Maisha ni Afya.

Maisha ni Afya. NAWASAIDIA WANAWAKE KUONDOKANA NA CHANGAMOTO ZOTE ZA UZAZI . NIPIGIE NIKUSAIDIE SASAHIVI .
0767425162. Upo tupo karb sanaaa

18/01/2026

Mwanamke anapopata hedhi, si jambo la aibu bali ni baraka 🀍
Ni ishara kwamba mwili wake uko sawa, na ujauzito utakuja kwa wakati wake.
Shukrani kwa kila hatua ya safari ya uzazi.

Kwa Msaada wa afya yako ya uzazi Mwanamke PIGA / whatsap +255767425162

13/01/2026

Lakini unaweza kushindwa kushika ujauzito kwa muda k**a:
β€’ Una msongo wa mawazo (stress)
β€’ Una tatizo la homoni
β€’ Unasumbuliwa na PID, ovarian cyst, au fibroids
β€’ Una uzito mdogo sana au mkubwa sana
β€’ Una maambukizi ya mara kwa mara ya njia ya uzazi
β€’ Umekuwa kwenye dawa za uzazi kwa muda mrefu (huchelewesha tu, sio kuzuia kabisa)

Kwa Msaada zaidi PIGA/whatsap 0767425162

11/01/2026

πŸ“ Dar es Salaam – Mwenge
πŸ—“ Jumatatu & Jumanne pekee

Je, una changamoto za kukosa mimba, maumivu ya tumbo, hedhi isiyoeleweka, ute usio wa kawaida au mabadiliko ya homoni?
πŸ‘‰ Hii ni fursa yako kupata VIPIMO MUHIMU VYA AFYA YA UZAZI kwa gharama nafuu sana.

πŸ”₯ Sasa ni 35,000/= tu
❌ Badala ya 95,000/=

βœ… Uchunguzi wa kina
βœ… Ushauri wa kitaalamu
βœ… Faragha na uhakika

⏰ Nafasi ni chache – Usisubiri hali iwe mbaya

πŸ“ž PIGA / WhatsApp: 0767425162
πŸ‘‰ Afya ya uzazi ni msingi wa maisha yako ya baadaye πŸ’•

04/01/2026

Kipimo kimya ⚠️
Inaweza kuwa mapema sana, kipimo kibovu au tatizo la homoni.
Tazama hadi mwisho ujue ukweli.
Kwa Msaada zaidi PIGA / WhatsApp +255767425162.
γ‚š

03/01/2026

⚠️ Ute mweupe k**a maziwa mgando?
Kuwashwa, harufu isiyo ya kawaida, maumivu wakati wa tendo?
Huu sio uchafu wa kawaida ❌
Ni VAGINAL YEAST INFECTION (fangasi)

Habari njema ni kwamba πŸ‘‰ inaweza kudhibitiwa na mwili kurudi sawa ukipewa msaada sahihi wa kiafya πŸ’š

πŸ“© Inbox sasa kwa suluhisho la kusaidia mwili wako kupambana na fangasi na kulinda afya ya uzazi.

βΈ»

πŸ“Œ MAANA YA VAGINAL YEAST INFECTION

Ni maambukizi yanayosababishwa na fangasi aitwaye Candida
Fangasi huyu huishi mwilini kwa kawaida, lakini akizidi husababisha matatizo.

βΈ»

πŸ” CHANZO KIKUU

βœ”οΈ Matumizi ya antibiotics muda mrefu
βœ”οΈ Sukari nyingi mwilini (diabetes / vyakula vitamu sana)
βœ”οΈ Mabadiliko ya homoni (mimba, uzazi wa mpango)
βœ”οΈ Usafi usio sahihi wa uke
βœ”οΈ Nguo za ndani zinazobana & zisizopitisha hewa
βœ”οΈ Kinga ya mwili kushuka

βΈ»

🚨 DALILI

⚠️ Kuwashwa sana ukeni
⚠️ Ute mweupe mzito k**a maziwa mgando
⚠️ Harufu isiyo ya kawaida
⚠️ Maumivu wakati wa tendo la ndoa
⚠️ Maumivu au kuungua wakati wa kukojoa
⚠️ Uvimbe au wekundu ukeni

βΈ»

❌ MADHARA K**A HAKITADHIBITIWA

β›” Huwa inarudia mara kwa mara
β›” Huathiri raha ya ndoa
β›” Huongeza hatari ya maambukizi mengine
β›” Hupunguza kujiamini kwa mwanamke
β›” Kwa wajawazito, huweza kuleta usumbufu mkubwa

Afya ya uke sio jambo la kuchezea ❗
Mwili wako unahitaji msaada sahihi ili kusawazisha fangasi & bakteria wazuri.

For proper treatment +255767425162.
πŸ‡ΊπŸ‡Έ

02/01/2026

Hauna period ,
Hauna mimba ,
Lakini TUMBO limejaa au kuchezacheza
Sikiliza na nitafute nikusaidie .
PIGA / WhatsApp +255767425162
πŸ‡ΊπŸ‡Έ

31/12/2025

Wanawake wengi wanaogopa wakisikia ovarian cyst πŸ˜”
Ukweli ni kwamba sio cyst zote hufanyiwa upasuaji.
πŸ“Œ Elimu sahihi inaokoa afya na uzazi.
πŸ’¬ Comment β€œCYST” nikuelekeze zaidi.
Is PIGA / WhatsApp +255767425162.
πŸ‡ΊπŸ‡Έ

30/12/2025

Hisia za ujauzito bila ujauzito ni jambo linalowapata wanawake wengi.
Je, unataka kujua KWA NINI?
πŸ’¬ Comment β€˜AFYA’ au tuma INBOX sasa.
Via +255767425162.
πŸ‡ΊπŸ‡Έ

12/12/2025

Wanawake wengi hukumbana na changamoto za mifupa kwa sababu ya mabadiliko ya kimaumbile, homoni, na maisha ya kila siku. .
Nitafute kwa Msaada zaidi .
#

09/12/2025

✨ KILA MWANAMKE ANASTAHILI KUJISIKIA SAFI BAADA YA HEDHI ✨

Mwili wako unahitaji udelicate care baada ya siku zako.
Ndiyo maana kisafishio spesho baada ya hedhi kinakusaidia:
πŸ’§ Kuondoa mabaki ya uchafu
🌸 Kuondoa harufu isiyo nzuri
πŸ›‘οΈ Kulinda uke dhidi ya maambukizi
πŸ’†πŸ½β€β™€οΈ Kukupa fresh feeling ya kujiamini siku zako zote

Tumia baada ya hedhi β†’ Ujisikie msafi, mwepesi na huru!
DM kwa maelekezo ya matumizi + Bei πŸ’¬
PIGA / WhatsApp +255767425162.
πŸ‡ΊπŸ‡Έ

06/12/2025

Ushuhuda huu ni kwa ajili yako pia. 🀰✨
Hata k**a umekuwa ukijaribu muda mrefuβ€”bado kuna tumaini.
Nitafute inbox nikuongoze.
PIGA / Whatsap +255767425162
πŸ‡ΊπŸ‡Έ

27/11/2025

Maumivu ya hedhi sio kawaida kila siku β€” inaweza kuwa Endometriosis. Tambua dalili mapema, linda afya yako ya uzazi.,
Contact +255767425162.
πŸ‡ΊπŸ‡Έ

Address

Kilimanjaro

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Maisha ni Afya. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Maisha ni Afya.:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram