22/09/2023
_*NIINI KINACHO PELEKEA WANAWAKE KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA*_?
~ +255684771711 / +255626027279 ~
• Nimekuwa Napata kesi nyingi sana kutoka kwa akina mama hasa wenye umri kuanzia miaka 25 na kuendelea wakihitaji msaada kwenye ndoa zao kuhusu Dawa ya kukosa hamu ya tendo la ndoa baada ya kujifungua au kabla ya kujifungua na Wengine Kushindwa Kupata hata Ujauzito .
• Na Wengi Kati ya hao hawafurahii tendo la ndoa k**a vile inavotakiwa na Wapo ambao hawajui hata Maana ya Kufika Kilele ( Kukojoa ) .
• Tatizo hili linazidi kuongezeka kwa kasi na wengi hawafahamu chanzo cha tatizo hili hivo inakuwa vigumu hata Kufikilia Kulitibu na Wapo ambao Wanadhani Ndiyo Walivyopangiwa na Mungu na haliwezekani Kuepukika - HAPANA Linawezekana na Ukafurahia tendo la ndoa k**a Wanawake Wengine.
~ _*Zifuatazo ni sababu za maumivu wakati wa tendo la ndoa yanayopelekea kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake*_:-
* Kuvimba kwa kuta za uke kutokana na kushambuliwa na fangasi (candida Albicans) au bakteria - Kuta hizi huanza kuwa na vijitundu vidogo vidogo na kadiri muda unavyokwenda bila kutibiwa , vitundu hivi huongezeka ukubwa na kuwa k**a vidonda na hatimaye kuta za uke kuanza kumomonyoka na hali hii huondoa kabisa hamu ya kushiriki tendo.
2. Matatizo ya shingo ya kizazi (cervical incompetence) kutokana na maambukizi ya fangasi maeneo hayo - Kutoka kwa mbegu za kiume muda mfupi au saa kadhaa baada ya tendo ni dalili kuu ya tatizo hili , Pia mwanaume anapogonga shingo hii ya kizazi mwanamke huwa k**a anatoneshwa kidonda , Hali hii ya mbegu kurudi nje husababisha mwanamke kutoshika ujauzito.
3. Uvimbe kwenye mji wa mimba/mfuko wa uzazi (Uterus ) - Uvimbe huu kitaalam hujulikana kwa majina mengi lakini `fibroid` ni maarufu Zaidi , Huanza k**a mbegu ndogo ya mchicha na hukua k**a boga kubwa , Mwanamke huongezeka ukubwa wa tumbo na baadaye huonekana k**a ana mimba kubwa Kiasi Cha watu Kushangaa kwa nini hajifungui kipindi chote.
4. Maumivu wakati wa tendo hasa chini ya kitovu Pembeni Kidogo huashiria tatizo kwenye mirija ya uzazi - Yawezekana ikawa ni tatizo la mirija ya uzazi kujaa maji machafu kutokana na kuzaliana sana eneo hilo , tatizo ambalo hujulikana kitaalam k**a Hydrosalpinx.
Kitu hiki husababisha mirija ya uzazi kuziba kwani maji haya huwa mazito, kitu ambacho husababisha mayai ya uzazi na mbegu za kiume kushindwa kupenya.
Kutoshika mimba (ugumba) kwa mwanamke aliye kwenye ndoa au uhusiano kwa zaidi ya mwaka mmoja na anasikia maumivu ya aina hii ni kiashiria kikubwa cha tatizo hili.
5. Uharibifu Wa Kinga Uke ya Asili Kwa Wanawake ( PH - POTENTIAL HYDROGEN ) - Hili Ndiyo Kubwa Zaidi Kuliko Yote Niliyotangulia Kuuasema , Kwa Sababu Wanawake Wengi Sana Wamejikuta Wakiangukia Kwenye Maambukizi ya Mara Kwa Mara Ukeni ya Maradhi K**a UTI , Fungus yanayo Sababisha Muwasho , Majimaji na Harufu Mbaya Ukeni Kutokana na Kupoteza hii Kinga Ya Asili ( PH au Potential Hydrogen ).
PH au Potential Hydrogen ni nini ?
Maana Ya pH ni Potential Hydrogen whereby pH scale Inaanza from 0-14 ambapo 1-5 ni acidic na 8-14 ni Basic. Kwa kawaida mwili wa Binadamu una pH yake na pH ya Vagina(Uke) ni kuanzia 3.8-4.5 nikimaanisha va**na ni acidic In nature.
Ipo hivyo so as to favour ukaaji wa bacteria fulani wanaitwa Lactobacilli ambao kazi yao kubwa ni kulinda uke from Infections mbalimbali giving it a certain smell na the fluids unazoziona kule ndo lactobacilli acid ambayo kazi yake ndo Hiyo, kwahiyo ikiondoka tu hiyo uke unashambuliwa na magonjwa k**a yote.
_*VITU AMBAVYO HUATHIRI VAGINAL pH*_
1.SABUNI(SOAP).
Tumejengewa Imani kuwa inabidi kuosha uke na sabuni na powders kwamba unatoa harufu huku tukisahau kuwa uke unajisafisha wenyewe(Self cleaning) na Ile harufu ndo Yake sasa hii huathiri ecosystem ya uke. Kuna soaps zina PH 9-10 kwahiyo zinaathiri lactobacilli wanaolinda uke hivyo ulinzi wote unaondoka mashambulizi from infections yanakua very simple.
2. Kunyonyana Sehemu Za Siri ( Uke / Vaginal ).
kwa ufupi madhara ya kunyonya Yako Mengi Sana Ukiacha haya ambayo Yanahusiana na Uharibifu wa hii Kinga ya Uke ( PH - Potential Hydrogen )
KUBADILISHANA VIJIDUDU (BACTERIA).
K**a wote tunavofahamu ya kwamba kwenye miili yetu kuna vijidudu (bacteria) Rafiki (normal flora) ambao Pia Wapo Kwa Vingi Sana Mdomoni na Sita yao Kubwa ni Kuchukia Uchafu , Ndiyo Maana Kati ya Maeneo ambayo hayawezi Kabisa Kustahimili Uchafu ni Mdomo ; Sasa hao bacteria wakiingia sehemu ambayo sio yake huleta madhara kwani wameingia eneo ambalo hawajazoea , wataingia sehemu mpya kwa kuwanyonya kutoka kwa mwanamke au mwanaume na Kusababisha Mwanamke Kutokuwa na Utelezi Ukeni na Hivyo Kuhisi Maumivu Wakati wa tendo na Kukosa hamu ya tendo lenyewe .
Hii inaweza isilete madhara mapema lakini Uendeleaji wa kunyonya nyonya wanaume au wanawake wengi mara kwa mara hupelekea kupata madhara mengi na mengine ni magumu kutibu.
Lakini Pia Unaweza Kupata Maambukizi ya HIV.
Kupata madonda mdomoni.
Kujiweka katika hatari ya kupata saratani za mdomo, ulimi nk.
SULUHISHO.
Tumia maji Ya moto na kitambaa kuosha uke, au unaweza tafuta soaps zenye pH ya 4.5.
Kumbuka : Matatizo ya uzazi unayokutana nayo k**a maumivu makali kipindi cha Hedhi , Ugumba , kukosa hamu ya tendo la ndoa baada ya kujifungua ama kabla ya kujifungua , kupata maumivu wakati wa tendo la Ndoa , kuvurugika kwa Hedhi , uzito mkubwa na kitambi siyo kitu ulichoumbiwa , Bali ni matokeo ya Maisha unayoishi - Kwa kifupi matatizo yote haya chanzo chake kikubwa ni kuvurugika kwa homoni za k**e au hormonal imbalance.
Matatizo haya siyo kwamba ni mabadiliko ya vinasaba kutokana na Umri , ila ni matokeo ya mpangilio mbovu wa vichocheo ama homoni zako na hasa homoni za uzazi - Hivyo Mpaka hapa Utakubaliana nami kwamba wanawake hawajaumbiwa kupata shida hizi zote hata k**a umri wako Umeenda , Unahitaji kuendelea kufurahia tendo la ndoa. Sawazisha mpangilio wako wa homoni na Rudisha Kinga Yako ya Uke ( Potential Hydrogen) Kwa Siku Saba tu na Matatizo Yote hayo Utakuwa Umeyamaliza.
Karibu tukuhudumie , Tunapatikana Ilala boma, Kijitonyama na Mlimani City Dar es salaam , Kwa mikoani utatumiwa popote ulipo.
🕳 Kwa msaada zaidi :- Tafadhali Usisite Kuwasiliana Nasi Kuhusu Tiba Kwa Njia za Kisasa Kabisa na Ushauri wa Masuala Mbali Mbali Ya Afya.
𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐍𝐈𝐊𝐔𝐒A𝐃𝐈𝐄 𝐏𝐈𝐆𝐀 & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏
Call➖text&sms➖whatsapp👇
➖ Ili Kupata Ushauri Bure na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya
-📞"Wasiliana nasi kuhusu afya - Kupitia Simu Namba 0684771711 / 0626027279
°Au Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini 👇👇
https://wa.me/c/255626027279
- Pia Waweza Jiunga na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/KzcL2QoUbj18UU9a4DbO9L
, & Usaidie na Wengine