16/01/2026
Tiba ya Maumivu ya Kiuno na Kukak**aa kwa Misuli
Viambato:
● Kikonyo cha nanasi 1 kibichi
● Tangawizi mbichi: vipande 1–2 ukubwa wa kidole gumba
● Maji: lita 1.5–2
Jinsi ya kuandaa:
● Kata Kikonyo cha nanasi vipande vidogo (usikate sehemu ya chini).
● Pondaponda tangawizi kidogo.
● Weka vyote kwenye sufuria yenye lita 1.5–2 za maji.
● Chemsha kwa moto wa wastani kwa dakika 25–30.
● Acha ipoe kidogo kisha chuja.
● Hifadhi kwenye chombo safi (weka kwenye friji ikibidi; tumia ndani ya saa 24).
Kipimo:
Kikombe 1 cha chai (mls 250) mara mbili kwa siku
Asubuhi: tumbo likiwa tupu
Jioni: dakika 30–60 kabla ya chakula cha jioni
Muda wa matumizi: Siku 10–14 mfululizo
K**a maumivu yataendelea baada ya siku 14, pumzika kwa siku 5, kisha rudia tena mara moja.