Msisi

Msisi Tunawasaidia kutatua changamoto za mfumo wa chakula kama Bawasiri Acid na Vidonda vya Tumbo

JINSI YA KUJIPONYA TATIZO LA  ACID AU  TINDIKALI YA TUMBO - GERDhttps://shorturl.at/gESW5Hili ni tatizo linalotokea kati...
12/10/2023

JINSI YA KUJIPONYA TATIZO LA ACID AU TINDIKALI YA TUMBO - GERD
https://shorturl.at/gESW5
Hili ni tatizo linalotokea katika mfumo wa mmeng'enyo wa chakula linalosababisha hitilafu ya chakula au maji kurudi katika koo la chakula (umio) mara baada ya kuwa chakula Hiko kimeshamezwa. Au Ni kitendo cha kupanda kwa acids (tindikali) ya tumbo hadi kwenye Koo /Umio la chakula kwa muda mrefu na matokeo yake husababisha kiungulia (HEARTBURN) AU MAUMIVU YA KOO
-Kawaida Mara baada ya mtu kutafuna chakula au kunywa maji,chakula husafirishwa kupitia mrija wa chakula (Esophagus) hadi tumboni lakini juu kidogo kati ya tumbo na mrija huu wa chakula kuna kizuizi kilicho na sura ya bangili ( lower esophageal spincher )
kibangili hiki hufanya kazi ya kuzuia chakula kisurudi mdomoni au kwenye koo baada ya kuwa kimeshamezwa.
-Baada ya chakula kuingia tumboni huchanganyikana na vimeng'enya pamoja na tindikali ambayo hufanya kazi ya kuua vimelea vyote vilivyoingia tumboni pamoja na chakula
mchanganyiko huu husababisha chakula kupata chachu(acids) ambayo matokeo yake huwa ni rahisi sana kuweza kurudi katika koo la chakula endapo kizuizi cha juu ya tumbo kitakua kimepata hitilafu au maambukizi.
CHANZO CHA MATATIZO HAYA NI NINI ?.
Uchunguzi unaonyesha kuna sababu nyingi zinazoweza kuambatanishwa na matatizo haya ambayo ni;
1. Kudhohofika kwa utendaji kazi wa kizuizi cha juu ya tumbo ( Lower esophageal sphincter)
• Kudhohofika kwa kizuizi hiki husababishwa na utumiaji wa madawa k**a nitrates , isphosphonates , Estrogen , Oral Contraceptives , Progesterone , n.k. Baadhi ya dawa zimeonekana kuharibu sana utendaji kazi wa kizuizi hiki.
2.Mfumo dhaifu wa mmeng'enyo wa chakula :-
• Mfumo wa mmeng'enyo huwa dhaifu kutokana na lishe kuwa mbovu
watu wanaokula zaidi vyakula vilivyosindikwa, sukari, chocolate, vyakula vyenye caffeine k**a kahawa wapo kweye hatari zaidi ya kupata matatizo haya
3.Tindikali ( Hydrochloric acid) kuzidi tumboni.
4.Upungufu wa madini k**a Magnesium na Potassium mwilini
5.Uzito mkubwa na kitambi na msongo wa mawazo kupita kiasi ni chanzo cha kupata matatizo haya.
6.Wamama wajawazito na wazee wenye umri mkubwa wako kwenye hatari zaidi ya kupata matatizo haya
7.Wenye historia ya kuwa na ugonjwa wa hernia(ngiri) pia wapo katika hatari zaidi ya kupata matatizo haya
8. Uwepo wa bacteria wabaya tumboni k**a H.pyrolly na wengineo huwa ni chanzo cha magonjwa haya ya mmeng’enyo wa chakula
DALILI ZA GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE AU KUZIDI KWA TINDIKALI YA TUMBO
1 kupatwa na kiungulia mara kwa mara ambapo huambatana na koo la chakula kuwaka moto pia maumivu ya kifua na hali hii huzidi zaidi pale mtu anapolala kichwa kimeinama.
2 Kwa watoto hujionesha pale mtoto anapotapika kupita kiasi au kupaliwa mara kwa mara wakati wa kula chakula.
3 Tumbo kuunguruma na Kukosa hamu ya kula chakula na kuhisi kichefuchefu.
4 Mdomo kunuka kutokana na kurudi juu kwa chakula cha tumboni chenye tindikali.
5 Kupata hali ya kuunguza kwenye kifua karibu na moyo, hali inayotokea Muda Mfupi baada tu ya kula na kupata shida wakati wa kumeza chakula.
6 Kucheuwa Maji Maji Yenye Tindikali Ukiwa Usingizini Hasa Baada Ya Kulala Muda Mfupi Baada Ya Kula.
7 Kukohoa au kupaliwa mara kwa mara ikiambatana na kuweweseka Kwa Kukosa Pumzi.
8 Mdomo kuwa mchachu muda mwingi.
9 Kupata usingizi kwa shida kutokana na maumivu ya tumbo na Koo.
10 Kuvimba Kwa Tezi za Shingoni K**a Vile Tonses na Goita.
11 Mdomo kukauka.
12 Meno kupoteza uimara na kuanza kumomonyoka kutokana na uwepo wa tindikali.
13 Tumbo kujaa Gesi , Kupata Choo K**a Tope Kunakoambatana kujamba sana
KIUNGULIA (HEARTBURN)NI NIN I?
-Ni hali ya kukera inayoweza kumtokea mtu yoyote na husababisha maumivu makali kwenye kifua na upande wa juu wa tumbo.
Hali hii inaendana kwa ukaribu wa kupanda kwa tindikali(acid reflux).
Lakini pia Kuna utofauti kati ya acid reflux na heartburn.
K**a tatizo likiendelea zaidi basi hufikia hatua ya tatu na kuitwa gastroesophageal reflux disease (GERD), kwa hiyo kadiri kiungulia kinachukua muda mrefu mpaka kuathiri tishu za Utumbo au Umio GERD ni hatari zaidi kwa sababu inaweza kupelekea uwezekano wa kupata Madonda Tumboni au Saratani ya Koo.
𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁U TUKUSAIDIE – TUMEKUANDALIA DARASA MAALUMU LA KUJIFUNZA JINSI YA KUJIPONYA NA MAGONJWA HAYA KWA MWEZI MMOJA – DARASA HILI NI BURE CHA KUFANYA BONYEZA LINKI UNAZOZIONA KWENYE TANGAZO HILI KUJA DARASANI SASA HIVI
https://shorturl.at/gESW5
AU PIGA SIMU AU WHATSAP MOJA KWA MOJA

JINSI YA KUJIPONYA TATIZO LA  ACID AU  TINDIKALI YA TUMBO - GERDhttps://shorturl.at/gESW5Hili ni tatizo linalotokea kati...
12/10/2023

JINSI YA KUJIPONYA TATIZO LA ACID AU TINDIKALI YA TUMBO - GERD

https://shorturl.at/gESW5

Hili ni tatizo linalotokea katika mfumo wa mmeng'enyo wa chakula linalosababisha hitilafu ya chakula au maji kurudi katika koo la chakula (umio) mara baada ya kuwa chakula Hiko kimeshamezwa. Au Ni kitendo cha kupanda kwa acids (tindikali) ya tumbo hadi kwenye Koo /Umio la chakula kwa muda mrefu na matokeo yake husababisha kiungulia (HEARTBURN) AU MAUMIVU YA KOO
-Kawaida Mara baada ya mtu kutafuna chakula au kunywa maji,chakula husafirishwa kupitia mrija wa chakula (Esophagus) hadi tumboni lakini juu kidogo kati ya tumbo na mrija huu wa chakula kuna kizuizi kilicho na sura ya bangili ( lower esophageal spincher )
kibangili hiki hufanya kazi ya kuzuia chakula kisurudi mdomoni au kwenye koo baada ya kuwa kimeshamezwa.
-Baada ya chakula kuingia tumboni huchanganyikana na vimeng'enya pamoja na tindikali ambayo hufanya kazi ya kuua vimelea vyote vilivyoingia tumboni pamoja na chakula
mchanganyiko huu husababisha chakula kupata chachu(acids) ambayo matokeo yake huwa ni rahisi sana kuweza kurudi katika koo la chakula endapo kizuizi cha juu ya tumbo kitakua kimepata hitilafu au maambukizi.
CHANZO CHA MATATIZO HAYA NI NINI ?.
Uchunguzi unaonyesha kuna sababu nyingi zinazoweza kuambatanishwa na matatizo haya ambayo ni;
1. Kudhohofika kwa utendaji kazi wa kizuizi cha juu ya tumbo ( Lower esophageal sphincter)
• Kudhohofika kwa kizuizi hiki husababishwa na utumiaji wa madawa k**a nitrates , isphosphonates , Estrogen , Oral Contraceptives , Progesterone , n.k. Baadhi ya dawa zimeonekana kuharibu sana utendaji kazi wa kizuizi hiki.
2.Mfumo dhaifu wa mmeng'enyo wa chakula :-
• Mfumo wa mmeng'enyo huwa dhaifu kutokana na lishe kuwa mbovu
watu wanaokula zaidi vyakula vilivyosindikwa, sukari, chocolate, vyakula vyenye caffeine k**a kahawa wapo kweye hatari zaidi ya kupata matatizo haya
3.Tindikali ( Hydrochloric acid) kuzidi tumboni.
4.Upungufu wa madini k**a Magnesium na Potassium mwilini
5.Uzito mkubwa na kitambi na msongo wa mawazo kupita kiasi ni chanzo cha kupata matatizo haya.
6.Wamama wajawazito na wazee wenye umri mkubwa wako kwenye hatari zaidi ya kupata matatizo haya
7.Wenye historia ya kuwa na ugonjwa wa hernia(ngiri) pia wapo katika hatari zaidi ya kupata matatizo haya
8. Uwepo wa bacteria wabaya tumboni k**a H.pyrolly na wengineo huwa ni chanzo cha magonjwa haya ya mmeng’enyo wa chakula
DALILI ZA GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE AU KUZIDI KWA TINDIKALI YA TUMBO
1 kupatwa na kiungulia mara kwa mara ambapo huambatana na koo la chakula kuwaka moto pia maumivu ya kifua na hali hii huzidi zaidi pale mtu anapolala kichwa kimeinama.
2 Kwa watoto hujionesha pale mtoto anapotapika kupita kiasi au kupaliwa mara kwa mara wakati wa kula chakula.
3 Tumbo kuunguruma na Kukosa hamu ya kula chakula na kuhisi kichefuchefu.
4 Mdomo kunuka kutokana na kurudi juu kwa chakula cha tumboni chenye tindikali.
5 Kupata hali ya kuunguza kwenye kifua karibu na moyo, hali inayotokea Muda Mfupi baada tu ya kula na kupata shida wakati wa kumeza chakula.
6 Kucheuwa Maji Maji Yenye Tindikali Ukiwa Usingizini Hasa Baada Ya Kulala Muda Mfupi Baada Ya Kula.
7 Kukohoa au kupaliwa mara kwa mara ikiambatana na kuweweseka Kwa Kukosa Pumzi.
8 Mdomo kuwa mchachu muda mwingi.
9 Kupata usingizi kwa shida kutokana na maumivu ya tumbo na Koo.
10 Kuvimba Kwa Tezi za Shingoni K**a Vile Tonses na Goita.
11 Mdomo kukauka.
12 Meno kupoteza uimara na kuanza kumomonyoka kutokana na uwepo wa tindikali.
13 Tumbo kujaa Gesi , Kupata Choo K**a Tope Kunakoambatana kujamba sana
KIUNGULIA (HEARTBURN)NI NIN I?
-Ni hali ya kukera inayoweza kumtokea mtu yoyote na husababisha maumivu makali kwenye kifua na upande wa juu wa tumbo.
Hali hii inaendana kwa ukaribu wa kupanda kwa tindikali(acid reflux).
Lakini pia Kuna utofauti kati ya acid reflux na heartburn.
K**a tatizo likiendelea zaidi basi hufikia hatua ya tatu na kuitwa gastroesophageal reflux disease (GERD), kwa hiyo kadiri kiungulia kinachukua muda mrefu mpaka kuathiri tishu za Utumbo au Umio GERD ni hatari zaidi kwa sababu inaweza kupelekea uwezekano wa kupata Madonda Tumboni au Saratani ya Koo.
𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁U TUKUSAIDIE – TUMEKUANDALIA DARASA MAALUMU LA KUJIFUNZA JINSI YA KUJIPONYA NA MAGONJWA HAYA KWA MWEZI MMOJA – DARASA HILI NI BURE CHA KUFANYA BONYEZA LINKI UNAZOZIONA KWENYE TANGAZO HILI KUJA DARASANI SASA HIVI
https://shorturl.at/gESW5
AU PIGA SIMU AU WHATSAP MOJA KWA MOJA 0687 725 755

JINSI YA KUJIPONYA TATIZO LA  ACID AU  TINDIKALI YA TUMBO - GERDhttps://shorturl.at/gESW5Hili ni tatizo linalotokea kati...
11/10/2023

JINSI YA KUJIPONYA TATIZO LA ACID AU TINDIKALI YA TUMBO - GERD

https://shorturl.at/gESW5

Hili ni tatizo linalotokea katika mfumo wa mmeng'enyo wa chakula linalosababisha hitilafu ya chakula au maji kurudi katika koo la chakula (umio) mara baada ya kuwa chakula Hiko kimeshamezwa. Au Ni kitendo cha kupanda kwa acids (tindikali) ya tumbo hadi kwenye Koo /Umio la chakula kwa muda mrefu na matokeo yake husababisha kiungulia (HEARTBURN) AU MAUMIVU YA KOO

-Kawaida Mara baada ya mtu kutafuna chakula au kunywa maji,chakula husafirishwa kupitia mrija wa chakula (Esophagus) hadi tumboni lakini juu kidogo kati ya tumbo na mrija huu wa chakula kuna kizuizi kilicho na sura ya bangili ( lower esophageal spincher )
kibangili hiki hufanya kazi ya kuzuia chakula kisurudi mdomoni au kwenye koo baada ya kuwa kimeshamezwa.

-Baada ya chakula kuingia tumboni huchanganyikana na vimeng'enya pamoja na tindikali ambayo hufanya kazi ya kuua vimelea vyote vilivyoingia tumboni pamoja na chakula
mchanganyiko huu husababisha chakula kupata chachu(acids) ambayo matokeo yake huwa ni rahisi sana kuweza kurudi katika koo la chakula endapo kizuizi cha juu ya tumbo kitakua kimepata hitilafu au maambukizi.

CHANZO CHA MATATIZO HAYA NI NINI ?.
Uchunguzi unaonyesha kuna sababu nyingi zinazoweza kuambatanishwa na matatizo haya ambayo ni;
1. Kudhohofika kwa utendaji kazi wa kizuizi cha juu ya tumbo ( Lower esophageal sphincter)
• Kudhohofika kwa kizuizi hiki husababishwa na utumiaji wa madawa k**a nitrates , isphosphonates , Estrogen , Oral Contraceptives , Progesterone , n.k. Baadhi ya dawa zimeonekana kuharibu sana utendaji kazi wa kizuizi hiki.

2.Mfumo dhaifu wa mmeng'enyo wa chakula :-
• Mfumo wa mmeng'enyo huwa dhaifu kutokana na lishe kuwa mbovu
watu wanaokula zaidi vyakula vilivyosindikwa, sukari, chocolate, vyakula vyenye caffeine k**a kahawa wapo kweye hatari zaidi ya kupata matatizo haya

3.Tindikali ( Hydrochloric acid) kuzidi tumboni.

4.Upungufu wa madini k**a Magnesium na Potassium mwilini

5.Uzito mkubwa na kitambi na msongo wa mawazo kupita kiasi ni chanzo cha kupata matatizo haya.

6.Wamama wajawazito na wazee wenye umri mkubwa wako kwenye hatari zaidi ya kupata matatizo haya

7.Wenye historia ya kuwa na ugonjwa wa hernia(ngiri) pia wapo katika hatari zaidi ya kupata matatizo haya
8. Uwepo wa bacteria wabaya tumboni k**a H.pyrolly na wengineo huwa ni chanzo cha magonjwa haya ya mmeng’enyo wa chakula

DALILI ZA GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE AU KUZIDI KWA TINDIKALI YA TUMBO

1 kupatwa na kiungulia mara kwa mara ambapo huambatana na koo la chakula kuwaka moto pia maumivu ya kifua na hali hii huzidi zaidi pale mtu anapolala kichwa kimeinama.

2 Kwa watoto hujionesha pale mtoto anapotapika kupita kiasi au kupaliwa mara kwa mara wakati wa kula chakula.

3 Tumbo kuunguruma na Kukosa hamu ya kula chakula na kuhisi kichefuchefu.
4 Mdomo kunuka kutokana na kurudi juu kwa chakula cha tumboni chenye tindikali.
5 Kupata hali ya kuunguza kwenye kifua karibu na moyo, hali inayotokea Muda Mfupi baada tu ya kula na kupata shida wakati wa kumeza chakula.
6 Kucheuwa Maji Maji Yenye Tindikali Ukiwa Usingizini Hasa Baada Ya Kulala Muda Mfupi Baada Ya Kula.
7 Kukohoa au kupaliwa mara kwa mara ikiambatana na kuweweseka Kwa Kukosa Pumzi.
8 Mdomo kuwa mchachu muda mwingi.
9 Kupata usingizi kwa shida kutokana na maumivu ya tumbo na Koo.
10 Kuvimba Kwa Tezi za Shingoni K**a Vile Tonses na Goita.
11 Mdomo kukauka.
12 Meno kupoteza uimara na kuanza kumomonyoka kutokana na uwepo wa tindikali.
13 Tumbo kujaa Gesi , Kupata Choo K**a Tope Kunakoambatana kujamba sana

KIUNGULIA (HEARTBURN)NI NIN I?
-Ni hali ya kukera inayoweza kumtokea mtu yoyote na husababisha maumivu makali kwenye kifua na upande wa juu wa tumbo.
Hali hii inaendana kwa ukaribu wa kupanda kwa tindikali(acid reflux).
Lakini pia Kuna utofauti kati ya acid reflux na heartburn.

K**a tatizo likiendelea zaidi basi hufikia hatua ya tatu na kuitwa gastroesophageal reflux disease (GERD), kwa hiyo kadiri kiungulia kinachukua muda mrefu mpaka kuathiri tishu za Utumbo au Umio GERD ni hatari zaidi kwa sababu inaweza kupelekea uwezekano wa kupata Madonda Tumboni au Saratani ya Koo.

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁U TUKUSAIDIE – TUMEKUANDALIA DARASA MAALUMU LA KUJIFUNZA JINSI YA KUJIPONYA NA MAGONJWA HAYA KWA MWEZI MMOJA – DARASA HILI NI BURE CHA KUFANYA BONYEZA LINKI UNAZOZIONA KWENYE TANGAZO HILI KUJA DARASANI SASA HIVI

https://shorturl.at/gESW5

AU PIGA SIMU AU WHATSAP MOJA KWA MOJA 0687 725 755

1.MFUMO WA MMENG’ENYO WA CHAKULAMfumo wa mmeng'enyo wa chakula ni muhimu katika mwili wa binadamu kwa sababu unasaidia k...
07/10/2023

1.MFUMO WA MMENG’ENYO WA CHAKULA
Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ni muhimu katika mwili wa binadamu kwa sababu unasaidia kuvunja chakula na kufyonza virutubisho muhimu ambavyo mwili unahitaji. Mfumo huu unajumuisha viungo na michakato kadhaa ambayo hufanyika kwa kusudi hili.
2.SABABU ZA KUFELI KWA MFUMO WA MMENG’ENYO WA CHAKULA
Zifatazo ni baadhi ya sababu zinazoweza kupelekea kufeli kwa mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
-Upungufu au kutokuwepo kwa Enzymes muhimu katika mfumo wa mmeng'enyo wa chakula pamoja
- Matumizi ya Madawa: Baadhi ya madawa yanaweza kuathiri mmeng'enyo wa chakula. Kwa mfano, dawa za antibiotics zinaweza kusababisha kuharibu kwa bakteria wanaosaidia katika mmeng'enyo wa chakula na kupelekea kuwepo kwa bacteria wabaya
- Lishe Mbovu: Lishe isiyofaa au lishe yenye upungufu wa virutubisho muhimu inaweza kusababisha matatizo katika mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
- Matumizi ya Pombe na Dawa za Kulevya: Matumizi ya pombe kupita kiasi na dawa za kulevya zinaweza kusababisha kuharibika kwa ini na kongosho, ambayo ni muhimu katika mmeng'enyo wa chakula.
- Kufeli kwa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kunaweza kusababisha matatizo ya kiafya k**a vile Utapiamlo, Kisukari, Bawasiri, Choo kigumu na matatizo ya utumbo k**a kuharisha n.k. Kwa hiyo, ni muhimu kutambua na kutibu sababu za kufeli kwa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ili kuhakikisha afya bora. Kwa tatizo lolote la afya, ni vizuri kushauriana na mtaalamu wa afya au daktari ili kupata ushauri na matibabu sahihi.
3.DALILI ZA KUFELI KWA MFUMO WA MMENG’ENYO WA CHAKULA
-kumwa tumbo
-Tumbo kuunguruma na kujaa gesi
-Kukosa choo (Constipation)
-Kiungulia, Kubehua,Kucheua Vitu Vichachu
-Maumivu ya kitumbo
n.k
4.SULUHISHO
-kubadilisha mfumo wa maisha
--Kula sahihi
-Kunywa Maji ya Kutosha: Kuhakikisha unakunywa maji ya kutosha ili kusaidia mmeng'enyo wa chakula na kuzuia matatizo ya utumbo.
-Kula Fiber: Vyakula vyenye nyuzi (fiber) k**a matunda, mboga, na nafaka nzima vinaweza kusaidia katika utaratibu wa mmeng'enyo wa chakula na kuzuia matatizo ya kujitambua.
-Epuka Pombe na Dawa za Kulevya: Kuzuia matumizi ya pombe kupita kiasi na dawa za kulevya ambazo zinaweza kuathiri mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
-TIBA LISHE zisizokuwa na madhara kweye mwili wa binadamu
N.B
Baada ya kusaidia watu wengi wenye matatizo ya mfumo wa chakula, nimegundua changamoto kubwa zinazo wakabili watu wengi zinatokana na mfumo wa maisha. Suluhisho pekee linaloweza kutatua changamoto za mfumo wa chakukula bila kuharibu ratiba za kila siku ni TIBA LISHE

VIJUE NA VIFAHAMU VIDONDA VYA TUMBOMaana yake ni vidonda vinavyotokea kwenye kuta za tumbo pamoja na utumbo mdogo na kus...
04/10/2023

VIJUE NA VIFAHAMU VIDONDA VYA TUMBO

Maana yake ni vidonda vinavyotokea kwenye kuta za tumbo pamoja na utumbo mdogo na kusababisha athari kwenye maeneo hayo.
KUNA AINA 2 ZA VIDONDA VYA TUMBO
Aina hizi ni kulingana na maeneo vidonda hivi hutokea.

DUODENAL ULCERS
Vidonda vinavyotokea mwanzoni mwa Utumbo mdogo.

GASTRIC ULCERS
Vidonda vinavyotokea kwenye kutaza Tumbo.

NINI HASWA HUSABABISHA VIDONDA VYA TUMBO?
Hili ni swalia mbalo wengi wanajiuliza, nini kina pelekea mtu kupata vidonda kwenye utumbo, amatumbo lake??

Baadhi ya visababishi ni k**a vifuatavyo;
Helicobacter pylori
Hawani bacteria wanaosababisha kuta za tumbo na za utumbo mdogo kupoteza thickness yake, na hii inapelekea kuta hizi kuweza kupitisha acid ambayo haitakiwi ifike kwenye utumbo au matumbo, ambayo husababisha vidonda kwenye utumbo/tumbo.

Excessive production of hydrochloric acid(hcl)
Uzalishwaji wa Acidi ya haidrokloriki kupita mahitaj iyamwili.
Hakuna sababu za moja kwa moja ,kwa nini mwili unazalisha acidi hii zaidi ya inayohitajika, Ila Wingi wa acidi hii hupelekea mtu kuweza kupata vidonda vya tumbo ,na hii ni baada ya acidi kuanza kumwagika na kuchoma kuta za tumbo. Kikawaida Acid ya HCl hutengenezwa na mwili ili kusaidia katika umengenywaji wa chakula ,na kuua bacteria waliopo kwenye chakula, Wingi wa hii acidi hupelekea kuharibu stomach layers ambazo zinalinda tumbo lisidhurikena HCL

Dawa za kupunguza maumivu (Pain Removers/NSAIDs)
Hii iko hivii .... utumiaji holela wa dawa za kupunguza maumivu ni moja ya sababu zinazopelekea mtu kupata vidonda vya tumbo. Dawa hizi zinapotumiwa kwa wingi hupelekea kuzuia tumbo na utumbo mdogo kutengeneza kemikali inayozikinga na Acid(Hcl). Kitu Ambacho huongeza uwezekano wa kupata vidonda vya tumbo.

Sababu nyingine ni k**a:
Kuvuta sigara
Kunywa pombe
Na mengineyo
Stress na Kula vyakula vyenye viungo vingi(spicy foods) Husababisha vidonda vya tumbo mara chache sana na badala yake utumiaji wa vyakula vya aina hii na kuwepo kwa stress hupelekea vidonda vya tumbo kuwa vibaya zaidi.

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
Maumivu Katikati ya Kifua na tumbo (Epigastric Pain)
Hii ni moja wapo ya dalili ya mwanzoni ya vidonda vya tumbo, mtu atapata maumivu maeneo ya kati ya kifua na tumbo lake (Na hii ni kwa sababu maeneo haya Tumbo Na utumbo Mdogo (Duodenum) hupatikana)
Maumivu Haya mtu anaweza akayapata kabla ya (On An empty stomach) wakati anasikia njaa. Na maumivu haya hupungua mtu akila chakula ama akinywa dawa ,Lakini hujirudia tena baada ya muda fulani.

 Tumbo kujaa gesi.
 Kukosa hamu ya kula
 Kichefu chefu na Kutapika.
Dalili nyingine Ambazo mtu akianza kuziona huwa ni kiashiria kwamba vidonda vya tumbo vimekwisha anza kuleta madhara (complication)
 Kutapika Damu
 Damu kwenye kinyesi/ Kinyesi Cheusi

UTAJUAJE KUWA UNA VIDONDA VYA TUMBO?
Utajua kuwa una vidonda vya tumbo kutokana na uwepo wa dalili moja wapo ya nilizozitaja hapo juu.
Lakini Pia Utaweza kufahamu unavidonda vya tumbo baada ya kupimwa hospitali, wengi hutumia Damu, Kinyesi na Hata Mashine (Endoscopy) Kuweza kufahamu k**a wana vidonda vya tumbo.

K**A NI MUHANGA AU UNA HILI TATIZO TUNALO SULUHISHO KWA AJILI YAKO TUPIGIE AU WHATSAP NAMBA 0687 725 755

Address

Kinondoni

Telephone

+255687725755

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Msisi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram