Semsango men Health

Semsango men Health Nawasaidia ๐–๐š๐ง๐š๐ฎ๐ฆ๐ž kutatua Changamoto ya ๐๐ ๐ฎ๐ฏ๐ฎ ๐ณ๐š ๐ค๐ข๐ฎ๐ฆ๐ž ๐€๐ ๐ž 20-70

*โ—๐Ÿงฌ JE, MATATIZO YA HOMONI KWA BABA HUWEZA KURITHISHWA KWA MTOTO?*Ndiyo. Huu ni ukweli wa kisayansi ambao wanaume wengi ...
08/07/2025

*โ—๐Ÿงฌ JE, MATATIZO YA HOMONI KWA BABA HUWEZA KURITHISHWA KWA MTOTO?*

Ndiyo. Huu ni ukweli wa kisayansi ambao wanaume wengi hawaujui. Tatizo la nguvu za kiume au homoni duni si tu linamzuia mwanaume kufurahia tendo la ndoa, bali pia huweza kuathiri mtoto atakayezaliwa.
Kwa lugha rahisi: Ubora wa mtoto unaanza kwenye ubora wa mbegu.

๐Ÿ” JINSI MATATIZO YA HOMONI YA BABA YANAVYOWEZA KUATHIRI MTOTO

Wakati mwanaume anapokuwa na kiwango kidogo cha homoni ya testosterone, au anazalisha mbegu dhaifu, athari zifuatazo huweza kutokea:

Mtoto wa kiume kurithi udhaifu wa homoni

Kukosa nguvu za kiume ukubwani

Kukosa ndevu, sauti nzito au misuli

Kukosa uwezo wa kushiriki tendo kikamilifu au kupata mimba

Uwezekano wa kasoro katika ukuaji wa viungo

Mfano: korodani kutoshuka vizuri, uume kuwa mdogo, nk.

Mtoto kuwa na afya dhaifu kwa ujumla

Ukosefu wa nguvu, kinga ya mwili kuwa chini, na matatizo ya akili au hisia yanayoanzia kwenye homoni

Hii si hadithi ya kutisha, ni ukweli wa tafiti nyingi duniani kuhusu male reproductive epigenetics โ€“ yaani jinsi mbegu za mwanaume zinavyobeba taarifa za afya za baadaye kwa mtoto.

โœ… SULUHISHO: ANZA KUJENGA MWILI WA KIUME KABLA YA UZAZI

Mwanaume anayefikiria kumpa mwenza wake mimba hapaswi kungojea hadi pale mimba ipatikane ndipo aanze kujitunza. Badala yake:

Anapaswa kujiandaa k**a askari kabla ya vita.

Ajenge afya yake ya ndani, haswa homoni, ubora wa mbegu, na nguvu za mfumo wa uzazi.

Kwa njia hii, anahakikisha si tu kupata mimba โ€“ bali mtoto mwenye afya bora, akili timamu na homoni zilizotimia.

๐Ÿ’Š VIRUTUBISHO NI SILAHA SALAMA NA YENYE NGUVU

Dozi ya virutubisho kabla ya uzazi husaidia:

Kuongeza uzalishaji wa testosterone kwa njia asilia

Kuboresha ubora wa mbegu (speed, shape, na idadi)

Kuzuia kasoro kwenye DNA ya mbegu

Kuimarisha nguvu za kiume na uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kwa ufasaha

Kusaidia mimba kutunga kwa urahisi

Kwa mwanaume mwenye ndoto ya kuwa baba bora โ€“ hii ni hatua ya hekima na ya busara.

_Jali afya yako kila mara_

_ ๐Ÿ’ฆ๐Ÿ‹โ€โ™€๏ธ๐Ÿซ๐Ÿ’ช

ย 

๐Ÿท๏ธ๐Ÿท๏ธ*FAHAMU FAIDA YA MAZOEZI YA KEGEL: AMBAYO WATAALAMU WAMETHIBITISHA KUWA YANASAIDIA SANA KUIMARISHA AFYA YA TENDO LA ...
12/06/2025

๐Ÿท๏ธ๐Ÿท๏ธ

*FAHAMU FAIDA YA MAZOEZI YA KEGEL: AMBAYO WATAALAMU WAMETHIBITISHA KUWA YANASAIDIA SANA KUIMARISHA AFYA YA TENDO LA NDOA*

๐Ÿ‘‡

โ— Kuna aina mbali mbali za mazoezi lakini kuna baadhi ambayo huwa na manufaa ya kiafya inapokuja katika Afya ya uzazi au tendo la ndoa kwa binadamu.

โ— Mazoezi ya mwili ni sehemu muhimu sana ya afya ya mwanadamu hivyo kuyafanya au kutoyafanya kunaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa hali ya afya ya mtu kuimarika ama kudhohofika.

โžก๏ธ Mazoezi ni tiba ya magonjwa mengi na hivyo basi madaktari huwasahauri watu kufanya mazoezi kwasababu ya umuhimu wake kwenye Afya.

*Unaweza ukajiuliza*
*Mazoezi ya Kegel ni nini?*

โ— Kegel ni aina ya mazoezi rahisi yaliyoandaliwa kwa ajili ya kuimarisha misuli ya nyonga na viungo vilivyopo kwenye via vya uzazi.

โ— Eneo hili la nyonga pia ni pamoja na katikati ya mifupa miwili ya miguu kunakoshikilia viungo vya uzazi.

โ— mazoezi hayo husaidia viungo vilivyopo chini ya nyonga kuboresha mawasiliano na udhibiti wa kibofu cha mkojo na pia kuimarisha uwezo wa tendo la ngono.

โ— Mazoezi ya viungo ya Kegel pia hufanyika ili kuimarisha misuli ya chini ya nyonga kwani udhaifu wake unaweza kusababisha udhaifu pia wa kibofu cha mkojo na tatizo la kutoweza kufanya tendo la ndoa na kutoridhika wakati wa tendo hilo.

Mazoezi Haya Ukiyafanya Hata Mara Tatu Kwa Week Inatosha Kabisa ๐Ÿ’ช

Wale mnaosema kazi unayoifanya ni mazoezi TOSHA sio sahihi , *Kazi nyingi huzingatia sehemu fulani za mwili ambapo mara nyingi hazihusishi viungo vyote kwa Usawa ๐Ÿ“Œ*

Kwahiyo k**a unataka kuendelea kuwa na afya bora , Hata k**a unafanya kazi nzito unatakiwa kutenga muda wa kufanya mazoezi ya mwili angalau dk 20-30 ๐Ÿ‘

*๐Ÿ‘‰ SWALI AMBALO NI MUHIMU SANA KUJIULIZA SIKU YA LEO NI KUWA: JE HUWA UNA UTARATIBU WA KUFANYA MAZOEZI MARA KWA MARA? ๐Ÿคท๐Ÿฝโ€โ™‚๏ธ*



ย  ย 

MATUMIZI YA SIMU WAKATI WA KULALA HUATHIRI AFYA YA UZAZI NA KUKOSEKANA KWA USINGIZITafiti nyingi za kisayansi zimethibit...
11/06/2025

MATUMIZI YA SIMU WAKATI WA KULALA HUATHIRI AFYA YA UZAZI NA KUKOSEKANA KWA USINGIZI

Tafiti nyingi za kisayansi zimethibitisha kuwa matumizi ya simu usiku โ€“ hasa kabla ya kulala โ€“ huathiri vibaya afya ya mwanaume, ikiwa ni pamoja na kupunguza usingizi, kushusha kiwango cha homoni za kiume (testosterone), na kushambulia mfumo wa uzazi kwa ujumla.

โคต๏ธโคต๏ธ

๐Ÿ“ฑ Blue light kutoka kwenye simu hupunguza uzalishaji wa melatonin:
Tafiti kutoka Harvard Medical School na National Sleep Foundation zimeonesha kuwa mwanga wa buluu (blue light) unaotoka kwenye simu, tablet, au laptop unapunguza kwa kiasi kikubwa homoni ya melatonin โ€“ homoni ya usingizi.

๐Ÿ‘‰ Bila melatonin ya kutosha, mwanaume analala kwa shida au analala usingizi wa juu juu, hali inayosababisha uchovu wa kudumu na kushuka kwa testosterone.

๐Ÿง  Kuvuruga mzunguko wa circadian (saa ya ndani ya mwili):
Mwili wa binadamu una saa ya ndani (circadian rhythm) inayodhibiti usingizi, homoni na nishati. Kutazama simu usiku huivuruga na kufanya mwili ushindwe kujirekebisha usiku โ€“ kipindi ambacho uzalishaji wa testosterone hufanyika kwa wingi.

๐Ÿ˜ด Usingizi mfupi = Homoni duni:
Journal of the American Medical Association (JAMA) ilichapisha utafiti unaoonesha wanaume waliolala chini ya saa 5 kwa usiku walikuwa na kupungua kwa testosterone kwa zaidi ya 10โ€“15%, jambo linaloathiri nguvu za kiume, hamu ya tendo, na ubora wa mbegu.

๐Ÿ“‰ Msongo wa mawazo na uchovu wa akili:
Kutazama simu usiku (hasa mitandao ya kijamii au video zenye msisimko) huamsha akili kupita kiasi na kuzuia kupumzika. Hali hii huongeza homoni ya cortisol, ambayo huzuia uzalishaji wa testosterone na kupunguza uwezo wa mwanaume kushiriki tendo la ndoa kwa ubora.

CHUKUA HATUA HIZI CHACHE KUJILINDA

๐Ÿ‘‰Acha simu angalau dakika 60 kabla ya kulala

๐Ÿ‘‰Zima Data ili kupunguza Notifications (Taarifa) zitakazo kufanya uanze kutumia simu

ย  ย 

USIJILINGANISHE โ€“ TIBU CHANZO!Wanaume wengi siku hizi wanaingia kwenye mkumbo wa kutaka "kupiga show kali" k**a walivyos...
09/06/2025

USIJILINGANISHE โ€“ TIBU CHANZO!

Wanaume wengi siku hizi wanaingia kwenye mkumbo wa kutaka "kupiga show kali" k**a walivyosikia kwa wengine. Hii huwafanya wakimbilie dawa za kuongeza nguvu bila kuelewa kwamba nguvu za kiume ni afya ya ndani, si mashindano.
Ukweli ni kwamba kupungua kwa nguvu za kiume ni ishara ya matatizo ya ndani ya mwili k**a:

Mzunguko hafifu wa damu

Mafuta mabaya mwilini

Msongo wa mawazo

Kushuka kwa testosterone

Kisukari au matatizo ya moyo yanayoanza kimya kimya

Tafiti zimeonesha kuwa dawa za kuongeza nguvu bila kushughulikia chanzo huleta utegemezi, kushuka kwa nguvu za asili, na madhara mengine.
Ndio maana nasisitiza: Tibu chanzo, si dalili. Uwezo wa kuwa Rijali uko ndani yako โ€“ unahitaji mpangilio sahihi wa kiafya.
๐Ÿ“ฒ Nitafute leo, nitakupatia dozi salama ya mwezi mmoja inayoshughulikia mfumo wa mmengโ€™enyo, moyo, neva, homoni na afya ya uzazi โ€“ bila madhara.
๐Ÿ‘‰ Tuma neno "AFYA BORA" kwenye WhatsApp 0744280675 au piga 0786282254
Afya yako ni heshima yako. ๐Ÿ’ช๐Ÿฝ๐Ÿ”ฅ

ย  ย 

USIJILINGANISHE NA MWINGINE โ€“ TIBU CHANZO CHA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME KWA NJIA SALAMABaadhi ya wanaume siku hizi wamein...
08/06/2025

USIJILINGANISHE NA MWINGINE โ€“ TIBU CHANZO CHA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME KWA NJIA SALAMA

Baadhi ya wanaume siku hizi wameingia kwenye mkumbo wa kusikiliza hadithi za mtaani kuhusu tendo la ndoa โ€“ wanahamasika kupiga โ€œshow kaliโ€ k**a wanavyosikia kwa wenzao. Lakini ukweli ni kwamba, kila mwanaume ameumbwa na uwezo wake wa kipekee, na si jambo la busara kujilinganisha au kujilazimisha kuwa k**a mwingine.

Matokeo yake, wengi hujikuta wakikimbilia dawa za kuongeza nguvu za kiume bila kuelewa chanzo halisi cha kushuka kwa uwezo wao. Hili ni kosa kubwa la kiafya.

Ukweli wa Kitaalamu:

Upungufu wa nguvu za kiume mara nyingi siyo tatizo la juu juu, bali ni dalili ya kwamba kuna hitilafu ndani ya mwili. Inaweza kuwa:

Mzunguko wa damu ni hafifu kutokana na mafuta mabaya mwilini

Magonjwa ya moyo au kisukari yanaanza kuingia kimya kimya

Msongo wa mawazo (stress) unaosababisha homoni ya cortisol kupanda na kuua hamu ya tendo

Udhaifu wa neva (nerves) unaosababisha kufika kileleni mapema

Uzalishaji mdogo wa homoni ya testosterone

Mwanaume anapokimbilia dawa za "kubusti" bila kutibu chanzo, anajitengenezea utegemezi wa muda mrefu. Tafiti zimeonesha kuwa:

๐Ÿ”ฌ Utafiti wa mwaka 2018 uliochapishwa kwenye Journal of Sexual Medicine ulionyesha kuwa zaidi ya 70% ya wanaume wanaotumia dawa za kuongeza nguvu (k**a Vi**ra bila ushauri wa daktari) wanakabiliwa na madhara k**a:

Maumivu ya kichwa makali

Kushuka kwa shinikizo la damu

Dhamira ya mwili kutegemea dawa hizo (psychological dependence)

Kupungua kwa uwezo wa asili baada ya muda

Suluhisho la Kudumu ni Kubadilisha Mfumo:

Badala ya kutumia njia za mkato, mwanaume anapaswa:

Kutambua chanzo halisi kwa kufanya uchunguzi wa kiafya

Kusafisha mfumo wa mmengโ€™enyo wa chakula

Kuboresha mzunguko wa damu

Kuimarisha mfumo wa fahamu na homoni

Kulala kwa wakati, kula lishe bora, na kufanya mazoezi

Ujumbe Muhimu:

Kaka, kila mwanaume anao uwezo wa kuwa rijali, lakini kuna misingi lazima ifuatwe. Afya yako ni ya thamani โ€“ usiihatarishe kwa njia za mkato ambazo mwisho wake ni majuto.

---

๐ŸŽฏ Mimi natoa ushauri na suluhisho la kudumu kwa changamoto ya nguvu za kiume.

Nitakupatia Dozi maalum ya mwezi mmoja inayofanya kazi kuanzia:

Mfumo wa mmengโ€™enyo

Mzunguko wa damu na moyo

Neva, homoni na afya ya uzazi kwa ujumla

Pia nitakusaidia kwa usimamizi wa karibu kuhakikisha unapata matokeo salama, ya uhakika, na ya kudumu โ€“ bila madhara.

๐Ÿ“ฒ K**a uko tayari kujiunga na wanaume waliotoka kwenye dawa hatarishi na sasa wanaishi maisha ya kiafya na nguvu za asili,
Tuma neno โ€œAFYA BORAโ€ kwenda WhatsApp namba 0744280675 au piga 0786282254 kwa ushauri zaidi.

๐Ÿ’ช๐Ÿฝ Usiishi kwa kubahatisha โ€” rejesha heshima yako kwa njia salama na ya kweli.

Tafiti za Kitaalamu Zinasema Nini Kuhusu Uwezo wa Mwanaume Kushiriki Tendo la Ndoa?Kitaalamu, tafiti nyingi zimefanywa i...
05/06/2025

Tafiti za Kitaalamu Zinasema Nini Kuhusu Uwezo wa Mwanaume Kushiriki Tendo la Ndoa?
Kitaalamu, tafiti nyingi zimefanywa ili kuelewa uwezo wa mwanaume kushiriki tendo la ndoa kiafya na mara ngapi inashauriwa kushiriki bila kuathiri mwili au afya ya uzazi.

๐Ÿ“Š Uwezo wa Mwanaume Kulingana na Tafiti

Tafiti zinaonyesha kuwa mwanaume mwenye afya nzuri ana uwezo wa kushiriki tendo la ndoa katika wastani wa mara 2 hadi 4 kwa wiki, bila kupata madhara kiafya. Hii inamaanisha kuwa ndani ya mwezi mmoja, mwanaume anaweza kushiriki takriban mara 8 hadi 16 kulingana na umri, afya ya moyo, mfumo wa fahamu, na kiwango cha homoni ya testosterone.

๐Ÿ’ก Sababu Zinazoathiri Uwezo Huo:

Umri: Kadri mwanaume anavyozeeka, kiwango cha testosterone hupungua, hivyo kushuka kwa hamu na uwezo.

Lishe na mazoezi: Hupandisha nguvu, stamina na msukumo wa damu.

Afya ya akili: Msongo wa mawazo hupunguza hamu na ubora wa tendo.

Vitu vya kudhoofisha: Pombe, sigara, na vyakula vyenye mafuta mabaya hupunguza uwezo wa kushiriki.

โœ… Faida za Kushiriki kwa Kiwango Sahihi:

Huchangamsha mzunguko wa damu

Hupunguza msongo wa mawazo

Huchochea uzalishaji wa homoni za furaha

Husaidia kuweka usawa wa homoni ya testosterone

*Kutakaana na utafiti huu ni wazi kuwa wanaume zaidi ya 70% hawafurahii tendo la ndoa kwasababu hawana uwezo wa kushiriki tendo zaidi ya mara 10 kwa mwezi*

*Kila mwanaume anapaswa kuwajibika kulinda afya yake na kutatua Changamoto yake kwa kufuata Njia salama ambayo ni matumizi ya dozi ya Virutubisho*

*Hii itasidia Kuboresha Mzunguko wa damu,mfumo wa fahamu ,homoni na Neva ili kuongeza hamasa ya tendo*

*Je wewe una tatizo la kukosa hamu ya ama unawahi sana ama Uume ni legevu sana ? , Hii huashiria mwili wako umeanza kupata udhaifu kutokana na upungufu wa Virutubishi Muhimu Mwilini*

*Cha Kufanya ni kuchukua hatua ya kuanza dozi mapema ili kupata mabadiliko ya kudumu*

*Nipigie Simu [0786282254] ama Njoo INBOX kwa maekezo na Ushauri zaidi*

```Habari yako kaka, leo nimekuja kukupatia elimu kuhusu madhara ya kuvuta sigara kwa mwanaume```*Kaka, kuvuta sigara si...
04/06/2025

```Habari yako kaka, leo nimekuja kukupatia elimu kuhusu madhara ya kuvuta sigara kwa mwanaume```

*Kaka, kuvuta sigara siyo tu tabia hatarishi, bali ni chanzo kikuu cha kudhoofika kwa afya ya mwanaume kimwili na kijinsia. Ndani ya sigara kuna zaidi ya kemikali 7000, nyingi zikiwa ni sumu ambazo huathiri kila mfumo wa mwili, kuanzia kwenye mapafu hadi kwenye mfumo wa uzazi.*

*Madhara ya Kitaalamu kwa Mwanaume:*

*โ—Huathiri nguvu za kiume (erectile dysfunction):*

*โ—Nikotini huongeza shinikizo la damu na kubana mishipa ya damu, hali inayosababisha kupungua kwa msukumo wa damu kwenye uume. Matokeo yake, uume hushindwa kusimama kikamilifu au kushindwa kusimama kabisa.*

*โ—Hupunguza uzalishaji wa homoni ya kiume (testosterone):*

*Kemikali kwenye sigara huathiri tezi ya korodani, hivyo kupunguza kiwango cha testosterone ambayo ni muhimu kwa hamu na uwezo wa tendo la ndoa.*

*โ—Huzorotesha ubora wa mbegu za kiume (s***m quality):*

*Sigara husababisha kupungua kwa idadi ya mbegu, harakati zake, na huongeza mbegu zilizoharibika (abnormal s***m), jambo linalopunguza uwezo wa mwanaume kumpa mwenza mimba.*

*โ—Huongeza hatari ya saratani na magonjwa ya mfumo wa upumuaji:*

*Saratani ya mapafu, koo, mdomo na hata korodani ni hatari zinazoambatana na uvutaji wa sigara. Pia hupunguza uwezo wa mapafu, hivyo kuathiri stamina ya mwanaume wakati wa tendo la ndoa.*

*โ—Huathiri mzunguko wa damu na moyo:*

*Mishipa ya damu huziba taratibu (atherosclerosis), hali inayoongeza hatari ya shambulio la moyo, kiharusi na kushindwa kwa moyo โ€” yote haya huathiri uwezo wa mwanaume kuwa na afya ya jumla na nguvu za kiume.*

*Kaka, kuvuta sigara ni sawa na kujimaliza polepole. Inaiba nguvu zako, uume wako, na uhai wako bila kukuambia moja kwa moja. Kuacha sigara ni moja ya hatua kubwa ya kujirejeshea heshima ya kuwa Rijali kamili โ€“ mwenye afya, nguvu na uwezo wa kushika majukumu yake ya kiume bila fedheha.*

*โ—Jiwekee malengo. Acha leo, ujenge kesho yenye afya. ๐Ÿ’ช๐Ÿฝ*

03/06/2025

```Kwa Nini Lishe Pekee Haitoshelezi Mahitaji ya Mwili wa Mwanaume``` Katika Kuimarisha Nguvu za KiumeMwili wa mwanaume ...
02/06/2025

```Kwa Nini Lishe Pekee Haitoshelezi Mahitaji ya Mwili wa Mwanaume```

Katika Kuimarisha Nguvu za Kiume
Mwili wa mwanaume unahitaji mchanganyiko wa virutubisho muhimu kila siku ili kuweza kuzalisha homoni za kiume (testosterone), kuongeza msukumo wa damu, na kuimarisha ubora wa mbegu za kiume. Virutubisho hivi ni pamoja na madini k**a zinki, magnesiamu, selenium, pamoja na vitamini D, B6, B12, na asidi amino k**a L-arginine.
Kitaalamu, kiwango cha virutubisho kinachohitajika kila siku huwa kikubwa kulingana na umri, hali ya afya, na mahitaji ya kimwili ya mwanaume, hasa yule anayekabiliwa na tatizo la nguvu za kiume.
Lishe ya kawaidaโ€”hata k**a ni boraโ€”huweza kutoa wastani wa takriban asilimia 30% tu ya mahitaji haya. Hii ni kwa sababu:

Matunda na mboga nyingi huwa na kiwango kidogo cha virutubisho (kutokana na upungufu wa rutuba kwenye udongo au upikaji unaopunguza virutubisho).

Chakula tunachokula kila siku hupitia mmengโ€™enyo mrefu, hivyo si virutubisho vyote huingia mwilini kikamilifu.

Mahitaji ya mwili kwa virutubisho huwa makubwa zaidi pale panapokuwa na changamoto k**a msongo wa mawazo, uzee, magonjwa ya ndani, au historia ya matumizi ya sigara/pombe.

Kwa hiyo, mwanaume anapokula vizuri na kufanya mazoezi, ni hatua nzuri ya kuanza, lakini ni muhimu kuelewa kuwa mwili bado unahitaji ziada ya virutubisho kwa kiwango sahihi ili kukidhi mahitaji ya uzazi na nguvu za kiume kikamilifu.

Lishe ni msingi wa afya, lakini haitoshi peke yake kutosheleza mahitaji ya mwili wa mwanaume katika kurekebisha au kuimarisha nguvu za kiume. Uelewa huu ni hatua ya kwanza kuelekea suluhisho la kweli.

29/05/2025

*HAPA NDIPO UNAPOFELI MWANAUME**Wanaume wengi wanapokumbwa na changamoto ya nguvu za kiume, hukimbilia suluhisho la hara...
17/04/2025

*HAPA NDIPO UNAPOFELI MWANAUME*
*Wanaume wengi wanapokumbwa na changamoto ya nguvu za kiume, hukimbilia suluhisho la haraka โ€” hasa kutumia dawa zinazolenga kuongeza testosterone pekee. Lakini hapa ndipo wengi hufeli. Kwa nini?*
*Tatizo halisi linaweza kuwa Msongo wa Mawazo (Stress). Na ukishindwa kulitatua, unakuwa kwenye hatari ya kuharibu mifumo mingi ya mwili wako, si nguvu za kiume tu. Ukijua hilo, unapaswa kuelewa kuwa kila dozi ya virutubisho au tiba unayochukua lazima ilenge kurekebisha mwili mzima, si sehemu moja.*
*Madhara mengine 6 ya Msongo wa Mawazo mbali na nguvu za kiume:*

*Kupungua kwa kinga ya mwili โ€“ mwili unashindwa kupambana na maradhi.*

*Shinikizo la damu kuwa juu โ€“ hatari ya kupata kiharusi au matatizo ya moyo.*

*Kutopata usingizi wa kutosha โ€“ jambo linalochochea uchovu wa kila siku.*

*Kuchoka muda wote โ€“ hata ukiwa hujafanya kazi yoyote nzito.*

*Kuhisi huzuni, msongo wa ndani (depression) โ€“ hali inayoathiri uhusiano na uzalishaji.*

*Kupungua kwa uzalishaji wa testosterone โ€“ chanzo kikuu cha kupotea kwa nguvu za kiume.*

*Tatizo linakuwa kubwa zaidi unapojaribu kutibu nguvu za kiume pekee, ukisahau kwamba baadhi ya madhara hayo ndiyo chanzo cha tatizo lako. Mfano mzuri ni homoni ya Cortisol, inayozalishwa kwa wingi ukiwa na stress. Cortisol inapozidi, inashusha viwango vya testosterone โ€” na hapo ndipo unapojikuta ukizidi kupoteza nguvu zako*.

Suluhisho sahihi ni hili:

Badala ya kutumia dawa zinazolenga nguvu za kiume pekee, tumia dozi ya virutubisho bora inayolenga kusaidia mifumo yote ya mwili kurudi katika hali yake ya kawaida โ€” mfumo wa homoni, kinga ya mwili, usingizi, msawazo wa hisia, na mzunguko wa damu.

Kwa njia hii, unarekebisha chanzo cha tatizo (stress), unalinda afya yako kwa ujumla, na matokeo yake ni ya kudumu.

Ukifuata njia hii sahihi, unakuwa mwanaume kamili kwa afya na nguvu. Ukikwepa, hapo ndipo unapofeli.

Address

Kinondoni

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Semsango men Health posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Semsango men Health:

Share