afya yako furaha yako

Address

Kariakoo

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Happy Health Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram