Cornwell Tanzania

  • Home
  • Cornwell Tanzania

Cornwell  Tanzania Cornwell Tanzania Naturopathic Clinic
Production of Natural Medicine and food Supplements CORNWELL TANZANIA.........................
Innovation in Healthcare

26/08/2025
Cornwell Tanzania tukiwa k**a moja ya wadhamini na Mgeni rasmi kwenye Mahafali ya Chama Cha wanafunzi wa Kada ya Famasi ...
21/08/2025

Cornwell Tanzania tukiwa k**a moja ya wadhamini na Mgeni rasmi kwenye Mahafali ya Chama Cha wanafunzi wa Kada ya Famasi kwa ngazi ya diploma na degree iliyofanyika pale Chuo Cha Afya na Sayansi shirikishi muhimbili

Cornwell Tanzania Naturopathic Clinic
Cornwell Tanzania Naturopathic Institute
Cornwell Tanzania Natural Products

 tukiwa mtaani kutoa Elimu ya afya kiasili kabisa. Pia tukitoa uelewa kuhusu uwepo wa chuo Cha Naturopathic medicine Tan...
19/08/2025

tukiwa mtaani kutoa Elimu ya afya kiasili kabisa. Pia tukitoa uelewa kuhusu uwepo wa chuo Cha Naturopathic medicine Tanzania.

Cornwell Tanzania Naturopathic Institute :0747 107 650

Cornwell Tanzania Naturopathic clinic :0626 888 111

Cornwell Tanzania Naturopathic medicine: 0713 306 263

Kwa ushauri, msaada na maelezo zaidi wasiliana nasi.

 tukiwa mtaani kutoa Elimu ya afya kiasili kabisa. Pia tukitoa uelewa kuhusu uwepo wa chuo Cha Naturopathic medicine Tan...
19/08/2025

tukiwa mtaani kutoa Elimu ya afya kiasili kabisa. Pia tukitoa uelewa kuhusu uwepo wa chuo Cha Naturopathic medicine Tanzania.

Cornwell Tanzania Naturopathic Institute
Cornwell Tanzania Naturopathic clinic
Cornwell Tanzania Naturopathic medicine

Kwa ushauri, msaada na maelezo zaidi wasiliana nasi Kwa namba

Chuo: 0747 107 650

Book your appointment +255718515763 Dodoma Clinic
19/08/2025

Book your appointment +255718515763 Dodoma Clinic

18/08/2025

TAPSA Joint Graduation 2025

Cornwell Tanzania Naturopathic Clinic
Cornwell Tanzania Naturopathic Institute
Cornwell Tanzania Natural Products

Dr Elizabeth, akiwasilisha kuhusu Homoni na namna nzima ya maisha bora upande wa chakula, kwa wamama wa kanisa la Jeshi ...
03/08/2025

Dr Elizabeth, akiwasilisha kuhusu Homoni na namna nzima ya maisha bora upande wa chakula, kwa wamama wa kanisa la Jeshi la wokovu.

Kurasini 📍


Siku ya Tarehe 27, Dr Elizabeth Lema kutoka Cornwell Tanzania akiwasilisha kuhusu Menopause na Jinsi ya kupitia kipindi ...
31/07/2025

Siku ya Tarehe 27, Dr Elizabeth Lema kutoka Cornwell Tanzania akiwasilisha kuhusu Menopause na Jinsi ya kupitia kipindi hiki kinachotawala kwa muda hadi miaka 15,hali hii huwakumba wanawake na huwa na dalili mbalimbali.

Age Go, Dinner Talk 2025

26/07/2025

Niwakumbushe pia k**a hauli nyama utapata ganzi, mwili kuwaka moto, stress, depression, confusion. Kwa sababu unapata upungufu mkubwa wa B vitamin, na ukizingatia Vitamin B1,B6, B12 ni chakula cha mishipa. Na Bila B12 vitamin nyingine zinakuwa ngumu kuwa Absorped. Na B12 Inapatikana kwenye red meat. K**a hali nyama lazima atumie supplements kupata B vitamin.
Other wise nyama huliwa na herbs, vegetables, kupunguza inflammation. By the way, hata vitabu vya dini vinzungumzia umuhimu wa nyama ndio maana kuna sherehe za kuchinja. Ndio maana Ibrahim Alitoa dhabihu za kuchija. Akaweka mdalasini n.k.
*_Dr Elizabeth H. Lema ND_*
*+255 713 306 263*

Afya Naturally.
22/07/2025

Afya Naturally.

15/07/2025
Kwenye Picha ni ND Elizabeth Lema akiwasilisha kwenye kikao cha Watengeneza dawa asili Tanzania na watoahuduma za afya j...
08/07/2025

Kwenye Picha ni ND Elizabeth Lema akiwasilisha kwenye kikao cha Watengeneza dawa asili Tanzania na watoahuduma za afya jumuishi kwenye hospitali za serikali Tanzania, kilichofanyika NIMR mwezi Mei 2025

Address


Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255713306263

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Cornwell Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

CORNWELL TANZANIA NATUROPATHIC CLINIC

Clinic yetu inatoa huduma za matibabu kwa kutumia dawa za asili (Naturopathic Medicine), tunafanya vipimo mbalimbali kwa kutumia utaalam wa Naturopath, vinavyotolewa na wataalam yaani Naturopathic Doctors.

Pamoja na wataalam wetu kuhakikisha matibabu yanafakiwa bila kumsababishia mgonjwa madhara (side effect)

Kutambua chanzo cha tatizo na kuandaa matibabu sahihi.( Identify and treat the causes)

Kuelewa nguvu ya uponyaji ya asili ( The healing power of Nature)