Afya kwanza

Afya kwanza Afya Bora Maisha Bora

๐—ง๐—œ๐—•๐—จ ๐—ฆ๐—”๐—ฅ๐—”๐—ง๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—”๐—™๐—จ ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐—ช๐—” ๐—ช๐—œ๐—ž๐—œ ๐Ÿด ๐—›๐—”๐——๐—œ ๐Ÿญ๐Ÿฎ ๐—ž๐—จ๐—Ÿ๐—œ๐—ก๐—š๐—”๐—ก๐—” ๐—ก๐—” ๐—›๐—”๐—ง๐—จ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—จ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—œ๐—Ÿ๐—œ๐—ฃ๐—ข ๐—™๐—œ๐—ž๐—œ๐—”:Saratani ya mapafu ni hali ...
19/06/2024

๐—ง๐—œ๐—•๐—จ ๐—ฆ๐—”๐—ฅ๐—”๐—ง๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—”๐—™๐—จ ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐—ช๐—” ๐—ช๐—œ๐—ž๐—œ ๐Ÿด ๐—›๐—”๐——๐—œ ๐Ÿญ๐Ÿฎ ๐—ž๐—จ๐—Ÿ๐—œ๐—ก๐—š๐—”๐—ก๐—” ๐—ก๐—” ๐—›๐—”๐—ง๐—จ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—จ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—œ๐—Ÿ๐—œ๐—ฃ๐—ข ๐—™๐—œ๐—ž๐—œ๐—”:

Saratani ya mapafu ni hali ambayo husababisha mgawanyiko wa haraka na usioweza kudhibitiwa wa seli za Kansa ambaza husababisha ukuaji wa tumors (Vimbe) kwenye mapafu.

Kwa kuwa mapafu huchukua fungu muhimu katika mchakato wa kupumua, kwa hali hii basi ukuzi wa uvimbe kwenye mapafu unaweza kuathiri kwakiasi kikubwa sana katika uwezo wa mtu kupumua.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฆ๐—”๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ญ๐—” ๐—จ๐—ช๐—˜๐—ฃ๐—ข ๐—ช๐—” ๐—ฆ๐—”๐—ฅ๐—”๐—ง๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—”๐—™๐—จ:

Tofauti na aina zingine za saratani, saratani ya mapafu inaweza kuzuilika na kutibika zaidi kwani sababu kuu ya ugonjwa ni kuendelea kuvuta Moshi k**a vile Moshi wa sigara au wa viwandani ambao huharibu tishu za mapafu.

Saratani ya mapafu inaweza kutokea kwa wavutaji sigara na wasiovuta sigara.

Ili kuelezea kwa undani, wakati mtu anavuta sigara au anakabiliwa na moshi katika kesi ya sigara ya pili au ya kupita kiasi, tishu za afya za mapafu huharibika. Kwa bahati nzuri, seli zilizoharibiwa zinaweza kurekebishwa na mapafu kwa muda. Lakini, wakati mfiduo wa moshi ni thabiti kwa muda mrefu, itakuwa ngumu kwa mapafu kufanya kazi ya ukarabati na hii husababisha uharibifu wa kudumu kwa seli.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ฆ๐—”๐—ฅ๐—”๐—ง๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—”๐—™๐—จ:

Kawaida, saratani ya mapafu haionyeshi dalili zozote katika hatua zake za mwanzo.

Wagonjwa wanaopata saratani ya mapafu wanaweza kupata dalili kadiri ugonjwa unavyo endelea kukua, kwani ukuaji wa uvimbe kwenye mapafu unaweza kutatiza upumuaji na kusababisha ugumu wa kupumua.

Baadhi ya dalili za kawaida za saratani ya mapafu zinaweza kujumuisha:

โœ… Kikohozi cha kudumu ambacho kinaweza kudumu hadi wiki.

โœ… Upungufu au udhaifu wa kupumua.

โœ… Maumivu ya kifua wakati wa kucheka, kukohoa, au kupumua kwa kina.

โœ… Mabadiliko ya sauti k**a uchakacho wa uharibifu wa tishu za mapafu kwa muda mlefu.

โœ… Mapafu kujaa maji na kupoteza hamu ya kula.

โœ… Maumivu ya kichwa mara kwa mara.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ง๐—ข๐—ž๐—”๐—ก๐—”๐—ฌ๐—ข ๐—ก๐—” ๐—ฆ๐—”๐—ฅ๐—”๐—ง๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—”๐—™๐—จ:

โ–ช๏ธMwili kupoteza nguvu na uchovu wa mara kwa mara.

โ–ช๏ธKudhoofika kwa tishu za mifupa na cartilage.

โ–ช๏ธUgumu katika kupumua na muda mwengine mgonjwa hutoa Sauti ya filimbi.

โ–ช๏ธMapafu kujaa maji na kuishiwa pumzi.

โ–ช๏ธ Mgonjwa hupoteza maisha baada ya kukaa na ugonjwa kwa muda mlefu.

๐—ž๐—ช๐—”๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—š๐—”๐—ง๐—œ๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜ ๐—•๐—ข๐—ฅ๐—” ๐—ก๐—œ ๐—›๐—”๐—ง๐—จ๐—” ๐—ญ๐—” ๐— ๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ - ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐—˜๐—ฃ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—›๐—”๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ฆ๐—œ๐—ž๐—จ ๐—ญ๐—œ๐—๐—”๐—ญ๐—ข:

๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ง๐—œ๐—•๐—”:

0767 238 851

+255767238851

07/05/2024
12/03/2024
TOKOMEZA HOMA YA INI [Hepatitis B] NDANI YA WIKI  12 - Rejesha afya na tumaini jema la maisha YAKO - - HOMA YA INI INATI...
27/02/2024

TOKOMEZA HOMA YA INI [Hepatitis B] NDANI YA WIKI 12

- Rejesha afya na tumaini jema la maisha YAKO -

- HOMA YA INI INATIBIKA -

HEPATITIS B :- Ni homa ya INI inayosababishwa na kirus wa Hepatitis B.

Virusi ivyo vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza watu mara 100 zaidi ya virusi vya ukimwi.

Zifuatazo ni baadhi ya njia za usambaaji wa virusi vya homa ya ini ambazo ni pamoja na:-

(1) Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.

(2) Kufanya mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.

(3) Kuchangia vifaa vyenye ncha kali k**a sindano hasa kwa watumiaji wa madawa ya kulevya au wachora tattoo, miswaki.

(4) Kuongezewa damu ambayo ina maambukizi ya virus vya homa ya INI aina ya Hepatitis.

(5) Kunyonyana Ndimi Dendaโ€™ na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.

(6) Kuchangia taulo na mtu mwenye ugonjwa huu.

(7) Kubadilishana nguo na mtu mwenye huu ugonjwa au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho.

Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivyo ni hatari kuliko hata vya ukimwi kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku saba.

Virusi vya ukimwi (VVU) havina uwezo wa kuishi nje ya mfumo wa damu hata kwa dakika moja.

Mtu mwenye homa ya ini ana wastani mdogo wa kuishi kuliko mwenye ukimwi.

Kwa maana hiyo, mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini hufariki dunia haraka sana k**a hatopatiwa tiba mapema basi huishi muda mfupi sana kuliko mwenye VVU.

BAADHI YA DALILI ZITOKANAZO NA HOMA YA INI:

(1) Uchovu wa mara kwa mara

(2) Kichefuchefu.

(3) Mwili kuwa dhaifu na Kukosa nguvu.

(4) Homa kali.

(5) Kupoteza hamu ya kula.

(6) Kupungua uzito.

(7) Maumivu makali ya tumbo upande wa ini.

(viii) Macho na ngozi kuwa vya njano.

(9) Mkojo mweusi/mkojo kuwa na rangi iliyokolea k**a coca-cola.

Kuna kundi dogo la wagonjwa wa homa ya ini hupata ugonjwa mkali wa ini na kusababisha ini kushindwa kabisa kufanya kazi pia huweza kusababisha kifo asipopata matibabu mapema.
Hii hatua huitwa โ€œFulminant liver failureโ€.

- - - - - - - - - - - - - - - - -

Dalili huja kuonekana waziwazi miaka mingi baada ya mtu kuambukizwa.

Kwa wenye maambukizi ya virusi aina C matibabu ya Dawa kwa wiki 8 humaliza tatizo [Kupona kabisa] .

Na kwa wenye Virus aina ya B matibabu ya Dawa ni kwa wiki 12 hadi 16 humaliza virus wote. [Kupona kabisa]

BAADHI YA MADHARA YATOKANAYO NA HOMA YA INI

[1 ] INI kushindwa kufanya kazi (liver failure).

[2 ] Saratani ya ini (hepatoma).

[3] Figo kufeli na kujaa maji

[4] Maumivu ya tumbo yasiyoisha

[5]Tumbo, Sura na miguu kuvimba.

[6] Njaa ya mara kwa mara na kali.

[7] Kifo

USHAURI NA KUMUONA DAKTARI HUTOLEWA BURE...

Bonyeza namba hii tuwasiliane WhatsApp au kupiga simu

๐Ÿ“ฒ+255767238851

TATUA CHANGAMOTO YA TEZI DUME KWA NJIA SAHIHI NA SALAMA BILA UPASUAJI+255754366366Mara nyingi dalili za tezi dume huwa z...
27/11/2023

TATUA CHANGAMOTO YA TEZI DUME KWA NJIA SAHIHI NA SALAMA BILA UPASUAJI

+255754366366

Mara nyingi dalili za tezi dume huwa zinafanana na dalili hizi kila mwanaume mwenye tatizo la tezi dume atakuambia
Dalili zenyewe ni

-Kukujoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku

-Kupoteza ufasini wa tendo la ndoa

-Kupata Maumivu wakati wa Kukojoa

MADHARA YATOKANAYO NA TEZI DUME

- Kibofu cha mkojo kuuma: hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini โ€ฆ

- Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa

- Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)

- Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika)

- Ugumba (Infertility, Frigidity for men)

- Saratani ya Tezi Dume
- Kifo

Wengi wanashindwa kujua k**a ni tatizo la tezi dume kwa Sababu wanaogopa kuongea
Sasa k**a kuna mtu wako wa karibu na anaonyesha dalili hizo.

Nipigie tafadhali au tuma neno AFYA kwenda Whatsapp namba

+255754366366

Nikushauri ufanye nini uondokane na hilo tatizo.

UJUMBE HUU NI MUHIMU SANA KWAKOREJESHA AFYA YAKOTOKOMEZA KISUKARI NDANI YA MUDA MFUPI:KISUKARI NI NINI:-Ugonjwa wa kisuk...
31/10/2023

UJUMBE HUU NI MUHIMU SANA KWAKO

REJESHA AFYA YAKO

TOKOMEZA KISUKARI NDANI YA MUDA MFUPI:

KISUKARI NI NINI:-

Ugonjwa wa kisukari ni ugonjwa unaotokana na mtu kuwa na
kiwango cha sukari nyingi kupita kiasi kwenye damu kwa muda
mrefu. Ugonjwa huu huvuruga utaratibu wa kuingiza sukari ndani
ya chembechembe hai kutoka kwenye damu kwa kuwa
chembechembe hai huhitaji sukari ili kutengeneza nishati mwilini.

DALILI ZITOKANAZO NA UGONJWA WA KISUKARI:-

Zifuatazo ni dalili za ugonjwa wa kisukari ambazo ni pamoja na;

1) Kukojoa mara kwa mara.

2) Kusikia kiu sana.

3) Kutoona vizuri.

4) Kuwa na maambukizi ya ngozi na vidonda visivyopona upesi.

5) Baadhi ya viungo vya mwili k**a vile vidole vya miguu na mikono kufa ganzi.

MADHARA YA TOKANAYO NA KISUKARI:

1) Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa siku.

2) Kupungukiwa na maji mwilini.

3) Kupoteza fahamu na hatimaye kupoteza maisha k**a mgonjwa hatapata matibabu mapema.

TOKOMEZA KISUKARI:-
Kwa ushauri na matibabu sahihi ya kisukari usisite kuwasiliana nasi
kwakupiga simu/kutuma ujumbe mfupi wa maandishi/ au kupitia
whatsApp:

0767238851

UJUMBE HUU NI MUHIMU SANA KWAKOREJESHA AFYA YAKOTOKOMEZA KISUKARI NDANI YA MUDA MFUPI:KISUKARI NI NINI:-Ugonjwa wa kisuk...
31/10/2023

UJUMBE HUU NI MUHIMU SANA KWAKO

REJESHA AFYA YAKO

TOKOMEZA KISUKARI NDANI YA MUDA MFUPI:

KISUKARI NI NINI:-

Ugonjwa wa kisukari ni ugonjwa unaotokana na mtu kuwa na
kiwango cha sukari nyingi kupita kiasi kwenye damu kwa muda
mrefu. Ugonjwa huu huvuruga utaratibu wa kuingiza sukari ndani
ya chembechembe hai kutoka kwenye damu kwa kuwa
chembechembe hai uhitaji sukari ili kutengeneza nishati mwilini.

DALILI ZITOKANAZO NA UGONJWA WA KISUKARI:-

Zifuatazo ni dalili za ugonjwa wa kisukari ambazo ni pamoja na;

1) Kukojoa mara kwa mara.

2) Kusikia kiu sana.

3) Kutoona vizuri.

4) Kuwa na maambukizi ya ngozi na vidonda visivyopona upesi.

5) Baadhi ya viungo vya mwili k**a vile vidole vya miguu na mikono kufa ganzi.

MADHARA YA TOKANAYO NA KISUKARI:

1) Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa siku.

2) Kupungukiwa na maji mwilini.

3) Kupoteza fahamu na hatimaye kupoteza maisha k**a mgonjwa hatapata matibabu mapema.

TOKOMEZA KISUKARI:-
Kwa ushauri na matibabu sahihi ya kisukari usisite kuwasiliana nasi
kwakupiga simu/kutuma ujumbe mfupi wa maandishi/ au kupitia
whatsApp:

0767238851

SULUHISHO LA MAUMIVU YA MIFUPA NA KUSAGIKA KWA MIFUPA KATIKA MAUNGIO (JOINT).Kwakutumia virutubisho sahihi vyenye uwezo ...
03/10/2023

SULUHISHO LA MAUMIVU YA MIFUPA NA KUSAGIKA KWA MIFUPA KATIKA MAUNGIO (JOINT).

Kwakutumia virutubisho sahihi vyenye uwezo wa kuzalisha uteute kwenye joint na kutengeneza gegedu zinazo sagika.
Watu wengi wamelejesha furaha yao baada ya kutumia mfumo wa virutubisho vyenye mchanganyiko wa Chondroitine Sulfet na Grucose Amine.

Kazi ya Chondroitine sulfet mwilini ni kuzalisha uteute kwenye joint zote za mwili .
Kazi ya Grucose Amine mwilini ni kuzalisha au kutengeneza gegedu zinazopatikana kwenye joint zote za mwili.
Hivi ni virutubisho muhimu sana kwa watu wenye changamoto au matatizo ya mifupa na viungo(joint)
Mfano
Matatizo ya
*Magoti kusagika na kutoa milio pindi unapo chuchumaa au kuinuka.
*Nyonga kusagika nakushindwa kutembea kabisa.
*Kusagika kwa disc na pingili za uti wa mgongo.
*Kusagika kwa mabega.

Na sehemu zingine za mwili upande wa mifupa
Kamawewe unachangamoto za mifupa kusagika usisite kuwasiliana nasi uone namnagani unaweza kuanza proglam yetu.
Unaweza kuvipata virutubisho hivi popote ulipo kwagalama nafuu kabisa.
Kwa mawasiliano bonyeza namba tuwasiliane Whatssap 0767 238 851.
Au Piga ili tuweze kuzungumza kwa ukaribu zaidi.

18/09/2023

Shinikizo la juu la damu au presha ya juu ya damu (pia huitwa shinikizo la mishipa ya damu, HBP), ni ugonjwa sugu ambapo nguvu ya msukumo wa damu katika mishipa ni kubwa kuliko kawaida. Ongezeko hilo husababisha moyo kufanya kazi kupita kiasi ili uzungushe damu katika mishipa ya damu.

Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg.

Mara nyingi huwezi kujitambua k**a unapresha hii ya kupanda mpaka pale inapotokea.

Na ndio maana huitwa silent killer yaani muuaji wa siri.
Presha ya kupanda isipo tibiwa ama mgonjwa asipofata maelekezo vyema inaweza kusababisha shambulio lamoyo na kupalalaizi.

Dalili za mtu mwenye presha ya kupanda;
~kuumwa kwa kichwa
~Kuvimba kwa mwili( miguu na mikono)
~kuumwa kwa tumbo
~kubanwa na pumzi
~ kizunguzungu na kichefuchefu
~Matatizo ya kuona( kuona ukunguukungu)
~kupungua au kuacha kucheza kwa mtoto ( mama mjamzito)

>Athari za presha ya kupanda ktk mwili;

~Uvimbe mkubwa kwenye kuta za arteri( mishipa ya damu)
~kupanuka na kudhoofika kwa moyo adi kufikia kushindwa kusukuma damu ya kutosha
~kusinyaa kwa mishipa ya damu kwenye Figo na moyo na kusababisha kushindwa kufanya kazi.
~ Kupasuka kwa mishipa ya damu na kusababisha kutoona vizuri au upofu kabisa.

Wapo watu wenye changamoto ya pressure ambao tayari wameanza dozi ya kutibu pressure tukiwapa maelekezo na usimamizi na wengine wamepona wiki mbili tayari wameanza kuona matokeo mazuri.
Tuendelee kujifunza Afya ni muhimu usiipoteze.

Kwa usimamizi na matibabu ya pressure wasiliana nasi: 0767238851

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya kwanza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya kwanza:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram