Afya Yako Mtaji Wako

Afya Yako Mtaji Wako Dealing with human health based on natural food supplements

MAAJABU 10 NA UMUHIMU WA VITAMIN A INAYOPATIKANA KWENYE C24/7 AU COMPLETE✍🏻Vitamini A ni kundi la vitamini inayochangany...
29/01/2021

MAAJABU 10 NA UMUHIMU WA VITAMIN A INAYOPATIKANA KWENYE C24/7 AU COMPLETE

✍🏻Vitamini A ni kundi la vitamini inayochanganyika katika mafuta, na vitamini hii hujulikana pia k**a retinol, retinal,retinoic acid na beta-carotene; na katika yote hayo beta carotene ndiyo iliyo muhimu zaidi.

✍🏻Vitamini A hupatikana katika vyakula vitokanavyo na wanyama k**a, Mafuta ya samaki, maini,figo, maziwa,jibini na samaki. Maziwa yaliyoondolewa siagi huwa hayana vitamini A, labda k**a itaongezewa na wasindikaji.

✍🏻Kirutubisho hiki ni muhimu kwa ukuaji na afya bora, ambapo huimarisha kinga ya mwili na husaidia;
👉🏿Hukukinga na Magonjwa ya Uzeeni,
👉🏿Inaimarisha Mfumo wa Kinga ya mwili,
👉🏿inaimarisha afya ya mifupa,
👉🏿inaimarisha ukuaji na uzalishaji bora wa mbegu za Uzazi kwà mwanaume na mwanamke.
👉🏿afya ya macho na kuona vyema.
👉🏿kuepukana na upofu wa kuona usiku,
👉🏿kuona vyema nyakati za mchana.
👉🏿huondoa sumu mwilini zijulikanazo k**a free radicals,
👉🏿kupunguza uwezekano wa kupata maradhi ya kansa
👉🏿Vitamini hii pia husaidia afya ya seli, tishu, ngozi, meno na mifupa

✍🏻Upungufu wa vitamini A, husababisha;
➡️kutokuona usiku,
➡️ukavu wa macho kwa kushindwa kutengeneza machozi,
➡️upofu,
➡️ngozi kavu,
➡️kupoteza uwezo wa kunusa na kukosa hamu ya kula.
➡️Husababisha Ugumba, utasa na matatizo ya kutunga kwà mimba,
➡️huchelewesha ukuaji,
➡️husababisha maumivu ya kifua na koromeo na
➡️Vidonda kuchelewa kupona

Upungufu wa vitamini hii husababisha mtu kuwa na kinga dhaifu hivyo kushambuliwa na maradhi.

✍🏻Vitamin A hupatikana kwenye bidhaa zetu hasa C24/7 au Complete kwa kiwango stahiki. Piga/WhatsApp +255768246988

Address

Arusha
Kinondoni

Telephone

+255767828979

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Yako Mtaji Wako posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram