Siniora Pharmacy

  • Home
  • Siniora Pharmacy

Siniora Pharmacy Dedicated to save you

Let's enjoy pharmacology
01/06/2022

Let's enjoy pharmacology

Welcme siniora pharmacy
01/03/2019

Welcme siniora pharmacy

We love you are health more than your money welcome Siniora pharmacy at kibaha picha ndege
26/01/2019

We love you are health more than your money welcome Siniora pharmacy at kibaha picha ndege

(Pervic Inflammatory Diseases):PID (Pervic Inflammatory disease) ni ugonjwa sumbufu na mbaya sana katika viungo vya uzaz...
06/12/2018

(Pervic Inflammatory Diseases):

PID (Pervic Inflammatory disease) ni ugonjwa sumbufu na mbaya sana katika viungo vya uzazi wa mwanamke ambao Mara nyongi husababishwa na maambukizi kwa njia ya kujamiana (STI) na nyinginezo.Neno hili STI (sexual Transmitted intercouse) hutumika kuelezea maambukizi katika njia ya uzazi ya chini ambayo huenea juu hadi mfumo wa uzazi wa juu wak**e. Mfumo wa uzazi wa chini wak**e unajumuisha Uke, mlango wa uzazi(cervix), na mfumo wa juu wak**e uzazi wa k**e unajumuisha mji wa uzazi (uterus),mirija ya uzazi, Uterine na mayai (Ovari). Takwimu zinaonyesha PID huathiri wanawake zaidi ya milioni 1 kila mwaka katika nchi ya Marekani US.

Ugonjwa wa Maambukizi PID ni nni?
PID ni maambukizi ya viungo vya uzazi vya k**e. Magonjwa ya maambukizi ya PID yanaweza kusababisha uharibifu wa wa kizazi, mirija ya uzazi,mayai na sehemu nyingine za njia za uzazi wa k**e ambayo ni sababu kuu ya kupata ugumba kwa wanawake.Inatokeawakati bacteria wa magonjwa ya kujamiana huingia ndani ya uke, kisha huenea ndani ya kizazi,mirija ya uzazi(fallopian tube) au ovari.

DALILI ZA PID
Dalili za PID zinaweza kuwa:
√ maumivu sehemu ya kulia upande wa juu wa tumbo.
√ maumivu wakati wa kukojoa.
√ maumivu wakati wa tendo la ndoa.
√ maumivu ya kiuno.
√ homa na uchovu.
√ kuharisha na kutapika.
√ Kutokwa na uchafu ukeni usio wa kawaida wenye rangi ya kijani au ya njano na wakati mwingine unaharufu isiyo ya kawaida.
√ maumivu ya chini au upande wa kulia.
VISABABISHI VYA PID
Kwa kawaida mlango wa uzazi (cervix) inazuia bacteria ambao wameingia ukeni wasisambae sehemu zingine za ndani za uzazi k**a mlango wa uzazi cervix umepatwa na magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya kujamiaana k**a kisonono na chlamydia.Mlango huo wa uzazi cervix unaathirika na unakuwa na uwezo mdogo wa kuzuia kusambaa kwa bacteria sehemu za ndani za uzazi. PID inatokea pale vimelea vya magonjwa vinaposafiri kutoka kwenye mlango wa uzazi cervix kwenda sehemu za juu za uzazi. Asilimia 90 ya PID husababishwa kutokutibiwa ugonjwa wa kisonono na chlamydia.kutoa mimba au kuharibika
Matatizo Yanayohusiana na PID.
Ikiwa magonjwa ya maambukizi ya PID yameachwa bila kutibiwa kikamilifu, basi inawezakusababisha matatizo makubwa k**a uharibifu wa viungo vya uzazi na kujikusanya maji ya kuambukiza katika mirija ya uzazi.
Matatatizo mengine hupelekea mimba kutunga inje ya mirija

Je unajua kuwa   imejazwa na calories za ziada ambazo hazina faida katika mwili yaani calories hewa hivyo ukinywa hukufa...
17/09/2018

Je unajua kuwa imejazwa na calories za ziada ambazo hazina faida katika mwili yaani calories hewa hivyo ukinywa hukufanya kujihisi ni mtu mwenye kushiba, hizi calories hewa zinatoka katika kiwango kikubwa cha "fructose corn syrup" hivyo basi unywaji wa soda kwa wingi utakupelekea kuongezeka kwa uzito kwa haraka na pia hukuweka katika hatari ya kupata .

16/09/2018

SABABU ZA MARADHI YA KUKOSA CHOO NA TUMBO KUJAA GESI HUSIKA:(1) Upungufu wa vitamini mwilini hasa vitamin B. (2) Maradhi ndani ya utumbo mpana. (3) Kula vitu vigumu na vikavu k**a vile vyakula vya ngano. (4) Upungufu wa ulaji matunda na mboga. (5) Kutokunywa maji ya kutosha. (6) Upungufu wa fibre kwenye chakula zinazopatikana kwenye maganda ya mahindi. (7) Ukosefu wa kufanya mazoezi ya viungo.
Kwa maelezo zaidi yatakayo kidhi mahitaji yako tutembele Siniora Pharmacy kibaha picha ndege upate suppliment na ushauri #.dedicate to save you are life...

Je unachangamoto ya allergy eczema au pumu ya ngozi? Je unasumbuliwa na chunusi sugu zinazojirudia Mara kwa Mara na umet...
08/09/2018

Je unachangamoto ya allergy eczema au pumu ya ngozi? Je unasumbuliwa na chunusi sugu zinazojirudia Mara kwa Mara na umetumia vitu vingi bila mafanikio? Sasa k**a unachangamoto hizi au yoyote ile ya ngozi wasilianasi...SINYORA PHARMACY upate dawa bora

07/09/2018

LEO FAHAMU MADHARA 11 YA UZITO ULIOZIDI.
uzito uliozidi(overweight) ni ule uzito uliozidi kawaida na huu unasababishwa kula zaidi, kunywa sana pombe na kutofanya mazoezi ya kutosha na kusababisha kuhifadhiwa kwa calories katika mwili ambayo yanabadilika na kuwa mafuta [fat].
uzito uliozidi[overweight] unasababishwa kutumia zaidi calories ambayo mwili wako unashindwa kuyaunguza, hali hii ikiendelea inaanza kusababisha matatizo ya kiafya na hapo sasa inakua OBESITY.
tabia ya kula sana sio sababu pekee ya kuchangia kuongezeka kwa uzito, sababu nyingine ni k**a kwa wanawake wanavyozuia upataji wa mimba zile njia za madawa[medication]. na TAFITI ZINAONYESHA KATI YA WATU 3 BASI 2 WANAUZITO ULIOZIDI.
Body Mass Index[BMI]; Hii inatumika kuonyesha uzito wa mwili uliozidi, uzito uliozidi pindi BMI juu ya 30, wakati BMI ipo kati ya 25 na
29.9 inaonyesha uzito uliozidi, BMI kati ya 18.5 na 24.9 inamanisha mtu mzima [MKUBWA] anakua katiKa uzito wenye afya [UZITO MZURI] na BMI chini zaidi ya 18.5 inaonyesha uzito pungufu [UNDERWEIGHT].
BODY MASS INDEX=MASS[KG]/HEIGHT[METER SQUARE]
=UZITO WAKO GAWA KWA UREFU WAKO

HAPA SASA VITU VITAKAVYO KUPATA [MADHARA YA UZITO ULIOZIDI] OBESITY.
-KIFO
-PRESHA [ HIGH BLOOD PRESSURE]
-MAGONJWA YA MOYO
-KANSA [FIGO,MATITI,UTUMBO NA INI]
-MATATIZO YA KUPUMUA
-MWILI KUUMA [BODY PAIN]
- MATATIZO YA AKILI [MENTAL ILLNESS]
-MATATIZO YA JOINT
-KUPOOZA [STROKE]
-KISUKARI [TYPE 2 DIABETES]
-TATIZO LA USINGIZI [SLEEP APNEA]
KITU KIZURI MWAMBIE NA MWENZAKO MIMI NIMESHAKWAMBIA WEWE JE?
NI VIZURI KUJIJUA UZITO WAKO. ASANTENI NA KARIBUNI SANA
SINYORA PHARMACY💊💊

04/09/2018

URINARY TRACK INFECTION[ UTI ]
dalili za UTI.
, mwili unakuwa na joto kali kuliko kawaida na hii inatokana na bakteria wa UTI au bacteria wa aina yoyote kuwa katika mwili wako ivyo basi mwili unajaribu kupambana na hao bakteria na kusababisha joto la mwili kuwa kubwa,

ya uti wa mgongo, hii maumivu inaweza kusababisha kukaa mda mrefu au shughuli zako za kila siku, pia maumivu ya uti wa mgongo inaonyesha kabisa kitu gani kinaendelea katika mwili wako, UTI ni changamoto kubwa tu ivo ukiwa na dalili hiyo kuna uwezekano ukawa na UTI.

mara kwa mara, hii inatokea kwenda msalani mara kwa mara kukojoa na inatokea kuwa ukunywa maji mengi ya kukufanya uende msalani ikitokea ivo basi jua ya kuwa inaweza kuwa ni UTI.

wakati wa kukojoa, UTI ina athiri mirija kutoka kwenye figo kwenda kwenye kibofu, mkojo usukumwa kutoka kwenye kibofu utoke nje kupitia hiyo mirija ivo kitendo iki akitakiwi kuleta maumivu ya aina yeyote yale, ikitokea umepata hayo maumivu basi kunauwezekano ukawa na UTI.

kwenye mkojo, kwa kawaida mkojo unatakiwa kuwa mweupe hapo inaonyesha kuwa mwili wako una maji ya kutosha endapo mkojo ukawa wa njano basi unywi maji ya kutosha yani mwili unaupungufu wa maji, na mkojo ukiwa na rangi k**a ya brauni au nyeusi basi hiyo ni damu na kuna uwezekano wa mtu huyo kuwa na UTI.

JINSI UTI INAVYOTOKEA
UTI inatokea pindi bakteria wanapoingia kwenye njia ya mkojo kupitia urethra na kuanza kuongezeka katika bladder ila kwenye mfumo wa mkojo ulivo kuna hali ambavyo inaweza kupambana na hao bakteria ila inafika mahali inashindwa kuwamudu hao bakteria na kusababisha bakteria kukua na kuleta madhara hayo ya UTI.

MADHARA YA UTI
ikiwa sugu inaweza kuua figo zako kutokana na wewe kutoitibia ikaisha.

madhara kwa mwanamke wenye mimba wakati wa kuzaa, anaweza kuzaa nyiti au mtoto mwenye uzito wa chini isivyo kawaida.

JINSI YA KUZUIA UTI
maji ya kutosha angalau lita 3 mpaka 4 kwa siku, itasaidia sana kuwaondoa hao bakteria kwa njia ya mkojo, hii ni mtu ambaye ajawai au amepona UTI anatakiwa kujijengea haya mazoea ya kunywa maji ya kutosha.

ni kwa kina DADA wanapoenda kwenye aja ndogo wanatakiwa kunawa kutoka mbele kwenda nyuma bila kugusa sehemu ya aja kubwa kwani hao bakteria ndiko wanakopatikana.

Address


Telephone

+255673737316

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Siniora Pharmacy posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Siniora Pharmacy:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram