plussizecoach

plussizecoach Nakusaidia kupunguza uzito kwa kukupa mkakati thabiti utakaokufanikisha kufikia uzito sahihi wa mwil

04/12/2023

Hizi zimewasaidia watu wengi wanaotaka kudhibiti na wale wanaotaka kuupunguza, GARCINIA ni Tsh 91,500 na THERM ni Tsh 85,500 zote ni Tsh 177,000 zinatumika siku 23 - 30 Ili kuzipata Call / Whatsapp +255689624285 Delivery available ndani na nje ya Tanzania.

𝑵𝑱𝑰𝑨 𝑹𝑨𝑯𝑰𝑺𝑰 𝒁𝑨 𝑲𝑼𝑲𝑼𝑺𝑨𝑰𝑫𝑰𝑨 𝑼𝑺𝑰𝑶𝑵𝑮𝑬𝒁𝑬𝑲𝑬 𝑼𝒁𝑰𝑻𝑶 𝑲𝑰𝑷𝑰𝑵𝑫𝑰 𝑯𝑰𝑲𝑰 𝑪𝑯𝑨 𝑺𝑰𝑲𝑼𝑲𝑼𝑼 𝟭. 𝗨𝗦𝗜𝗥𝗨𝗞𝗘 𝗞𝗜𝗙𝗨𝗡𝗚𝗨𝗔 𝗞𝗜𝗡𝗬𝗪𝗔Kuacha kula asubuhi hakut...
04/12/2023

𝑵𝑱𝑰𝑨 𝑹𝑨𝑯𝑰𝑺𝑰 𝒁𝑨 𝑲𝑼𝑲𝑼𝑺𝑨𝑰𝑫𝑰𝑨 𝑼𝑺𝑰𝑶𝑵𝑮𝑬𝒁𝑬𝑲𝑬 𝑼𝒁𝑰𝑻𝑶 𝑲𝑰𝑷𝑰𝑵𝑫𝑰 𝑯𝑰𝑲𝑰 𝑪𝑯𝑨 𝑺𝑰𝑲𝑼𝑲𝑼𝑼

𝟭. 𝗨𝗦𝗜𝗥𝗨𝗞𝗘 𝗞𝗜𝗙𝗨𝗡𝗚𝗨𝗔 𝗞𝗜𝗡𝗬𝗪𝗔
Kuacha kula asubuhi hakutasaidia wewe kupungua uzito bali itakufanya kula chakula kingi zaidi mchana hivyo hakikisha unapata kifungua kinywa fanya machaguzi sahihi / balanced meal.

𝟮. 𝗞𝗨𝗟𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗞𝗨𝗟𝗔 𝗖𝗛𝗔 𝗞𝗔𝗪𝗔𝗜𝗗𝗔
Kuna wakati kuwa unatafuta sana machaguzi ya chakula kunaweza fanya ukachelewa kula au ukala kitu ambacho hufurahii na kujikuta una crave kwa vile unavyovitamani kitakachosaidia ni wewe kula vyakula vya kawaida ambavyo ni rahisi kuvipata k**a maharage, dagaa, viazi n.k.

𝟯. 𝗦𝗛𝗨𝗚𝗛𝗨𝗟𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗪𝗜𝗟𝗜 𝗪𝗔𝗞𝗢
Eeeeh ndio tunajua umechukua likizo na unataka kupumzika lakini haimaanishi uwe unalala siku nzima bila kufanya vikazi vya hapa na pale huu ndo muda unaotakiwa kuutumia kujitengeneza maana mwaka mzima huwa unasema unakosa muda.

𝟰. 𝗨𝗦𝗜𝗛𝗜𝗙𝗔𝗗𝗛𝗜 𝗝𝗨𝗡𝗞 𝗙𝗢𝗢𝗗 𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜
Naelewa k**a umekutana na sambusa huko nje ukatamani ukala lakini kununua na kuziweka kwenye fridge ili ule kiporo wewe umekusudia bana kunenepa haya kupanga ni kuchagua moja ya njia ya kukwepa kula vibaya usihifadhi vyakula hivyo ndani.

𝟱. 𝗞𝗨𝗡𝗬𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗝𝗜 𝗠𝗘𝗡𝗚𝗜
Wakati unawaza Beach Body kumbuka na kunywa maji mengi pia maji ni mazuri kwa mwili wako ndani na nje pia kwa ajili ya ngozi weka mkakati wa kunywa maji hakikisha maji mengi kunywa mwisho iwe saa kumi jioni .

𝙉𝙞𝙣𝙖𝙯𝙤 𝙗𝙞𝙙𝙝𝙖𝙖 𝙯𝙖 𝙠𝙪𝙠𝙪𝙨𝙖𝙥𝙤𝙩𝙞 𝙠𝙞𝙥𝙞𝙣𝙙𝙞 𝙝𝙞𝙠𝙞 𝙞𝙡𝙞 𝙪𝙬𝙚𝙯𝙚 𝙠𝙪𝙚𝙣𝙟𝙤𝙮 𝙣𝙖 𝙪𝙠𝙖𝙟𝙞𝙯𝙪𝙞𝙖 𝙠𝙪𝙤𝙣𝙜𝙚𝙯𝙚𝙠𝙖 𝙪𝙯𝙞𝙩𝙤 𝙝𝙞𝙞 𝙝𝙤𝙡𝙞𝙙𝙖𝙮 𝙬𝙝𝙖𝙩𝙨𝙖𝙥𝙥 𝙢𝙚 0689624285 𝙠𝙪𝙥𝙖𝙩𝙖 𝙢𝙖𝙚𝙡𝙚𝙯𝙤 𝙮𝙖𝙠𝙚 𝙯𝙖𝙞𝙙𝙞.

Address

Kinondoni

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when plussizecoach posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to plussizecoach:

Share